Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Did Mwalimu die a natural death?

    Report Post
    Page 5 of 13 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 257
    1. #1
      IMRAN - SHIMBO's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Did Mwalimu die a natural death?

      I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"
      Mwanamayu and Kimox Kimokole like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #81
      Anko Sam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2010
      Posts : 1,947
      Rep Power : 841
      Likes Received
      304
      Likes Given
      12

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Moyo wangu unadunda kuwa alikufa kama Harace Kolimba ingawa kwa style ya aina yake!

    4. #82
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,542
      Rep Power : 1806
      Likes Received
      2467
      Likes Given
      2505

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Hotuba ya Mwalimu kuadhimisha siku ya wafanyakazi mjini Mbeya ilipigilia msumari wa mwisho kaburi lake kwa sababu ililenga katika kuhakikisha Mkapa hapati awamu ya pili. Kama vile alivyotembea nchi nzima kumnadi Mkapa mwaka 1995, alikuwa tayari kuzunguka nchi nzima mwaka 2000 kumtema huyo huyo Mkapa. Mpango wake huo uliwapa hofu kubwa wabaya wake kwani sio tu ungezima kabisa ndoto zao kwa miaka ya baadaye, ungewaweka wengi kikaangoni. Mwalimu alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje, wananchi kwa wageni ambao kwa pamoja waliapa kuwa njia ilikuwa moja tu ya kujihakikishia ulaji, kummaliza Mwalimu.

      Ajabu ni kwamba Mwalimu alifahamu njama hizo ila kwa kuipenda na kuitakia mema taifa lake alinyamaza kwani angetaka kuwasha moto, pasingekalika. Hebu fikirieni siku Mwalimu anatangaza kuihama CCM kwa uovu wake, nawahakikisheni moto ungewawakia manyang'au ! Baada ya kifo cha Mwalimu CCM imegeuka kuwa hifadhi ya wezi wa mali ya Umma na sasa kansa hii chafu imeingia kila sekta uraiani hadi jeshini na salama ya wote hao ni CCM kubaki madarakani. Lazima pia mkumbuke kuwa Mwalimu alikuwa mzima kabisa kiafya wakati anasherehekea kuzaliwa kwake mwaka moja kabla ya kifo chake na kutabiri angeuona mwaka 2000 !
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    5. #83
      Gelange Vidunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Posts : 306
      Rep Power : 610
      Likes Received
      20
      Likes Given
      37

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Let sleeping dogs lay!
      "Ili tuendelee tunahitaji Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora"
      Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa.

    6. #84
      Leornado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Papua New Guinea
      Posts : 1,382
      Rep Power : 717
      Likes Received
      106
      Likes Given
      134

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Naomba kuuliza, MTU AKILOGWA AU KUCHUKULIWA MSUKULE hii ni aina gani ya kifo, natural au unnatural???manake misikule ipo hai??
      RIP Mwl. Nyerere.

    7. #85
      kaburunye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Location : pandagisiza sogwinaminzi
      Posts : 679
      Rep Power : 599
      Likes Received
      57
      Likes Given
      13

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By Leornado
      Naomba kuuliza, MTU AKILOGWA AU KUCHUKULIWA MSUKULE hii ni aina gani ya kifo, natural au unnatural???manake misikule ipo hai??
      RIP Mwl. Nyerere.
      Kama misukule ipo hai hicho hakiitwi kifo kwa hiyo siyo natural death wala unnatural death. It is not death in the first place. Mkuu inamaana mzee wetu naye alichukuliwa msukule????

    8. Miaka 50

    9. #86
      mikela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2010
      Posts : 1,847
      Rep Power : 841
      Likes Received
      328
      Likes Given
      80

      Default Re: Did mwalimu die a natural death?

