Mkuu@jmushi Sio Ukweli anayoyasema mkuu .
Mawenzi Kwani Bwana Yesu hakuwa anatowa MaPepo Wachafu? Mkuu jmushi unasoma kweli biblia? Hebu soma Biblia hii hapa
Mathayo 27.43Na pepo wachafu, kila walipomwona, walianguka mbele yake, wakalia wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu. Akawakataza sana, wasimdhihirishe.
Mathayo, Chapter 9: 9:34 Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, "Anawatoa pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya."
Mathayo, Chapter 10: 10:8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.
Mathayo, Chapter 12:
12:22 Hapo watu wakamletea Yesu kipofu mmoja ambaye alikuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. Yesu akamponya hata, akaweza kusemana kuona.
12:24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, "Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo."
12:26 Ikiwa Shetani anamfukuza Shetani, anajipinga mwenyewe. Basi, ufalme wake utasimamaje?
12:27 Ninyi mnasema ati nawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli; je, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo wao ndiowatakaowahukumu ninyi.
12:28 Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
Mkuu zipo aya nyingi zinazosema kuwa Bwana YESU alikuwa anawafukuza Pepo Wabaya sasa na huyo YESU naye tumuiteje? YESU Muislam anayewafukuza Ma Pepo Wachafu? Usiunge mkono pasipo na ushahidi soma kwanza ndio uunge mkono..
jmushi1
Follow Us Here