Nasikia Tv sets za kisasa zimefikia teknolojia ambapo ukimwona simba kwenye tv anaweza kuja live sebuleni, lakini hang'ati!
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
PakaJimmy mie ninaitaka hiyo TV set ili nikimwona afande Kova atokee live sebuleni nimchape vibao kwa kutuambia uongo kila mara polisi wanapoboronga.
“Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
Albert Einstein
Eee bana eee! mwaJ ,
Shida Kova mwenyewe anatumwa na mtu anayeitwa "MKUU"...Hana jinsi M'baba wa watu!
Kwa jinsi sura yako hiyo ilivyo, mimi ningetamani kukuona wewe, halafu utokee Live sebuleni...(kumbuka kuwa simba akitokea live hang'ati, na hivyo na wewe ukitokea sebuleni sitakung'ata)
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
Kaka Sam na wewe umeelewaje hapa?
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Nilichoelewa mimi ni kuwa hiyo ni Tv ya 3D HD ambayo ukiwa nayo kuna miwani maalimu unayotakiwa kuivaa kisha matukio yote unakuwa unayaona kama vile upo pamoja na hao wanaoyatenda,mfano kama wewe ni muoga unaweza kutoka mbio ukidhania simba anakukamata kumbe ni sehemu ya technology,Kwa sasa moja unaweza kuipata kwa 1800Euros lakini nadhani baada ya mwaka au miaka michache ijayo bei itashuka..
UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Follow Us Here