Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vita ya kanisa vs freemason

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,153
      Rep Power : 19203
      Likes Received
      8092
      Likes Given
      26559

      Default Vita ya kanisa vs freemason

      v



      .
      MCHEZO ULIVYOANZAAkizungumza na mapaparazi wetu juzikati, jijini Dar, Mchungaji Mwamkamba alisema awali alitoa matangazo na pia kutuma ujumbe mfupi wa simu ‘SMS’ kwa watu mbalimbali akiomba mchango wa fedha ili aweze kujenga kanisa lake, lakini bila matarajio yake, namba zake ziliangukia mikononi mwa watu hao.
      “Nilitarajia kupanua kanisa langu hivyo nilihitaji mchango wa fedha kwa ajili ya ujenzi, nikatoa tangazo kwa watu mbalimbali pamoja na kutuma SMS kwa marafiki zangu.
      “Siku moja nilipigiwa simu na watu nisiowajua, wakaniambia wanataka kukutana na mimi ili wanisaidie fedha za ujenzi wa kanisa langu.
      “Nilikubali, nikaenda kukutana nao pale Ubungo. Walianza kunieleza jinsi walivyoamua kunisaidia kujenga hekalu la Mungu huku wakisema wananipa fedha za kutosha na kuagana na umaskini,” alisema Mchungaji Mwamkamba.
      Aliendelea kudai kuwa watu hao walisema lengo lao ni kumpa kiasi chochote cha fedha ambacho kilikuwemo kwenye ‘brifkesi’ kwa ajili ya ujenzi huo.
      “Waniliambia wananipa kiasi chochote cha fedha ninachokihitaji, lakini iwe siri yangu na wao, halafu wakasema waumini katika kanisa langu wataongezeka

      Pesa za Freemason wanazo zitoa


      MCHUNGAJI AZIDI KUFICHUA
      “Wakaniambia wamefanya hivyo kwa watumishi wengi wa Mungu hapa Tanzania ambao kwa macho ya kawaida huwatambuliki kama ni wafuasi wa Freemason na wanafanya ishara na miujiza mingi huku makanisa yao yakiwa na idadi kubwa ya waumini.”APEWA MKATABA
      Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na kabla mchungaji huyo hajasema ndiyo au hapana, alipewa mkataba wenye maelekezo ya jinsi ya kujiunga ili aanze kula mema ya nchi na kuuaga umaskini kwa muda mfupi.
      “Walinipa mkataba, una nembo ya Freemason, lakini wakaniambia ni lazima nibadili dini, nianze kuvaa nembo ya mwewe na nyoka na kumtoa kafara mke wangu au mwanangu nimpendaye kama sadaka ya shukrani kwa mungu wao,” alisema mchungaji.
      AWACHOMOLEA WAZI
      “Niliposikia masharti hayo, ghafla nilisikia uchungu moyoni, nikakataa, nilisimama haraka sana na kuondoka kwa mwendo wa haraka, kama nakimbia. Wakaanza kunizomea huku wakitoa ishara ya kuvunja vidole viwili ambayo ni moja ya alama za Freemason,” alisema mchungaji huyo.
      KWA NINI NI VITA?
      Hivi karibuni, Mchungaji wa Kanisa la Good News for All Nations, Mark Diganyeka alitoa alama za kuwatambua watumishi wa Mungu ambao ni waumini wa dini ya Freemason na kusema kuwa waumini wawe makini kuwabaini.
      Miongoni mwa alama hizo alisema ni pamoja na kuvunja vidole kwa haraka wakati wakihubiri na kuvaa pete kubwa kwa ajili ya kufanyia miujiza wawapo madhabahuni.
      Kwa tafsiri ya Mchungaji Diganyeka na hayo aliyokutana nayo Mchungaji Mwamkamba, ni dhahiri makanisa yameingiliwa na Freemason hivyo kuanza kutimia kwa yale maneno kwamba, imani hiyo itawavaa watumishi wa Mungu kabla ya kurudi kwa Yesu Kristo.
      NI VITA... - Global Publishers

      Boflo likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #2
      promiseme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 1,081
      Rep Power : 683
      Likes Received
      304
      Likes Given
      12

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Mwenyezi mungu atunusuru..
      MziziMkavu likes this.
      "It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."

    4. #3
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,660
      Rep Power : 886
      Likes Received
      365
      Likes Given
      470

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Hivi hawa Freemanson wao wanapataje pesa? Ni swali tu ndugu zangu nataka kujua msinishambulie!!!!

      Tiba
      MziziMkavu and Nyenyere like this.

    5. #4
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      520

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Quote By Tiba
      Hivi hawa Freemanson wao wanapataje pesa? Ni swali tu ndugu zangu nataka kujua msinishambulie!!!!

      Tiba
      hao ndio wanatengeneza pesa,viongoz wakuu wa kibenk,marais,wafanyabiashara wakubwa,wana nguvu ya kiuchumi na kiutawala,sasa watakosaje pesa?
      MziziMkavu likes this.

