Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 95
    1. #1
      Mlenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2006
      Posts : 318
      Rep Power : 705
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Does Tanzania have special unit for the protection of the President? (Presidential Protection Unit, PPU)? Or is "Usalama wa Taifa" one big PPU?

      Apart from PPU duties, does 'usalama wa taifa' have anything else THEY know they are supposed to be doing?

      How do we gauge SUCCESS of those non-PPU duties?

      For instance, Uganda wana PPU, kazi yake kumlinda Museveni na walio karibu naye. This frees up the rest of usalama wa taifa uganda. Kwa mfano, Uganda wana counter-espionage unit ambayo ina operate outside Uganda.

      Kenya usalama wa taifa wao unapelekwa kisomi zaidi. Niliona tangazo la kazi ya usalama wa taifa kenya KWENYE GAZETI.
      Post by Mlenge F., user "Mlenge".
      © 2006 - 2010 by Mlenge F. All rights reserved.
      http://www.amazon.com/Mlenge-Fanuel-Mgendi/e/B002KGRRK8

    2. Miaka 50

    3. #21
      analysti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Location : KIGALI-RWANDA
      Posts : 446
      Rep Power : 585
      Likes Received
      138
      Likes Given
      6

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Lumbe
      you are just naive, wale ni walevi wa gongo tu. Acha kudanganya
      wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.

    4. #22
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Lumbe
      you are just naive, wale ni walevi wa gongo tu. Acha kudanganya
      Duuh, hii kali.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    5. #23
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By analysti
      wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
      Halafu kazi yao siku hizi imerahisishwa sana. Ukiweza kupiga domo, hata kama ni umbeya you become fit for the job.
      Mi nafikiri tungewapa heshima kubwa kama wangekuwa ndio wazuiaji wa madili yanayoriharibu Taifa na kuwaona wako mstari wa mbele kutetea interest zake kwenye mambo kama biashara na uchumi.
      Kwa sasa wanisamehe...nawaona kama ni polisi wa kawaida, na cha zaidi walichonacho ni uwezo wa kupiga domo kwamba wanajua hili, wanamjua mtu huyu, wanatembelea nchi hii. They dont add any value to this country,labda kwa business partners wao ambao wengi ni mafisadi.Lol
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #24
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,417
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Ndahani
      Duuh, hii kali.
      ndahani it is true, nenda mikocheni pale kituo cha Tanesco almaarufu mikocheni chama. Ingia hapo uswahilini kwa wapiga gongo, gongo inauzwa wazi na polisi hawawezi fanya cho chote because wateja ni hawahawa PPU wetu.
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    7. #25
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,720
      Rep Power : 32785
      Likes Received
      4988
      Likes Given
      6456

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Nadhani tutakapokua na rais tutajadili hili(kidding)
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      kazi za usalama wa taifa bongo zinatolewa kindugu
      sasa utakuta nchi inalindwa na watu wa kabila moja au marafiki tu!

    10. #27
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Ben
      Nadhani tutakapokua na rais tutajadili hili(kidding)
      There you go!

    11. #28
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Waheshimiwa wana-jf, Mbona mmemkwepa Kibunago na kukimbikilia kwa Mlende? Au kwasababu mnapenda kazi za mbwembwe na swali la Kibunago linajumuisha hiyo PPU Kwangu swali la KIbunago linafaa zaidi kujadiliwa humu jukwaani kwani ni pana ilijumuisha ulinzi wa rais na vitengo vingine vya UWT (TISS). Plz tuijadili idara yetu kwa upana wake kwani naamini ujumbe utawafikia na huenda mambo yakkarekebishwa kwa faida ya watanzania wote. Mambo ya kusema kazi yao ni kunywa gongo tu si haki hata kidogo. Plz let us be fair
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    12. #29
      Mlenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2006
      Posts : 318
      Rep Power : 705
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Bazazu,

      It doesn't matter where a point is discussed as to the fact it is discussed, or does it?
      Post by Mlenge F., user "Mlenge".
      © 2006 - 2010 by Mlenge F. All rights reserved.
      http://www.amazon.com/Mlenge-Fanuel-Mgendi/e/B002KGRRK8

    13. #30
      Kwetunikwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd December 2007
      Location : Kwetu uswahilini
      Posts : 1,208
      Rep Power : 824
      Likes Received
      80
      Likes Given
      3

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Bulesi
      Nakubaliana na wewe Kiranga nchi iko kwenye AUTOPILOT
      Kha! can't believe my stomach!
      Hardly a shoemaker goes barefoot..!

    14. #31
      mmakonde's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2009
      Posts : 976
      Rep Power : 673
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      PPU wa sasa wanafaida na JK kwani trip za Ulaya nyingi!Per diem na suit za kuvaa top class!

      Museveni ni half mtusi,unajua Waganda wengi hawamtaki,sasa jeshi ,walinzi wake wengi ni toka kabila lake.Hata mtoto wake,Muhozi, alimpeleka Sandhurst UK,naye yuko katika kikosi cha kumlinda baba yake

    15. #32
      Mlenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2006
      Posts : 318
      Rep Power : 705
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      In other words, does Tanzania have 'Counter-Espionage' unit? Or, which unit is responsible to counter economic espionage, for instance? Or as long as the president is safe, no more duties for them?
      Post by Mlenge F., user "Mlenge".
      © 2006 - 2010 by Mlenge F. All rights reserved.
      http://www.amazon.com/Mlenge-Fanuel-Mgendi/e/B002KGRRK8

    16. #33
      Bantugbro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2009
      Posts : 2,410
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      487
      Likes Given
      1492

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Naona maswali mengine mnayaleta humu Jamvini hakuna wa kuyajibu....
      Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..

