Walikuwa washamba.
wakati huo wanatamba na nyimbo kama "kisa cha mpemba"
Hii ni kiboko
![]()
twanga pepeta nnavyoipenda nitakunywa sumu juu yake! Banza stone enzi zake aki rap. Kisa cha mpemba niliupenda sana huo wimbo mpaka simu ya siemens c25 na c28 zikaitwa twanga pepeta si kitoto
Nani mwenye namba ya simu ya Jesca Charles, Jamani? Mashallaaah!
Enzi hizo Leaders Bonanza kiingilio 500.
Mmmh longi time
Blessed are hearts that bend but shall never broken
Hapo naona Luiza anaanza kuwa kinyonga ,anabadilika kutoka kuwa mweusi tii (enzi hizo akifanya kazi gereji pale garage Sinza opp na Lion Hotel) na kuwa mweupe(mthungu) mweee
MFUNGWA HACHAGUI GEREZA
Ni kati ya bendi za kitanzania zilizovuma na kuvunja kasumba ya kuzishabikia bendi toka DRC au Zaire wakati ule
Tulipotoka nimbali sana
"Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
-Warren Buffet
Enzi hizo Luiza Mbutu ametoka kucheza ngoma za asili " Tumetokaaa kwetu Mahengeeee, tumekujaaa Darisalaamaaa kucheza ngoma sandala" Naikumbuka verse ya bendi asili iliyo mtoa Luiza. She is neither beautiful nor Ugly, but married" Big up Luiza!!!!
Follow Us Here