Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 28
    1. #1
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Talking Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Mimi nakumbuka wakati niko darasa la kwanza, nikichelewa shule najificha katika mti mdogo wakati wenzangu wako assembly. Assumption yangu ilikuwa kama macho yangu hayawaoni na wao hawanioni. Hata pale ambapo naitwa kuwa "Wewe, njoo hapa umechelewa", bado nilijifanya mjanja hadi mwalimu aje aniibue.

      Pili, nilikuwa mkali sana wa kucheza gololi, nilikuwa na makopo mawili ya gololi na nilikuwa nawamanga sana gololi.

      Of course michezo ya kushindana kukojoa kujua nani mwenye mkojo mrefu sikuwahi kuicheza kabisa . . .

      Je wewe unakumbuka nini?







      Attached Thumbnails        

    2. Miaka 50

    3. #2
      Eqlypz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2009
      Location : Naked City
      Posts : 4,065
      Rep Power : 1342
      Likes Received
      501
      Likes Given
      97

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Huyo ndio wewe ulivyokuwa mdogo?
      Greed Is Good.
      Member of MUST.

    4. #3
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Eqlypz
      Huyo ndio wewe ulivyokuwa mdogo?

      Haaa haaaa; hapana mkuu.

      Hizi ni picha tu za kuokota.

      Unaweza ukashare na sisi utundu ulioufanya ambao unaukumbuka?

    5. #4
      Junius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 3,117
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Nakumbuka baba akinipeleka kuchoma sindano hospitali, mpaka dakatari alipate kalio langu nakuwa nishamchapa vibao kwanza, halafu hapo tena jopo la watu liokotane linikamate ndo zoezi liendelee.
      skunyengine faza akitaka kunipeleka kuchoma tena, ananiongopea tunakwenda kununua nguo mpya,ananipakia baiskelini haooo, tukikakaribia mnazimmoja eneo la mkumbusho, nachupa baiskelini mbio, faza ananifukuza, akinikamata nakula fimbo nzuri, mpaka kwa daktari.
      Du utoto bana,

    6. #5
      Kevo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Location : Around the World
      Posts : 1,348
      Rep Power : 828
      Likes Received
      16
      Likes Given
      14

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      I remember my other used to put me to bed for the afternoon naps then silali.Akirudu akiona kope zinacheza ni vibao vinatembea.Someimes I could fake sleeping for 3 hrs.
      Na zile baba na mama zinanikumbushia mbali sana.I had one special hiding place with a gal cousin of mine.
      'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Junius
      Nakumbuka baba akinipeleka kuchoma sindano hospitali, mpaka dakatari alipate kalio langu nakuwa nishamchapa vibao kwanza, halafu hapo tena jopo la watu liokotane linikamate ndo zoezi liendelee.
      skunyengine faza akitaka kunipeleka kuchoma tena, ananiongopea tunakwenda kununua nguo mpya,ananipakia baiskelini haooo, tukikakaribia mnazimmoja eneo la mkumbusho, nachupa baiskelini mbio, faza ananifukuza, akinikamata nakula fimbo nzuri, mpaka kwa daktari.
      Du utoto bana,

      Du! Mkuu noma saanaa . . .

      Umenichekesha mzee mzima mpaka nimelia . . . wife anashangaa tu

    9. #7
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Kevo
      I remember my other used to put me to bed for the afternoon naps then silali.Akirudu akiona kope zinacheza ni vibao vinatembea.Someimes I could fake sleeping for 3 hrs.
      Na zile baba na mama zinanikumbushia mbali sana.I had one special hiding place with a gal cousin of mine.

      Du, jamaa zangu leo mnaniliza tu kwa kicheko . . . Kazi kweli kweli

    10. #8
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Du, Mkuu, wife ananiambia yeye mother wake alikuwa anamwekea keki katika container yake ya chakula. Shida ni kuwa kuna washikaji wengine walikuwa wanawekewa vitumbua au mhogo. Basi wife akijisahau jamaa wanambadilishia vitumbua na keki wanachukua wanakula.

      Naam, wife alikuwa anarudi home analia . . .

    11. #9
      Junius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 3,117
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Kevo
      Na zile baba na mama zinanikumbushia mbali sana.I had one special hiding place with a gal cousin of mine.
      Mzee mzima vp, haka kamchezo bado unakaendeleza au...?
      unajua kuna wengine wanakua nazo tabia hizi mpaka watu wazima.

