wabunifu watupe details za nini hasa kimetumika kuzitengeneza na gharama zake. Utaambiwa mwisho wa siku kwamba hiyo ni bei ya Tenda ukifanya kazi na serikali
Ha ha ha ha live mkuu
Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it
waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaattttt.... ni nini cha ziada hapo..? ni kipi ambacho kinazifanya ziwe hela hiyoo.. yani ni kipi..!!!?? aaah sasa huu wizi ulipofikia ni pabaya na kama wananchi wanaona hivi na tunatulia.. itafika kipindi serikali itaanzisha mpango wa kuuza hata macho yetu na tutakua tumetulia tuu... huu ni upumbafuuu
a wife is a knife to cut your life but there is no life without a wife
Hii taarifa iko hapa muda mrefu mbona, mleta mada jaribu kufanya utafiti kidogo utagundua.
Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
No problem can be solved from the same level of consciousness that created it - Albert Einstein
Waimba kwaya hao hakuna lolote.
Mahesabu niliyofanya harakaharaka hapo kwa hiyo idadi ya watu haikupaswa kuzidi $1000
Vua GAMBA Vaa GWANDA
Follow Us Here