Dual Citizenship: Progress & Solutions - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jamii Intelligence


Jamii Intelligence Serious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 6th March 2006, 09:13 PM   #1
Dual Citizenship: Progress & Solutions
Saidi Yakubu Saidi Yakubu is offline 6th March 2006, 09:13 PM

Naam wanajukwaa

Nafurahi kujiunga na JF, nachukulia jukwaa hili kama ni sehemu ya kujifunza.

Takwimu za tanzania zinaonyesha kuwa kuna watanzania zaidi ya 1.2m wanaoishi nje ya nchi [rejea ripoti ya Tanzania Law Review Commission]. Naam hii ni karibu 3% ya taifa zima.

Nadhani wakati umefika sasa serikali ikapitisha sheria kuruhusu raia hawa kuweza kufaidi matunda ya uraia wa nchi mbili kwani kwa sasa wengi wanakwazwa na kuwa wakiamua kuchukua uraia mwingine inabidi waamue kuachia uzalendo wao.

Swali hili niliwahi kumuuliza mheshimiwa Sumaye alipokuja hapa Uingereza mwaka jana akakiri kuwa ni muhimu kuruhusu lakini hakuweza kutoa sababu kwa nini hasa mpaka sasa Tanzania imeshindwa kuwa sheria ya kuruhusu uraia wa nchi mbili.

Sasa hivi watanzania wengi wanaoishi Uingereza na nchi nyinginezo za Magharibi wanaweza kupata misaada kadhaa ya kuwekeza nchini mwao lakini kwa vile wengi wameamua kuwa na uraia wa nchi mbili bila kuachia uraia wao wa TZ basi inakuwa hawawezi kuwekeza nyumbani na kama watawekeza wataweka katika mfumo usio rasmi kama vile kuwatumia ndugu na jamaa pesa ili waweze kuwekeza,matokeo yake ni kuwa kwa vile ndugu hana uwezo wa biashara au kutokuwa muaminifu inakuwa ndio hivyo tena hela zinakwenda na hakuna linalofanyika,hii ina athari zaidi kwani mtu huyu hutotegemea akamhimiza mwenzie wa tanzania kuwa kawekeze nyumbani.

Naam mniwie radhi wanajukwaa nadhani ngwe yangu hapa mtandaoni italelemea zaidi katika kuwawezesha na kuwajali raia wote wa tanzania na kwa vile tuna asilimia 3% ya hawa wapo nje basi nao inabidi waainishe hoja zao ikiwemo na matatizo wayapatao,mwishowe waweze kuwa nao ni washiriki wazuri wa shughuli za kiuchumi Tanzania.

Mfano wa China ututoshe:
Kuna wachina 48 milioni nje ya nchi yao.Kuna wizara ya kushughulikia wachina waliopo nje ambayo inakuwa ni kama kiambatanishi cha wizara ya mambo ya nje ambapo wana jukumu la kuhakikisha kila mchina mwenye uwezo wa kutoa mchango kwao anawezeshwa bila vikwazo na pia wachina waliopo nje waweze kuwa wanapata habari na taarifa sahihi kuhusu hali ya uchumi,siasa,jamii nk wakati wote.

Angalia kwetu:

Balozi zetu zipo mbali na watanzania au tusema baadhi zimejitenga sana,ni kwa sababu kuwa karibu au mbali kunategemea na hulka ya balozi husika,kama ni mtu wa watu basi watu 'watajichanganya' kama sivyo basi watu hola! Nukta ni nini hapa? ni kuwa inabidi kuwe na ainisho maalum kwenye kazi za balozi katika kuwashughulikia watanzania.

Inatokea Rais anakuja kwenye nchi husika balozi anamkimbiza asionane na watanzania!

Natumai Ari mpya haitokuwa hivi na mabalozi nao watawajali watanzania hawa. Maoni yanakaribishwa, ''i stand to be corrected''

Last edited by PainKiller; 28th December 2007 at 07:49 PM.. Reason: altered icon

Saidi Yakubu
Senior Member
Points: 217,238, Level: 100 Points: 217,238, Level: 100 Points: 217,238, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Mon Mar 2006
Location: colchester,united Kingdom
Posts: 109
Thanks: 0
Thanked 6 Times in 1 Post
Views: 18337
Reply With Quote
The Following 6 Users Say Thank You to Saidi Yakubu For This Useful Post:
Kaka Blaza (22nd January 2010), Kwaminchi (17th February 2010), Mzee Mwanakijiji (4th February 2010), MziziMkavu (2nd January 2010), Pasco (26th February 2010), takashi (20th February 2010)
  #2  
Old 7th March 2006, 06:11 PM
Willo Willo is offline
Willo has no status.
Member
Points: 95,652, Level: 100 Points: 95,652, Level: 100 Points: 95,652, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Mar 2006
Location: Hassler
Posts: 26
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Willo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enoughWillo will become famous soon enough
Default

