Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      Pukudu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Maskani.
      Posts : 1,171
      Rep Power : 1385
      Likes Received
      334
      Likes Given
      81

      Default Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!


      Tumewaambia kabisa mje Sasa tuone!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,558
      Rep Power : 8228
      Likes Received
      1600
      Likes Given
      798

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Hivi kweli waIslam mmedhamiria hili jambo? Kweli hili limepata 'kibali' mbele ya Allah? Tusubiri tuone...
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    4. C6
      #3
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,053
      Rep Power : 19354
      Likes Received
      1753
      Likes Given
      1502

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      upuuzi mtupu

    5. BPM
      #4
      BPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : shamba
      Posts : 2,023
      Rep Power : 880
      Likes Received
      387
      Likes Given
      144

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      duh kali kuliko . je mawakala nao wamekataa au kwa vile kuna posho??

    6. #5
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,680
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6330
      Likes Given
      2831

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Inamaanisha nini hii?
      Isn't this Insinuation?....kama hujachonga mwenyewe maandishi hayo sema umeyapata wapi!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    7. Miaka 50

    8. #6
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 363
      Rep Power : 456
      Likes Received
      73
      Likes Given
      51

      Default

      Quote By Pukudu

      Tumewaambia kabisa mje Sasa tuone!
      Si nilisikia ni kosa la jinai hili?duh basi makarani itabidi watembee na ffu

    9. #7
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,086
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3978
      Likes Given
      3243

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      mtahesabiwa tu hata kwa viboko..
      Facilitator likes this.

    10. #8
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,289
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3289

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Namuhurumia karani atakayepangiwa eneo hilo.....
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    11. #9
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Itabidi mpimwe akilizenu nyie.

    12. #10
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,587
      Rep Power : 763
      Likes Received
      241
      Likes Given
      39

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Mmmmmmmmmmhhhhh!!!!!!!!!!! hii umejitengenezea, big up 4 trying

    13. #11
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Quote By Pukudu

      Tumewaambia kabisa mje Sasa tuone!
      Hapo ndani pakiingizwa up...u watoka na kuhesabiwa mmoja mmoja!
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    14. #12
      happiness win's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,187
      Rep Power : 627
      Likes Received
      442
      Likes Given
      141

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Quote By Pukudu

      Tumewaambia kabisa mje Sasa tuone!


      Iko wapi? Nielekeze nataka kuja

    15. #13
      Mandown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Location : japan
      Posts : 681
      Rep Power : 494
      Likes Received
      112
      Likes Given
      52

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      mie ni muislamu, lakini sijajua mantiki ya kugomea sensa.

      kwa ninavyo fahamu mimi, madhumuni ya sensa ni kusaidia kupanga maendeleo. mathalani, waweza kusonga ugali bila kujua idadi ya walaji? mfano mwingine dhahiri wa sensa nipale janga la njaa linapo tokea utajua mahitaji halisi ya wahanga, idadi kuamua pahala pa kuweka huduma muhimu kama soko, ama zahanati, ama vituo vya pollisi ama idara za mahakama, ni kutokana na idadi ya watu katika eneo husiki. maa muzi kama kugawa wilaya kuwa mkoa, na kuunda tarafa nyinine, ili kuharakisha maendeleo. mambo haya si dhani kama UISILAMU UNAKATAA
      Facilitator and Bamukunda like this.

    16. #14
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,680
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6330
      Likes Given
      2831

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      BRODA, hawa waislamu wenye ufinyu wa mawazo wanasikitisha sana.
      Ni bahati nzuri kuwa mpo baadhi wenye uelewa mzuri ambao bila shaka mtasaidia kuerevusha jamii yenye kutu kichwani.
      Nilitegemea Waislamu wagome kuwa hawahesabiwi hadi kesi zote za wezi wa mali ya umma zifanyiwe kazi, kumbe wao udini mbele.

    17. #15
      Achahasira's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,191
      Rep Power : 651
      Likes Received
      198
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By Mandown
      mie ni muislamu, lakini sijajua mantiki ya kugomea sensa.