      Ni kweli Nyerere aliuawa.
      Alipandikiziwa kansa ya damu ili wale wajanja wachache wajiuzie Benki ya NBC
      Quote By ChiefmTz
      Dah! Jamani wanjf wenye kuhusu issue hii watujuvye. Leo baada ya kupost mchango wangu kwenye hii thread, nilipita sehemu nikakuta mafundi selemara wakibishana, mara mmoja wao kama vile anataka ku win mjadala akasema. Hivi mnajua kuwa hata Nyerere aliuwawa? Sasa huo ni mtazamo wa laymen, je ukweli ni upi?
      Mtanzania Halisi

    10. #87
      Chizi Fureshi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Location : Very Mobile.
      Posts : 364
      Rep Power : 507
      Likes Received
      31
      Likes Given
      11

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      "Umri wa binadamu kuishi ni makumi matatu mawili na kumi moja {(10 x3 x 2)+10}, baada ya hapo ni matatizo" JKN.

    11. #88
      Chizi Fureshi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Location : Very Mobile.
      Posts : 364
      Rep Power : 507
      Likes Received
      31
      Likes Given
      11

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By Mag3
      Hotuba ya Mwalimu kuadhimisha siku ya wafanyakazi mjini Mbeyailipigilia msumari wa mwisho kaburi lake kwa sababu ililenga katika kuhakikisha Mkapa hapati awamu ya pili. Kama vile alivyotembea nchi nzima kumnadi Mkapa mwaka 1995, alikuwa tayari kuzunguka nchi nzima mwaka 2000 kumtema huyo huyo Mkapa. Mpango wake huo uliwapa hofu kubwa wabaya wake kwani sio tu ungezima kabisa ndoto zao kwa miaka ya baadaye, ungewaweka wengi kikaangoni. Mwalimu alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje, wananchi kwa wageni ambao kwa pamoja waliapa kuwa njia ilikuwa moja tu ya kujihakikishia ulaji, kummaliza Mwalimu.

      Ajabu ni kwamba Mwalimu alifahamu njama hizo ila kwa kuipenda na kuitakia mema taifa lake alinyamaza kwani angetaka kuwasha moto, pasingekalika. Hebu fikirieni siku Mwalimu anatangaza kuihama CCM kwa uovu wake, nawahakikisheni moto ungewawakia manyang'au ! Baada ya kifo cha Mwalimu CCM imegeuka kuwa hifadhi ya wezi wa mali ya Umma na sasa kansa hii chafu imeingia kila sekta uraiani hadi jeshini na salama ya wote hao ni CCM kubaki madarakani. Lazima pia mkumbuke kuwa Mwalimu alikuwa mzima kabisa kiafya wakati anasherehekea kuzaliwa kwake mwaka moja kabla ya kifo chake na kutabiri angeuona mwaka 2000 !
      Samahani ndg, hapo kwenye red sijakuelewa kabsaaa.

    12. #89
      Joste's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th June 2009
      Posts : 117
      Rep Power : 527
      Likes Received
      5
      Likes Given
      13

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Nachojua ni kuwa alikuwa mzee wa miaka 70. Miaka sabini si haba!! Aliugua cancer ya damu.... wewe unauliza nini tena na kwa nini leo?. Au ulikwa hujazaliwa wakati anafariki???

    13. #90
      Leornado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Papua New Guinea
      Posts : 1,382
      Rep Power : 717
      Likes Received
      106
      Likes Given
      134

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By kaburunye
      Kama misukule ipo hai hicho hakiitwi kifo kwa hiyo siyo natural death wala unnatural death. It is not death in the first place. Mkuu inamaana mzee wetu naye alichukuliwa msukule????
      Mapenzi niliyokuwa nayo kwa Nyerere nashindwa kukubali kuwa kafa natural Death, nahisi wamemchukua msukule hawa Mafisadi ili awaone wanavyokula kuku kwa mrija. Nyerer was fit, kansa huwa haiwauwi wazee haraka hivyo manake cell zao mwílini hazijireproduce fasta kama kwa vijana...nahisi wataalam wa Kansa wanajua zaidi... Ila kansa ya Nyerere ilikuwa ya ghafla sana kama Maleria....... Si bure kuna kitu.

