hapa jamaa wameamua kufunga barabara ili wenyewe waendelee na ujenzi. Jamani hii nchi yetu inanuka rushwa! Angalia hiyo attachment nimeweka picha.
hapa jamaa wameamua kufunga barabara ili wenyewe waendelee na ujenzi. Jamani hii nchi yetu inanuka rushwa! Angalia hiyo attachment nimeweka picha.
Wapi hiyo?
CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.
Nchi ina laana hii..ukienda mamlaka husika watakuambia upuuzi mtupu..ndio mana mm napendekeza tulianzishe tu ili watu watii sheria...
Watu wa ardhi wpo, serikali ipo! Inasikitisha 97% ya jiji la Dar lina makazi holela ambayo hayajapimwa!
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Naomba mtume malalamiko kwa mamlaka inayohusika, unaweza kukuta mkuu wa serikali ya mtaa tayari ameshanunuliwa.
Halmashauri ya Kinondoni IMEOZA ,imejaa watendaji wabovu na wala rushwa; wao ndio wanaoharibu ramani za mji kwa kufanya CREATIONS za viwanja sehemu za wazi na pia kufumbia macho wenye pesa wanapojenga mpaka kuziba barabara za watu kupita; Mfano mzuri ni pale Jangwani beach mtu amejenga ukuta maksudi na kuziba barabara na malalamiko ya wananchi mpaka kwa waziri hayajafanyiwa kazi.!!Iliyobaki sasa ni wanannchi kujichukulia shera mkononi na kuvunja hizi kuta.
sina uhakika na sheria ila malipo hufanyika manispaa kwa kufunga barabara
hata kama ni msiba lazima ulipie manispaaa!!!!
.....Chuma cha reli hakishiki kutu...
Kama spika wa bunge amefunga barabara kwa nini na sisi tusiweze?
Hivi Afrika Sana ni Sinza ama Mwenge?
Mimi miaka yote napajua kama Mwenge!
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Mbona naona kama vile barabara haijafungwa?
Annuntio vobis gaudium magnum; habemus Papam: Eminentissimum ac Reverendissimum Dominum, Dominum Georgium Marium Sanctae Romanae Ecclesiae Cardinalem Bergoglio qui sibi nomen imposuit Franciscum
Ghorofa kubwa hazina hata parking...tunaishia kuacha magari Ambiance
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Nini hiyo baba nenda Mbezi kwa Msuguri, Jamaa kajenga kwenye hifadhi ya barabara, kawekewa X abomoe. Kwa jeuri kawapa Serikali ya mtaa chumba kama ofisi akamalizia kujenga na sasa anaendelea bila wasi wasi wowote ule
I am not the same person today as I was 10, 20, or 30 years ago, for I have welcomed life's changes on my heart, face, and mind.
Follow Us Here