      kwa ninavyo fahamu mimi, madhumuni ya sensa ni kusaidia kupanga maendeleo. mathalani, waweza kusonga ugali bila kujua idadi ya walaji? mfano mwingine dhahiri wa sensa nipale janga la njaa linapo tokea utajua mahitaji halisi ya wahanga, idadi kuamua pahala pa kuweka huduma muhimu kama soko, ama zahanati, ama vituo vya pollisi ama idara za mahakama, ni kutokana na idadi ya watu katika eneo husiki. maa muzi kama kugawa wilaya kuwa mkoa, na kuunda tarafa nyinine, ili kuharakisha maendeleo. mambo haya si dhani kama UISILAMU UNAKATAA
      uislamu hau katazi sensa kama itakuwa ni ya kuridhisha,lkn tuna kata kuhesabiwa kwendana na serikali kuto kukubali madai yetu,



      kama bado hujuwi basi soma hapa chini



      KWA NINI WAISLAMU TUNAKATAA KUSHIRIKI KATIKA SENSA 2012
      Nchi yetu imefanya sensa sita hadi sasa, mbili wakati wa ukoloni (1948,
      1957) na nne katika Tanzania huru (1967, 1978, 1988 na 2002). Mara
      zote hizo, waislamu wameshiriki sensa wakiamini kwamba ni zoezi
      muhimu kwa maendeleo ya Taifa na hawakuwa na sababu ya kususia
      sensa kutokana na historia ya dini yetu kuhimiza sensa.
      Tatizo lililojitokeza mwaka huu na kupelekea waislamu kuamua kuisusia
      sensa ijayo mwaka huu lilianzia na taarifa ya TBC1 iliyotolewa tarehe 26
      Aprili, 2012 kwamba idadi ya wakristo nchini ni 52% na waislamu ni 32%.
      Takwimu hizi sasa zinatumika kuhalalisha mgawanyo mbovu wa nafasi
      za madaraka nnchini kwamba wakristo ni wengi katika nafasi mbali mbali
      kwa sababu wao ni wengi.
      Pamoja na Mkurugenzi wa TBC1 kukanusha mara kadhaa kwamba
      takwimu hizo si sahihi, tumeng’amua kwamba kuna udini katika zoezi
      zima la sensa na tayari kuna takwimu za idadi ya watanzania kwa dini
      zao ambazo zinaonesha kuwa wakristo ni wengi kuliko waislamu na pia
      kuna matumizi mabaya ya takwimu za sensa dhidi ya waislamu.
      Udini katika zoezi la Sensa.
      Mosi, Tumekuwa tukifuatilia zoezi la majaribio la sensa lililofanyika
      mwanzoni mwa mwaka huu na tulichogundua ni kwamba maafisa
      walioenesha zoezi hilo wengi wao walikuwa wakristo hadi dereva wa gari
      hata maeneo ambayo waislamu ni wengi.
      Katika mazingira haya na huku tayari kukiwa na takwimu zinazoonesha
      idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini zao zinazotolewa kupitia vyombo
      vya habari vya serikali, ofisi na idara za serikali, tovuti mbali mbali za
      taasisi za Kikristo na za asasi nyingine zisizo za kiserikali za ndani na nje
      ya nchi, tukishiriki katika zoezi la sensa lijalo tutayapa nguvu tu madai
      yao kwamba wakristo nchini ni wengi kuliko waislamu.
      Mifano ya takwimu hizo
      Tovuti ya wakatoliki – Wakristo 44%, Waislamu 34%
      Kalenda Ofisi ya Serikali – Wakristo ,Waislamu
      Tovuti ya Mambo ya Nje Marekani – Wakristo 62%, Waislamu 32%
      Pili, viongozi wa Kikristo wamekuwa msitari wa mbele kupinga kutiwa
      kipengele cha dini katika dodoso la sensa. Katika mazingira ya takwimu
      tata ambazo hata Mkurugenzi wa idara ya takwimu anakiri kwamba si
      takwimu sahihi ombi letu la kuwekwa kipengele cha dini katika dodoso la
      sensa lingepokelewa kama ufumbuzi wa utata huo ili tuwe na takwimu
      sahihi za idadi ya watanzania kwa dini zao lakini serikali imekataa kata
      kata na inaunga mkono msimamo wa wakristo kutokuwekwa kipengele
      cha dini katika dodoso la sensa, wakristo ambao tayari wanadai wao
      wako wengi kuliko waislamu.
      Tatu, dodoso la sensa limeandaliwa kuja kunufaisha wakristo kwa sababu
      linauliza kuhusu idadi ya makanisa na misikiti wakati serikali imekataa
      kuhusisha sensa na dini. Tuna shaka kwamba huu ni mpango wa
      kuwawezesha wakristo kuchakachua takwimu hizo za majumba ya ibada
      kuthibitisha kwamba wao ni wengi kuliko waislamu kama ambavyo tayari
      wanadai.
      Izingatiwe kwamba idadi ya makanisa itakuwa kubwa kuliko misikiti
      kutokana na tofauti za kimadhehebu za wakristo hata pale ambapo wao
      si wengi kwani katika Ukristo waumini wa dhehebu moja hawawezi
      kufanya ibada katika Kanisa lisilo la dhehebu lao. Katika kijiji utakuta
      makanisa manne mpaka matano au zaidi lakini msikiti ni mmoja tu
      kutokana na ukweli kwamba waislamu huswali msikiti wowote hivyo
      hawawezi kuwa na misikiti mingi kama makanisa.
      The Pen likes this.