    12. #10
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,861
      Rep Power : 7688
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      0

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Junius
      Nakumbuka baba akinipeleka kuchoma sindano hospitali, mpaka dakatari alipate kalio langu nakuwa nishamchapa vibao kwanza, halafu hapo tena jopo la watu liokotane linikamate ndo zoezi liendelee.
      skunyengine faza akitaka kunipeleka kuchoma tena, ananiongopea tunakwenda kununua nguo mpya,ananipakia baiskelini haooo, tukikakaribia mnazimmoja eneo la mkumbusho, nachupa baiskelini mbio, faza ananifukuza, akinikamata nakula fimbo nzuri, mpaka kwa daktari.
      Du utoto bana,
      Ah ah ah ah ah ah ah..... Hii inanikumbusha, mtoto wa mama yangu mdogo, yeye baba yake alikuwa ni daktari. Baba yake alikuwa ana tabia ya kuwapiga sindano mwenyewe kama wanapata maralia.

      Siku moja kijana ilibidi apigwe sindano na baba yake mwenyewe, tatizo likawa jinsi ya kumkamata. Kwanza kijana alikuwa anaumbo dogo na mwembamba sana, ila kilikuwa kinamaguvu fulani hivi. Ilituchukuwa kama watu wazima wanne kumdhibiti ili achomwe sindano.

      Lakini hata hivyo, mzee (Doctor) alishindwa kumchoma sindano kwa sababu, kijana makalio yalikuwa yanacheza utafikili anacheza ngoma ya sindimba.
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    13. #11
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Kevo
      I remember my other used to put me to bed for the afternoon naps then silali.Akirudu akiona kope zinacheza ni vibao vinatembea.Someimes I could fake sleeping for 3 hrs.
      Na zile baba na mama zinanikumbushia mbali sana.I had one special hiding place with a gal cousin of mine.

      Mkuu; haka kamchezo ka baba na mama, nakumbuka kaliwahi kuleta shida mahali fulani . . . watoto walikuwa wakubwa kidogo walitaka kufanya kweli watu wazima wakawawahi . . .

      Du! Utoto Bana . . .

    14. #12
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,380
      Rep Power : 1811
      Likes Received
      1380
      Likes Given
      1184

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By X-PASTER
      Ah ah ah ah ah ah ah..... Hii inanikumbusha, mtoto wa mama yangu mdogo, yeye baba yake alikuwa ni daktari. Baba yake alikuwa ana tabia ya kuwapiga sindano mwenyewe kama wanapata maralia.

      Siku moja kijana ilibidi apigwe sindano na baba yake mwenyewe, tatizo likawa jinsi ya kumkamata. Kwanza kijana alikuwa anaumbo dogo na mwembamba sana, ila kilikuwa kinamaguvu fulani hivi. Ilituchukuwa kama watu wazima wanne kumdhibiti ili achomwe sindano.

      Lakini hata hivyo, mzee (Doctor) alishindwa kumchoma sindano kwa sababu, kijana makalio yalikuwa yanacheza utafikili anacheza ngoma ya sindimba.

      Mkuu, umenikumbusha mabli sana. Mimi nilikuwa na mdogo wangu wa kike sasa hivi ni Daktari. Yeye akijua kuwa ni sindano, anaanza longolongo nyiiiingi na kujieleza kuwa yeye haumwi tena na yuko fit. Mara Oooh, nitakuwa mtoto mzuri nk. Mkimshupalia akifika hospitali anawatoroka na kujificha. Mkimpata wakati sindano zinatayarishwa (wakati huo disposable hazikuwepo) alikuwa anaingia chini ya uvungu wa meza . . .

    15. #13
      Ipole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Location : Kisarawe11
      Posts : 300
      Rep Power : 627
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Eqlypz
      Huyo ndio wewe ulivyokuwa mdogo?
      Moja kwa moja siyo yeye sijajua lengo lake ni nini
      KAMA KESI YA MBUZI HAKIMU ATAKUWA FISI................

