Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............



      Mstaafu Mkapa akichukua nafasi ya kipekee mahakamani kwenda kutetea ufisadi ndani ya serikali yake pale Kisutu mahakamani ambako swahiba wake Profesa Mahalu alimtegemea amnasue......................utetezi wa Mkapa kimsingi ni kuwa yeye na baraza la mawaziri haliwajibiki chini ya sheria ya manunuzi na wanayo mamlaka ya kufanya watakavyo........................it was the most incriminating evidence one could think of......................eti baraza la mawaziri liliidhinisha ufisadi kwa hiyo mtuhumiwa hana kesi ya kujibu!!!!!!!!!! Takukuru kama inafanyakazi basi Mkapa ni wa kumuunganisha kwenye hii kesi siyo kama shahidi bali mtuhumiwa nambari one...............Lakini tunajua Takukuru haiko huru kwa hiyo itaukubali ushahidi wa bosi na Mahalu is technically free but let us not forget Mkapa will one day answer to his Maker.....................I can't wait to see him being dumped in hell..................despite his futile defence before God..................
      BAK, Sikonge, Mr Rocky and 6 others like this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."


    2. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,842
      Rep Power : 19441
      Likes Received
      8648
      Likes Given
      28210

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Kasheshe kweli Nchi yetu inaongozwa na viongozi mafisadi kweli tutafika tunakokwenda huko mbele?
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    3. #3
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,909
      Rep Power : 22569
      Likes Received
      6525
      Likes Given
      2933

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      The way these friends are bullying us, its like there is a special designated heaven for them, which will be free of judgement, tormenting, and eternal fire!
      Rutashubanyuma likes this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    4. #4
      Pakawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 1,172
      Rep Power : 758
      Likes Received
      173
      Likes Given
      185

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Sijui kama tutafika tunakokwenda. Utetezi unaonyesha dhahiri ni wale wale! Kununua jengo kwa thamani hiyo ndio tatizo sasa wao wanachotuonyesha hapa ni kwamba ilikuwa halali kununua hilo jengo. Sisi maswali yetu ni KWA THAMANI HIYO KWELI NA KAMA NDIVYO WHY??????? wakati nchi na wananchi wake ni maskini kupindukia.
      Hata itakuwa kwa kila mtu atakayeliita jina la bwana atampokea roho wa mungu' 'Niiteni nami nitaitika anasema bwana wa majeshi.'

    5. #5
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      13989

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      mkapa anafanya mazoezi ya kupanda kizimbani coz next time tunampandisha kama mtuhumiwa.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa


    6. #6
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,513
      Rep Power : 41651
      Likes Received
      6281
      Likes Given
      1089

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Alipotumia hiyo clause ya watu kupeana amri kwa mdomo tu, kwa "usalama wa taifa", nikajua Mkapa anaendeleza kuwa arrogant as hell.

      Basically alichosema ni kwamba hii nchi yetu nyie hamna haki ya kutuuliza kitu, tutapeana amri kwa mdomo na hakuna mahakama itakayogusa hayo.

      Halafu hana hata aibu kutetea Wataliano kukwepa kodi katika deal hili, ndiyo kwanza anasema "Alhamdullilah"!

      Anamhusisha allah na ufisadi.
      BAK, Sikonge, Boflo and 1 others like this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    7. #7
      JOJEETA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 160
      Rep Power : 397
      Likes Received
      46
      Likes Given
      64

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      huyu kibonge ndo aliuza nchi kabisa,halafu alipotakiwa kushtakiwa jk akamkingia kifua eti 2mwache mzee we2 apumzike....mbona hapumziki?ona alivyonenepeana jaman?kweli ndege wafananao ndio warukao pamoja bila haya kaenda mahakamni?Tanzania imeangamizwa jaman
      Rutashubanyuma likes this.

    8. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Kasheshe kweli Nchi yetu inaongozwa na viongozi mafisadi kweli tutafika tunakokwenda huko mbele?
      MziziMkavu......................tatizo ni kuwa system yote is rotten kuanzia mahakama, polisi na vyombo vyote vya dola.................it is very sad.............
      BAK and MziziMkavu like this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #9
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      huyu kibonge ndo aliuza nchi kabisa,halafu alipotakiwa kushtakiwa jk akamkingia kifua eti 2mwache mzee we2 apumzike....mbona hapumziki?ona alivyonenepeana jaman?kweli ndege wafananao ndio warukao pamoja bila haya kaenda mahakamni?Tanzania imeangamizwa jaman
      @baada ya huyu mporaji kujilimbikizia mali sasa anajiona Ni Mwenyezi Mungu...............lakini kuna siku Mungu wa ukweli atamuulizia ampe hesabu zake hapo ndipo kilio na kusaga meno kitapoanza...............
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    10. #10
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      huyu kibonge ndo aliuza nchi kabisa,halafu alipotakiwa kushtakiwa jk akamkingia kifua eti 2mwache mzee we2 apumzike....mbona hapumziki?ona alivyonenepeana jaman?kweli ndege wafananao ndio warukao pamoja bila haya kaenda mahakamni?Tanzania imeangamizwa jaman
      Kiranga tumwombee uzima ili aje afikishwe mahakamani na serikali ijayo ambayo itakuwa ni ya chadema.............aje ajibu huu utumbo khalafu aone cha moto.............
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    11. #11
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      mkapa anafanya mazoezi ya kupanda kizimbani coz next time tunampandisha kama mtuhumiwa.
      Daudi mchambuzi.............kwa watu tunaochukia dhuluma siku huyu bwana anapanda kizimbani ndiyo tutajua uwajibikaji umewasili TZ...............kabla ya hapo not yet uhuru kabisa.........
      Daudi Mchambuzi likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #12
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      1326
      Likes Given
      2661

