Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dual Citizenship: Progress & Solutions

    Report Post
    Page 4 of 24 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 473
    1. #1
      Saidi Yakubu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : colchester,united Kingdom
      Posts : 109
      Rep Power : 786
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Arrow Dual Citizenship: Progress & Solutions

      Naam wanajukwaa

      Nafurahi kujiunga na JF, nachukulia jukwaa hili kama ni sehemu ya kujifunza.

      Takwimu za tanzania zinaonyesha kuwa kuna watanzania zaidi ya 1.2m wanaoishi nje ya nchi [rejea ripoti ya Tanzania Law Review Commission]. Naam hii ni karibu 3% ya taifa zima.

      Nadhani wakati umefika sasa serikali ikapitisha sheria kuruhusu raia hawa kuweza kufaidi matunda ya uraia wa nchi mbili kwani kwa sasa wengi wanakwazwa na kuwa wakiamua kuchukua uraia mwingine inabidi waamue kuachia uzalendo wao.

      Swali hili niliwahi kumuuliza mheshimiwa Sumaye alipokuja hapa Uingereza mwaka jana akakiri kuwa ni muhimu kuruhusu lakini hakuweza kutoa sababu kwa nini hasa mpaka sasa Tanzania imeshindwa kuwa sheria ya kuruhusu uraia wa nchi mbili.

      Sasa hivi watanzania wengi wanaoishi Uingereza na nchi nyinginezo za Magharibi wanaweza kupata misaada kadhaa ya kuwekeza nchini mwao lakini kwa vile wengi wameamua kuwa na uraia wa nchi mbili bila kuachia uraia wao wa TZ basi inakuwa hawawezi kuwekeza nyumbani na kama watawekeza wataweka katika mfumo usio rasmi kama vile kuwatumia ndugu na jamaa pesa ili waweze kuwekeza,matokeo yake ni kuwa kwa vile ndugu hana uwezo wa biashara au kutokuwa muaminifu inakuwa ndio hivyo tena hela zinakwenda na hakuna linalofanyika,hii ina athari zaidi kwani mtu huyu hutotegemea akamhimiza mwenzie wa tanzania kuwa kawekeze nyumbani.

      Naam mniwie radhi wanajukwaa nadhani ngwe yangu hapa mtandaoni italelemea zaidi katika kuwawezesha na kuwajali raia wote wa tanzania na kwa vile tuna asilimia 3% ya hawa wapo nje basi nao inabidi waainishe hoja zao ikiwemo na matatizo wayapatao,mwishowe waweze kuwa nao ni washiriki wazuri wa shughuli za kiuchumi Tanzania.

      Mfano wa China ututoshe:
      Kuna wachina 48 milioni nje ya nchi yao.Kuna wizara ya kushughulikia wachina waliopo nje ambayo inakuwa ni kama kiambatanishi cha wizara ya mambo ya nje ambapo wana jukumu la kuhakikisha kila mchina mwenye uwezo wa kutoa mchango kwao anawezeshwa bila vikwazo na pia wachina waliopo nje waweze kuwa wanapata habari na taarifa sahihi kuhusu hali ya uchumi,siasa,jamii nk wakati wote.

      Angalia kwetu:

      Balozi zetu zipo mbali na watanzania au tusema baadhi zimejitenga sana,ni kwa sababu kuwa karibu au mbali kunategemea na hulka ya balozi husika,kama ni mtu wa watu basi watu 'watajichanganya' kama sivyo basi watu hola! Nukta ni nini hapa? ni kuwa inabidi kuwe na ainisho maalum kwenye kazi za balozi katika kuwashughulikia watanzania.

      Inatokea Rais anakuja kwenye nchi husika balozi anamkimbiza asionane na watanzania!

      Natumai Ari mpya haitokuwa hivi na mabalozi nao watawajali watanzania hawa. Maoni yanakaribishwa, ''i stand to be corrected''
      Last edited by PainKiller; 28th December 2007 at 19:49. Reason: altered icon

    2. Miaka 50

    3. #61
      Mlalahoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2006
      Location : London, UK
      Posts : 1,842
      Rep Power : 1428
      Likes Received
      168
      Likes Given
      124

      Default

      Mie najaribu kuwa optimstic this time kwa vile inasemekana JK anapendelea wazo la Dual Citizenship (kwa mujibu wa jamaa wa Foreign Affairs waliokuwa wanamfahamu enzi hizo),na hata katika ziara zake kadhaa nje ameonyesha kuwa hana kipingamizi as such.Ila kwa vile maamuzi mazito katika Afrika husubiri uchaguzi unapokaribia then si ajabu sheria hiyo ikapita 2009.

