Nilipenda event yenyewe. Mjomba kaambiwa yeye analima wapi
Naona Mkuu wa Kaya amekula pozi kama mtu aliyevimbirwa makande!
“If you can not get what you love, then love what you have”
Ujumbe wa kupangwa huu.....maandamano ya kupinga serikali ya kusindikizwa na Polisi badala ya kuzuiwa sijawahi kuyasikia Tanzania hii
Zogolo Dangu Dawika Miye!
The last big laugh of the bluff
Message has been delivered
Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz
huu nao ni ujumbe wa kumfanya muhusika mkuu acheke?
Last edited by Narubongo; 2nd March 2012 at 16:25.
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)
Kama kwaida full kujichekesha hata kwenye serious issues km hiyo
Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!
Delivered to wrong person....KJ
Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!
mama mshika bango hati mchezo yuko serious...
Follow Us Here