Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Jamani mimi naomba kuuliza

      Inakuwaje mtu mwenye cheo kama DG wa shirika kubwa kama NSSF anavaa hivi tena mbele ya board members...au mwenyekiti wa chama mbadala kuvaa hivi?

      Kuhusu Freeman Naelewa alikuwa Bungeni sasa huyu Dau inamaana amewadharau hawa board members au uswahili umemkaa?

      Hivi kuvaa nako kunahitaji mwongozo?

      I'm utterly disappointed na haya mambo ya viongozi wetu kutaka yaingizwe kwenye katiba mpya? Kenya nako attorney General wao anavaa hereni kisioni

      Hivi huyu Dau anataka awe taken serious CEO kweli? Huwezi kukuta akina Kitilya wa TRA au yule Kimei wa CRDB akionyesha daharau kwa board members kama huyu




      Pichani: Dau akiwa na board Members wa NSSF 77



      Rais mtarajiwa wa Tanzana (FREEMAN) ....naye kaingia kwenye huu mkumbo sasa sijajua hii ni influence ya Zitto au Freeman anajaribu kutuonyesha naye ni MAN OF THE PEOPLE?

      Naomba mwongozi tafadhali

    2. Miaka 50

    3. #2
      the circus's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th October 2011
      Posts : 71
      Rep Power : 397
      Likes Received
      56
      Likes Given
      24

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Hili nalo lazima liwekwe wazi mwongozo ni upi?

      hII NI MWENDELEZO WA DDHARAU kwa b=bodi ya wadhamini

    4. #3
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,239
      Rep Power : 31388
      Likes Received
      9613
      Likes Given
      683

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Aiseee huyo shoree mwenye nyekundu nani huyo?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    5. #4
      the circus's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th October 2011
      Posts : 71
      Rep Power : 397
      Likes Received
      56
      Likes Given
      24

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Tazama huyo jamaa aliyevaa suti sijui ni nani lakini kule michuzi inasema ni board chairman wa NSSF akimsikiliza Yanga Kid (DAU) na mikanzu kanzu yake


    6. #5
      the circus's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th October 2011
      Posts : 71
      Rep Power : 397
      Likes Received
      56
      Likes Given
      24

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Aiseee huyo shoree mwenye nyekundu nani huyo?
      Michuzi wanasema ndiye mkuu wa PR officer wa NSSF anaitwa Eunice Chiume. Nadhani ndiye anashinda humu JF kumtetea bosi wake MSWAHILI (DAU)

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,239
      Rep Power : 31388
      Likes Received
      9613
      Likes Given
      683

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Quote By the circus
      Michuzi wanasema ndiye mkuu wa PR officer wa NSSF anaitwa Eunice Chiume. Nadhani ndiye anashinda humu JF kumtetea bosi wake MSWAHILI (DAU)
      Nani anammega?
      Ndumbayeye and Dotworld like this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    9. #7
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      huyu jamaa inabidi aache uswahili sasa

      inamaana Tshirt haina vifungo? na ndio nini kukaa kaa mabarazani kariakoo ?

      Attached Thumbnails  

    10. #8
      the circus's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th October 2011
      Posts : 71
      Rep Power : 397
      Likes Received
      56
      Likes Given
      24

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Nani anammega?
      naskia anaye mume...

    11. #9
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      mwingine huyu hapa anatangaza pombe za kenya




    12. #10
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      huyu alievaa nguo nyeusi hawezi kuwa rais

      hajui kuomba kura


    13. #11
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,974
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Kwa mavazi wakuu hakuna mtu na mkubali kama lukuvi anajitahidi sana.Kwa waislamu ijumaa kuvaa kanzu kawaida mkuu sema tu kama huipendi dini hiyo tukuelewe

    14. #12
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 743
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default

      Quote By Wingu
      Kwa mavazi wakuu hakuna mtu na mkubali kama lukuvi anajitahidi sana.Kwa waislamu ijumaa kuvaa kanzu kawaida mkuu sema tu kama huipendi dini hiyo tukuelewe
      Kwa inavyoonekana hapa tatizo ni dini, acheni hizo jamani.Kuna tatizo katika utendaji wake?