    4. #62
      mzee wa london's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Posts : 70
      Rep Power : 646
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Wate wetu wagumu sana,muda si big dili at all.Tatizo wanaona nyie mtakuwa wapinzani wa sisiem nadhani hilo ndilo tatizo kuwa,nyie mtakuwa chadema,kafu,ti el pi,n sisiara mageuzi nk

    5. #63
      Saidi Yakubu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : colchester,united Kingdom
      Posts : 109
      Rep Power : 786
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Membe's Tests For Dual Nationality

      Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Benard Membe amewasilisha bajeti yake bungeni.

      Katika suala la Uraia wa nchi mbili miongoni mwa hoja za kuzingatiwa amesema ni vyema watanzania wakajiuliza maswali mawili muhimu wakati serikali ikijiandaa kuwasilisha muswada wa DUAL NATIONALITY:


      1. Je ni sawa kumuadhibu mtanzania aliyeko nje ya nchi inapotokea amechukua uraia wa nchi nyingine kwa kumnyima uraia wake na hivyo kushindwa kunufaika nae tena baada ya hapo?

      2. Je kama inawezekana kwa wageni waliofuata masharti ya Tanzania kupewa uraia kwetu TZ kwanini tuwanyime watanzania wetu waliofuata masharti huko walipo na kupata uraia wa nchi walizonazo?

      I think these tests are positive and they all lead to one way....implementation of the dual nationality policy

    6. #64
      Kalamu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2006
      Posts : 1,164
      Rep Power : 871
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Sounds Good

      Quote By saidi yakubu
      Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Benard Membe amewasilisha bajeti yake bungeni.

      Katika suala la Uraia wa nchi mbili miongoni mwa hoja za kuzingatiwa amesema ni vyema watanzania wakajiuliza maswali mawili muhimu wakati serikali ikijiandaa kuwasilisha muswada wa DUAL NATIONALITY:


      1. Je ni sawa kumuadhibu mtanzania aliyeko nje ya nchi inapotokea amechukua uraia wa nchi nyingine kwa kumnyima uraia wake na hivyo kushindwa kunufaika nae tena baada ya hapo?

      2. Je kama inawezekana kwa wageni waliofuata masharti ya Tanzania kupewa uraia kwetu TZ kwanini tuwanyime watanzania wetu waliofuata masharti huko walipo na kupata uraia wa nchi walizonazo?

      I think these tests are positive and they all lead to one way....implementation of the dual nationality policy
      It really makes no sense to deny someone his/her birth rights simply because s/he acquired paper citizenship from some other place, mainly for self advancement reasons.

    7. BAK
      #65
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,597
      Rep Power : 44964
      Likes Received
      8345
      Likes Given
      8333

      Default

      Its time for dual citizenship. There should be no more delays about this issue.

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Mwanagenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th September 2006
      Location : Mtandaoni
      Posts : 760
      Rep Power : 802
      Likes Received
      10
      Likes Given
      9

      Default

      Tunaweza kuongeza maswali mengine pia, kama vile:

      1. Je, suala la uraia wa nchi mbili ni muhimu kwa taifa kwa kiasi gani?

      2. Inawezekana kuwa na uraia wa nchi zaidi ya mbili, i.e. badala ya kuzungumzia nchi mbili tu, tunaweza kuzungumzia nchi nyingi zaidi ili tufaidike zaidi kama kuna faida?

      3. Uzito wa hoja ya uraia ipo kwenye haki binafsi (human rights issue) au uchumi kwa taifa (national economy)?
      ____________
      Ili Tuendelee Tunahitaji Dikteta mwenye Uzalendo na Visheni
      _____________
      "UTU BUSARA UJINGA HASARA,
      "TUPINGANE BILA KUPIGANA"

    10. #67
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,506
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16373
      Likes Given
      8423

      Default

      fuatilia mjadala ya bajeti ya Membe sasa hivi http://www.jumptv.com/en/channel/startv/
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    11. #68
      KadaMpinzani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Location : Chadema Restaurant
      Posts : 5,011
      Rep Power : 1630
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      i dont support dual citizenship ! sababu zitafuata baadae kidogo..