    18. #16
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 613
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Nimependa msimamo huo. Big up!!!!!
      "MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI ZANZIBARI, RIP TANZANIA"

    19. #17
      Mandown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Location : japan
      Posts : 681
      Rep Power : 494
      Likes Received
      112
      Likes Given
      52

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Quote By Achahasira
      uislamu hau katazi sensa kama itakuwa ni ya kuridhisha,lkn tuna kata kuhesabiwa kwendana na serikali kuto kukubali madai yetu,



      kama bado hujuwi basi soma hapa chini



      KWA NINI WAISLAMU TUNAKATAA KUSHIRIKI KATIKA SENSA 2012
      Nchi yetu imefanya sensa sita hadi sasa, mbili wakati wa ukoloni (1948,
      1957) na nne katika Tanzania huru (1967, 1978, 1988 na 2002). Mara
      zote hizo, waislamu wameshiriki sensa wakiamini kwamba ni zoezi
      muhimu kwa maendeleo ya Taifa na hawakuwa na sababu ya kususia
      sensa kutokana na historia ya dini yetu kuhimiza sensa.
      Tatizo lililojitokeza mwaka huu na kupelekea waislamu kuamua kuisusia
      sensa ijayo mwaka huu lilianzia na taarifa ya TBC1 iliyotolewa tarehe 26
      Aprili, 2012 kwamba idadi ya wakristo nchini ni 52% na waislamu ni 32%.
      Takwimu hizi sasa zinatumika kuhalalisha mgawanyo mbovu wa nafasi
      za madaraka nnchini kwamba wakristo ni wengi katika nafasi mbali mbali
      kwa sababu wao ni wengi.
      Pamoja na Mkurugenzi wa TBC1 kukanusha mara kadhaa kwamba
      takwimu hizo si sahihi, tumeng’amua kwamba kuna udini katika zoezi
      zima la sensa na tayari kuna takwimu za idadi ya watanzania kwa dini
      zao ambazo zinaonesha kuwa wakristo ni wengi kuliko waislamu na pia
      kuna matumizi mabaya ya takwimu za sensa dhidi ya waislamu.
      Udini katika zoezi la Sensa.
      Mosi, Tumekuwa tukifuatilia zoezi la majaribio la sensa lililofanyika
      mwanzoni mwa mwaka huu na tulichogundua ni kwamba maafisa
      walioenesha zoezi hilo wengi wao walikuwa wakristo hadi dereva wa gari
      hata maeneo ambayo waislamu ni wengi.
      Katika mazingira haya na huku tayari kukiwa na takwimu zinazoonesha
      idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini zao zinazotolewa kupitia vyombo
      vya habari vya serikali, ofisi na idara za serikali, tovuti mbali mbali za
      taasisi za Kikristo na za asasi nyingine zisizo za kiserikali za ndani na nje
      ya nchi, tukishiriki katika zoezi la sensa lijalo tutayapa nguvu tu madai
      yao kwamba wakristo nchini ni wengi kuliko waislamu.
      Mifano ya takwimu hizo
      Tovuti ya wakatoliki – Wakristo 44%, Waislamu 34%
      Kalenda Ofisi ya Serikali – Wakristo ,Waislamu
      Tovuti ya Mambo ya Nje Marekani – Wakristo 62%, Waislamu 32%
      Pili, viongozi wa Kikristo wamekuwa msitari wa mbele kupinga kutiwa
      kipengele cha dini katika dodoso la sensa. Katika mazingira ya takwimu
      tata ambazo hata Mkurugenzi wa idara ya takwimu anakiri kwamba si
      takwimu sahihi ombi letu la kuwekwa kipengele cha dini katika dodoso la
      sensa lingepokelewa kama ufumbuzi wa utata huo ili tuwe na takwimu
      sahihi za idadi ya watanzania kwa dini zao lakini serikali imekataa kata
      kata na inaunga mkono msimamo wa wakristo kutokuwekwa kipengele
      cha dini katika dodoso la sensa, wakristo ambao tayari wanadai wao
      wako wengi kuliko waislamu.
      Tatu, dodoso la sensa limeandaliwa kuja kunufaisha wakristo kwa sababu
      linauliza kuhusu idadi ya makanisa na misikiti wakati serikali imekataa
      kuhusisha sensa na dini. Tuna shaka kwamba huu ni mpango wa
      kuwawezesha wakristo kuchakachua takwimu hizo za majumba ya ibada
      kuthibitisha kwamba wao ni wengi kuliko waislamu kama ambavyo tayari
      wanadai.
      Izingatiwe kwamba idadi ya makanisa itakuwa kubwa kuliko misikiti
      kutokana na tofauti za kimadhehebu za wakristo hata pale ambapo wao
      si wengi kwani katika Ukristo waumini wa dhehebu moja hawawezi
      kufanya ibada katika Kanisa lisilo la dhehebu lao. Katika kijiji utakuta
      makanisa manne mpaka matano au zaidi lakini msikiti ni mmoja tu
      kutokana na ukweli kwamba waislamu huswali msikiti wowote hivyo
      hawawezi kuwa na misikiti mingi kama makanisa.
      nime kuelewa,