    16. #14
      Junius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 3,117
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Mkuu Superman,
      Na kubalehe(kutoka utotoni) nako kunamambo yake, kuna siku tupo darasani katika somo la Bayolojia, mwalimu alikuwa nafundisha topiki ya uzazi (Reproduction) kwa binaadamu, wakati anasisitiza nukta fulani inayohusu upenyezaji(penetration),mara kwa hukoooooo tukaskia sauti"...aaaaagh...sh...sh...sh...", ilitokea dawati la nyuma(back bencher), kumbe kuna kijana lesson ilipanda sana kichwani, tuligeuka tukamkuta hoi najichua(masterbation).

    17. #15
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Sikuelewa nikiwa araa la tano kuna dada anaitwa Pendo alikosea kuandika neno Shahada akaandika Shahawa. Mwalimu wa Kiswahili akamchapa sana, mi sina ninaloelewa, lile neno lilinikaa akilini sana, then baadae sana ndio nikakumbuka kuuumbe...
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    18. #16
      Pretty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2009
      Location : Chumbani.
      Posts : 2,287
      Rep Power : 1119
      Likes Received
      188
      Likes Given
      84

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      mmenikumbusha mbali, mie enzi za utoto wangu nilikuwa napenda kuogelea kwenye mvua. Siku mvua ikinyesha nilikuwa nawahi kuondoka shule kabla mama hajafika kunichukua ili niloe, basi mama akifika home alikuwa ananipiga haswa.
      A mother who is really a mother is never free.

    19. #17
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,486
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      620
      Likes Given
      248

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      upanga primary school,mwalimu(hivi sasa ni a very prominent person in tanzania)ananituma nikamnunulie tampax patel stores(opposite daily news offices)ananisihi niwambie waweke kwenye mfuko-many years later after knowing what it was ninacheka na kuhisi nilikuwa mjingamjinga ndio maana alikuwa ananituma mimi.
      Again at age 17 me dicing with death,with freinds tunakwenda ferry na tunaogelea mpaka upande wa pili kigamboni na kurudi-sasa hivi nikikumbuka what a risk we were taking

    20. #18
      babalynn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Posts : 21
      Rep Power : 556
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Issue kwangu ilikuwa kwenye kuoga! nacheza kutwa nzima ikifika jioni ndio mtihani sasa, unakuta maza anakusubiri mlangoni ukiingia tu unaambiwa nyoosha bafuni, mzee unapiga passport size unatoka, maza aliponishtukia ikawa ananikagua ukitoka bafuni kwanza ngozi ya ndani ya sikio inaguswa kama inajoto maana yake maji hayajapita au unaweza kupiga passport size fresh kabisa kumbe kwenye supu za miguu kwa nyuma maji hayajagusa! hapo ni mboko tu ukizingatia maza alikuwa ticha! Sijui hata tatizo lilikuwa nini maji yenyewe ya moto, utoto tu, ila wakuu siku hizi naoga jamani tafaadhali msinifikirie ndivyo sivyo..........

    21. #19
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,261
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9628
      Likes Given
      685

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Mimi nilianza kumega nilipokuwa na miaka mitano. Nilianza na housegirl wetu. Yeye alikuwa mkubwa kidogo. Nadhani alikuwa kwenye mid teens...fifteen or sixteen...

      Nakumbuka nilikuwa nammega sana....
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    22. #20
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,486
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      620
      Likes Given
      248

      Default Re: Picha Zisizo Za Kawaida 4: Picha Za Utotoni - Unakumbuka Utundu Ulioufanya?

      Quote By Nyani Ngabu
      Mimi nilianza kumega nilipokuwa na miaka mitano. Nilianza na housegirl wetu. Yeye alikuwa mkubwa kidogo. Nadhani alikuwa kwenye mid teens...fifteen or sixteen...

      Nakumbuka nilikuwa nammega sana....
      at five you were hardly out of your nappies yet,and bedwetting kwa kwenda mbele,sasa au could you mega OR maybe you wanted to tell us that at you were being looked after by a nanny

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 20
      Last Post: 12th March 2012, 16:34
    2. Replies: 32
      Last Post: 12th March 2012, 07:18
    3. Replies: 15
      Last Post: 4th September 2009, 14:58
    4. Replies: 32
      Last Post: 18th August 2009, 18:26
    5. Replies: 33
      Last Post: 21st June 2009, 02:13

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...