Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Twanga pepeta ya mwaka 1998

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 470
      Likes Received
      65
      Likes Given
      26

      Default Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Hiyo ndio Twanga pepeta ya mwanzo kabisa,kutoka kushoto ni Banza stone,Luiza Mbutu,Jesca charles na Hamigoras.Huyo anaepiga gitaa nyuma ya Banza ni Adolph Mbinga.Click image for larger version. 

Name:	107.JPG 
Views:	0 
Size:	91.4 KB 
ID:	57917


    2. #2
      mhondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 3815
      Likes Received
      175
      Likes Given
      36

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Walikuwa washamba.

    3. #3
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 613
      Likes Received
      151
      Likes Given
      137

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      wakati huo wanatamba na nyimbo kama "kisa cha mpemba"

    4. #4
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Hii ni kiboko


    5. #5
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,882
      Rep Power : 2170
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      560

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      twanga pepeta nnavyoipenda nitakunywa sumu juu yake! Banza stone enzi zake aki rap. Kisa cha mpemba niliupenda sana huo wimbo mpaka simu ya siemens c25 na c28 zikaitwa twanga pepeta si kitoto
      Kipaji Halisi likes this.


    6. #6
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,132
      Rep Power : 0
      Likes Received
      539
      Likes Given
      277

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Nani mwenye namba ya simu ya Jesca Charles, Jamani? Mashallaaah!

    7. #7
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,292
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      388
      Likes Given
      54

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Enzi hizo Leaders Bonanza kiingilio 500.

    8. #8
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,333
      Rep Power : 6594
      Likes Received
      2772
      Likes Given
      1320

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Mmmh longi time
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    9. #9
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,646
      Rep Power : 1240
      Likes Received
      612
      Likes Given
      1266

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Hapo naona Luiza anaanza kuwa kinyonga ,anabadilika kutoka kuwa mweusi tii (enzi hizo akifanya kazi gereji pale garage Sinza opp na Lion Hotel) na kuwa mweupe(mthungu) mweee
      stineriga likes this.
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    10. #10
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 470
      Likes Received
      65
      Likes Given
      26

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By georgeallen View Post
      Nani mwenye namba ya simu ya Jesca Charles, Jamani? Mashallaaah!
      Huyo unaetaka namba zake ni mke wa mtu tena kaolewa na mzungu,jiangalie utapotezwa.

    11. #11
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 470
      Likes Received
      65
      Likes Given
      26

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By Tusker Bariiiidi View Post
      Enzi hizo Leaders Bonanza kiingilio 500.
      Kiingilio kilikuwa bure enzi hizo.

    12. #12
      stineriga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : On My Way
      Posts : 871
      Rep Power : 708
      Likes Received
      201
      Likes Given
      151

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By mfianchi View Post
      Hapo naona Luiza anaanza kuwa kinyonga ,anabadilika kutoka kuwa mweusi tii (enzi hizo akifanya kazi gereji pale garage Sinza opp na Lion Hotel) na kuwa mweupe(mthungu) mweee
      well said mkuu, wanaotumia calorite, hujitetea na kusema, eti maisha yakikukbali unakuwa mweupe...
      hate it or love it

    13. #13
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By Biohazard View Post
      Hii ni kiboko


      Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.

    14. #14
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By mzee wa njaa View Post
      Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.
      Kweli ngozi ilikua balaa ile mbaya mkuu

    15. #15
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,462
      Rep Power : 24251
      Likes Received
      5099
      Likes Given
      2738

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By mzee wa njaa View Post
      Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    16. #16
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By Safari_ni_Safari View Post
      Nadhani umeona tofauti ya rangi ya ngozi yake. Jibu umeshapata sasa.

    17. #17
      Nasolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Posts : 987
      Rep Power : 846
      Likes Received
      92
      Likes Given
      36

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Ni kati ya bendi za kitanzania zilizovuma na kuvunja kasumba ya kuzishabikia bendi toka DRC au Zaire wakati ule

    18. #18
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1139
      Likes Received
      508
      Likes Given
      866

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Tulipotoka nimbali sana
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    19. #19
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,125
      Rep Power : 576
      Likes Received
      267
      Likes Given
      87

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Enzi hizo Luiza Mbutu ametoka kucheza ngoma za asili " Tumetokaaa kwetu Mahengeeee, tumekujaaa Darisalaamaaa kucheza ngoma sandala" Naikumbuka verse ya bendi asili iliyo mtoa Luiza. She is neither beautiful nor Ugly, but married" Big up Luiza!!!!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...