Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Pomole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 258
      Rep Power : 472
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Kutokana na hali halisi ya usafi wa glasi kuwa kizungumkuti katika sehemu nyingi za vinywaji yaani hazioshwi,au hazioshwi vema au zinalowekwa tu kumekuwa na wimbi kubwa la watu kupiga tarumbeta(kunywea kupitia chupa bila glasi)
      Chupa za siku hizi hasa ndovu zina karatasi laini ambayo inafunika hadi kifuniko!!ukichunguza kwa makini hii karatasi inawekwa na gundi fulani ambayo ina ka harufu ka kali tu ikiwa mbichi,swali langu ni kuwa hii gundi na hii karatasi ya dhahabu havina madhala kwa wanywaji,Naomba wataalamu mtusaidie ili tunywe kwa amani



    2. Miaka 50

    3. #2
      KIMICHIO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Location : KITANDANI
      Posts : 1,155
      Rep Power : 677
      Likes Received
      66
      Likes Given
      24

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Bora mi sinywi ndovu nakunywa castle lager bariiiiiiiiiiiidi inayovuja jasho.
      MWISHO WA UBAYA NI AIBU ILA KIKONGWE HAFI KITOTO.

    4. #3
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,135
      Rep Power : 6365
      Likes Received
      1486
      Likes Given
      417

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Quote By KIMICHIO
      Bora mi sinywi ndovu nakunywa castle lager bariiiiiiiiiiiidi inayovuja jasho.
      Mimi Viroba!
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    5. #4
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,761
      Rep Power : 15108
      Likes Received
      7226
      Likes Given
      6902

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      boha halina yote hayo....
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    6. #5
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,092
      Rep Power : 3260
      Likes Received
      1246
      Likes Given
      1196

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      haina madhara,mbona mimi nakunywa toka ziingie sokon lakn mpaka sasa niko poa.......ww piga ondoa shaka kwenye starehe(starehe gharama)
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      ezechuku's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd February 2010
      Posts : 8
      Rep Power : 474
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      duuuuuuuuuuuuuuuuuu bora mimi nakunywa safari baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiii!!!!!

    9. #7
      Joseph's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Location : Zanzibar
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1145
      Likes Received
      697
      Likes Given
      422

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Kwa hali yoyote ile zile karatasi zitakuwa na madhara kwani kuna kemikali ambazo huwa zinatumika kutengeneza aina ile ya karatasi,na kwa kuwa zimewekwa kuifanya chupa iwe katika muonekano mzuri sidhani kama kuna viwango vya usalama wa mtumiaji wa kunywa kwa chupa vimezingatiwa,kama kuna mdau hapa wa TBL atujuze kuhusu hili.
      You can never have someone praise you,nor will anyone condemn you,never in the past,not at present and never will be in the future.

    10. #8
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,989
      Rep Power : 24152
      Likes Received
      4704
      Likes Given
      2647

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji


      Mbona umemtumia kaka yangu kama mfano ilhali yeye ni almahrum? RIP Kaka Ramzan Majungu

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    11. #9
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,370
      Rep Power : 2115
      Likes Received
      1731
      Likes Given
      676

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Mimi nakunywaga Mbege,Gongo na Wanzuri!hayo mambo yenu mimi siyafahamu hata kidogo!!

    12. #10
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Mimi nakunyaga hotpoint kutoka rusia.
      Hizo zenu sizijui.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    13. #11
      Shomari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 991
      Rep Power : 770
      Likes Received
      170
      Likes Given
      622

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      hii siyo sehemu ya matangazo

    14. #12
      Pomole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 258
      Rep Power : 472
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Joseph -Nimekupata mdau-tusubiri wadau wa tbl watujuze vizuri

    15. #13
      Pomole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 258
      Rep Power : 472
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      IGWE-Nimeipata comment yako-kuna wakati huwa tunafuta na tishu lakini vitengo vingine uswazi havina tishu!!Inawezekana madhala ya papo kwa papo hayapo!!ni vipi kwa yale ya muda mrefu??

    16. #14
      Mallaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2008
      Location : Jerusalem
      Posts : 2,562
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      24
      Likes Given
      28

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      jibu zuri tu ni kwamba Pombe sio nzuri kwa afya yako.
      Ee Bwana uyasikilize maneno yangu, ukaangalie kutafakari kwangu.

    17. #15
      Pomole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 258
      Rep Power : 472
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      MALLABA-Asante kwa ushauri wako japo huwa nasikia wajumbe wanasema ukinywa kama moja au mbili inaongeza damu!!sijajua kipi ni kipi ila ushauri wa kuacha utafikiriwa!

    18. #16
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 634
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Ukinywa kama 'unanyonya' ndio tatizo lakini ukinywa kama 'unakiss' hutaigusa ile gundi.
      Kuhusu harufu huwa inaisha unapofikia chupa ya 4 au ya 5 hivi.

      "drink beer save water"

    19. #17
      Dreamliner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2010
      Location : Kijijini
      Posts : 1,968
      Rep Power : 868
      Likes Received
      167
      Likes Given
      166

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Dawa ni kuacha, hutakuwa na wasiwasi wa gundi wala kifuniko!

    20. #18
      Pomole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 258
      Rep Power : 472
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      KIPINDUPINDU-Comment yko sijaelewa kunywa kwa kunyonya na kwa ku kiss ndio kunakuwaje?Hapo umeniacha ila kuhusu harufu nimekupata sana!!!nadhani ukishafika huko kwenye 4,5,au 6 hata gundi utaiona kama supu!!!ila sitaki kufika huko wengine vichwa vya panzi mbili ,tatu hoi..!!!

    21. #19
      Omukuru's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Tanganyika
      Posts : 236
      Rep Power : 481
      Likes Received
      35
      Likes Given
      15

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      Ukifungua chupa ile sehemu ambayo mwanzo ilikuwa na kizibo inakuwa haina tena karatasi. Mpaka ulambe gundi ina maana wewe unadumbukiza chupa mdomoni kama unanyonya ninihii.... vinginevyo hakuna cha harufu wala cha gundi.
      Honesty is not a spare wheel that you pull out when you are in trouble; it is a steering wheel that keeps you on the right path throughout the life's journey.

    22. #20
      Taifa_Kwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 443
      Rep Power : 530
      Likes Received
      75
      Likes Given
      36

      Default Re: Swali kwa wapenzi wa kinywaji

      kuondoa mashaka anza kutembea na glass yako

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Kwa mnaoenda baa baada ya kupata kinywaji jitahidi kurudi nyumbani
      By Dr Kingu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 28th September 2011, 00:29
    2. Replies: 83
      Last Post: 7th September 2011, 14:54
    3. Kinywaji gani hiki wakuu?
      By Invisible in forum Jamii Photos
      Replies: 29
      Last Post: 1st April 2011, 01:12
    4. swali kwa kina kaka wenye wapenzi
      By Viper in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 33
      Last Post: 29th September 2010, 18:15
    5. Asanteni PESPI kwa kinywaji hichi
      By El Toro in forum Matangazo madogo
      Replies: 8
      Last Post: 30th May 2010, 18:41

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...