Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

    Report Post
    Page 7 of 20 FirstFirst ... 5678917 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 396
    1. #1
      bagamoyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Posts : 1,308
      Rep Power : 1098
      Likes Received
      300
      Likes Given
      358

      Default Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari



      Muonekano wa mbele wa hekalu la Mchungaji Rwakatare

      MC na mchungaji Haris Kapiga wa Clouds FM

      Mc Harris Kapiga akiwa kazini.

      Watu wakijiachia

      Kabati la vyombo

      Akiwa katika ofisi yake ya nyumbani, kuna sehemu ya kufanyia mikutano, Salon, Studio, na sehemu ya mazoezi.

      Wadau wakijiachia kwenye moja wapo ya kochi la kifahari mjengoni humo

      Wakati wa msosi

      Mambo ya dressing table

      Kitanda chake cha kulalia
      ---

      Mchungaji Getrude Rwakatare amehamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Inaripotiwa kuwa waumini wa kanisa lake wapatao 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba yake hiyo ya kifahari.

      Kabla ya kuhamia kwenye hekalu lake jipya Mch. Mh. Getrude Pangalile Rwakatare alikuwa akiishi Mikocheni B katika nyumba nyingine ya kifahari pia.



      Picha na Ruma Africa





      Elli, Pasco, Bukyanagandi and 3 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #121
      Job K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 1,551
      Rep Power : 748
      Likes Received
      266
      Likes Given
      254

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By ndevu mzazi
      kila siku tukisema makanisa yamegeuzwa miradi watu wanabisha.i dont go to chuuuuuuurch.
      God is everywhere kama alivyosema.
      Tusipumbazwe akili na wachungajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ii
      Kwa hiyo Mkuu unatuhamasisha tuwe tunasalia majumbani kwetu na sadaka tunatoa huko huko? Hivi kweli itakuwaje mtu ukiamu kusalia nyumbani kwako? Hebu endelea kutushawishi Mkuu labda tutabadilika, maana hawa jamaa wamezidi, muda kidogo tu jamaa anakuwa millionaire kutokana na sadaka zetu! Ndo maana hata ugomvi na Kelele haviishi kwenye hivyo viji-Kanisa vyao.

      Afadhali wa-Katoliki!! Liwalo na Liwe!!

      Vijana tugutuke! Tunaibiwaaaaa!!!!

    4. #122
      Bahati Risiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 535
      Rep Power : 593
      Likes Received
      87
      Likes Given
      1

      Default

      Huyu si yule mwizi wa umememe? Tena anataka tufungiwe JF ili tuendelee kulea wajinga na yeye aendelee kunufaika na millioni kumi na moja kila mwezi huku watanzania wengi wakilala kwenye vibanda vya nyasi. Mungu ataleta mvua na upepo mkali tena akiwa ndani na hizi kuta zitamwangukia zimwuue.

      Hawa ndio viongozi wezi, wajinga, na wauwaji wanaotuulia vijana wetu bila sababu huku wao wakijijengea mahekalu yasio na wa kulala ndani. Ni bora watanzania tukaamka na kulinda haki zetu. No wonder M4C inapigwa marufuku kufa na kupona. Mwambieni huyu mama kifo kitamkuta na hatachukua kitu mbele ya haki ila roho yake iliyojaa ubinafsi kwani tumeona mchango wake bungeni jana.

    5. #123
      winner forever's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Location : Port of Spain
      Posts : 556
      Rep Power : 560
      Likes Received
      104
      Likes Given
      91

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By RGforever
      KATOLIK LILIONA MBALI. No kuoa No KUOLEWA wala Kujenga Mnaishi kwenye Majumba ya Kanisa. Safi sana RC.. Ngoja nikakabidhi mchango wangu wa kumjengea Paroko Nyumba ya Kuishi Parokiani....... Awe karibu nasi
      Bila kuwa na msaada wa roho mtakatifu ndani yetu ni vigumu kutambua uweza wa Mungu wetu. Yeye ndiye ajuaye mapito yetu na kutujalia kwa kadiri ya mapenzi yake. Lihimidiwe jina lake Milele na hata milele,

    6. #124
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      I doubt those steps are ergonomic.

      That blue thing she is wearing makes her look like a big chicken.

      The conspicuous opulence is borderline tacky, even gaudy by some posh-suave minimalists standards, and smells of traits of "nouveau riche".

      Other than that, hustle on, play on. Usiibe tu, lakini kama unaweza kuwashika wakakupa wenyewe sadaka zao, why not?
      Last edited by Kiranga; 29th August 2012 at 18:32.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    7. #125
      snochet's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Location : East Nowhere
      Posts : 1,072
      Rep Power : 4035
      Likes Received
      560
      Likes Given
      558

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      ivi hizi nguo za manyoya manyoya nazo ni ghali eeh?

    8. RukaaJuu Final

    9. #126
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Ama kweli mjini chuo kikuu.......daaah
      Life without problems never make a strong and good person!