    12. #69
      Kisura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2007
      Location : Signature Room.
      Posts : 447
      Rep Power : 702
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Sikubaliani na notion ya dual-citizenship. Sikubaliani na mtu kuwa na uraia wa nchi mbili kabisa, tena ukiwa kama raia wa Tanzania by birth. Na mpaka leo sijapata sababu zinazoonyesha umuhimu haswa wa kuwa na uraia wa nchi mbili.

      Sana sana naona watu wanataka mteremko tu. Kama mtu anahitaji kufanya "so called investments" pale Tanzania, njoo/ nenda tu ka-invest, abide with rules, laws and regulations za nchi hiyo as far as "uwekezaji" is concerned. Njoo tu u-invest ukiwa kama "foreigner", kama dili lako linalipa tutakukaribisha tu. Maisha yanaendelea. Tanzania bado ni nchi inaendelea, haya mambo ya kuwa na mauraia mengi mengi tuwaachie wataifa yaliyoendelea, they have less to gain and we have much to lose. Sijaona kitu kisichoweza kufanyika au kushindwa kutimizwa na mtu kwa sababu tu, ana uraia wa nchi moja na si nchi husika.

      I stand to be corrected, but, TANZANIA DOES NOT NEED DUAL CITIZENSHIP, NOT NOW. I hope to God this doesn't go through!

    13. #70
      mzee wa london's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Posts : 70
      Rep Power : 646
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Time has come for dual citizenship!!Wanaosema hawakubaliani ni kwa sababu tu wao,wape ndani ya nchi,hawawezi kuona mambo yaliyonje ya nchi.Na ninaamini kabisa,amabo wataki uraia wa nchi mbili ni CHADEMA"wanatumiwa"

    14. #71
      Kisura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2007
      Location : Signature Room.
      Posts : 447
      Rep Power : 702
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mzee wa london
      Time has come for dual citizenship!!Wanaosema hawakubaliani ni kwa sababu tu wao,wape ndani ya nchi,hawawezi kuona mambo yaliyonje ya nchi.Na ninaamini kabisa,amabo wataki uraia wa nchi mbili ni CHADEMA"wanatumiwa"
      Irrelevant! Not to mention, Ludicrous!
      A free race cannot be born of slave mothers

      Mama Afrika

    15. #72
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,238
      Rep Power : 31388
      Likes Received
      9613
      Likes Given
      683

      Default

      Mhhh...mbona wataka kuanza ugomvi...yaani maoni ya mwenzio unayaita upuuzi..? We Kisura wewe...
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #73
      Masanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2007
      Location : Benaco
      Posts : 1,646
      Rep Power : 937
      Likes Received
      157
      Likes Given
      0

      Default

      sorry for cross posting

    17. #74
      Masanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2007
      Location : Benaco
      Posts : 1,646
      Rep Power : 937
      Likes Received
      157
      Likes Given
      0

      Default

      Very interesting mjadala.

      Mi ninachoweza kuandika hapa ni kwamba, sihitaji uraia wa nchi nyingine, lakini vile vile sioni kwa nini serikali ikataze watu wasiwe na dual citizenship. Watu wamekwenda nje kujitafutia riziki. Period. au tunafurahi tunapoona wachache wanafaidi jasho letu na maelfu ya vijana wana piga deiwaka mjini? wakiomba fegi? waacheni kama wana namna ya kuikimbia nchi na wakifika huko wakakumbuka kwao kwa kusupport familia zao, ubaya uko wapi? Watanzania tuamke tuache WIVU kama watu wamehangaika kupitia conventional na non-conventional means wakafanikiwa kwa nini tuwe na roho ya kwanini? especially kuhusu swala la kwenda njee.

      Right, wengine wamezamia, wengine wamekuja huku ndo ikawa hivyo wakajiestablish huku, jamani, whats wrong kuwaruhusu kuwa na uraia wa nchi mbili? Hawa wahindi kibao walioko Tanzania wana uraia wa India, UK, USA na wana-repatriate hela zetu kama kawaida! hawa ndo wazelendo tunaowaongelea? Kwa nini Watz/Waafrika tuko tayari kuona aneyefanikiwa ni mwinnge lakini asiwe mwenzetu? Africans we have along way to match!

