Nilikuwa napita sehemu pembeni yake kuna Jalala (Shimo La Taka Taka), Nilichokiona ilibidi nichukue simu yangu na kukipiga picha ili angalau na nyie wana JF mshuhudie ni kwa kiasi gani watu wamechoka huu mtandao wa Magamba, naona huyu mwenye hii kadi hakutaka ku complicate sijui kuirudisha wala kushikwa na hasira yoyote, kaamua kutupa jalalani kuonyesha kwamba ni worthless kwake.
Kazi kwenu mliotumwa na mavuvuzela ya NAPE and co,
HAMIA CHADEMA >> www.hamiachadema.com

Reply With Quote
Follow Us Here