    14. #91
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,626
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12257

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Labda itasaidia kupata jawabu kama tutapata sababu zilizopelekea familia ya Mwalimu kumpiga marufuku daktari wake Mtanzania asimsogelee katika wiki za mwisho za uhai wake pale London. Pili, ni kwa nini serikali iliamua kumpeleka London wakati walijua kuwa Uingereza haikuwa na uwezo wakati huo kutibu leukemia, kama kweli leukemia ndio uliomsumbua Mwalimu? Kwa nini daktari wake hakushauri apelekwe New York kwa yule daktari aliyempima Mwalimu 1998? Kwa nini alipelekwa hospitali ya St. Thomas ambayo ni general hospital isiyo specialize na magonjwa maalumu na kwa nini alipokuwa London aliwekwa hotelini mpaka alipozimia? Na alipopelekwa hospitali kwa nini hakuwekwa chumba maalumu akawekwa tu eneo wazi la wagonjwa wote?Tukipata majibu kwa maswali haya tutakuwa tumepata mwangaza wa hali ya siku za mwisho za Mwalimu London.

    15. #92
      Mgoni sugu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By Mag3
      Hotuba ya Mwalimu kuadhimisha siku ya wafanyakazi mjini Mbeya ilipigilia msumari wa mwisho kaburi lake kwa sababu ililenga katika kuhakikisha Mkapa hapati awamu ya pili. Kama vile alivyotembea nchi nzima kumnadi Mkapa mwaka 1995, alikuwa tayari kuzunguka nchi nzima mwaka 2000 kumtema huyo huyo Mkapa. Mpango wake huo uliwapa hofu kubwa wabaya wake kwani sio tu ungezima kabisa ndoto zao kwa miaka ya baadaye, ungewaweka wengi kikaangoni. Mwalimu alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje, wananchi kwa wageni ambao kwa pamoja waliapa kuwa njia ilikuwa moja tu ya kujihakikishia ulaji, kummaliza Mwalimu.

      Ajabu ni kwamba Mwalimu alifahamu njama hizo ila kwa kuipenda na kuitakia mema taifa lake alinyamaza kwani angetaka kuwasha moto, pasingekalika. Hebu fikirieni siku Mwalimu anatangaza kuihama CCM kwa uovu wake, nawahakikisheni moto ungewawakia manyang'au ! Baada ya kifo cha Mwalimu CCM imegeuka kuwa hifadhi ya wezi wa mali ya Umma na sasa kansa hii chafu imeingia kila sekta uraiani hadi jeshini na salama ya wote hao ni CCM kubaki madarakani. Lazima pia mkumbuke kuwa Mwalimu alikuwa mzima kabisa kiafya wakati anasherehekea kuzaliwa kwake mwaka moja kabla ya kifo chake na kutabiri angeuona mwaka 2000 !
      Natural death ile, alikwa na kansa ya ******. "Bowel cancer"

    16. #93
      Mapinduzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2008
      Posts : 2,429
      Rep Power : 1034
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By Jasusi
      Labda itasaidia kupata jawabu kama tutapata sababu zilizopelekea familia ya Mwalimu kumpiga marufuku daktari wake Mtanzania asimsogelee katika wiki za mwisho za uhai wake pale London. Pili, ni kwa nini serikali iliamua kumpeleka London wakati walijua kuwa Uingereza haikuwa na uwezo wakati huo kutibu leukemia, kama kweli leukemia ndio uliomsumbua Mwalimu? Kwa nini daktari wake hakushauri apelekwe New York kwa yule daktari aliyempima Mwalimu 1998? Kwa nini alipelekwa hospitali ya St. Thomas ambayo ni general hospital isiyo specialize na magonjwa maalumu na kwa nini alipokuwa London aliwekwa hotelini mpaka alipozimia? Na alipopelekwa hospitali kwa nini hakuwekwa chumba maalumu akawekwa tu eneo wazi la wagonjwa wote?Tukipata majibu kwa maswali haya tutakuwa tumepata mwangaza wa hali ya siku za mwisho za Mwalimu London.
      Heshima mbele sana mkuu Jasusi. Najua wajua kwamba najua unajua mengi kuhusu mwalimu, maradhi hadi kifo chake. Binadamu wachache wanakubali kuondokewa na ndugu, rafiki kwa njia ya kifo na kukubali kifo kilikuwa ni natural, lazima itatafutwa sababu ya kifo, lazima atatafutwa mzembe aliyesababisha uhai wa marehemu kukatishwa.