      Mwanakijiji, sio kila kitu Nyerere alichokisema kinaconstitute basis ya taifa letu, yeye alikuwa ni binadamu kama sisi kuna mema mengi aliyafanya na kuna mengine mengi alichemka! na impact tunaishi nayo mpaka leo. Ni vema kuliko kuwa na fikra mgando, tubadilike na kile kinachoweza kutuletea tija kama taifa na sio kujustify vitu kwa theories za mwaka 60! na kutumia maneno matamu ya uzalendo kuumiza wale wenye nia ya kujikomboa kwenye huu umaskini wa kutisha.

      Well, nchi ambazo zimeruhusu huu mfumo, zimeathirika vipi? huo uzalendo tunaoupigia kelele siku zote, nani mzalendo Tanzania?niambieni!!! who is a patriot? wanaoiba mabillion BOT na mikataba feki au? au wanao kaa Tanzania wakifanya kazi serikalini, ndo wazalendo?, tuache unafiki!!! kama hii itawasadia wachache, let it be, after all hao wachache ni watanzania bado. Lets wake up...jamani hili halihitaji mtu kwenda darasani! Naamini Law reform Commission wameshatumia mabillion ya kodi zetu kuzungukia nchi kibao ambao wana hii dual nationality, kwa hiyo wao kupendekeza hili swala serikalini wameona impact yake.

      I dont want to dismiss those who don t agree with this, lakini ukweli unabaki pale pale, wengi ambao hawataki hii kitu ni kwa sababu ya ROHO YA KWANINI! Watanzania tubadilike tukubali kwamba we either live together as brothers and sisters or perish together as fools!!! And Iam afraid, the latter is more appealing option for most of us.

    18. #75
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default

      Good thread lakini muda umenibana sana mie waheshimiwa

    19. #76
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,238
      Rep Power : 31388
      Likes Received
      9613
      Likes Given
      683

      Default

      Quote By Masanja
      Very interesting mjadala.

      Mi ninachoweza kuandika hapa ni kwamba, sihitaji uraia wa nchi nyingine, lakini vile vile sioni kwa nini serikali ikataze watu wasiwe na dual citizenship. Watu wamekwenda nje kujitafutia riziki. Period. au tunafurahi tunapoona wachache wanafaidi jasho letu na maelfu ya vijana wana piga deiwaka mjini? wakiomba fegi? waacheni kama wana namna ya kuikimbia nchi na wakifika huko wakakumbuka kwao kwa kusupport familia zao, ubaya uko wapi? Watanzania tuamke tuache WIVU kama watu wamehangaika kupitia conventional na non-conventional means wakafanikiwa kwa nini tuwe na roho ya kwanini? especially kuhusu swala la kwenda njee.

      Right, wengine wamezamia, wengine wamekuja huku ndo ikawa hivyo wakajiestablish huku, jamani, whats wrong kuwaruhusu kuwa na uraia wa nchi mbili? Hawa wahindi kibao walioko Tanzania wana uraia wa India, UK, USA na wana-repatriate hela zetu kama kawaida! hawa ndo wazelendo tunaowaongelea? Kwa nini Watz/Waafrika tuko tayari kuona aneyefanikiwa ni mwinnge lakini asiwe mwenzetu? Africans we have along way to match!

      Mwanakijiji, sio kila kitu Nyerere alichokisema kinaconstitute basis ya taifa letu, yeye alikuwa ni binadamu kama sisi kuna mema mengi aliyafanya na kuna mengine mengi alichemka! na impact tunaishi nayo mpaka leo. Ni vema kuliko kuwa na fikra mgando, tubadilike na kile kinachoweza kutuletea tija kama taifa na sio kujustify vitu kwa theories za mwaka 60! na kutumia maneno matamu ya uzalendo kuumiza wale wenye nia ya kujikomboa kwenye huu umaskini wa kutisha.