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Quote By Rutashubanyuma View Post

      Mstaafu Mkapa akichukua nafasi ya kipekee mahakamani kwenda kutetea ufisadi ndani ya serikali yake pale Kisutu mahakamani ambako swahiba wake Profesa Mahalu alimtegemea amnasue......................utetezi wa Mkapa kimsingi ni kuwa yeye na baraza la mawaziri haliwajibiki chini ya sheria ya manunuzi na wanayo mamlaka ya kufanya watakavyo........................it was the most incriminating evidence one could think of......................eti baraza la mawaziri liliidhinisha ufisadi kwa hiyo mtuhumiwa hana kesi ya kujibu!!!!!!!!!! Takukuru kama inafanyakazi basi Mkapa ni wa kumuunganisha kwenye hii kesi siyo kama shahidi bali mtuhumiwa nambari one...............Lakini tunajua Takukuru haiko huru kwa hiyo itaukubali ushahidi wa bosi na Mahalu is technically free but let us not forget Mkapa will one day answer to his Maker.....................I can't wait to see him being dumped in hell..................despite his futile defence before God..................

      Rutashubanyumaaka Ruta -ambaye-hataki kurudi Nyuma. Hivi hapo Mkapa ana kosa gani.? Kama kunacheji ililiwa sawa lakini kama
      • kuna mchezo walifanya
      • tena mchezo huo kama ni kweli ulilifanywa kwa masalahi ya taifa
      • tena mashali hayo hayakupitishwa tu na mkapa (kama taasisi ya Rais)bali baraza la mawaziri


      BAsi mi naona hakuna tatizo.

      Issue hii haipishani sana na Issue ya rada kwa seriakali ya UK.tena kule UK kuna mawaziri walipinga Tanzania isiuziwe rada lakini kwa maslahi ya UK Tony blair(kwa mtazamao wake) akafumba macho na masikio.

      Kama kuna kesi ya kuweza kumfunga mkapa hii haimo hata katika 10 bora
      Rutashubanyuma likes this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    13. #13
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Sijui kama tutafika tunakokwenda. Utetezi unaonyesha dhahiri ni wale wale! Kununua jengo kwa thamani hiyo ndio tatizo sasa wao wanachotuonyesha hapa ni kwamba ilikuwa halali kununua hilo jengo. Sisi maswali yetu ni KWA THAMANI HIYO KWELI NA KAMA NDIVYO WHY??????? wakati nchi na wananchi wake ni maskini kupindukia.
      Pakawa.............taratibu za manunuzi hazikufuatwa na jengo ni bovu halina thamani ya malipo.........utetezzi wao ni kuwa wao ni sheria na hawawezi kuwajibishwa na chombo chochote kile.....................huu ni ufisadi mwingine ya kuwa hakuna uwajibikaji kama baraza la mawaziri limepitisha ufisadi..............
      Mziba likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    14. #14
      Pakawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 1,172
      Rep Power : 758
      Likes Received
      173
      Likes Given
      185

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Pakawa.............taratibu za manunuzi hazikufuatwa na jengo ni bovu halina thamani ya malipo.........utetezzi wao ni kuwa wao ni sheria na hawawezi kuwajibishwa na chombo chochote kile.....................huu ni ufisadi mwingine ya kuwa hakuna uwajibikaji kama baraza la mawaziri limepitisha ufisadi..............
      Ruta si umeona Mkapa alivyokuwa anajibu kuhusiana na hilo! eti yeye aliidhinisha jengo linunuliwe lakini haikuwa kazi yake kufuatilia malipo na mengineyo....Huu si upuuzi huu?! Hawa watu wanatukoroga kama mboga ya majani iliyokosa mlenda.
      Mziba and Rutashubanyuma like this.
      Hata itakuwa kwa kila mtu atakayeliita jina la bwana atampokea roho wa mungu' 'Niiteni nami nitaitika anasema bwana wa majeshi.'

    15. #15
      BabuK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2008
      Posts : 939
      Rep Power : 743
      Likes Received
      110
      Likes Given
      42

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Hata kama aliagiza kwa mdomo ..watendaji wake na Katibu Mkuu Kiongozi wake walipaswa kuiweka kwenye kumbukumbu...ili nchi iendeshwe kwa "uwazi" na sio "Wizi"..Lumbanga amesema hajui..Mkapa anashangaa kauli ya Lumbanga kwamba hajui.... Rais wa nchi mmoja kushabikia/ au kutozingatia kanuni za nchi nyingine kukwepa kodi ni Mshangao Mkubwa Zaidi! ... Nilifurahishwa na swali la Wakili aliyemwuuliza iwapo malipo ya pili yalibuniwa na Balozi Mahalu ili azitie kibindoni? Mkapa akjibu kwa.. Mahalu ni mwaminifu...Akasahau kwamba baadhi ya tuliowaamini ndo wametufikisha hapa tulipo!!!!
      Sikonge and Rutashubanyuma like this.