      Kwa mfano, hata pale binadamu anapokuwa na ndugu anayesumbuliwa na VVU na hatimaye UKIMWI, bado sababu itatafutwa, wengine watahusisha na uchawi au kupewa sumu kwa wivu wa maendeleo. Natural death ni kama vile iko kwa ajili ya wateule wachache. Wateule wengi maisha yao yangeweza kuokolewa isipokuwa ni kwa sababu ya mambo kadha wa kadha.

      Migogoro mingi ya kifamilia/kirafiki/kimahusiano huibuka wakati wa ugonjwa na mingine kukuzwa au kuzimwa baada ya kifo.

      RIP Julius na wafu wengine.

      Kwa upungufu kwa kinga mwilini, pengine daktari wake aliona atibiwe kwenye general hospital.
      Usiogope kufa, ogopa kukosa pesa. Kilimo kwanza

    17. #94
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Did mwalimu die a natural death?

      Quote By Mag3
      Hotuba ya Mwalimu kuadhimisha siku ya wafanyakazi mjini Mbeya ilipigilia msumari wa mwisho kaburi lake kwa sababu ililenga katika kuhakikisha Mkapa hapati awamu ya pili. Kama vile alivyotembea nchi nzima kumnadi Mkapa mwaka 1995, alikuwa tayari kuzunguka nchi nzima mwaka 2000 kumtema huyo huyo Mkapa. Mpango wake huo uliwapa hofu kubwa wabaya wake kwani sio tu ungezima kabisa ndoto zao kwa miaka ya baadaye, ungewaweka wengi kikaangoni. Mwalimu alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje, wananchi kwa wageni ambao kwa pamoja waliapa kuwa njia ilikuwa moja tu ya kujihakikishia ulaji, kummaliza Mwalimu.

      Ajabu ni kwamba Mwalimu alifahamu njama hizo ila kwa kuipenda na kuitakia mema taifa lake alinyamaza kwani angetaka kuwasha moto, pasingekalika. Hebu fikirieni siku Mwalimu anatangaza kuihama CCM kwa uovu wake, nawahakikisheni moto ungewawakia manyang'au ! Baada ya kifo cha Mwalimu CCM imegeuka kuwa hifadhi ya wezi wa mali ya Umma na sasa kansa hii chafu imeingia kila sekta uraiani hadi jeshini na salama ya wote hao ni CCM kubaki madarakani. Lazima pia mkumbuke kuwa Mwalimu alikuwa mzima kabisa kiafya wakati anasherehekea kuzaliwa kwake mwaka moja kabla ya kifo chake na kutabiri angeuona mwaka 2000 !
      Sawa, baada ya kugundua mr. Clean is not clean!!

      Quote By Ngongo

      Heshima kwako Mag3,

      Mkuu nakubali hoja yako zipo sababu kibao zinazothibitisha unayosema.Mfano mmoja mkubwa baada ya kifo cha Mwl tulishuhudia Mkapa akianza kufuja mali za umma na mikataba mibovu kuliko ile ya Liberia iliyokuwa inakabiliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

      Ukiutazama ufisadi ulivyotamalaki Tanzania hakika unabakia na jibu moja kubwa Mwl hakutuchagulia mrithi sahihi.
      Ni notion iliyojengeka vichwani mwa watu kwa miaka mingi, lakini si kweli.

