Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mfumo wetu wa Elimu

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Mfumo wetu wa Elimu

      Angalia hii picha (katuni) aloafu ulinganishe na hizi thread hapa chini.
      Isipoeleweka samahani lakini ndio uhalisia wa elimu yetu na huenda isizae lolote la maana mbali na kutumia pesa nyingi kwenye utekelezaji wake!

      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...za-vipaji.html
      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-tanzania.html
      http://www.jamiiforums.com/habari-na...toa-maoni.html
      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-mitihani.html
      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...i-zifutwe.html
      Last edited by lukindo; 29th May 2012 at 10:32. Reason: alphabetical order
      Mdanganyika 1 likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ngangasyonga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2010
      Posts : 411
      Rep Power : 520
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default Re: Mfumo wetu wa Elimu

      Kweli shule za binafsi zifutwe, zinaongeza ubaguzi katika jamii, sanasana zinazalisha maDJ na ma MC kibao mtaani.

    4. #3
      omujubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Bumbire Island
      Posts : 1,593
      Rep Power : 695
      Likes Received
      652
      Likes Given
      1646

      Default Re: Mfumo wetu wa Elimu

      Quote By Ngangasyonga
      Kweli shule za binafsi zifutwe, zinaongeza ubaguzi katika jamii, sanasana zinazalisha maDJ na ma MC kibao mtaani.
      niliwahi kusikia mtu mwingine akisema wale aina ya vijana wa 'promotions' ni products za hizo shule pia! Lakini hii picha ina-portray kuwa kuna tofauti kubwa kutoka kwa mfano IST, Diamond Primary ....mpaka hapa Shule ya Msingi Bumbiire lakini tunapewa mtihani mmoja wa kitaifa!
      ...yaani nyoka, tembo, nyati, samaki, ngedere nk wanapewa mtihani wa kupanda mti, anayeshindwa eti AMEFELI mtihani!

      “those who are so ready to take what is not theirs must be ready to loose what is theirs”

    5. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...