      Well, nchi ambazo zimeruhusu huu mfumo, zimeathirika vipi? huo uzalendo tunaoupigia kelele siku zote, nani mzalendo Tanzania?niambieni!!! who is a patriot? wanaoiba mabillion BOT na mikataba feki au? au wanao kaa Tanzania wakifanya kazi serikalini, ndo wazalendo?, tuache unafiki!!! kama hii itawasadia wachache, let it be, after all hao wachache ni watanzania bado. Lets wake up...jamani hili halihitaji mtu kwenda darasani! Naamini Law reform Commission wameshatumia mabillion ya kodi zetu kuzungukia nchi kibao ambao wana hii dual nationality, kwa hiyo wao kupendekeza hili swala serikalini wameona impact yake.

      I dont want to dismiss those who don t agree with this, lakini ukweli unabaki pale pale, wengi ambao hawataki hii kitu ni kwa sababu ya ROHO YA KWANINI! Watanzania tubadilike tukubali kwamba we either live together as brothers and sisters or perish together as fools!!! And Iam afraid, the latter is more appealing option for most of us.
      Very interesting! Mimi binafsi sitakuja kuchukua uraia wa nchi nyingine lakini wakati huohuo sioni ubaya na wala sipingi kwa nini Watanzania wengine wasiwe nao kama wanataka. Sababu za kuwa na uraia wa nchi mbili zipo nyingi tu mojawapo ikiwa ni ya kifamilia (mume/ mke wa taifa jingine na watoto waliozaliwa nje ya nchi na mmoja wa wazazi ni Mtanzania). Cha muhimu hapa ni kuwa na sheria zinazotupa mwongozo mzuri katika muktadha wa maslahi ya taifa. Kwa mfano viongozi wa ngazi za juu serikalini na vitengo vingine nyeti ni lazima wawe wazaliwa wa Tanzania na wasioshikilia uraia wa nchi nyingine. Kuna ugumu gani hapo? Hata nchi ambazo zinaruhusu uraia wa nchi mbili na zenyewe zina sheria kuhusu mazingira hayo. Watu hawajichukulii uraia kiholelaholela tu!

      Nirudi kwa hawa Wadosi, unajua hilo suala la wao kushikilia uraia wa nchi zaidi ya moja kwa sababu fulani fulani lilikuwa halijakatiza mawazoni mwangu pamoja na kusoma nao na kuwasikia wakisema wana uraia wa Canada na Uingereza. How do they get away with it if we don't have dual citizenship? Au wana uraia wa India na nchi zingine na si Tanzania lakini wanaishi Tanzania
      ?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    20. #77
      omarilyas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2007
      Location : Morogoro
      Posts : 2,494
      Rep Power : 1133
      Likes Received
      67
      Likes Given
      4

      Default

      Nimesikiliza kwa umakini maoni ya Waziri, kamati, kundi la upinzani na wachangiaji kadhaa.

      Kwanza inasikitisha sana uchangiaji wa wabunge wetu.

      Baada ya kusikiliza kwa muda nadhani kwa kiasi fulani ni Mama Shelukindo tu ndiye aliyejitahidi kuwa articulate ingawa U-CCM ulikuwa unambana kutoa mchango mkali zaidi.

      Ndugu zangu wa upinzani nawapa pole...kazi bado kubwa mno...

      Tukirudi katika suala la Uraia wa nchi mbili ni muhimu kujua some of complexities zinazolizunguka suala hili.

      Moja ni lile la kile kinachoita "usalama wa maslahi ya Taifa", lipo lile la kuwa yote haya ni kwa maslahi ya wanafamilia wa wakubwa ambao wengi ndio wameloea ughaibuni na lipo lile la jamaa zangu wahafidhina wa maslahi ya kisiasa kule visiwani ambao wanaamini kuwa uraia wa nchi mbili ni kukaribisha "wakorofi" walio nje (Scandinavia, London, Dubai etc)kurudi na kubadili hali ya kisiasa.

      Kuhusu suala la kuhatarisha maslahi ya nchi kwa uwezekano wa kuathirika na tatizo la duala loyalty naamini kuna haja kuangalia jinsi ya kucounter hiyo threat kwa kuwa na mfumo unaotoa limited access to dual citizenship na sio kukataa kabisa suala hilo. Hili linawezekana kwa kutoa haki ya dual citizenship kwa wale waliowahi kuwa watanzani hapo kabla na sio kwa kila mtu atakaye. Vilevile tunawezeka kuweka viwango vya haki za mtu aliye na dual citizenship haswa katika masuala ya kuchukua nafasi nyeti katika siasa na serikali yetu. Siamini kama itakuwa busara kwa mtu aliye na dual citizeship aruhusiwe kugombea Udiwani, Ubunge ama Urais. Siamini kama itakuwa ni busara kutoa access kwa wenye dual citizenship katika taarifa nyeti za kiserekali na hata kushika nafasi za uongozi wa juu katika asasi zetu za ulinzi na usalama unless kuwa na dual citizenship ni moja ya mahitaji ya kuwezesha utendaji wake.