      lakini nadhani hizo takwimu ni sampuli tu ambazo zinaweza kuwa sahihi ama sio sahihi, ndio maana zina tofautiana kutaka taasisi moja na nyingine. mathalani, wakati wa uchaguzi mkuu taasisi ya REDET na SYNOVET walitoa takwimu za ushindi wa raisi KIKWETE , makadirio ya kitafiti ambayo hayakuwa ya sahihi ( accuracy) kwa asilimia mia kwa mia lakini yalikuwa yanakaribiana na kutupa picha ya mwelekeo wa matoke wa uchaguzi mkuu mwaka 2010. makanisa na balozi walichukua sampuli na kutoa makario ya idadi ya waisilamu na wakristo, lakini hakuna sensa iliyo fanyika ndio maana takwimu zao zina tofautiana , kama ilifanyika basi walisahau kunihesabu.

      kwanini makanisa yana hitaji takwimu za idadi ya waisilamu na wakristo

      • tuwaachie wenyewe wanajua ndio maana wanazo


      kwanini Bakwata itahitaji takwimu za idadi ya wakristo na waisilamu:
      • kwasababu uisalamu ni dini ya kweli lazima dunia ikombolewe, dhima hii kwa tanzania wanayo BAKWATA na nilazima wajue wana watu wangapi na ipo kazi kiasi gani kuongeza ushawishi kwa makafiri (au walio kufuru) ili KUSILIMU
      • kwasababu bakwata inahitaji kupanga maendeleo ya waisilamu, ikiwa ni misikiti, madrasa, shule, vyuo vikuu . hivi ukienda bakwata ukiuliza Tanzania ina waisilimu wangapi, kati yao wanawake ni wangapi, na wanaume ni wangapi, na kati ya hao wana elimu kiasi gani (elimu dunia na akhera). takwimu hizi ni za msingi bakwata kuwa nazo ili kupanga maendeleo ya muisilamu mmoja mmoja na kwa makundi


      hili la TBC kuwa na Takwimu hizo , labda watakuwa wamechukulia huko huko kwa makanisa na sioni tatizo la matumizi ya takwimu hizo kwa shirika hilo la utangazaji

      hitimisho

      Last edited by Mandown; 11th August 2012 at 20:13.

    20. #18
      kamwendo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Location : Dar es salaam,Tanzania
      Posts : 83
      Rep Power : 373
      Likes Received
      42
      Likes Given
      150

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Nimewaelewa na ninakubaliana nanyi Bw.Achahasira na Mandown ila sidhani kama ni jambo jema kususia sensa tukumbuke hao wakristo ni makafiri ambao malipo yao ni hapa hapa duniani si vyema kubishana na makafiri kwa kuwa tunapoteza muda na nguvu ambazo tungezitumia kuimarisha uislamu.

    21. #19
      Achahasira's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,191
      Rep Power : 651
      Likes Received
      198
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By kamwendo
      Nimewaelewa na ninakubaliana nanyi Bw.Achahasira na Mandown ila sidhani kama ni jambo jema kususia sensa tukumbuke hao wakristo ni makafiri ambao malipo yao ni hapa hapa duniani si vyema kubishana na makafiri kwa kuwa tunapoteza muda na nguvu ambazo tungezitumia kuimarisha uislamu.


      kamwendo,


      kwa uchunguzi nilioufanya kwa majamaa na marafiki wote wanao susia sensa ni kuwa hawapendezwi na njia hiyo lkn hawana njia nyingine ya kuonesha msimamo wao juu ya serikali.