    10. #127
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By snochet
      ivi hizi nguo za manyoya manyoya nazo ni ghali eeh?
      Ghali sana snochet .....mtanzania mwenye kipato cha kawaida ataionea madukani tu mpaka kufa kwake!
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #128
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Wajinga ndio waliwao!
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    12. #129
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By sweetlady
      Ghali sana snochet .....mtanzania mwenye kipato cha kawaida ataionea madukani tu mpaka kufa kwake!
      Unajua at this rate mtu anaweza kuanzisha mradi aka u brand kwamba anashona nguo expensive sana, ambayo haiwezekani kuonekana na watu wajinga na wasio na pesa.

      Kisha akawashonea watu nguo za hewa, kwa bei ya juu sana.

      Halafu watu wakaenda uchi a la "The Emperors New Clothes".

      Na watu wooote wakashangilia "Hii nguo kiboko" kwa kuogopa kuonekana wajinga, hawana pesa na hawajui mitindo mipya.

      Mie hizo nguo zinanikumbusha "Stir Crazy" tu.

      sweetlady likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    13. #130
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By Kiranga
      Unajua at this rate mtu anaweza kuanzisha mradi aka u brand kwamba anashona nguo expensive sana, ambayo haiwezekani kuonekana na watu wajinga na wasio na pesa.

      Kisha akawashonea watu nguo za hewa, kwa bei ya juu sana.

      Halafu watu wakaenda uchi a la "The Emperors New Clothes".

      Na watu wooote wakashangilia "Hii nguo kiboko".

      Mie hizo nguo zinanikumbusha "Stir Crazy" tu.

      Hahahah nimekubali Kiranga......zinafanana kweli lol
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #131
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Sasa utaona kinachofwata! Mzee wa upako na wenzake lazma wafanye mishe ili wapate mjengo kama huu au zaidi!
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    15. #132
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9620
      Likes Given
      685

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Naona kivazi chake kimeshika nadhari za watu!

      Ila mimi sikujua prosperity gospel bongo inalipa kiasi hicho!

      Nilidhani ni akina Creflo Dollar tu ndo wenye kufanya matanuzi ya kufa mtu lakini kumbe na wabongo nao wamo!!

      Now let's see if they'll start outdoing each other.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #133
      mbweta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 545
      Rep Power : 537
      Likes Received
      55
      Likes Given
      1

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Poor forever... Hilo jumba limeninyong'onesha sana yan...

    17. #134
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By Nyani Ngabu
      Naona kivazi chake kimeshika nadhari za watu!

      Ila mimi sikujua prosperity gospel bongo inalipa kiasi hicho!

      Nilidhani ni akina Creflo Dollar tu ndo wenye kufanya matanuzi ya kufa mtu lakini kumbe na wabongo nao wamo!!

      Now let's see if they'll start outdoing each other.
      Huyo mama ana mingo nyingi anakinga mkwanja, kwenye mishule, siasa, kutumia taasisi za kidini kukwepa kodi, why, kuna wengine washamhusisha hata na mdude.

      Kwa hiyo ni mchakalikaji kihivyo, sio sadaka za waumini tu.

      Ingekuwa sadaka za waumini tu asingekuwa conspicuous hivyo kwani angeona watamshtukia.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    18. #135
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Alipe deni la tanesko

    19. #136
      M Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 962
      Rep Power : 601
      Likes Received
      224
      Likes Given
      159

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By Nyani Ngabu
      Huyu naye ana preach prosperity gospel?
      The 12th chapter of the Gospel of John says that Jesus had a treasurer, or a "keeper of the money bag." The last time I checked, poor people don't have treasurers to take care their money.

    20. #137
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9620
      Likes Given
      685

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By Kiranga
      Huyo mama ana mingo nyingi anakinga mkwanja, kwenye mishule, siasa, kutumia taasisi za kidini kukwepa kodi, why, kuna wengine washamhusisha hata na mdude.

      Kwa hiyo ni mchakalikaji kihivyo, sio sadaka za waumini tu.

      Ingekuwa sadaka za waumini tu asingekuwa conspicuous hivyo kwani angeona watamshtukia.
      Damn!

      But so long as she plays by the rules I can't knock her hustle.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    21. #138
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,168
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By Nyani Ngabu
      Damn!

      But so long as plays by the rules I can't knock her hustle.
      Question is, which rules?

      For even the one who is playing by the single rule of "Do not get caught", is playing by some rule, regardless of your cosmogony.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    22. #139
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9620
      Likes Given
      685

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Quote By Kiranga
      Ingekuwa sadaka za waumini tu asingekuwa conspicuous hivyo kwani angeona watamshtukia.
      Now I wonder if this whole showcase is just sheer conspicuous consumption!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    23. #140
      muwaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2009
      Location : Lake Duluti
      Posts : 704
      Rep Power : 651
      Likes Received
      125
      Likes Given
      56

      Default re: Picha: Kasri a.k.a Nyumba Mpya ya Mh. Mchg. Dkt Rwakatare ktk ufukwe wa Bahari

      Sadaka tamu sana zikiliwa.....

    Page 7 of 20 FirstFirst ... 5678917 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...