Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,891
      Rep Power : 19451
      Likes Received
      8674
      Likes Given
      28315

      Default Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Kijana aliyenusurika akiwa hoi baada ya kipigo kutoka kwa wananchi....Kijana huyo akiwa mikononi mwa wananchi.Vijana hao wawili waliosadikiwa kuwa vibaka wakiwa kwenye gari la polisi.Pikipiki inayodaiwa kuibiwa na vijana hao.


      KIJANA mmoja ameuawa wakati mwenzake anayesadikiwa kuwa ni Ustadh kwa mavazi aliyokuwa amevaa, akinusurika kuuawa baada ya kutuhumiwa kuiba baiskeli eneo ya Kihonda mkoani Morogoro jana jioni. Kwa mujibu wa jeshi la Polisi, mtuhumiwa huyo aliye hai amelazwa katika hospitali ya Rufaa mkoani hapa kwa matibabu.

      Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	1.jpg 
Views:	0 
Size:	64.7 KB 
ID:	61877   Click image for larger version. 

Name:	2.jpg 
Views:	0 
Size:	46.6 KB 
ID:	61878  
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]


    2. #2
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 593
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Mob justice

    3. #3
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,891
      Rep Power : 19451
      Likes Received
      8674
      Likes Given
      28315

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By ubungo View Post
      Mob justice
      No Human right Tanzania ubungo
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    4. #4
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,595
      Rep Power : 42534
      Likes Received
      5102
      Likes Given
      4385

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      you may have the guts to condemn mob justice kama hujawahi kulizwa na wezi,but once you have fallen to be their victim, your anger towards them will be unmeasurably great!
      MadameX and watu8 like this.

    5. #5
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,346
      Rep Power : 6597
      Likes Received
      2779
      Likes Given
      1325

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Mmmh baiskeli inatoa mtu roho, tena labda chakavu....shida mbaya, si bora arudi kijijini kulima?
      MziziMkavu and watu8 like this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken


    6. #6
      kandidus's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 380
      Likes Received
      13
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By MadameX View Post
      Mmmh baiskeli inatoa mtu roho, tena labda chakavu....shida mbaya, si bora arudi kijijini kulima?
      We acha tu. Tafsiri ya mtu mwizi huijua zaidi aliyeibiwa. Hapo Haki za Binadamu hazikumwangalia mtu kama huyo asiyetii sheria mpaka ashurutishwe.
      St. Paka Mweusi likes this.

    7. #7
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 984
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By MadameX View Post
      Mmmh baiskeli inatoa mtu roho, tena labda chakavu....shida mbaya, si bora arudi kijijini kulima?
      arudi wakati kashakufa?
      LIMPETA

    8. #8
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 984
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      halafu kafa na kanzu na soksi juu viatu waliokuwa wanamuadhibu wameviiba sijui.?
      LIMPETA

    9. #9
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,346
      Rep Power : 6597
      Likes Received
      2779
      Likes Given
      1325

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By philipo kidwanga View Post
      arudi wakati kashakufa?
      Atarudi akiwa kwenye sanduku, namaanisha kama shida imezidi aende akalime tu kuliko kuiba!
      Philipo Kidwanga likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    10. #10
      Mandown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Location : japan
      Posts : 682
      Rep Power : 499
      Likes Received
      113
      Likes Given
      52

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      ....... hiyo ndiyo dawa ili atakaye iba awe amejiandaa

    11. #11
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,671
      Rep Power : 31611
      Likes Received
      8460
      Likes Given
      8819

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      na MAFISADI tungekuwa tunawapa kichapo hivi, lazima nchi ingenyooka
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    12. SMU is offline
      SMU
      #12
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,606
      Rep Power : 3830
      Likes Received
      1351
      Likes Given
      1987

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By Baba V View Post
      you may have the guts to condemn mob justice kama hujawahi kulizwa na wezi,but once you have fallen to be their victim, your anger towards them will be unmeasurably great!
      Na haya unaweza kuyasema kama hujawahi kusingiziwa/kuzushiwa kuiba!

      Yaliwahi kunitokea mahali fulani kuna mtu kwa kukosa umakini alinizushia kumwibia simu yake....kwa bahati simu ilipopigwa ikaita ikiwa mifukoni mwake! Kwa mazingira yaliyokuwepo, ilikuwa ni haki kwa mwenye simu kudhania mimi ndiye niliyeiiba lakini kiukweli simu haikuibiwa.

      Lilikuwa funzo kubwa sana kwangu katika utoaji wa haki na hasa haki ya kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    13. #13
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,755
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      993
      Likes Given
      787

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Loh! Yaani baiskeli tu inatoa roho ya mtu!
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    14. #14
      Ralphryder's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,978
      Rep Power : 854
      Likes Received
      304
      Likes Given
      59

      Default

      Quote By Baba V View Post
      you may have the guts to
      condemn mob justice kama hujawahi kulizwa na wezi,but once you have
      fallen to be their victim, your anger towards them will be unmeasurably
      great!
      Tatizo linakuja pale mtu anapoitiwa mwizi kwa sababu tu eti kalamba mke wa mtu! je haki!? tuache jazba jamani!