      serikali mara nyingi imekuwa ikiwachukulia waislamu ni bakwata hata kama wakijuwa bakwata HAIPENDWI NA HAIKUBALIKI na waislamu wengi.hii ndio moja ya sababu kuu ya kususia sensa inaweza kuonekana ni ndogo lkn hii tatizo ndio linalo zaa matatizo mengine yoooote ya leo na ya kesho.

      uislam sio dini ya kuingia msikitini na kutoka tu,uislam ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu.

      mtume muhamad salalahu aleyhi wasalam alijenga taifa la kiislamu madina,ikumbukwe taifa lake lilikuwa na mayahudi na wapagani wengi tu.hakufundisha waislamu kusali msikitini na kuto kuleta mabadiliko katika yale wanayo yaona si sawa.

      uislamu upo kwaajili ya kupigania haki kwa wote,hii inaweza kuwa ni kitu kigeni kwenye macho ya baadhi ya waislamu na wakristu.kama nchi inakandamiza sehemu mmoja basi tuna WAJIBU wakukemea kwa vitendo au hata kuonesha kuwa tumechukizwa.

      serikali imekuwa ikiwapa nafasi kubwa makanisa kuliko waislamu kwa madai ya makanisa kuwa wao wapo wengi,na wakirusha takwimu za makanisa kwenye vyombo vya habari na wakijua kuwa takwimu hizo sio za ukweli kabisa.

      ni kitu cha wazi kabisa kuwa nchi hii imegawanywa na makundi mawili ya kidini,na serikali kunyamazia haisaidi chochote bali huleta maafa tu mbeleni,serikali ina wajibu wakusikiliza madai ya waislamu na kuyafanyia kazi,hii itasaidia katika maendeleo ya nchi kwa badae,


      ndugu kamwendo na imani kuwa umesoma hata kidogo siraa ya dini yako basi ningekuomba upitie.

    22. #20
      Bamukunda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2011
      Posts : 213
      Rep Power : 440
      Likes Received
      87
      Likes Given
      42

      Default Re: Hapo ndo kwetu! Mje Sasa!

      Achahasira Ulichoandika ni hatari. Ukumbuke Kuwa huwezi kulazimisha mawazo Yako yakubaliwe na Watu wote. Mtoa takwimu katika nchi yeyote ni mtakwimu mkuu wa Serikali. Achana na takwimu za tovuti hata vyombo vya habari. Umeambiwa Kuwa tangu uhuru Serikali iliamua kuachana na maswali mawili yaani dini na kabila ili kujenga mshikamano. Nadhani ulijionea matatizo ya ukabila yalivyotaka kuisambaratisha Kenya wakati wa uchaguzi. Huko Nigeria unaona udini unavyowatafuna. Kwa maoni yangu Huku ni kuondoa umaskini kwa kutumia mgongo wa dini hasa pale unaposema .........Tumekuwa tukifuatilia zoezi la majaribio la sensa lililofanyika
      mwanzoni mwa mwaka huu na tulichogundua ni kwamba maafisa
      walioenesha zoezi hilo wengi wao walikuwa wakristo hadi dereva wa gari
      hata maeneo ambayo waislamu ni wengi........
      naomba nikujuze Kuwa ingawa Mimi ni binti wa kiisilamu siliungi mkono maana nisingependa nipate kazi kwa vile ati pengine kwa sababu ya ujinsi au imani yangu.

      Pia umenena........

      dodoso la sensa limeandaliwa kuja kunufaisha wakristo kwa sababu
      linauliza kuhusu idadi ya makanisa na misikiti wakati serikali imekataa
      kuhusisha sensa na dini. Tuna shaka kwamba huu ni mpango wa
      kuwawezesha wakristo kuchakachua takwimu hizo za majumba ya ibada
      kuthibitisha kwamba wao ni wengi kuliko waislamu kama ambavyo tayari
      wanadai........

      Hapa pia Nadhani hujafanya utafiti wa kutosha. Ni Kweli Kuwa wakati wa sensa ya majaribio kulikuwa na section iliyohusu huduma za jamii ikijumuisha Shule, hospitali, upatikanaji wa maji, matukio yaliyotokea katika Jumuia, matundu ya vyoo katika Shule, idadi ya waalimu n.k. Kama ujuavyo ile ilikuwa ni pilot na baada ya kufanya uchambuzi ikaonekana section Hii haikuwa na tija ikaondolewa. Naomba nikuthibitishie mwislamu mwenzangu Kuwa swali linalohusu idadi ya makanisa au misikiti halipo katika dodoso la sensa.
      Kambaku likes this.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...