Ndio mheshimiwa bwana ZAID YAAKUB suala la uraia wa nchi mbili ni muhimu sana kwa mataifa yetu machanga ya kiafrika,kuna mengi sana nchiinawezakufaidika kama zoezi hili litafanyika.Tunawezajifunza sana kutoka INdia na Pakistani ambao wenzetu walianza zamani sana mambo haya na kuna programs nyingi sana zilijitokjeza ambazo zimeleta faida kubwa sana katika nchi hizo.General ZIA ULhAQ alifaulu sana kwa kutrumia pkis wanaokaa nje ya nchi ambao walileta mafanikio makubwa sana ya kiuchumi nchi humo,nasisi kama kweli serikali italitupia macho suala hilo basi tunawezakufaidika sana .angalia suala la wataalam wa nje ,wemgine hawana elimu kama resumes zao zinavyojieleza na wapo hapa kutunyang'anya pesa zetu ambazo sisi wenyewe tunaweza tukawa na uwezo kama wao au zaidi ya o kma wananchi

peace!!!
Reply With Quote
  #3  
Old 14th March 2006, 03:36 PM
Nicholas Nicholas is offline
Nicholas has no status.
Member
Points: 95,076, Level: 100 Points: 95,076, Level: 100 Points: 95,076, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Mar 2006
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Nicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enough
Default Re: uraia wa nchi mbili

Said Yakubu, km sikosei utakuwa ndio wewe uliyepitia Tambaza (Tazama Mbali Zaidi)? Ok sio muhimu sana.
Kwanza nikupongeze kwa uzalendo na pili kwa kuwa na wazo la msingi.

Ni kweli kijana tunatakiwa kulta hela nchini,watu wa Africa magharibi wamejitahidi kutuma dolar nyingi nchinii mwao km zawadi kuwekeza na mengine mengi tofauti na sisi. Nchi km China, Pakistani, Korea,I ndia etc zinakadiriwa kupeleka hela chini mwao km misaada kwa jamaa na ndugu pekee kwa kiasi ambacho hata nchi za magharibu wamefika mahali pa kuangalia kwa makini. Mara nyingine wanachukulia km inawapunguzia mzigo wa kutoa misaada,na mara nyingi wanona kuwa ni threat ktk uchumi wao.

Statistics za makampuni ya money transfer companiies km Western Union zinaonyesha Hela za kutisha zikielekea Asia na kidogo Africa Magharibi. Hapo ndipo tutakapoona ubunifu wa wezetu ktk hii huduma na baadaye kujikita nchi masikini. Hawa jamaa jamaa wanatoa huduma ya kupeleka hela ila pia wanafanya kazi nzuri ya kuzirudisha. Wamejitahidi kujikita nchi masikini na kujenga faida kubwa ambayo mwishowe inawekwa ktk hard currency na kurudishwa.

Said sasa wewe umeweka wazo tunahitaji wataalamu wa uchumi nao waje na ujanja wa kuzipata hizi hela zilizojificha ktk hii reserve.Hapa panahitaji kuona mbali,si tuvutie hela ambayo mwishowa siku tunakuta tulifanyia tumbo.

Nadhani unaona hapo UK walivyoibana hela, ukipiga kazi hapo unapata hela ila mwisho wa siku unajikuta kila kitu kimeingia ktk sector za kiingereza na ziada ya kazi ngumu ndio unabaki nayo. Angalia unavyokuwa forced kutumia huduma zao na kulipa rents. Kile kiasi ulichoongezea nguvu za ziada ndicho kinabaki. Sasa sisi wabongo hatujaweza wabana wageni tunaowapa kazi za hela nyingi waziache hizo hela hapa waondoke na bidhaa au na starehe watakayoilipia hapa. Na hii ni rahisi kufanya kwa kutumia wachumi wetu.

idea ya informal sector inabid ikuzwe.Hata marekani kwa mra ya kwanza small companies na informal sector imeleta mapato yaliyowatisha.
__________________
For me defining democracy,free trade and market economy is just substituting parameters.
So what we need is to make things clear in market economy so we can extend these to democracy and free trade.
Reply With Quote
  #4  
Old 2nd May 2006, 11:16 PM
Mugishagwe Mugishagwe is offline
Mugishagwe has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 382,729, Level: 100 Points: 382,729, Level: 100 Points: 382,729, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Fri Apr 2006
Posts: 345
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 24
Mugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enough
Default

