Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,115
      Rep Power : 19195
      Likes Received
      8055
      Likes Given
      26515

      Angry Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake


      Mwanajeshi wa Marekani akiliwa denda na mwanaume mwenzake
      Wednesday, February 29, 2012 2:51 AM
      Picha ya mwanajeshi wa Marekani aliyetoka kwenye vita vya Afghanistan akikaribishwa Marekani kwa kunyonyana ndimi na mwanaume mwenzake huku akiwa amepakatwa imekuwa gumzo duniani.
      Mwanajeshi huyo mwenye cheo cha Sajenti aliyejulikana kwa jina la Brandon Morgan aliruka na kutua kwenye kifua cha mpenzi wake mwanaume mwenzake na kumkumbatia na kuanza kunyonyana ndimi live live bila chenga.

      Tukio hilo lilitokea nchini Marekani wakati wa sherehe za kuwakaribisha nyumbani wanajeshi wa Marekani waliokuwa wakipagana vita dhidi ya Taliban nchini Afghanistan.



      Picha ya mwanajeshi wa Marekani aliyetoka kwenye vita vya Afghanistan akikaribishwa Marekani kwa kunyonyana ndimi na mwanaume mwenzake huku akiwa amepakatwa imekuwa gumzo duniani. Gonga World News kwa habari zaidi.
      Picha ya sajenti Morgan akiwa amemdandia mpenzi wake wa kiume akinyonyana naye ndimi imekuwa gumzo kubwa sana duniani.

      Sajenti Morgan ambaye ni mkazi wa California hajakasirishwa na kusambaa kwa picha hiyo na badala yake amewashukuru baadhi ya watu waliompongeza na kuwatakia maisha mema yeye na mpenzi wake wa kiume.

      Sheria ya Marekani ya kupiga vita ushoga na usagaji ilifutwa miezi mitano iliyopita hivyo kuwapa nafasi mashoga na wasagaji kujitangaza wazi bila woga.

      Angalia picha ya sajenti Morgan akinyonyana ndimi na mpenzi wake ambaye ni mwanaume mwenzake

      MAMBO YA DAVID CAMEROON YAPO MPAKA AMERIKA? KASHESHE KWELI DUNIA YETU HII
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,115
      Rep Power : 19195
      Likes Received
      8055
      Likes Given
      26515

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Rowan Williams: Gay Marriage Wrong Because It Imposes Cultural Change

      BY CARLOS SANTOSCOY
      PUBLISHED: FEBRUARY 29, 2012




      Rowan Williams, the archbishop of Canterbury and head of the Church of England, has criticized an effort to legalize gay marriage in Britain, arguing it would impose cultural change.
      The UK's Conservative Party last September unveiled plans to make gay nuptials legal in Britain before 2015. The Conservative Party, Britain's largest political party, governs in coalition with the Liberal Democrats. Prime Minister David Cameron, who helms the Conservative Party, supports the move.
      Great Britain currently recognizes gay and lesbian couples with civil partnerships, which offer most of the legal protections of marriage.
      In a major speech on human rights to a World Council of Churches gathering in Geneva, Williams sided with other leading clergy who have launched a campaign to derail the government's plans.
      “Law must prohibit publicly abusive and demeaning language, it must secure institutions that do not systematically disadvantage any category of the community,”Williams told colleagues. “But these tasks remain 'negative' in force. If it is said, for example, that a failure to legalize assisted suicide – or indeed same-sex marriage – perpetuates stigma or marginalization for some people, the reply must be, I believe, that issues like stigma and marginalization have to be addressed at the level of culture rather than law, the gradual evolving of fresh attitudes in a spirit of what has been called 'strategic patience' by some legal thinkers.”
      Williams, who as leader of the Church of England is the spiritual leader of the Anglican Communion, of which the Episcopal Church is the American branch, has previously protested the American church's increasingly liberal attitude toward the issue of gay marriage.
      The government is expected to release a consultation document detailing its plans on the law in March.

      source. Rowan Williams: Gay Marriage Wrong Because It Imposes Cultural Change
      tedo likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    4. #3
      B'REAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : streat
      Posts : 1,206
      Rep Power : 676
      Likes Received
      196
      Likes Given
      82

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      masikini weee kajiachie mwenyewee...alivyo jibenuaa 2 mmmh!!
      MziziMkavu likes this.