      Nyerere personally alikosea sana alipowaamini usalama wa taifa mno kuliko kawaida. mafisadi walipitia huko huko, hata wakati anafanya mchakato wa nani aje kuwa rais wa nchi hii, aliwatumia hao hao UWT, kumbuka kuwa neno MR.CLEAN limetokea UWT na alishapewa kabla hata ya kufika dodoma kwenye uteuzi wa mgombea wa urais. Mkapa alipandikizwa, akapigiwa chapuo kwa Nyerere, Nyerere akajaa mzima mzima! he was right to trust them!!! God help Us! tu na akapewa sifa na baadae ilibidi azirudishe fadhila bila yey kujua au kuwa na nguvu.

      Hata ilipofikia kuwa jamaa wanataka wamuondoshe JKN Mkapa hakuwa na la kufanya, wakati akina Kikwete wanazitoa fedha za EPA Mkapa hakuwa na nguvu tena!!!

      PM-Pinda alipokuja kusema nchi ina wenyewe na ukiwagusa nchi itatikisika hakuwa anadanganya!

      Nasisitiza kuwa JKN alipandikiziwa hiyo cancer South Africa! UWT wanalijua vyema hili swala na wanajua lini haswa alikufa.



      Quote By Zakumi
      Jasusi:

      Siri gani tena hiyo wajemeni? Lakini inawezekana maana baada ya kuondoka tu, ubinafshaji wa NBC one of his master piece went so fast.
      ukwelikitugani likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    18. #95
      Mu-sir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 1,262
      Rep Power : 689
      Likes Received
      326
      Likes Given
      345

      Default

      Quote By IMRAN - SHIMBO
      I have always failed to be convinced that mwalimu julius kambarage nyerere died: A natural death!
      kwani Dr.OMAR ALI JUMA vp yeye hakuna utata?

    19. #96
      Micho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th April 2009
      Posts : 59
      Rep Power : 526
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Did mwalimu die a natural death?

      Quote By Mag3
      Naona wengine mnajaribu saaana kukwepa swali ama kwa makusudi au kwa kutokujua. Sijui kama sababu ni uchanga wenu kimawazo au kuna wale ambao wanaogopa na wasingependa kukutana uso kwa uso na ukweli.

      Uhai wa Mwalimu ulikuwa ni mwiba kwa mipango ya watu wengi na kisiki kwa walafi. Hali ya mambo kama tunayoishuhudia hivi sasa ni matunda na uthibitisho wa hilo kama yalivyokuwa matokeo ya uchaguzi mwaka 2000.

      Wahusika walinufaika sana na kifo cha Mwalimu na hawakuwa hata na chemba cha aibu kusherehekea tukio hilo. Huku kubeza hoja iliyoletwa mbele yetu ni moja ya mbinu iliyopangwa na ilitegemewa. Hizi nguvu nyingi za kunga'ng'ania madarakani si bure - kuna mengi ya kufichwa !

      Are you for real?!!

    20. #97
      Micho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th April 2009
      Posts : 59
      Rep Power : 526
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By chizi fureshi
      samahani ndg, hapo kwenye red sijakuelewa kabsaaa.



      jamani eeeh...yana mwisho haya tuchague chadema next time...sisiem haitufai...hakuna mzalendo hata mmoja ndani ya chama hiki jamani..

    21. #98
      Micho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th April 2009
      Posts : 59
      Rep Power : 526
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By mag3
      hotuba ya mwalimu kuadhimisha siku ya wafanyakazi mjini mbeya ilipigilia msumari wa mwisho kaburi lake kwa sababu ililenga katika kuhakikisha mkapa hapati awamu ya pili. Kama vile alivyotembea nchi nzima kumnadi mkapa mwaka 1995, alikuwa tayari kuzunguka nchi nzima mwaka 2000 kumtema huyo huyo mkapa. Mpango wake huo uliwapa hofu kubwa wabaya wake kwani sio tu ungezima kabisa ndoto zao kwa miaka ya baadaye, ungewaweka wengi kikaangoni. Mwalimu alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje, wananchi kwa wageni ambao kwa pamoja waliapa kuwa njia ilikuwa moja tu ya kujihakikishia ulaji, kummaliza mwalimu.