Mimi napinga wazo la kuwa na Uraia wa Nchi mbili si la msingi na hakuna faida .Vijana waamue ama Tanzania ama huko wanako kuona kuna faida .Ni uhalifu kuwa na Uraia wa Nchi mbili na si busara kabisa kuwa na uraia wa Nchi mbili .Nini faida zake? Tanzania JK na Serikali tunasema mawazo ya Ujana wa kuwa na Uraia wa Nchi 2 si mema.
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd May 2006, 02:12 PM
Nicholas Nicholas is offline
Nicholas has no status.
Member
Points: 95,076, Level: 100 Points: 95,076, Level: 100 Points: 95,076, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Mar 2006
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Nicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enoughNicholas will become famous soon enough
Default

Quote:
Mimi napinga wazo la kuwa na Uraia wa Nchi mbili si la msingi na hakuna faida .Vijana waamue ama Tanzania ama huko wanako kuona kuna faida .Ni uhalifu kuwa na Uraia wa Nchi mbili na si busara kabisa kuwa na uraia wa Nchi mbili .Nini faida zake? Tanzania JK na Serikali tunasema mawazo ya Ujana wa kuwa na Uraia wa Nchi 2 si mema.
Hah hah...huo uhalifu utapotea sheria itakapobadilika na kuruhusu hilo.Kama wengine wanaweza wanaweza kuwa na uraia wa nchi mbili na kurahisisha maisha kwa raia wao kwa nini tanzania isiwe hivyo?Nadhani ni suala la kuziweka sheria vizuri na kuwa na ushirikiano na taasisi za kimataifa km interpole,n.k basi kila kitu kitakuwa swafi tuu.
Reply With Quote
  #6  
Old 13th June 2006, 02:46 AM
Nyamgluu Nyamgluu is offline
Nyamgluu is sticky
Senior Member
Points: 142,903, Level: 100 Points: 142,903, Level: 100 Points: 142,903, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 54
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 25
Nyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enoughNyamgluu will become famous soon enough
Default Dual citizenship is akin to gender identity confusion

“No one can serve two masters; for either he will hate the one and love the other, or else he will be loyal to the one and despise the other. You cannot serve God and mammon.” (Matthew 6:24 — New King James Version).
Similarly one cannot belong to two countries, and serve these two countries equally. His or her loyalty will definitely be in question.

However, I believe Dual citizenship to be worse than serving two masters, worse than the promiscuity of a husband or wife who chooses not to have one lover but prefers a “nyumba ndogo” to satisfy his/her gluttonous, carnal and covetous needs, it is more so similar to homosexual tendencies whereby people born male (want to) behave as female and those born as female (want to) behave as male, choosing to belong to both and to neither all at the same time! Confusing society! What toilets should they use? How should they be addressed e.t.c.

If you have a gender identity crisis HAVE A SEX CHANGE AND LIVE WITH IT! Save society the confusion.

Equally dual citizenship will fuel rise of such characters who will confuse society, to whom I equally say HAVE YOUR CITZENSHIP CHANGED AND LIVE WITH IT! You will confuse society! Are you Tanzanian or American? If there is conflict of interest in business or political interactions are you with us or against us? Where will your vote be?

Advocates of dual citizenship use the possibility of Direct Foreign Investment (DFI) as an advantage of this idea. AN ADVANTAGE TO WHOM I ASK? The 90% of poor peasant farmers in rural Tanzania who are the ones we need to alleviate from the burden of poverty or the 0.5% elites and 9.5% middle class easing their way into laundering more wealth for themselves here in TZ while taking profits abroad to take advantage of high interest rates and non volatile economies? (Who wants to save millions in a volatile economy of any African country?)

Dual citizenship will further increase the already large gap between the have and the have nots in Tanzania, a recipe for certain disaster! There will come a time that the poor will say no more to the injustices perpetrated by others under the guise of accelerated development. Tanzania will become another Zimbabwe when the have nots who are a majority of the population will rise and rebel since they will not be profiting from a proclaimed “strong economy”!

