Mimi nakumbuka wakati niko darasa la kwanza, nikichelewa shule najificha katika mti mdogo wakati wenzangu wako assembly. Assumption yangu ilikuwa kama macho yangu hayawaoni na wao hawanioni. Hata pale ambapo naitwa kuwa "Wewe, njoo hapa umechelewa", bado nilijifanya mjanja hadi mwalimu aje aniibue.
Pili, nilikuwa mkali sana wa kucheza gololi, nilikuwa na makopo mawili ya gololi na nilikuwa nawamanga sana gololi.
Of course michezo ya kushindana kukojoa kujua nani mwenye mkojo mrefu sikuwahi kuicheza kabisa . . .
Je wewe unakumbuka nini?


Reply With Quote



Follow Us Here