Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Report Post
    Page 28 of 34 FirstFirst ... 182627282930 ... LastLast
    Results 541 to 560 of 676
    1. #1
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,185
      Rep Power : 31378
      Likes Received
      9584
      Likes Given
      683

      Default Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

      Na mshahara wa makamu wa raisi..?
      Waziri mkuu..?
      Spika wa bunge..?
      Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
      Jaji mkuu..?

      Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?

    2. Miaka 50

    3. #541
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,654
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Duh hakuna ane jua mshahara wa JK? yaweza kuwa siri na why?

    4. K'T
      #542
      K'T's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 358
      Likes Received
      3
      Likes Given
      4

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      hivi mnahisi kunamtu anaweza sema waongee ili tuwapige maneno mshahara mkubwa na wanatanzania tunashida nyingi sana, amna atakayekua tayari kuongea ukweli!

    5. K'T
      #543
      K'T's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 358
      Likes Received
      3
      Likes Given
      4

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      yule aliekua analalamika hamna haja ya wabunge kuendesha kilimo kwanza ama kuvaa suit zabei ghari sana, mkewe juzi ameoneka ndani ya kilimo kwanza mpya kabisa, pesa wanazipenda na hawawezi kuwa tayari kuongea juu ya mishahara wala marupurupu watanzania tutaendelea kuumia waachache wakifaidika
      emmjo likes this.

    6. #544
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Naomba anayejua mshahara wa hawa mafsadi wa ccm kuanzia mawaziri wote pamoja na mkuu wa nchi {dhaifu} ili tujue wanachukuwa mkwanja kiasi gani.. Kwani na anawalipa wao mfano jk?

    7. #545
      msapwat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 354
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Wananchi wapinga wabunge kuongezewa mishahara

      jamani mimi nadhani ni wakati wa kuiweka wazi mishahara yote ya watumishi serikalini ili tuweze kuona tofauti iliyopo, au mnasemaje wadau?


    8. FemaTV & Radio

    9. #546
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,899
      Rep Power : 3596
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2111

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      shahara ya nini bana kama nawesa acha chukua mezi yote na mbado ikawa multi billionea?
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    10. #547
      jchakupewa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 10
      Rep Power : 383
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      No answer up to date

    11. #548
      FEELINGS's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th December 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 381
      Likes Received
      12
      Likes Given
      15

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Rais wa Tanzania analipwa mshahara wa shs $ 450,000 kwa mwaka. Hapo ni nje ya marupurupu yote. Confirmed
      emmjo likes this.

    12. #549
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,372
      Rep Power : 1082
      Likes Received
      249
      Likes Given
      1383

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Quote By feelings
      rais wa tanzania analipwa mshahara wa shs $ 450,000 kwa mwaka. Hapo ni nje ya marupurupu yote. Confirmed
      ...by who? By what reliable sources??
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    13. #550
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,372
      Rep Power : 1082
      Likes Received
      249
      Likes Given
      1383

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      ...Now that we know, if the source can be cpnfirmed, what is our next course of Action, or the urge to know our president's salary was but a tantrum??
      emmjo likes this.
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    14. #551
      emmjo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      4

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Quote By Mkandara
      Swali zuri sana na nadhani Ikulu watakapo kamilisha site yao ni vizuri wakiziweka habari hizi wazi kwa wananchi kuziona... Waajiriwa wote wateuliwa na rais ni vizuri tukifahamu mishahara yao!
      makubwa

    15. #552
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Quote By FEELINGS
      Rais wa Tanzania analipwa mshahara wa shs $ 450,000 kwa mwaka. Hapo ni nje ya marupurupu yote. Confirmed
      Mhnnnn! what about this one:-
      The president of Tanzania Kikwete salary per annum is Tsh 300,000,000/= three hundred million of which if convert to USD is $187,500/ the president gets many benefits free accomodations at resident all food and loundry and transportations is fully paid the president gets full medical including all his family members president also gets clothing allowance, travel and enteratiainment allowance


      Read more: What is the salary of Tanzania president
      Exploration of reality

    16. #553
      Mkasiwa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Nafikiri the issue of salary is too personal. Mimi nafikiri tuzungumzie mishahara ya wafanyakazi nchi nzima bila kujali professional
      kwani mishahara ya Wafanyakazi ni ya kiujanjaunjaja tj

    17. #554
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,833
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      1309
      Likes Given
      914

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Quote By Mkasiwa
      Nafikiri the issue of salary is too personal. Mimi nafikiri tuzungumzie mishahara ya wafanyakazi nchi nzima bila kujali professional
      kwani mishahara ya Wafanyakazi ni ya kiujanjaunjaja tj
      Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ni jambo linalotakiwa liwe public, siyo "too personal." Nafahamua kuwa mishahara ya wafanyakazi wa serikalini katika nchi nyingi za west inapatika online; unahitaji tu kujua namna ya kutafuta.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    18. #555
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,185
      Rep Power : 31378
      Likes Received
      9584
      Likes Given
      683

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      Quote By Mkasiwa
      Nafikiri the issue of salary is too personal. Mimi nafikiri tuzungumzie mishahara ya wafanyakazi nchi nzima bila kujali professional
      kwani mishahara ya Wafanyakazi ni ya kiujanjaunjaja tj
      Why is it too personal? Who foots the bill for their salaries? It's the taxpayers, right? As taxpayers we have the right to know how our money is being spent.