    15. #13
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      999
      Likes Given
      756

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      JF imeishiwa kweli watu wanaanza sasa hata kujadili mavazi??MODS hebu rejesheni heshima ya hili jukwaa thread za aina hii sio mahali pake hapa ziondolewe au zitafutiwe jukwaa lake!!!mnatuabisha sasa MODS!!
      mtanzania1989 likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    16. #14
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,464
      Rep Power : 1112
      Likes Received
      458
      Likes Given
      938

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      haya mavazi naona wanapendeze sio kufuata mambo ya kimagharibi

    17. #15
      aspen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 472
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Mavazi yanalisaidia vipi taifa au ni utamaduni tu lazima tubadilike bwana

    18. #16
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default

      Mkuu, sina uhusiano wa aina yoyote na hilo vazi,lakini pengine hizi ni dress down fridays??hii inaweza kuchukuliwa kama casual wear tu nadhani..afta all kama hao waliokaa kulia ndio board members,baadhi yao wamevaa casual pia..sidhani kama ni issue,hili ni vazi la kimwambao tu..ila kwasabu pwani ilikuwa na waislam wengi,likaishia kuonekana kama vazi la msikitini tu..sioni tatizo.

    19. #17
      Kiona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 811
      Rep Power : 2801
      Likes Received
      211
      Likes Given
      238

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Quote By Hans Roger Dibagula
      huyu alievaa nguo nyeusi hawezi kuwa rais

      hajui kuomba kura


      Lowasa naona kashindwa kuelewa wenzie wanakunja vipi miguu. Wali haushuki akikaa hivyo.
      “True leadership must be for the benefit of the followers, not the enrichment of the leaders"


    20. #18
      Chupaku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2008
      Posts : 758
      Rep Power : 692
      Likes Received
      78
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By Wingu
      Kwa mavazi wakuu hakuna mtu na mkubali kama lukuvi anajitahidi sana.Kwa waislamu ijumaa kuvaa kanzu kawaida mkuu sema tu kama huipendi dini hiyo tukuelewe
      Niliwahi kuona Waraka wa mavazi katika utumishi wa umma amabo unamhusu na Dau pia. Hairuhusiwi kuvaa kanzu hata kama ni siku ya Ijumaa. Hairuhusiwi kuvaa kikoi wala aina yoyote ya kofia unless inatumika kwa shughuli maalum kama sare za michezo, au ni uniform ya event fulani.

      Bila kuficha Dau anakosea kwa kuvaa kanzu na pia hata huyo PR aliyevaa kitu kimebana hivyo amekosea. Nguo hizo avae jumamosi au jumapili akiwa hayupo katika mazingira ya kikazi.

    21. #19
      Alfred Daud Pigangoma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Location : TABORA, TANZANIA
      Posts : 649
      Rep Power : 646
      Likes Received
      268
      Likes Given
      210

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Quote By Hans Roger Dibagula
      mwingine huyu hapa anatangaza pombe za kenya



      Hii nayo kali kwani wameamua kurudi walikotoka baada ya bei ya bia kupanda......
      “The person who says it cannot be done should not interrupt the person doingit.” Chinese proverb

    22. #20
      luvara's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 422
      Likes Received
      10
      Likes Given
      10

      Default Re: Hawa viongozi wetu hata kuvaa nako ishu?

      Mavazi waliyovaa viongozi wetu hapo juu ni mavazi mazuri na ya heshima, ila kwa mtu mwenye fikra anazozijua yeye mwenyewe si mavazi mazuri. Ikumbukwe hata Baba wa Taifa hili alikuwa akivaa hivyohivyo mara nyingi hasa mara baada ya uhuru na miaka mingi baadaye na alikuwa akizungukwa na watu waliovyaa hivyo. Kupinga uvyaaji wa namna hiyo ni ishara ya wazi ya uwepo wa chuki na vimelea vya ubaguzi au ukaburu. Hebu pona kaugojwa ka ubaguzi na unyani.

      Ni bahati mbaya katika nchi hii hata ungekuwa na utendaji wa kutukuka hutasifiwa maadam ni mvaa kanzu na kibaraghashaia. Mkumbuke Shabani Robert....

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...