Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      DON KILLUMINATI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd January 2011
      Location : Paramaribo, Suriname
      Posts : 172
      Rep Power : 463
      Likes Received
      63
      Likes Given
      6

      Lightbulb WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Nilikuwa napita sehemu pembeni yake kuna Jalala (Shimo La Taka Taka), Nilichokiona ilibidi nichukue simu yangu na kukipiga picha ili angalau na nyie wana JF mshuhudie ni kwa kiasi gani watu wamechoka huu mtandao wa Magamba, naona huyu mwenye hii kadi hakutaka ku complicate sijui kuirudisha wala kushikwa na hasira yoyote, kaamua kutupa jalalani kuonyesha kwamba ni worthless kwake.

      Kazi kwenu mliotumwa na mavuvuzela ya NAPE and co,
      Mwana CCM kaamua kutupa kadi yake jalalani.

      Name:  ccm1.jpg
Views: 0
Size:  40.4 KB

      HAMIA CHADEMA >> www.hamiachadema.com
      Last edited by DON KILLUMINATI; 3rd July 2012 at 09:21.
      Kiwi and Desteo like this.
      WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA - Hosea 4:6


    2. #2
      tonnyalmeida's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Location : FIELD AGENT
      Posts : 226
      Rep Power : 417
      Likes Received
      46
      Likes Given
      60

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Kazi ipo

    3. #3
      mzurimie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Location : Mtaa Mmoja
      Posts : 870
      Rep Power : 562
      Likes Received
      376
      Likes Given
      97

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.

    4. #4
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Quote By mzurimie View Post
      Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.
      kada wa CCM aliwahi kusema ni zama za ukweli na uwazi. afiche nini sasa?
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    5. #5
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 483
      Rep Power : 468
      Likes Received
      99
      Likes Given
      18

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Quote By mzurimie View Post
      Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.
      Ni kweli kwani jamaa hawachelewi kumtafuta!!!!!!!
      mzurimie likes this.


    6. #6
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,911
      Rep Power : 1169
      Likes Received
      1056
      Likes Given
      804

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Quote By The Listener View Post
      Ni kweli kwani jamaa hawachelewi kumtafuta!!!!!!!
      sema hawachelewi ku ulimboka!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    7. #7
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,516
      Rep Power : 24927
      Likes Received
      2230
      Likes Given
      1827

      Default

      Quote By mzurimie View Post
      Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.
      Hivi kuacha au kuhama chama na kuwa member wa chama kingine ni dhambi?????

      Jamaa akili yake ili base kwenye kuprove ukweli wa hiyo kadi na badala yake akajikuta ame expose kila kitu.

      Kwa mantiki hii kweli CCM imechokwa sana.

    8. #8
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,530
      Rep Power : 780
      Likes Received
      737
      Likes Given
      33

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Nape sasa inabidi aanze kupita majalalani kuokota mitakataka yake maana kwa hali hii hatutaweza kuhepuka Environmental pollusion.
      Kiwi likes this.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    9. #9
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,530
      Rep Power : 780
      Likes Received
      737
      Likes Given
      33

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Nape sasa inabidi aanze kupita majalalani kuokota mitakataka yake maana kwa hali hii hatutaweza kuhepuka Environmental pollusion.Jamaa hataki kukaa na maiti ndani, ameamua "kuizika Kimasai"
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    10. #10
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 652
      Rep Power : 504
      Likes Received
      82
      Likes Given
      298

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Kuendelea kuhiacha CCM-MADARAKANI...watanzania tutakua Madhaifu(DHAIFU)Kwa kura itakua ngumu..je Tukifanya kama Tunisia au Misri
      "Vox populi,Vox dei"

    11. #11
      driller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 613
      Likes Received
      204
      Likes Given
      241

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      huyu mtu MUNGU atamuongezea miaka ya kuishi na amani tele moyoni.. kama unataka kua kama yeye basi fanya kama yeye amen
      a wife is a knife to cut your life but there is no life without a wife

    12. BLB is offline
      BLB
      #12
      BLB's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 340
      Rep Power : 452
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Adharusi View Post
      Kuendelea kuhiacha CCM-MADARAKANI...watanzania tutakua Madhaifu(DHAIFU)Kwa kura itakua ngumu..je Tukifanya kama Tunisia au Misri
      "Vox populi,Vox dei"
      liwalo na liwe

    13. #13
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,882
      Rep Power : 2170
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      560

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Ccm bye bye, wauaji wakubwa nyiee

    14. #14
      Sinag Man's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 77
      Rep Power : 486
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Huko jalalani ulifuata nini.

    15. #15
      roby2006's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2011
      Posts : 315
      Rep Power : 453
      Likes Received
      45
      Likes Given
      12

      Default

      We unafikiri humu wote ni watoto wa kishua wengine wanakaa uswazi unapita jalala ndio unaingia nyumbani
      Quote By Sinag Man View Post
      Huko jalalani ulifuata nini.
      GIUSEPPE likes this.

    16. #16
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,632
      Rep Power : 13946
      Likes Received
      1783
      Likes Given
      3653

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Quote By Sinag Man View Post
      Huko jalalani ulifuata nini.


      Baba umesahau ya Diamond?Matatizo kwetu Mbagala,hapa nyumba mbele jalala...kwahiyo mtoa mada kama anavyosema mwanzo kuwa alikuwa anapita tu ndio akaiona hiyo..
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    17. #17
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,669
      Rep Power : 1274
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1707

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Quote By mzurimie View Post
      Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.
      angefichaje sasa,

    18. #18
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,596
      Rep Power : 7005
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      587

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      maskini huruma wapi nape atolee kauli kadhia hii?
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    19. #19
      Pastor Achachanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 289
      Rep Power : 416
      Likes Received
      12
      Likes Given
      3

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Wewe uliyetupa kadi hii nakubariki kwa jina la BABA,NA MWANA,NA ROHO MTAKATIFU-AMEN.Pokea nuru ya mafanikio.

    20. #20
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,468
      Rep Power : 2489
      Likes Received
      973
      Likes Given
      385

      Default Re: WAKUU CCM IMECHOKWA KUPINDUKIA... See This!!

      Ni zama za ukweli na uwazi haina kuogopana hata kama wanajifanya ni wababe wa umafia unamwisho tena mbaya sana nao ndo unawakaribia

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...