      If this government is of the people, by the people, and for the people then there ought to be total transparency in the way it operates and that includes making public the salaries of those who work in it.
      Last edited by Nyani Ngabu; 16th July 2012 at 16:14.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    19. #556
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 812
      Rep Power : 586
      Likes Received
      82
      Likes Given
      12

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      swala sidhani kama ni mshahara swala ni namna utendaji ulivyombovu kwa hao wanaolipwa mishahara mikubwa au midogo, mh mbunge mh rais wanaweza kulipwa hivyo walipwavyo lakin wawajibike? kitu ambacho ni tofauti kabisa. na pili kuna umuhimu wa serikali kutengeneza mfumo mzuri wa hii mishahara utakaoenda sambamba na viwango vya elimu nk na hii ni pamoja na wabunge kwani na wao ni miongoni mwa watumishi wa umma (kisiasa) n.k

    20. #557
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,106
      Rep Power : 17238
      Likes Received
      1622
      Likes Given
      1122

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      [QUOTE=MegaPyne;45730]Niliona hapa, kama sikosei kwenye topic moja kuhusu mkapa, mdau moja alisema mshahara wa rais ni $12,000 kwa mwezi. ]

      Kwanini wanalipwa kwa dola badala ya madafu?? au siyo wazawa??
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    21. #558
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      nimeipenda hii article juu ya Makerere University japo inaongelea masuala yaliyopita, fuatilia kwenye hizo red utagundua ni kwa nini nchi zetu haziendelei labda kutokana na makosa hayo!
      .......
      ......To regain glory
      In order for Makerere to regain its past glory it has to shed some new courses and go back to its core academic subjects with manageable numbers. If we want 30,000 students, let us build facilities for 30,000 students and not squeeze them in facilities meant for 5,000 students.


      From 1971 when Idi Amin took over power, Makerere was not spared the fate that befell the nation. Many staff left because their lives were threatened. The ensuing economic chaos led to shortages of essential commodities leading to inflation.
      The Uganda Shilling lost value and salaries became inadequate. Since then, the currency, through the efforts of government and Bank of Uganda, has stabilised. Essential goods are readily available. However, because of political instability under Amin, salaries in Uganda became distorted. This has resulted in salary disparity leading to a lot of discontent and strikes.


      The example quoted often is the wages paid by Kampala Capital City Authority to a tea-girl of Shs1.2 million per month as compared to an intern doctor who gets about Shs600,000 per month. The tea-girl salary compares very favourably with those of lecturers at Makerere. In the medical field, senior consultants take home less than Shs2 million per month and these people are expected to save people’s lives.


      I have the last British Colonial Staff list with all the salaries paid to the various senior staff from police offers to judges. The current salary scales bear no resemblance to the booklet I have.


      When Makerere became a university, professors were appointed and these professors were the highest paid government staff. The Governor of Uganda was paid £3,000 per annum plus £2,000 duty allowance. The Chief Secretary earned £3,500 per annum. Permanent secretaries, who were all expatriates, earned £2,800 per annum. Makerere academic professors earned £3,000 per annum while medical clinical professors earned £3,300 per annum.


      This soon changed after Independence. When Ugandans became permanent secretaries, they said: “We run a whole ministry how can professors who only run departments earn more than we do?” There started the downgrading of university staff.

      The reason why the British paid professors more money than permanent secretaries was based on the fact that a professor can always find a job as a professor in other parts of the world whereas a permanent secretary is only that in Uganda.


      [email protected]


      more on this source: http://www.monitor.co.ug/News/National/Aliker+reflects+on+90+years+of +Makerere/-/688334/1471956/-/item/0/-/u5sm4h/-/index.html

    22. #559
      Mbwiga88's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 235
      Rep Power : 393
      Likes Received
      39
      Likes Given
      0

      Default Re: Mishahara ya viongozi wa Tanzania

      The only one who knows the salary of the president is the PMG(PAYMASTER GENERAL)

    23. #560
      Fulumbundu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 340
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mkandara
      Mhnnnn! what about this one:-
      The president of Tanzania Kikwete salary per annum is Tsh 300,000,000/= three hundred million of which if convert to USD is $187,500/ the president gets many benefits free accomodations at resident all food and loundry and transportations is fully paid the president gets full medical including all his family members president also gets clothing allowance, travel and enteratiainment allowance


      Read more: What is the salary of Tanzania president
      Mbunge je??

    Page 28 of 34 FirstFirst ... 182627282930 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Mishahara ya makampuni ya bia tanzania-sbl na tbl
      By HR CONSULTANT in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 19
      Last Post: 17th June 2011, 00:28
    2. Viwango vya mishahara Tanzania
      By Bado Niponipo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 26
      Last Post: 4th July 2010, 15:58
    3. Replies: 23
      Last Post: 29th July 2009, 19:59
    4. Mishahara WhiteHouse ya Obama... Vp Tanzania
      By Chuma in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 3rd July 2009, 15:56
    5. Kwa nini Tanzania mishahara ni midogo
      By Bontowar in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 38
      Last Post: 13th April 2009, 22:38

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...