    16. #16
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Ruta si umeona Mkapa alivyokuwa anajibu kuhusiana na hilo! eti yeye aliidhinisha jengo linunuliwe lakini haikuwa kazi yake kufuatilia malipo na mengineyo....Huu si upuuzi huu?! Hawa watu wanatukoroga kama mboga ya majani iliyokosa mlenda.
      @............Mkapa ni jambazi hilo ndilo ambalo linanichefua.................. ..kwamba hakuna wa kumwajibisha kwa sababu serikali yote imeoza.........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    17. #17
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Rutashubanyumaaka Ruta -ambaye-hataki kurudi Nyuma. Hivi hapo Mkapa ana kosa gani.? Kama kunacheji ililiwa sawa lakini kama

      • kuna mchezo walifanya
      • tena mchezo huo kama ni kweli ulilifanywa kwa masalahi ya taifa
      • tena mashali hayo hayakupitishwa tu na mkapa (kama taasisi ya Rais)bali baraza la mawaziri



      BAsi mi naona hakuna tatizo.

      Issue hii haipishani sana na Issue ya rada kwa seriakali ya UK.tena kule UK kuna mawaziri walipinga Tanzania isiuziwe rada lakini kwa maslahi ya UK Tony blair(kwa mtazamao wake) akafumba macho na masikio.

      Kama kuna kesi ya kuweza kumfunga mkapa hii haimo hata katika 10 bora
      @ kwanza nikupongeze kwa kulijua maana ya tafsiri sahihi ya jina langu.....................laki ni fedha imeliwa na jengo halina hadhi ya hiyo hela na Mkapa kakiri kuwa yeye ndiye kinara wa kuidhinisha huo ufisadi kwanini yeye asiwe mshtakiwa nambari one......ya radar yako wazi hata hela zimerudishwa na Mkapa alipitisha na huku akijua ni ufisadi kwa sababu hakufuata taratibu za manunuzi..................sasa kwanini yeye asiwe mshtakiwa nambari one na Sumaye nambari two na wajumbe wengineo wa baraza la mawaziri wakafuata? Tatizo la Mkapa anafikiri baraza la mawaziri lipo juu ya sheria jambo ambalo anajidanganya hata yeye hayupo juu ya sheria na anaweza kushtakiwa kwa ufisadi wake wa miaka 10 in power..........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    18. #18
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4570
      Likes Given
      7577

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Hata kama aliagiza kwa mdomo ..watendaji wake na Katibu Mkuu Kiongozi wake walipaswa kuiweka kwenye kumbukumbu...ili nchi iendeshwe kwa "uwazi" na sio "Wizi"..Lumbanga amesema hajui..Mkapa anashangaa kauli ya Lumbanga kwamba hajui.... Rais wa nchi mmoja kushabikia/ au kutozingatia kanuni za nchi nyingine kukwepa kodi ni Mshangao Mkubwa Zaidi! ... Nilifurahishwa na swali la Wakili aliyemwuuliza iwapo malipo ya pili yalibuniwa na Balozi Mahalu ili azitie kibindoni? Mkapa akjibu kwa.. Mahalu ni mwaminifu...Akasahau kwamba baadhi ya tuliowaamini ndo wametufikisha hapa tulipo!!!!
      BabuK...........Mkapa laana ya ufisadi ndiyo imemfikisha hapo alipo hata hajui namna ya kujitetea na anazidi kutufumbua macho kumbe alikuwa akiendesha nchi bila ya kuzingatia sheria ambazo yeye mwenyewe alizipitisha kumbe alizipitisha akidhani ni za nguruwe tu...........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    19. #19
      Kigarama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2007
      Location : Manzese kwa Mfuga Mbwa
      Posts : 2,359
      Rep Power : 16282
      Likes Received
      975
      Likes Given
      703

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Rutashubanyuma hapa kwangu leo mambo safi kabisa tunakula ugali Katoga!!
      Rutashubanyuma likes this.
      UKIDHANI WEWE SI MWENDAWAZIMU PIMA KWANZA UHUSIANO WAKO NA MACHIZI!!

    20. #20
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

      Wanaweza kupiga chenga mahakama za binadamu, lakini mahakama ya Mungu haikimbiliki, haijibiwi kifedhuli, haitolewi rushwa. Na kuna msemo, kwa kujipa moyo, Mungu atawahukumu hapa hapa, akhera kunakwenda hesabu tu.
      Watanzania hatustahiki kutendewa haya. Vilio vyetu vitageuka kuwa laana kwao. Wangepaswa kulijua hilo-
      Rutashubanyuma likes this.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...