Mhh huyu mama mbona nguo aliyovaa ina mitego? Nguo ya ndani na umbo linaonekana au ni macho yangu?? Huyu mama ndio Waziri?
Wadau wengine bana sasa mlitaka asivae nguo ya ndani au??bora mngesema angevaaa G string ili ule ufito usionekane wabongo bana hawana dogo akivaa kimini shida ufito wa chupi ukionekana shida,akivaa jeans shida hebu tujadili mambo muhimu na sio la uvaaji wa nguo
well sikulaumu kwani inawezekana mtazamo wako na wake hautofautiani ILA kumbuka kuwa kiongozi wa watu lazima uwe mfano wa kuigwa katika jamii hivyo hivyo katika familia kama baba unavaa mlegezo wat do u expect from your kids??
kwani angevaa nguo inayomsitiri umbo lake la ndani na "chupi" yake huoni inaongeza heshima hata kwa baadhi ya wanajamii..
"where there is need for criticism criticise and give credit where appropriate"
ogah pole kaka kwa vigongo kutoka kwa wife ni kweli haipendezi kwa waziri kuwa hivi!!!
waziri kapiga kombat ya ndani. Wale tulifika frontline tumimwelewa.
Mama anachezea koki ataloa,hawajui wajw nini?
hana adabu
Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....
Sijaona chochote zaidi ya mstari wa kufuli.
Hivi zamani kabla ya hizi chupi za G String hazijaingia rasmi hapa nchini... wanawake walikuwa wanavaa chupi za namna gani?
Huyu mama yuko so natural, hataki madoido wala manywele ya dukani, safi sana, ni mchapa kazi kwa uhakika!!
Follow Us Here