    6. #5
      Ruge Opinion's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2006
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,058
      Rep Power : 889
      Likes Received
      149
      Likes Given
      79

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      FREEMASON = Wonderful marketing tool for UDAKU newspapers.
      MziziMkavu and jamiif like this.
      Loosing is a starting point to success

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,613
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      344

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Tumpinge shetani naye atatukimbia.Mwisho wa mambo yote umekaribia tuwe macho
      MziziMkavu and flora msoffe like this.
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    9. #7
      kijembeee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : On Ze wAy
      Posts : 394
      Rep Power : 428
      Likes Received
      95
      Likes Given
      20

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Quote By Ruge Opinion
      FREEMASON = Wonderful marketing tool for UDAKU newspapers.
      nakusapoti,wasipoandika freemason or wolper or stori za kufumaniana au kubambikiwa mtoto bado hawajaona raha
      MziziMkavu likes this.
      Dont frown while GOD is smilling

    10. #8
      NEW NOEL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2011
      Posts : 432
      Rep Power : 491
      Likes Received
      105
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Ruge Opinion
      FREEMASON = Wonderful marketing tool for UDAKU newspapers.
      Nimeipenda hii.
      Ni kweli sasa hivi vyombo vya habari hususani hivi....Vimebadilisha mfumo wao wa kuandika habari kutoka kuzungumzia habari za kishirikina na kuzigeuza kuwa habari za kifreemason.
      MziziMkavu likes this.

    11. #9
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default

      Quote By Ruge Opinion
      FREEMASON = Wonderful marketing tool for UDAKU newspapers.
      Ni kweli mkuu.
      Nakuapia hakuna mtu anayejua undani wa hawa jamaa.
      MziziMkavu and jamiif like this.

    12. #10
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      262
      Likes Given
      84

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Antony Lusekelo= mkuu wa freemanson tz, alisema mwenyewe.
      MziziMkavu likes this.
      WATANZANIA KUMCHAGUA JK, TUMEPAKA WANJA WA PILIPILI.

    13. #11
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,833
      Rep Power : 17526
      Likes Received
      4869
      Likes Given
      5277

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Dunia imekwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa a
      MziziMkavu and flora msoffe like this.

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    14. #12
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By NEW NOEL
      Nimeipenda hii.
      Ni kweli sasa hivi vyombo vya habari hususani hivi....Vimebadilisha mfumo wao wa kuandika habari kutoka kuzungumzia habari za kishirikina na kuzigeuza kuwa habari za kifreemason.
      wanaangalia trend ya soko,,,kwa sasa watu wanaongea sana abt masoni so media za udaku zinalalia hukohuko na wanauza......
      Wajinga ndio............
      MziziMkavu and jamiif like this.

    15. #13
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Gwangambo
      Antony Lusekelo= mkuu wa freemanson tz, alisema mwenyewe.
      mwe mwee mweeeeeeeeeere
      MziziMkavu likes this.

    16. #14
      Capt Tamar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 1,693
      Rep Power : 1032
      Likes Received
      411
      Likes Given
      1

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      2b1ask1!!hakuna anayekufuata kukuomba ujiunge nao,njaa zako mwenyewe ndio zitakupeleka,hawa wachungaji wanatafuta publicity,kwa kutumia jambo ambalo wanatambua wazi kuwa wengi wa waumini wao hawana uelewa wa kutosha juu yake,uelewa ambao pia yaweza kuwa vigumu kwetu sote kuupata,hata huyo mchungaji mwenyewe.
      MziziMkavu likes this.

    17. #15
      Sisomeki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 381
      Likes Received
      21
      Likes Given
      27

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Quote By Ruge Opinion
      FREEMASON = Wonderful marketing tool for UDAKU newspapers.
      wanawadanganya sana watu WaTz sasa wamekuwa mazumbukuku juu ya suala hili aibu sana
      MziziMkavu likes this.

    18. #16
      Sisomeki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 381
      Likes Received
      21
      Likes Given
      27

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Quote By olyset net
      2b1ask1!!hakuna anayekufuata kukuomba ujiunge nao,njaa zako mwenyewe ndio zitakupeleka,hawa wachungaji wanatafuta publicity,kwa kutumia jambo ambalo wanatambua wazi kuwa wengi wa waumini wao hawana uelewa wa kutosha juu yake,uelewa ambao pia yaweza kuwa vigumu kwetu sote kuupata,hata huyo mchungaji mwenyewe.
      wapuuzi sana wanafananisha ushirikina na freemason wachungaji njaa sana
      MziziMkavu likes this.

    19. #17
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,836
      Rep Power : 30208
      Likes Received
      4668
      Likes Given
      3477

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Walete pesa hizo kwangu nazitaka
      MziziMkavu likes this.

    20. #18
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 372
      Rep Power : 575
      Likes Received
      141
      Likes Given
      327

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Quote By Ruge Opinion
      FREEMASON = Wonderful marketing tool for UDAKU newspapers.
      Acha tu... bila kuandika hivi na wachungaji wao feki feki hawauzi.....
      MziziMkavu likes this.

    21. #19
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,153
      Rep Power : 19203
      Likes Received
      8092
      Likes Given
      26559

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      Quote By Baba V
      Walete pesa hizo kwangu nazitaka
      Utajiunga nao ? Watakupatia pesa ila masharti yao ni mazito kama una mke wako au mtoto wako au mama yako au baba yako au kaka yako au dada yako lazima umtoe Sadaka ndipo upate kuwa FreeMason uko teyari kuwa Mwanachama wa FreeMason mkuu Baba V?
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    22. #20
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,121
      Rep Power : 1258
      Likes Received
      499
      Likes Given
      372

      Default Re: Vita ya kanisa vs freemason

      i hate freemansons staki hata kuwaona maalama yao mana yananikumbusha adhabu za mwisho wa dunia u karibu wakati mi bado natamani kula lager dame them

      Never hate people who are jealous of you,
      Instead love them because they're the ones,
      who think you are better than them…

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...