Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

By
Baba V
you may have the guts to condemn mob justice kama hujawahi kulizwa na wezi,but once you have fallen to be their victim, your anger towards them will be unmeasurably great!
Na haya unaweza kuyasema kama hujawahi kusingiziwa/kuzushiwa kuiba!
Yaliwahi kunitokea mahali fulani kuna mtu kwa kukosa umakini alinizushia kumwibia simu yake....kwa bahati simu ilipopigwa ikaita ikiwa mifukoni mwake! Kwa mazingira yaliyokuwepo, ilikuwa ni haki kwa mwenye simu kudhania mimi ndiye niliyeiiba lakini kiukweli simu haikuibiwa.
Lilikuwa funzo kubwa sana kwangu katika utoaji wa haki na hasa haki ya kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa.
"Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau
Follow Us Here