    17. #34
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Bantugbro
      Naona maswali mengine mnayaleta humu Jamvini hakuna wa kuyajibu....
      Ni kweli especially kwenye kazi hizi ambazo watu wanafanya kwa viapo.Ukisaliti kiapo chako utabebeshwa msalaba mzito
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    18. #35
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      489
      Likes Given
      173

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By analysti
      wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
      hii inaweza kuwa na ukweli, unajua inashangaza kwa raisi wa nchi kutembea barabarani mpaka usiku na kufikia hatua ya kurushiwa mawe (Mbeye), sasa hayo yalikuwa ni mawe je kama wangekuwa na silaha za kijeshi?
      raisi wa nchi anapelekwa kwenye deal za kijinga kabisa (zinduka-maralia), hivi hata usalama wa taifa wanashindwa kujua ni wapi pa kumpeleka Raisi, hivi kweli Tazara ni sehemu sahihi kabisa? inakuwaje sehemu ya kampeni watu watozwe pesa, ina maana hao watu wa usalama hawakuifatilia hiyo consert before kujua kama hiyo ni biashara na raisi hapaswi kwenda
      Kuna ----- mwingi sana kwenye hii idara

    19. Mbu
      #36
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By analysti
      wanakwenda kazini kusoma magezeti tu! They are not aware of what is really going on.
      ...duh? haya bana. Ndio u -'undercover' wenyewe huo :D
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    20. #37
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Mlenge
      Kenya usalama wa taifa wao unapelekwa kisomi zaidi. Niliona tangazo la kazi ya usalama wa taifa kenya KWENYE GAZETI.
      bongo kazi katika nyanja hiyo wanapeana kwa kujuana na hawaangalii taaluma! wanaangalia sometime uwezo wa mtu binafsi!

    21. Mbu
      #38
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Pape
      bongo kazi katika nyanja hiyo wanapeana kwa kujuana na hawaangalii taaluma! wanaangalia sometime uwezo wa mtu binafsi!
      ...sasa pape,
      kwenye ajira yeyote kwanza si unaangalia 'uwezo' wa mtu, unamuajiri, kisha unamfundisha taaluma? au?
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    22. #39
      Kapinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 742
      Rep Power : 739
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Mbu
      ...duh? haya bana. Ndio u -'undercover' wenyewe huo :D
      Serikali waweke mambo wazi wa kuapply...binafsi nimeshuhudia tv's na magari na bidhaa kadhalika zinashushwa kwa mtumbwi kwenye beach fulani! Sasa i dont wanna imagine what goes on our easter boarders! But usalama tanzania umekaa kimaslahi ya wakuu sana...issue ya zinduka na ufunguzi wa hoteli arusha ni aibu kwa usalama clearly kuna mtu hajafanya kazi yake ata kama raisi alitaka kwenda ni maslahi ya nchi wana guvu ya kumstopisha! Jana nilikuwa aangalia top gear ..jay leno was the guest akasema wakati obama anakuja kwenye show yake kama candidate kulikuwa hamna security checks wala nini lakini alipokuwa raisi CIA ilipiga back ground check kila mfanyakazi kwenye show ile..na watu kadhaa waliambiwa bila sababu yoyote wasije kazini siku ile ya interview! Ndo ujiulize hapo!
      "When the Authorities ask for your shirt, you give them your jacket aswell" Pattni Goldenberg Scandal Architect

    23. Mbu
      #40
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

      Quote By Kapinga
      Serikali waweke mambo wazi wa kuapply...binafsi nimeshuhudia tv's na magari na bidhaa kadhalika zinashushwa kwa mtumbwi kwenye beach fulani!.!
      ...jukumu lako kama raia ulitakiwa kuripoti hilo haraka iwezekanavyo wahusika wachukuliwe hatua, informers pia wapo kwenye 'payroll'.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.


      Similar Topics

      1. Lawrence Masha mmiliki wa ECO PROTECTION TANZANIA LTD
        By NNYAMBALA in forum Celebrities Forum
        Replies: 87
        Last Post: 4th January 2012, 10:13
      2. Does Tanzania have a counter terrorim unit?
        By Captain22 in forum Jamii Intelligence
        Replies: 4
        Last Post: 28th October 2011, 20:54
      3. I took this charm from tanzania for protection
        By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
        Replies: 4
        Last Post: 23rd August 2011, 09:22
      4. Tanzania needs an Emergency Response and Volunteer Unit
        By MwanaFalsafa1 in forum Jukwaa la Siasa
        Replies: 6
        Last Post: 19th February 2011, 04:40
      5. Tanzania: Consumer Protection Ipo?
        By Kichuguu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
        Replies: 1
        Last Post: 7th January 2009, 15:00

      User Tag List

      Posting Permissions

      • You may not post new threads
      • You may not post replies
      • You may not post attachments
      • You may not edit your posts
      •  

      Who are WE?

      JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

      You are always welcome! Read more...

      Where are we?

      We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

      For anything related to this site please Contact us.

      Contact us now...

      DISCLAIMER

      JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

      Read more...

      Forum Rules

      JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

      You MUST read them and comply accordingly. Read more...

      Privacy Policy

      We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

      Read our Privacy Policy. Proceed here...