Ipe caption picha hii,,,,
Ipe caption picha hii,,,,
I am strong because I am weak. I'm beautiful because I know my flaws. I'm a lover because I am a fighter. I'm fearless because I have been afraid. I'm wise because I have been foolish. & I can laugh because I Have known sadness.
I am strong because I am weak. I'm beautiful because I know my flaws. I'm a lover because I am a fighter. I'm fearless because I have been afraid. I'm wise because I have been foolish. & I can laugh because I Have known sadness.
Zito kama alikuwa na wasiwasi vile,,mmama sio Wema huyu?
Who Jah bless, No one Curse!
Vijana na Mihemko ya ma Love! Mwacheni Zitto nae apate nafasi nzuri ajipatie mke mwema
Kazidiwa kimo!
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
naona anataka kukamatia kitu afu anaogopa vile... kweli raha duniani zipo jaman...
Makamanda wa chadema wananipa raha sana! Wakiwa bungeni mchaka mchaka hadi magamba wanatoka kamasi! Wakiwa kwenye mambo ya kijamii huku kitaa hawajivungi wanajiachia balaa!
Mcheki Zi anavyo angalia lips za Wema huku kang'ata meno! [Yani kama anasema "huta lala, mpaka kieleweke"] halafu kama flaiz ime anza kuvimba flani hivi?!
Wasiwasi wangu kamanda asije akatoa makabrasha ya Kagoda akamkabidhi dogo aondoke nayo! Hahaha Pipozii....
NB. Still respect you big brother Zi.
Anasema kimoyomoyo "huna ujanja wewe"mengine nimesahau
Aisee huyo binti anamajaribu sana.
"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"
Bajeti itapita bila kupingwa
aaaaa mi najizuia kutoa maneno
otto
WATANZANIA KUMCHAGUA JK, TUMEPAKA WANJA WA PILIPILI.
Follow Us Here