    5. #4
      Wambandwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2006
      Posts : 1,209
      Rep Power : 883
      Likes Received
      193
      Likes Given
      411

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Ushoga ni upunguani, wehu na wendawazimu. Wanyama wasiokuwa na tafakuri hawafanyi mambo haya inakuwaje kwa mwanadamu?
      For God so loved the world that he gave his one and only Son, that whoever believes in him shall not perish but have eternal life.
      John 3:16


    6. #5
      arabianfalcon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Nipe tena
      Posts : 2,192
      Rep Power : 873
      Likes Received
      494
      Likes Given
      96

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Loh! mwenyezi mungu atustiri tena yuko na nguo za kazini....
      The hunger for love is much more difficult to remove than the hunger for bread - Mother Teresa

    7. Miaka 50

    8. #6
      Chipukizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Location : Manzese
      Posts : 1,047
      Rep Power : 728
      Likes Received
      263
      Likes Given
      30

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Jeshi la Marekani rimeruhusu Mashoga na wasagaji kujiunga nalo.so sio tatizo kwao kufanya haya
      MziziMkavu likes this.

    9. #7
      Rada's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 112
      Rep Power : 386
      Likes Received
      36
      Likes Given
      13

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Du sipati picha hawa jamaa wanavyofeel, hakyanani dunia kwishney!
      MziziMkavu likes this.

    10. #8
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,336
      Rep Power : 3365
      Likes Received
      1080
      Likes Given
      769

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Mhh ... napita
      MziziMkavu and Isaiah 54 like this.

    11. #9
      jane_000's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th February 2012
      Posts : 547
      Rep Power : 0
      Likes Received
      43
      Likes Given
      4

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      kwaraha zao
      MziziMkavu likes this.

    12. #10
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,682
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6338
      Likes Given
      2831

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Ptuuuuuuuuuuuuuuuup!
      MziziMkavu likes this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    13. #11
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Pale mmoja wao ni mke. Watu weupe we achana nao


      Huyu ni Rais wa Iran
      Cynic and MziziMkavu like this.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    14. #12
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 14,991
      Rep Power : 31271
      Likes Received
      7418
      Likes Given
      7411

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      yaliyonenwa na kutabiriwa sasa yanatimia...
      MziziMkavu likes this.

    15. #13
      Kubwajinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2008
      Location : Ilala, Tanzania 10001
      Posts : 1,638
      Rep Power : 706
      Likes Received
      72
      Likes Given
      128

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Why should we care? Leave them alone. Gay people existed even before the holly books. O/w if you are too curious of what they are doing, join them and give us the feed back.
      MziziMkavu likes this.

    16. #14
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Quote By Kubwajinga
      Why should we care? Leave them alone. Gay people existed even before the holly books. O/w if you are too curious of what they are doing, join them and give us the feed back.

      Subuhannalah!
      MziziMkavu likes this.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    17. #15
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 624
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Dah!!! kichefuchefu....
      MziziMkavu likes this.
      HAKI HAITAFUTWI UKIWA UMELALA KITANDANI...................

    18. #16
      BelindaJacob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Location : Санкт-Петербург
      Posts : 5,249
      Rep Power : 4144
      Likes Received
      1821
      Likes Given
      1286

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Quote By shizukan
      Pale mmoja wao ni mke. Watu weupe we achana nao
      Ewww! cheki huyo mwenye nguo ya jeshi kama shosty..!
      MziziMkavu likes this.
      Bésame Mucho...!!!

    19. #17
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By BelindaJacob
      Ewww! cheki huyo mwenye nguo ya jeshi kama shosty..!
      ni shosti!
      MziziMkavu likes this.

    20. #18
      Emanuel Makofia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : B.O.T
      Posts : 3,425
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      486
      Likes Given
      283

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Quote By Kubwajinga
      Why should we care? Leave them alone. Gay people existed even before the holly books. O/w if you are too curious of what they are doing, join them and give us the feed back.
      astakafirullah!
      MziziMkavu likes this.
      .....Chuma cha reli hakishiki kutu...

    21. #19
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,394
      Rep Power : 644
      Likes Received
      397
      Likes Given
      91

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake

      Huyu aliye pakatwa anafukuliwa amefrahi kumwona basha wake
      MziziMkavu likes this.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    22. #20
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,394
      Rep Power : 644
      Likes Received
      397
      Likes Given
      91

      Default Re: Aibu ya Mwanajeshi wa Marekani Apakatwa, Anyonywa Ndimi na Mwanaume Mwenzake



      Mmoja hapo ni punga, inaonyesha harufu ya kinyesi ni nzuri kwao.
      MziziMkavu likes this.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...