Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 432
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Limefanikiwa shirika la india tata motors kutoa gari aina ya air pod,jambo lililopelekea ufaransa kuekesha oda ya nguvu itakayokabidhiwa mwisho wa 2013,gari hiyo ina uwezo wa kubeba watu watatu,na speed yake ya mwisho kabisa ni 80km kwa saa,na bei yake ni $10000/=
      tusubiri kutumia wazalishaji wapo!!!
      Attached Thumbnails        

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mwanahisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 1,160
      Rep Power : 580
      Likes Received
      314
      Likes Given
      130

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Mkuu, kila baada ya kilometa ngapi kujaza tena hewa?
      Maana hizi foleni zetu itabidi kutembea na compressor yako kwenye boot.
      Mkurabitambo and Ringo Edmund like this.
      Success Requires No Explanations, Failure Permits No Alibis- Napoleon Hill

    4. #3
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,971
      Rep Power : 2372
      Likes Received
      962
      Likes Given
      172

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Quote By Mwanahisa
      Mkuu, kila baada ya kilometa ngapi kujaza tena hewa?
      Maana hizi foleni zetu itabidi kutembea na compressor yako kwenye boot.
      ni swali nilokuwa najiuliza
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    5. #4
      Mwanahisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 1,160
      Rep Power : 580
      Likes Received
      314
      Likes Given
      130

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Quote By njiwa


      ni swali nilokuwa najiuliza
      Lets hope engine ikitembea inafua hewa yake yenyewe, otherwise mazingira yatatuumbua. Ila TATA nao ni watata. wanataka haya mafuta yetu tuliyogundua tuogee au tunywe?
      Success Requires No Explanations, Failure Permits No Alibis- Napoleon Hill

    6. #5
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 432
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwanahisa
      Mkuu, kila baada ya kilometa ngapi kujaza tena hewa?
      Maana hizi foleni zetu itabidi kutembea na compressor yako kwenye boot.
      ina uwezo wa kutembea 125km ndio ujaze tena hiyo hewa
      Mwanahisa likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    9. #7
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,197
      Rep Power : 2431
      Likes Received
      948
      Likes Given
      378

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Itakuwa ni gase na siyo hewa

    10. C6
      #8
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,084
      Rep Power : 19361
      Likes Received
      1775
      Likes Given
      1513

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      gari mbayaaa, hata bure sichukui

    11. #9
      Mtz.mzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 400
      Likes Received
      39
      Likes Given
      3

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Sasa ili ni gari au bajaji?

    12. #10
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2228

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Hizo gari ziko muda mrefu ila haziwezi kutumika in large scale kwa sababu other maintance costs zinakuwa kubwa zaidi. Ukinunua gari hilo inabidi ufikirie jinsi ya kununua pia comressor ya kujaza hiyo gas. Wataalam wanaoweza kurepair both gari na compresor ni wachache, Huwezi kwenda long distance.
      "To greed, all nature is insufficient"

    13. #11
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      sasa naanza kuiona dunia inakoelekea.....
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    14. #12
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      je kutapika ukiwa ndani hujatueleza.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    15. #13
      heroone's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 12
      Rep Power : 378
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Umemaliza kila kitu hapa mkuu cna cha kuongezea

      Quote By Mwanahisa
      Lets hope engine ikitembea inafua hewa yake yenyewe, otherwise mazingira yatatuumbua. Ila TATA nao ni watata. wanataka haya mafuta yetu tuliyogundua tuogee au tunywe?
      Mwanahisa likes this.

    16. #14
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,238
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      728
      Likes Given
      972

      Default

      Quote By Mwanahisa
      Mkuu, kila baada ya kilometa ngapi kujaza tena hewa?
      Maana hizi foleni zetu itabidi kutembea na compressor yako kwenye boot.
      ongeza na jenereta kwenye list.
      Mwanahisa likes this.

    17. #15
      Mwanahisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 1,160
      Rep Power : 580
      Likes Received
      314
      Likes Given
      130

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Quote By Shine
      Itakuwa ni gase na siyo hewa
      Mkuu japo sijakuelewa vizuri hapo, ila hewa, upepo na gesi asilia ni mifumo hali tu, ila hii gari inaonekana kutumia mfumo hewa kama sijakosea ndio upepo huo.
      Shine likes this.
      Success Requires No Explanations, Failure Permits No Alibis- Napoleon Hill

    18. #16
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 432
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwanahisa
      Mkuu japo sijakuelewa vizuri hapo, ila hewa, upepo na gesi asilia ni mifumo hali tu, ila hii gari inaonekana kutumia mfumo hewa kama sijakosea ndio upepo huo.
      ni vyema ulivyomuelewesha

    19. #17
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,288
      Rep Power : 31331
      Likes Received
      7566
      Likes Given
      7615

      Default

      Quote By Shine
      Itakuwa ni gase na siyo hewa
      Hata hewa ni gas mkuu...technically hewa ni gas ya oxygen
      Shine and Vin Diesel like this.

    20. #18
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,288
      Rep Power : 31331
      Likes Received
      7566
      Likes Given
      7615

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      hili gari huwezi endesha kwenye barabara zetu zenye matuta kila mahali...unless uwe unaishi masaki na iwe ya kuendea kazini posta
      Reply With Quote

    21. #19
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 644
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Aiseee babaangu hizi gari zinaweza kufika kwetu rombo kweli??? Mi naona kama itachukuwa week moja kufika

    22. #20
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,197
      Rep Power : 2431
      Likes Received
      948
      Likes Given
      378

      Default Re: Gari inayojazwa hewa badala ya mafuta jitaarisheni 2013!!!

      Quote By watu8
      Hata hewa ni gas mkuu...technically hewa ni gas ya oxygen
      Tofauti luga tu siyo?

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...