Hapa ni maeneo ya same au hedaru. Hiyo milima ni ya kule kbs
I'm only responsible for what I say; NOT for what you understand.
Hapo sio kijiji baada ya mlima kitonga?
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Hyo geita
Kweli kuna watu masikini wa fikira
Blessed are hearts that bend but shall never broken
oooh1 nyie vipi ilo sio dishi, iyo no rada ya hao wabibi na wababu wanao paaa na ungo usiku jamani kwenye hicho kijiji! na hiyo sio pikipiki ni fisi huyo sema masharti yanasema ukipiga picha anageuka kua pkpk, nyie hamuoni madaraja ya wachina mengine ukipiga picha haitokei.
MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina
hivi kama ameamua kulima akapata 1m, akaona afungue duka, then akalima na kuuza bidhaa akapata hela ya kununua bodaboda kwa 1.5m, then sasa analima, ana bodaboda na ana duka, anajipanga kuangusha mjengo.
Msiwe warahisi wa kutoa hukumu especially kama hamjui ku-hustle.
ccm hawapendi watu wanaopata taarifa , wanataka watu wapate taarifa za mambo yanayoendelea kwenye nchi hii kutoka kwa wakuu wa mkoa na makatibu tarafa!!
Ptuu!!!
Mwanza, Mwanza hapo!
Mkuu Ndahani, umepatia, hapo ni baada tu ya kamji kadogo ka Ilula, baada tu ya kupanda Kitonga.
Hapo mahala ni pa siku nyingi sana na pana wakulima lukuki wa zao la nyanya kwa mwaka mzima.
Hapo utakuta Fuso zinasheni kupakia nyanya kila siku, ukiacha zinazouzwa barabarani mwaka mzima.
Kwa msingi huo sikubaliani na observation ya Bigirita.
"If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”
masopakyindi, kwa hapa kwetu bongo, ilula siyo kamji kadogo nafikiri wewe unapita barabarani na kucomment sivyo.
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Duuh! My memory is still sharp I guess. In general mkoa wa Iringa pamoja na kulima mazao mengi ya biashara,watu wengi wako hoi kwa umaskini. Huwezi fananisha na wale tunaowaona mkoa wa Njombe na Mbeya. Kidogo Mafinga sababu ya biashara ya mbao kuna ahueni kidogo....and yet huu mkoa umetoa wasomi wengi sana maana ulikuwa na shule nyingi za wamissionary.
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Hapo ni nyumbani kwa TAJIRI wa hiko kijiji si unaona mwenyewe kuna duka hapo hata COKE zipo, kuna dish kijiji kizima wanacheki TV hapo na bodaboda ipo.
Follow Us Here