Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Twanga pepeta ya mwaka 1998

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      26

      Default Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Hiyo ndio Twanga pepeta ya mwanzo kabisa,kutoka kushoto ni Banza stone,Luiza Mbutu,Jesca charles na Hamigoras.Huyo anaepiga gitaa nyuma ya Banza ni Adolph Mbinga.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      mhondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2011
      Posts : 823
      Rep Power : 3807
      Likes Received
      170
      Likes Given
      36

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Walikuwa washamba.

    4. #3
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 563
      Rep Power : 599
      Likes Received
      137
      Likes Given
      120

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      wakati huo wanatamba na nyimbo kama "kisa cha mpemba"

    5. #4
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,365
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Hii ni kiboko


    6. #5
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,792
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      543

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      twanga pepeta nnavyoipenda nitakunywa sumu juu yake! Banza stone enzi zake aki rap. Kisa cha mpemba niliupenda sana huo wimbo mpaka simu ya siemens c25 na c28 zikaitwa twanga pepeta si kitoto
      Kipaji Halisi likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      259

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Nani mwenye namba ya simu ya Jesca Charles, Jamani? Mashallaaah!

    9. #7
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,230
      Rep Power : 1253
      Likes Received
      375
      Likes Given
      51

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Enzi hizo Leaders Bonanza kiingilio 500.

    10. #8
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6537
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Mmmh longi time
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    11. #9
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,564
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      578
      Likes Given
      1189

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Hapo naona Luiza anaanza kuwa kinyonga ,anabadilika kutoka kuwa mweusi tii (enzi hizo akifanya kazi gereji pale garage Sinza opp na Lion Hotel) na kuwa mweupe(mthungu) mweee
      stineriga likes this.
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    12. #10
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      26

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By georgeallen
      Nani mwenye namba ya simu ya Jesca Charles, Jamani? Mashallaaah!
      Huyo unaetaka namba zake ni mke wa mtu tena kaolewa na mzungu,jiangalie utapotezwa.

    13. #11
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      26

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By Tusker Bariiiidi
      Enzi hizo Leaders Bonanza kiingilio 500.
      Kiingilio kilikuwa bure enzi hizo.

    14. #12
      stineriga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : On My Way
      Posts : 779
      Rep Power : 685
      Likes Received
      188
      Likes Given
      129

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By mfianchi
      Hapo naona Luiza anaanza kuwa kinyonga ,anabadilika kutoka kuwa mweusi tii (enzi hizo akifanya kazi gereji pale garage Sinza opp na Lion Hotel) na kuwa mweupe(mthungu) mweee
      well said mkuu, wanaotumia calorite, hujitetea na kusema, eti maisha yakikukbali unakuwa mweupe...
      hate it or love it

    15. #13
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 669
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By Biohazard
      Hii ni kiboko


      Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.

    16. #14
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,365
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By mzee wa njaa
      Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.
      Kweli ngozi ilikua balaa ile mbaya mkuu

    17. #15
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,883
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4612
      Likes Given
      2624

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By mzee wa njaa
      Hapo Luiza mbutu alikuwa na ngozi yake halali sio ya sasa Artficial skin kama ya kenge.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    18. #16
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 669
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Quote By Safari_ni_Safari
      Nadhani umeona tofauti ya rangi ya ngozi yake. Jibu umeshapata sasa.

    19. #17
      Nasolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Posts : 982
      Rep Power : 841
      Likes Received
      90
      Likes Given
      36

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Ni kati ya bendi za kitanzania zilizovuma na kuvunja kasumba ya kuzishabikia bendi toka DRC au Zaire wakati ule

    20. #18
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Tulipotoka nimbali sana
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    21. #19
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      261
      Likes Given
      84

      Default Re: Twanga pepeta ya mwaka 1998

      Enzi hizo Luiza Mbutu ametoka kucheza ngoma za asili " Tumetokaaa kwetu Mahengeeee, tumekujaaa Darisalaamaaa kucheza ngoma sandala" Naikumbuka verse ya bendi asili iliyo mtoa Luiza. She is neither beautiful nor Ugly, but married" Big up Luiza!!!!

    22. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...