    15. #15
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,974
      Rep Power : 1540
      Likes Received
      755
      Likes Given
      238

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By MadameX View Post
      Mmmh baiskeli inatoa mtu roho, tena labda chakavu....shida mbaya, si bora arudi kijijini kulima?
      CCm na serikali yake imetufikisha hapa ambapo sasa binadamu bei yake ni sawa na baiskeli chakavu!! Nchi ingekuwa na uchumi wa uhakika watu wangepata ajira na wasingeshawishika kuiba/face mob justice!!

    16. #16
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By SMU View Post
      Na haya unaweza kuyasema kama hujawahi kusingiziwa/kuzushiwa kuiba!

      Yaliwahi kunitokea mahali fulani kuna mtu kwa kukosa umakini alinizushia kumwibia simu yake....kwa bahati simu ilipopigwa ikaita ikiwa mifukoni mwake! Kwa mazingira yaliyokuwepo, ilikuwa ni haki kwa mwenye simu kudhania mimi ndiye niliyeiiba lakini kiukweli simu haikuibiwa.

      Lilikuwa funzo kubwa sana kwangu katika utoaji wa haki na hasa haki ya kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa.

      Mkuu pole sana kwa kunusurika na hicho kitu sio cha kuombea hata kidogo m2 ahisi umemuibia mbele ya umati wa watu au in any public.

      Pia naomba nikufahamishe hakuna mtu fundi wa kujitetea na kuprove hajaiba kama Kibaka. Yani ukimpa nafasi ya kujitetea umeumia mkuu.

    17. SMU is offline
      SMU
      #17
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,606
      Rep Power : 3830
      Likes Received
      1351
      Likes Given
      1987

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By Biohazard View Post
      Mkuu pole sana kwa kunusurika na hicho kitu sio cha kuombea hata kidogo m2 ahisi umemuibia mbele ya umati wa watu au in any public.

      Pia naomba nikufahamishe hakuna mtu fundi wa kujitetea na kuprove hajaiba kama Kibaka. Yani ukimpa nafasi ya kujitetea umeumia mkuu.
      Asante mkuu. Tatizo hata kumjua (kwa uhakika) kuwa huyu ni kibaka/mwizi au la si rahisi mara zote. So katika hao wawili wanatuhumiwa kuiba baiskeli unaweza kukuta pengine ni mmoja tu ndio amehusika, huyo mwingine labda wala alikuwa hajui kinachoendelea!

      Washambuliaji wengine wanafuata mkumbo tu, wala hawaulizi! Sasa katika huo mfano wangu ilikuwa ni bahati ilitokea katika mazingira ambayo nafahamika vizuri so haikuwa shida sana (inagwa nilikuwa embarrassed sana!).

      Kwa vyovyote vile, hili la kuchukua sheria mikononi (hasa kama adhabu inayotolewa ni kifo), ni suala la hatari sana na kuna wengi wanauwawa kwa style hiyo bila ya hatia yoyote kabisa.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    18. #18
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Mmoja auawa, mwingine anusurika kwa tuhuma za kuiba baiskeli mkoani moro

      Quote By SMU View Post
      Asante mkuu. Tatizo hata kumjua (kwa uhakika) kuwa huyu ni kibaka/mwizi au la si rahisi mara zote. So katika hao wawili wanatuhumiwa kuiba baiskeli unaweza kukuta pengine ni mmoja tu ndio amehusika, huyo mwingine labda wala alikuwa hajui kinachoendelea!

      Washambuliaji wengine wanafuata mkumbo tu, wala hawaulizi! Sasa katika huo mfano wangu ilikuwa ni bahati ilitokea katika mazingira ambayo nafahamika vizuri so haikuwa shida sana (inagwa nilikuwa embarrassed sana!).

      Kwa vyovyote vile, hili la kuchukua sheria mikononi (hasa kama adhabu inayotolewa ni kifo), ni suala la hatari sana na kuna wengi wanauwawa kwa style hiyo bila ya hatia yoyote kabisa.
      Ya kiukweli hii kitu ni hatari sana. Halafu huwa kuna hii trick ya wezi kukimbia huku wakisema mwizi unajikuta na wewe unakimbia na kusema mwizi wakati humuoni huku ukimfata jamaa. Kwa vyovyote vile ni rahisi watu kukushuku ww pia ni mwizi coz utakuta sehemu uko peke yako aliyekua akisema mwizi humuoni lazima watu wakushambulie wewe.
      SMU likes this.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...