      Lakini vilevile naamini ni muhimu sheria hii kupewa muda maalum wa kutumika labda miaka kumi halafu kufanya mjadala mwengine wakati huo ili kuangalia faida na mapungufu yake kabla ya kuunda upya sheria nyingine tutakayoweza kuendelea nayo kama itaonekana kuna umuhimu wa kufanya hivyo kutokana na tulichojifunza katika miaka kumi hiyo.

      Hili la kusaidia wanafamilia wa wenye nchi ni suala la ndani kwao lakini wanapaswa kujua watanzania wa kawaida wana muono huo hivyo kuna umuhimu wa kulijadili kwa uwazi.


      Nawakilisha..

      Tanzanianjema
      Pasipo na IMANI kuna Uovu, Pasipo na MISINGI kuna Ufedhuli, Pasipo na ITIKADI kuna Ujanjaujanja...Yote haya ni mazalia ya UFISADI

    21. #78
      Kisura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2007
      Location : Signature Room.
      Posts : 447
      Rep Power : 702
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Masanja
      Very interesting mjadala.

      Mi ninachoweza kuandika hapa ni kwamba, sihitaji uraia wa nchi nyingine, lakini vile vile sioni kwa nini serikali ikataze watu wasiwe na dual citizenship. Watu wamekwenda nje kujitafutia riziki. Period. au tunafurahi tunapoona wachache wanafaidi jasho letu na maelfu ya vijana wana piga deiwaka mjini? wakiomba fegi? waacheni kama wana namna ya kuikimbia nchi na wakifika huko wakakumbuka kwao kwa kusupport familia zao, ubaya uko wapi? Watanzania tuamke tuache WIVU kama watu wamehangaika kupitia conventional na non-conventional means wakafanikiwa kwa nini tuwe na roho ya kwanini? especially kuhusu swala la kwenda njee.
      Do you need dual-citizenship to support your family? This is beyond me!

      Right, wengine wamezamia, wengine wamekuja huku ndo ikawa hivyo wakajiestablish huku, jamani, whats wrong kuwaruhusu kuwa na uraia wa nchi mbili? Hawa wahindi kibao walioko Tanzania wana uraia wa India, UK, USA na wana-repatriate hela zetu kama kawaida! hawa ndo wazelendo tunaowaongelea? Kwa nini Watz/Waafrika tuko tayari kuona aneyefanikiwa ni mwinnge lakini asiwe mwenzetu? Africans we have along way to match!
      Tukiruhusu dual ctizenship, wahindi na wengine wengi duniani watachukua uraia Tanzania, zaidi ya hata hao wachache ambao wapo Tanzania. Sasa kitu gani kitabaki hapo Bongo, tunawajua jinsi wanavyo-operate na bishara. Hicho kidogo kilichokuwepo/ tulichonacho si ndio kitaondoka chote, na watabea profit na surplus yote na kuhamishia Nchi za magharibi. Je tuna uhakika gani watanzania wanaotaka dual citizenship watuletea maendeleo na faida kwa Tanzania as a nation????? Au sisi tunachifikiria ni kuwapa mteremko hiyo asilimia ndogo ya watanzania iliyopo nje ya nchi ka kuwa-please? eti tu kwasababu ni wasomi?! Hii ishu haiwahusu tu waTanzania, tukifungua milango yetu, tutaruhusu kila mtu duniani anayenyemelea Tanzania urahisi wa kutushughulikia kwa kutuumiza.