Supporters of dual citizenship should realize that there is more that our country needs than their promises of possible investment. For money is the creation of men, here today gone tomorrow, setting our principles and country laws on such a volatile entity is very unwise, but patriotism is the true measure of character and a persons worth, to serve his or her country no matter what the situation. If you have money to invest in TZ, come and invest it and employ us to run it, won’t dual citizenship give more jobs to “foreigners” as they undoubtedly have an advantage. There will be an influx of foreign workers and the poor Tanzanian as always will be left out!
It’s a shame to see our brothers and sisters having been corrupted by the mighty dollar, and to think that they can come flash their money and lure us to a trap set to lock us in poverty and create extreme wealth to an elite few! I say keep your money and enjoy your western life!

I AM READY TO TAKE ARMS FOR THIS CAUSE AND FOR MY COUNTRY, THE QUESTION IS ARE YOU?(and which country will that be I wonder? Male or female I wonder?)
__________________
Today is the tomorrow you worried about yesterday! So do something today!
Reply With Quote
  #7  
Old 7th July 2006, 11:06 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100
Activity: 94% Activity: 94% Activity: 94%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,477
Thanks: 8,503
Thanked 4,689 Times in 1,320 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default Why Nyerere Rejected the Idea of Dual Citizenship?

On October 18, 1961 few months before official independence, the Legislative Council debated the nature of citizenship in the new country (Tanganyika). It was a very heated debate that resulted to the current arrangement of citizenship in modern Tanzania. The principles that Mwalimu masterfully articulated during his off-the-cuff speech are still valid today as they were almost 45 years ago. Here is the speech! The speech can be found under the title “The Principles of Citizenship” in the book Freedom and Unity. Pg. 126. I hope that as our nation debate the merits or demerits of Dual Citizenship we will all be guided by the enduring wisdom of Nyerere’s words. It was after reading this speech I personally decided, I will not seek the citizenship of another nation for my loyalty remains and will forever be to Tanzania and Tanzania only.

I have posted the whole speech here: http://www.blog.co.tz/mapambazuko
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote
  #8  
Old 8th July 2006, 05:43 PM
Ogah Ogah is offline
Ogah is Omnipotent
JF Premium Member
Points: 5,281,031, Level: 100 Points: 5,281,031, Level: 100 Points: 5,281,031, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 3,412
Thanks: 1,394
Thanked 383 Times in 211 Posts
Rep Power: 2031
Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!
Default

Shukrani Mwanakijiji,

Its a good reminder.

Ni juzi juzi, tu wakati kombe la dunia likiendelea, tulialikana familia za Kitanzania kuangalia kwa pamoja mechi kati ya Ghana na USA. Well, nilichoshuhudia, ikabidi nijiulize mara mbili mbili kuhusu hii Dual Citizenship watu tunayoipigania.
Anyway, ni vyema watu kusoma hiyo reminder uliyoipost.
Reply With Quote
  #9  
Old 8th July 2006, 06:07 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100 Points: 12,987,839, Level: 100
Activity: 94% Activity: 94% Activity: 94%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,477
Thanks: 8,503
Thanked 4,689 Times in 1,320 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default

Ogah, hili ndilo tatizo letu. Tunafikiri historia ya Tanzania ilianza miaka 15 iliyopita. Tukirudi nyuma tutajifunza kwa kina ni wapi tumetoka na kwanini tuko tulivyo. Nilikuwa natafuta hotuba hizi za Mwalimu lakini hazipo online hivyo nimeamua kuzipiga chapa mimi mwenyewe na kuzibandika kwani ukiangalia utaona kuwa Mwalimu was way ahead of his times!
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote
  #10  
Old 10th July 2006, 02:17 PM
Jasusi Jasusi is offline
Jasusi is a truth seeker
JF Premium Member
Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Fri May 2006
Posts: 4,192
Thanks: 1,149
Thanked 636 Times in 320 Posts
Rep Power: 32
Jasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enough
Default

Mwanakijiji,
Asante kwa hii speech ya Mwalimu. Lakini alichokuwa anaongelea Mwalimu si duo. Mwalimu alikuwa anapinga wale waliokuwa wanataka uraia wa Tanganyika utolewe kwa weusi tu au wazawa.Ndio maana hata hapo baadaye Mwalimu hakukubaliana na hizi sera za uzawa alizokuwa anazipeperusha Idi Simba :roll:
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Jasusi For This Useful Post:
Kwaminchi (17th February 2010)
Reply

Bookmarks

Tags
cha, citizenship, dual, inevitable, mbili, nakitisho, nchi, progress, sight, solution, solutions, taifa, uraia, usalama, uzalendo


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
UDSM "scholars" Say NO To Dual Citizenship Manji Supporter Jukwaa la Elimu (Education Forum) 25 13th April 2007 08:47 PM
Dual Citizenship Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 0 4th April 2007 05:27 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:50 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com