Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
"The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".
Clouds fm wamesema Chizi alikuwa amestaafu kazi mwaka jana na hela zake aikuwa amesha lipwa.
Mmmh! Mbona zimekaa kihoteli hoteli zaidi??
"DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"
Kuna wakati nikiitwa mTanzania najisikia vibaya.
Jamani hii nchi imeoza, inahitaji ukombozi wa nguvu - inahitaji serikali ambayo itakuwa ikisikia Challenger amefisaji haraka sana wanakuja nyumbani kwangu na kuchukua kile kinachowezekana ambacho kitaringana na dhamani ya ufisaji halafu kwenda gerezaji ili kwenda kujifunza uzalendo na uzawa.
Huu mtiririko wa wizi ukianzia juu ni vigumu sana kuu-control kuliko ukianzia chini. Mfano iwapo mtoto akichemka ni rahisi sana kumuonya na kumhadabisha iwapo wewe baba ni muadilifu - ndipo nina maana wizi ukianzia chini ni rahisi kuu-control. Aidha ikiwa baba nimekubuhu kufanya madudu mtoto akifanya yale yale sitapata nguvu ya kumuonya na kumuadabisha.
Hii ndiyo hali halisi madudu, wizi, ufisadi umeanzia toka pale Magogoni - "White House", je unategemea rais atamwambia nini waziri, waziri atamwambia nini Katibu, makatibu na mwaziri watawaambia nini wakurugenzi, hivyo hivyo hadi chini iwapo wooote hawa ni wezi.
Nchi hii ina kundi kubwa la viongozi ambao hawana uchungu na nchi hii!!
inasikitisha kuona kuna watu wanajiita binadamu,kuna watu wana kufuru ajabu yani ivi vitambaa ndo bei hiyo?...yani nilipatwa hasira
A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
The greedy people are the victims to the evil people.
Mliomtukana Mwakyembe jana muombe radhi sasa
A compliment is something like a kiss through a veil
"The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".
I hope it is not MARIEDO again
Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te
Najiskia aibu kuitwa m'tz
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Hivi Precision Air wanashonesha pesa ngapi?
mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.
Follow Us Here