      Well, nchi ambazo zimeruhusu huu mfumo, zimeathirika vipi? huo uzalendo tunaoupigia kelele siku zote, nani mzalendo Tanzania?niambieni!!! who is a patriot? wanaoiba mabillion BOT na mikataba feki au? au wanao kaa Tanzania wakifanya kazi serikalini, ndo wazalendo?, tuache unafiki!!! kama hii itawasadia wachache, let it be, after all hao wachache ni watanzania bado. Lets wake up...jamani hili halihitaji mtu kwenda darasani! Naamini Law reform Commission wameshatumia mabillion ya kodi zetu kuzungukia nchi kibao ambao wana hii dual nationality, kwa hiyo wao kupendekeza hili swala serikalini wameona impact yake.!
      Sasa kwasababu kuna majambazi ndani ya nchi (BOT, Mikataba feki n.k ) ndio tuzidi kufungua milango yetu tu kwa yeyote anayetaka kuja kutuibia kisawasaa aje tu? Ndio tunarudi kule kule kwenye minofu ya samaki n.k, tutakuwa tunasikia tu ndege zinakuja na kupaa na kuondoka na kila kitu, wasukuma na wazawa wa maeneo jirani kutofaidika -- na kama what we saw then was/is bad, you wait until the thing is passed, we will be in for a very rude awakening!


      I dont want to dismiss those who don t agree with this, lakini ukweli unabaki pale pale, wengi ambao hawataki hii kitu ni kwa sababu ya ROHO YA KWANINI! Watanzania tubadilike tukubali kwamba we either live together as brothers and sisters or perish together as fools!!! And Iam afraid, the latter is more appealing option for most of us.
      I don't dismiss those who are for dual citizenship either, hakuna roho ya kwanini wala nini, the truth of the matter is, there's no reasons to suggest or prove that, by agreeing to dual citizenship, Tanzania will benefit greatly. The theory is suggesting losing more than gaining. Na mpaka sasa sijaona reason to suggest and make me believe otherwise.

      ***WaTanzania kwa kweli saa nyingine tunachoshana tu, yaani nchi yetu ilivyona malialisi, madini n.k, siku zote tumeshindwa kuendeleza nchi, leo hii tunaona kupata uraia wa nchi nyingine ndio kutawezesha ku-transform a country? How? Kwa kuleta mlichopata huku nchi za nje? Kwanza ni asilimia ngapi ya waTanzania inataka kuleta mafanikio haya? Tafadhalini jamani, hiyo wealth wengine wanazungumzia kwamba wataileta Tanzania, wealthy gani hiyo mnazungumzia? Investment gani hizo mnazungumzia ambazo hamuwezi kuzifanya ukiwa na uraia wa nchi moja? Tumeshindwa ku-utilize what is currently in Tanzania tuendelee, na leo mnazungumzia ku-transfer wealth and knowledge from Western worlds??? and according to some of you, can only be done through dual citizenship??? Please! Hizo green cards mnazo-hold(in this case, US), they allow you to do a lot of things, except voting for president and may be few exceptions. So whats stopping you from investing in Tanzania while you are still a US resident? Au nyie ni kile kitabu cha bluu tuu ndio kinawapa maluweluwe? I'm speechless!
      Last edited by Kisura; 7th August 2007 at 05:11.
      A free race cannot be born of slave mothers

      Mama Afrika

    22. #79
      Kalamu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2006
      Posts : 1,164
      Rep Power : 871
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Okay, How About Simply This!

      1. Being a citizen of Tanzania is my birthright,and no one, repeat, no one has a right to take it away without my consent. It is death alone that will end it.

      2. As a free human being, I have a right to choose, and one of my choices is to safeguard my interests; including that of acquiring citizenship of another country if that is where my self interests derive from; or marrying whomever a choose (a woman of course). No one has a right to question my patriotism for doing so, as long as I'm operating within the law. If it is a bad law, change it.

      I know these are controversial statements, but that is how I feel after reading through the various objecting contributions posted above.

      I resent it when someone questions my patriotism to my country, who then turns around and grants citizenship to someone who has lined his pockets. What kind of patriotism is that?

    23. #80
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,506
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16373
      Likes Given
      8423

      Default

      Uraia msingi wake ni nini? Nyerere aliseme "Loyalty to the country" wenzangu mnafikiri msingi wa uraia ni nini?
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    Page 4 of 24 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    Similar Topics

    1. DUAL citizenship Tanzania 2011
      By mbongopopo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 42
      Last Post: 16th October 2012, 14:04
    2. Dual citizenship!
      By Jaguar in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 11th August 2011, 19:12
    3. Dual Citizenship
      By BAK in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 4th April 2007, 05:27

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...