Akifuatilia maelekezo!
Akifuatilia maelekezo!
Penye nia pana njia
Chezea wanawake weye? hadi amalize atakuwa ameshasahau zaidi ya robo tatu,afu hiyo ndo vol,1
soma chapter10 ile inayosema "ukitaka usikimbiwe fanya haya.........."
hiyo nDO MPANGO MZIMA
Kazi anayo! Hapo kila baada ya chapter kuna maswali ili kupima kama ameelewa!
“Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
Albert Einstein
amekosea hiyo manual ninayo na imenisaidia sana kumwelewa wife ila nilianzia kusoma mwisho.
kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.
Ukitaka kumuelewa mwanamke inabidi uanze kwanza kumuelewa mwanamke! kwanini? "kwasababu mwanamke alitokana na mwanaume"
Katika uumbaji, Mungu alichukua ubavu wa mwanaume na katika huo alitwaliwa mwaname, so haiwezekana kumuelewa mwanamke kama hujaweza kumuelewa mwanaume.
Ok, kwamfano unataka kuelewa juice ya machungwa ilivyo, ukikazania kutafiti juice ywnyewe utachukua muda mrefu sana, kitu rahisi kabisa ni kutafiti machungwa, au kuelewa machungwa yaliyotengeneza juice
Kazi mnayo mnaokomaa kumuelewa mwanamke, you will never in your life time
"to be a great thinker is to think critically" and "to think critically is to think differently from other thoughts"
Tatizo sio kitabu bali mada anayosoma
The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!
Kumaliza atamaliza lakini akimaliza tu,atakuwa amesahau yote aliyosoma
kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac
Hahahaa halafu hio ni just Volumme One???
...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???
sifa hizooooooooooo
dah jamaa ana maisha marefuu
Nimepigia mstari kuonyesha msisitizo. Mwanamume hawezi kumwelewa mwanamke, halikadhalika mwanamke hawezi kumwelewa mwanamume maisha yao yote; ni kwa sababu wakati mwanamume anaumbwa, mwanamke hakuwepo (alikuwa hajaumbwa) na wakati mwanamke anaumbwa, mwanamume alikuwa amelala. Siri yao anayo Mungu pekee na ndiye pekee anayewaelewa. Iliyobaki tuishi tu kwa imani na kuvumiliana.
Msiwiwe na mtu chochote, isipokuwa kupendana..... Warumi 13:8.
Ukiona kitabu kikubwa sana ujue wanawake ni watata sana hivyo maelezo na mbinu zinatakiwa nyingi.
duuuh icho kitabu ama jitabu maaana kuuuuubwa
MY PORTFOLIO: http://www.mtotosix.info
Hivi ndivyo tunavyofeli mitihani kwa kushindwa kufikiria. Unaweza kukuta kuna picha tu from cover to cover.
Mightier than the sword
Follow Us Here