Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Issa Mnally na Shakoor Jongo
      TIMBWILI la aina yake limeibuka baada ya msichana mmoja aliyedaiwa kuwa changudoa kumng’ang’ania njemba moja iliyojulikana kwa jina moja la Shabani kwa madai kwamba alimkimbia gesti bila kumpa fedha yake baada ya kumla uroda.
      Tukio hilo la aibu lilitokea Jumamosi, Julai 7, mwaka huu mishale ya saa tisa na dakika zake za usiku, katika Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni, Dar ambapo Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ ilikuwa ikipiga shoo.
      Dada huyo ambaye alionekana kucharuka vikali, alimtaka jamaa huyo kumpa chake baada ya yeye kumtimizia haja zake.
      “Huyu si mstaarabu kabisa...mimi sikubali hadi anipe changu. Nilikuwa naye gesti, akaniambia atanipa pesa yangu kwenye gari, baadaye natoka nje nakuta ameondoka. Anipe 20,000 yangu tuliyokubaliana,” alipiga kelele dada huyo huku waungwana wakijaribu kuwasuluhisha.
      Hata hivyo, pamoja na varangati hilo, ‘chips funga’ huyo hakuambulia 20,000 achilia mbali buku mbili.
      Mwanaume aliyekuwa akifanyiwa vagi na dada huyo, alipoulizwa na mwandishi wetu juu ya tukio hilo, hakutoa ushirikiano ambapo alisisitiza picha zilizopigwa zifutwe kabla hajafanya kitu mbaya.
      “Brother kwa usalama wako nakuambia futa hizo picha, hunijui mimi ni nani, sasa usitafute matatizo,” alichimba mkwara ambao haukusaidia kitu, ndiyo maana sasa hivi unasoma habari hii na picha za kumwaga ukurasa wa nyuma.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      demu ameanzisha valangati kwa jamaa baada ya kula uroda na kugoma kumpa 20,000tsh

    4. #3
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      aibu kwa mbaba na familia yake,za mwizi 40,ona alivyoumbuka

    5. #4
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      vurugu kwenda mbele,aibuuuuuuuu

    6. #5
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4735
      Likes Given
      2652

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Demu mwenyewe ana mapele kibao mapajani.Sasa hiyo thamani ya 20,000 kampa nani?

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      uyu jamaaa amekosa nini kwa mke wake adi achukue machangu,ona anavyoumbuka sasa

    9. #7
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      uyu ndiye aliyeshusha mkong'oto kwa njema aliyegoma kumlipa

    10. #8
      kijembeee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : On Ze wAy
      Posts : 394
      Rep Power : 429
      Likes Received
      95
      Likes Given
      20

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      mambo ya sexual traficing hayo
      Dont frown while GOD is smilling

    11. #9
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,611
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1426
      Likes Given
      1847

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    12. #10
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,611
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1426
      Likes Given
      1847

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    13. #11
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,024
      Rep Power : 8382
      Likes Received
      847
      Likes Given
      698

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Huwa nachukia sana watu wenye tabia za kudhulumu wengine haki zao.Kama mtu mmekubaliana kwa nini umdhulumu?Hii aibu ameitaka mwenyewe kwa sababu ya ujinga wake

    14. #12
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Hii ndiyo nini sasa kudai chako au kujidhalilisha zaidi.
      Maana hawa waliomzingira wakitabasamu sijui walikuwa wanafurahia nini!. Yawezekana walikuwa waki**masa MEWATA zinazoonekana kuning'inia.

    15. #13
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      mambo ya kuzulumu siyo mazuri,na mwisho wake uwa mbaya,ona uyu baba sijui atawaambia nini nyumban

    16. #14
      Ndaki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2009
      Posts : 75
      Rep Power : 527
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      TANZANIA BILA ukimwi HAIWEZEKANI .......................until people turn to JESUS! it is ONLY JESUS SAVES.
      'WE HAVE GUIDED MISSILES BUT WE HAVE MISGUIDED MEN"

    17. #15
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,797
      Rep Power : 964
      Likes Received
      894
      Likes Given
      1363

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Quote By Dotworld
      Sasa unazibaziba nini bana, si uachie ili waone aibu kwa waliyoyafanya!

      Halafu na huyo jamaa kama hakufuata kanuni za kiusalama aende akapime kabisa, maana kwa mapele ya huyo dada sijui kama usalama upo hapo.

    18. #16
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 950
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      hili jambo litakuwa mahakamani tusijadili tafadhali
      Dotworld likes this.
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    19. #17
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 575
      Rep Power : 625
      Likes Received
      103
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By Patric Richard
      hili jambo litakuwa mahakamani tusijadili tafadhali
      Liwalo na liwe! Ha! Ha! ha! haaa!

    20. #18
      salum chusi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      huyo dada alikuwa anataka kumuaibisha huyo tu jamaa...

    21. #19
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 578
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      71

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Duh! hii balaa, inabidi huyu dada ajifunze kanuni ya 'PAY FIRST'

    22. #20
      Kamuzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : Vigwaza
      Posts : 716
      Rep Power : 684
      Likes Received
      122
      Likes Given
      48

      Default Re: njemba amkimbia demu gesti bila kumlipa,demu azua valangati,palichimbika

      Quote By Dotworld
      Hii njemba ya kulia naona dizain ka imemaind mzigo.
      Dotworld likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...