akikupiga kabali hutoki,lol
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeee..... chama la wajanja,chama kuuuuuuubwaaa...
Kuna wanawake ambao nilishaweka nadhiri kuwa hata kama utanikabidhi dollars milioni moja ili niwe nina uhusiano naye basi nitakuambia bora uondoke na hela yako kuliko mimi kuwa na mtu wa aina hiyo..
UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.
Ujasiri gani wakati hapo anamtumia mtoto kama bullet pro
Hayo maandamano kumeibiwa nini?
Blessed are hearts that bend but shall never broken
Siyo jasiri, ni shida hiyo...amani imetoweka!
Good one,hii ni kithibitisho tosha kuwa si kwamba tunawaoa ili mtupikie sijui kufua na kazi za ndani,Big NO,yote hayo tunayaweza na hiki ni kielelezo tosha kuwa tunawaoa ili mtusaidie kazi moja tu ambayo imetushinda kuifanya bila ushirikiano wenu ila tabu sasa ikifika muda wa kutupa ushirikiano wengine mnataka kuifanya kazi hiyo kama silaha yenu ya kutunyanyasa wenzi wenu..
UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.
Enzi zangu hizo duh, nimelea sana tu, ndio raha ya kuoa mwanamke wa Tanga bhana
...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???
Hao ni Zecomedy meen!
Ukiangalia context utaelewa tu kuwa huomfuniko umefunguliwa vizuri tu, ukapangwa hapochini pamoja na picha na ua!
Pia angalia thamani ya jeneza, linganisha na hicho kiturubali kilichochomekwa hapo juu, haviendani kabisa.
PIA kuna jamaa kwa mbele kule kabeba mtoto wake wala hana wasiwasi, anafuatilia tu igizo.
Thats just acting mazee! mUONGOZAJI hapo aliwaambia..."ACTION..."
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
Yaani nimecheka basi...I hope hii haikuwa kweli maana ni kituko cha mwaka
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Hii kali,
Hii ni Adobe Photo shop.Yaani hata watu hawashtuki kabisa...we unamuona jamaa hapo pembeni yuko kama mtu wa kawaida...ningetegemea kuona mbio
Asikwambie mtu bwana kufa kunatisha, kunakitu huwa wanasema wachungaji na hata kwenye maandiko kipo kwamba WALIOKUFA HAWANA IJARA(ISHARA) TENA NA WALIO HAI hii inawezekana ni siri kubwa ya mungu kwamba huyu mtu akishaingia hali ya umauti pamoja na kwamba watu wanakuwa na huzuni ila mawasiliano au mahusiano yanakufa hapohapo no network at all ndo mana damu ambayo ni uhai inaganda so hapo no coleresheni (kidhungu chake sjui kinaandikwaje) na walio hai hivyo mfu akiinuka toka kwenye jeneza moja kwa moja watu wanajua si mtu huyo ila ni mzuka au mzimu.
HEBU PATA PICHA PALE VIWANJA VYA LEADERS SIKUILE YA KUMUAGA KANUMBA ANGEPASUA JENEZA NA KUTOKA NA KUSEMA LULU NTAKUUA!
NIAMBIE KUNGEKUWA NA MAITINGAPI ZA KUZIKA KUTOKANA NA UMATI ULIOJITOKEZA KUMUAGA AU MADAM WEMA ALIVOKUWA ANAZIMIA KILA WAKATI ANGEKIMBIA KWA MIGUU NA MNGEMKAMATA MABWE PANDE.
all in all nimecheka sana asante kunipatia kitafunio cha chai yangu ya asubuhi.
Follow Us Here