Some people are simply alive because it's illegal to kill them
Peopleis this news au tumeingiliwa na hawa wapuuzi ? Save our time and space mkuu acha umbeya wa kike
Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.
Zittophobian huu ni ugonjwa mbaya sana dalili zake ni pamoja na kuwashwa makalio.
Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.
jamaa mbona kakaa kibahasha sana
Mods plzzzzzzzzzzzzz.
Heshima hakuna Bungeni; Enzi za Chief Adam Sapi Mkwawa kama Spika kulikuwa hakuna Mchezo; kulikuwa na Utaratibu wa kukaa Bungeni; Utaratibu wa Mavazi Bungeni na Pia jinsi ya kufurahia au kupinga Jambo; alikuwa Mkali na alijua Sheria za Bunge.
Sio Sasa hivi Sisi Vijana tumevamia hatupewi Msaada wa Maana wa Jinsi ya Kujiheshimu Bungeni karibia tutakuwa kama Bunge la Ukraine...
usingizi au pozi?
MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI
Hakuna lolote la ajabu/baya hapo... Jamaa amepose tu akiwaza namna ya kulipua bomu lingine kwa hawa wachovu aka sisiem maana madudu yao ni mengi sana!!
So,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,,
Acha utoto,hauna la kufanya?
Bunge la Uingereza na Bunge la Marekani wana Sheria kali kwa Wabunge wao na Bado wanatoa Hoja kali na hata kushitaki Rais wa Nchi...
Wakati wa Adam Sapi - Ndio wakati huo tu Waziri alijiuzulu kwa Hiari yake sababu ya Matatizo; haijawahi kutokea tena hadi leo hii, Ni Rais Mstaafu Mwinyi alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani
Sheria za Bunge zilikuwa kali na safi kwa kuwaeleza Mazuri na Uwajibikaji; Nani Sasa hivi watafanya hivyo?
Nassari punguza ma suti uwe kama Kamanda Mnyika.
"Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.
Follow Us Here