      Ajabu ni kwamba mwalimu alifahamu njama hizo ila kwa kuipenda na kuitakia mema taifa lake alinyamaza kwani angetaka kuwasha moto, pasingekalika. Hebu fikirieni siku mwalimu anatangaza kuihama ccm kwa uovu wake, nawahakikisheni moto ungewawakia manyang'au ! Baada ya kifo cha mwalimu ccm imegeuka kuwa hifadhi ya wezi wa mali ya umma na sasa kansa hii chafu imeingia kila sekta uraiani hadi jeshini na salama ya wote hao ni ccm kubaki madarakani. Lazima pia mkumbuke kuwa mwalimu alikuwa mzima kabisa kiafya wakati anasherehekea kuzaliwa kwake mwaka moja kabla ya kifo chake na kutabiri angeuona mwaka 2000 !

      chagua chadema

    22. #99
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,658
      Rep Power : 16780
      Likes Received
      2521
      Likes Given
      1942

      Default Re: Did mwalimu die a natural death?

      Quote By Joss
      Ya Dr. Omari Ali Juma inasikitisha sana,ile ilikuwa ni kumtoa kafara kuepuka aibu ya kimataifa na kuzuia nchi isiingie vitani.
      Kwani naye ilikuwa vipi? Lete habari mkuu.

    23. #100
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,658
      Rep Power : 16780
      Likes Received
      2521
      Likes Given
      1942

      Default Re: Did Mwalimu die a natural death?

      Quote By Mag3
      Hotuba ya Mwalimu kuadhimisha siku ya wafanyakazi mjini Mbeya ilipigilia msumari wa mwisho kaburi lake kwa sababu ililenga katika kuhakikisha Mkapa hapati awamu ya pili. Kama vile alivyotembea nchi nzima kumnadi Mkapa mwaka 1995, alikuwa tayari kuzunguka nchi nzima mwaka 2000 kumtema huyo huyo Mkapa. Mpango wake huo uliwapa hofu kubwa wabaya wake kwani sio tu ungezima kabisa ndoto zao kwa miaka ya baadaye, ungewaweka wengi kikaangoni. Mwalimu alikuwa na maadui wengi wa ndani na nje, wananchi kwa wageni ambao kwa pamoja waliapa kuwa njia ilikuwa moja tu ya kujihakikishia ulaji, kummaliza Mwalimu.

      Ajabu ni kwamba Mwalimu alifahamu njama hizo ila kwa kuipenda na kuitakia mema taifa lake alinyamaza kwani angetaka kuwasha moto, pasingekalika. Hebu fikirieni siku Mwalimu anatangaza kuihama CCM kwa uovu wake, nawahakikisheni moto ungewawakia manyang'au ! Baada ya kifo cha Mwalimu CCM imegeuka kuwa hifadhi ya wezi wa mali ya Umma na sasa kansa hii chafu imeingia kila sekta uraiani hadi jeshini na salama ya wote hao ni CCM kubaki madarakani. Lazima pia mkumbuke kuwa Mwalimu alikuwa mzima kabisa kiafya wakati anasherehekea kuzaliwa kwake mwaka moja kabla ya kifo chake na kutabiri angeuona mwaka 2000 !
      Hii hotuba hivi haikuwa kabla uchaguzi haujafanyika 1995? Na maana kuwa Ben alikuwa bado hajaanza kutawala, Au kumbukumbu zangu zimechakachuliwa.
      shungurui likes this.

    Page 5 of 13 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 9th December 2010, 17:21
    2. 7th December 2010, 23:21
    3. 7th December 2010, 06:31

    Similar Topics

    1. Replies: 3
      Last Post: 8th November 2011, 00:19
    2. Chadema kikiendelea hivi kitakufa natural death
      By VUA GAMBA in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 48
      Last Post: 23rd June 2011, 04:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...