Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PICHA: Miaka 50 ya uhuru toka uwanja wa Uhuru - Dar

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,210
      Rep Power : 12015
      Likes Received
      2663
      Likes Given
      1584

      Default PICHA: Miaka 50 ya uhuru toka uwanja wa Uhuru - Dar



      Ndege za Kivita kutoka JWTZ





















      polisi wakiimarisha ulinzi

      waendesha bodaboda wakijiandaa kuingia kwa maandamano

      jwtz wameamua kusimama wenyewe getini baada ya polisi kulemewa na watu

      watu wakilazimishwa kwenda uwanja mpya kuangalizia matukio kwenye big tv

      watu wamepanda juu kwenye uwanja mpya ili waweze kuona yanayoendelea uwanja wa uhuru

      huyu ni seif hamad makamu wa rais zanzibar
      Attached Thumbnails                    
      Saint Ivuga and Duble Chris like this.
      If you obey all the rules, you miss all the fun.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 848
      Likes Received
      662
      Likes Given
      937

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      Hawa jamaa wa boda boda wamepewa hesabu yao ya siku ya leo + hizo jersey (na joto hili!!!) au wanajitolea kusheheekea UHUNI wa viongozi wetu?
      STUKA!!

    4. #3
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 763
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      Poor Tanzanians! i will always sob for you lot! God bless Tz God bless Africa.
      "A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)


    5. #4
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,210
      Rep Power : 12015
      Likes Received
      2663
      Likes Given
      1584

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      wanajeshi wakiwa wanajiandaa kuingiza zana za kivita siku ya uhuru





      Attached Thumbnails            
      Duble Chris likes this.
      If you obey all the rules, you miss all the fun.

    6. #5
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,238
      Rep Power : 5109
      Likes Received
      2789
      Likes Given
      232

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      mbona hawa madereva wa bodaboda walipigwa vita kweli imekuwaje kuwepo kwenye msafara..
      Masikini_Jeuri likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Nyumbu-'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Posts : 667
      Rep Power : 642
      Likes Received
      65
      Likes Given
      205

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      Nilitegemea kwenye miaka hamsini ya uhuru tuzindue hata Baiskeli iliyotengenezwa Tanzania....Kumbe hata magari tunatumia Mercidez ya Ujerumani waliotutawala? Aibu kweli mie siji uwanjani!
      Masikini_Jeuri likes this.

    9. #7
      chandika's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 6
      Rep Power : 381
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      sijui tu huko leo kama kuaningilika maaana washikaji wametanda kinoma,,

    10. #8
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      918
      Likes Given
      459

      Default Zitto shavu dodo!

      zitto kwenye sherehe za miaka hamsini ya uhuru(dar es salaam leo)

      Attached Thumbnails  
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    11. #9
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,765
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      430
      Likes Given
      821

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      Uhuru ndo tunaenda vitani?

      haya mavi-faru ya nini tena au ndo mtindo wao ccm kuwatishia watu

      To hell ccm

    12. #10
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,739
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      sijaona kifaa cha maana hadi hapao..nyumbu?? yaani akili yetu ndio imefikia hapa?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    13. #11
      amkawewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 750
      Rep Power : 527
      Likes Received
      121
      Likes Given
      535

      Default Re: Zitto shavu dodo!

      Naamini ataendelea kufikisha ujumbe kwamba ukombozi wa kweli bado.

    14. #12
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,363
      Rep Power : 2752
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      935

      Default Re: Zitto shavu dodo!

      Kwa wataalam wa lugha,,
      kwanini hauwezi kusema ,,,"shavu ndii"!!! au "mimba dodo!"?
      ,,,,,,,,Jisachi

    15. #13
      MGAWARIZIKI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Posts : 306
      Rep Power : 489
      Likes Received
      45
      Likes Given
      12

      Default Re: Zitto shavu dodo!

      Anaonekana kama hakuugua

    16. #14
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 848
      Likes Received
      662
      Likes Given
      937

      Default Re: Zitto shavu dodo!

      hii ndo kitu gani sasa

    17. #15
      Calnde's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2008
      Location : Still looking where to settle
      Posts : 1,367
      Rep Power : 815
      Likes Received
      251
      Likes Given
      148

      Default Re: PICHA: Miaka 50 ya uhuru toka uwanja wa Uhuru - Dar

      Im sorry kama ntakuwa naenda nje ya mada, ila mbona Zitto kama amezeeka jamani au?
      In the end will remember,not the words of our enemies but the silence of our friends.

    18. #16
      Calnde's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2008
      Location : Still looking where to settle
      Posts : 1,367
      Rep Power : 815
      Likes Received
      251
      Likes Given
      148

      Default Re: Zitto shavu dodo!

      Quote By Mchaka Mchaka
      zitto kwenye sherehe za miaka hamsini ya uhuru(dar es salaam leo)

      Dah mheshimiwa Zitto mbona kama amezeeka jamani? Au ndo madhara ya kususia posho?
      In the end will remember,not the words of our enemies but the silence of our friends.

    19. #17
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 710
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      Quote By ndetichia
      mbona hawa madereva wa bodaboda walipigwa vita kweli imekuwaje kuwepo kwenye msafara..
      wanatumika kisiasa, na wao wanaitumia fursa kujiweka sawa kuwa huru kujitafutia rizki,
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    20. #18
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 710
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: picha za uhuru leo asubuhi

      Quote By king of kings
      uhuru ndo tunaenda vitani?

      Haya mavi-faru ya nini tena au ndo mtindo wao ccm kuwatishia watu

      to hell ccm
      pesa zilizotumika kununua hiyo midude zingetumika kununua madawa na kuwalipa posho wanafunzi wa elimu ya juu vya kutosha kabisa.
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    21. #19
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1449
      Likes Received
      845
      Likes Given
      351

      Default Re: PICHA: Miaka 50 ya uhuru toka uwanja wa Uhuru - Dar

      Zitto usoni anaonekana unkept hana mke...??? huo ndio mchango wangu wa miaka 50 ya uhuru hahahahah
      Masikini_Jeuri likes this.

    22. #20
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,210
      Rep Power : 12015
      Likes Received
      2663
      Likes Given
      1584

      Default

      Quote By Mchaka Mchaka
      zitto kwenye sherehe za miaka hamsini ya uhuru(dar es salaam leo)

      Mkuu una uhakika huyu ni zitto? au umemfananisha?. Mia

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 408
      Last Post: 9th December 2011, 21:58
    2. Replies: 0
      Last Post: 1st December 2011, 09:01
    3. Replies: 6
      Last Post: 1st July 2010, 19:25

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...