Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,173
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it

    2. Miaka 50

    3. #2
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 461
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      wabunifu watupe details za nini hasa kimetumika kuzitengeneza na gharama zake. Utaambiwa mwisho wa siku kwamba hiyo ni bei ya Tenda ukifanya kazi na serikali

    4. #3
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,173
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Ha ha ha ha live mkuu
      Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it

    5. #4
      driller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,091
      Rep Power : 609
      Likes Received
      203
      Likes Given
      241

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaattttt.... ni nini cha ziada hapo..? ni kipi ambacho kinazifanya ziwe hela hiyoo.. yani ni kipi..!!!?? aaah sasa huu wizi ulipofikia ni pabaya na kama wananchi wanaona hivi na tunatulia.. itafika kipindi serikali itaanzisha mpango wa kuuza hata macho yetu na tutakua tumetulia tuu... huu ni upumbafuuu
      a wife is a knife to cut your life but there is no life without a wife

    6. #5
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,351
      Rep Power : 857
      Likes Received
      671
      Likes Given
      72

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Hii taarifa iko hapa muda mrefu mbona, mleta mada jaribu kufanya utafiti kidogo utagundua.
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Fasouls's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 408
      Rep Power : 481
      Likes Received
      70
      Likes Given
      1

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Waimba kwaya hao hakuna lolote.

    9. #7
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,173
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Quote By Mama Mdogo
      Hii taarifa iko hapa muda mrefu mbona, mleta mada jaribu kufanya utafiti kidogo utagundua.
      Hivi wewe mama mdigo unamaanisha kila mtoa mada awe anazunguka kutafuta post ipi inafanana na yake then awe anapost yake?
      Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it

    10. #8
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Mahesabu niliyofanya harakaharaka hapo kwa hiyo idadi ya watu haikupaswa kuzidi $1000
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    11. #9
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default

      Quote By Mama Mdogo
      Hii taarifa iko hapa muda mrefu mbona, mleta mada jaribu kufanya utafiti kidogo utagundua.
      Inaelekea hajui hata utafiti unafanyikaje msamehe bure maana angejua kuwaa hao ni wanafunzi wa chuo cha wahudumu wa ndege. Mbaya zaidi mleta mada hajawahi hata kupanda ndege za ATC hivyo hajaona wanavaaje kakurupuka kama Mwakyembe

    12. #10
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,173
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Hizi ndizo sare za air tanzania zilizo tugharimu $49000.

      Quote By Ulukolokwitanga
      Inaelekea hajui hata utafiti unafanyikaje msamehe bure maana angejua kuwaa hao ni wanafunzi wa chuo cha wahudumu wa ndege. Mbaya zaidi mleta mada hajawahi hata kupanda ndege za ATC hivyo hajaona wanavaaje kakurupuka kama Mwakyembe
      Haya ACP Msangi
      Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...