Allieninafaa kumbukizi hii
Ukipepeta Pumba Tunachagua Chuya
Kwa kweli nchi hiii tunahitaji ukombozi wa dhati kutoka kwa viongozi wakolono weusi tulionao ili kuinua hali za weledi, upendo, amani na maisha ya wananchi kwa ujumla. Maana haingii akilini kwamba tulipata Uhuru ili tuendelee kuwa vilevile kifikra, kielimu na hata kimaendeleo baada ya kluwa toa watawala weupe. Kumbe afadhali weupe wale kuliko Makafiri hawa ambao wamekosa uzalendo, uchungu na hali walizonazo Watanzania.
Na huku ndio kwetu!
'' Mtu ni Utu sio Kitu''
Hata hapa!
'' Mtu ni Utu sio Kitu''
'' Mtu ni Utu sio Kitu''
Bongo pazuri sana..........
"Leadership is action not position" - Donald H. McGannon.
Na hii ndio ofisi yangu!
'' Mtu ni Utu sio Kitu''
Kwa halihiyo ya picha za vyoo vya dar ni bora niendelee kuishi huku huku Iringa
kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac
Collection nzuri sana, yaani maisha halisi halisi ya asilimia kubwa ya wabongo..Good job Allien the photographer.
Aisee umenikumbusha mbali kwelii, tulipokua hatuna TV, masikini tunaishia kuchungulia kwenye dirisha la jirani kuangalia movie za kihindi...saa nyingine tunatolewa mbio, saa nyingine mnamwagiwa maji, basi shida tuu, lakini watoto hatukomi kesho tumerudi.....sad sad sad. Tumetoka mbali. Sasa hivi watu wana TV kila chumba, ahhh maendeleo.
Hii picha imenikumbusha mbali
Follow Us Here