Benjamin William Mkapa nimjuaye... - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jamii Intelligence


Jamii Intelligence Serious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 2nd July 2009, 11:56 PM   #1
Benjamin William Mkapa nimjuaye...
Kaniki1974 Kaniki1974 is offline 2nd July 2009, 11:56 PM

Rais bora wa TZ next to Mwl. J. Nyerere

Aliingia madarakani kwa haki bila rushwa wala kununua vyombo vya habari. Alikuwa na hoja na alieleza WAZI nia yake ya kugombea urais.

Alianza kazi kwa kasi hakungoja wiki mbili au zaidi kupanga baraza la mawaziri.

Aliunda serikali ndogo kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.


Alikuwa na falsafa binafsi, dira na msomi aliyependa kusoma na kujifunza.

Akapambana kijemedari kwelikweli na misukosuko ya Reli, MV Bukoba, Elnino na majanga mengine. Akapunguza mfumuko wa bei toka 48% 1994 na kubakia single digit enzi zote za utawala wake.

Akaboresha utumishi wa umma; kapunguza wafanyakazi hewa na kuboresha maslahi.


Akapunguza deni la nje na kuipa Tanzania heshima.

Akajenga miundo mbinu hususan barabara kwa kasi kubwa


Akavutia wawekezaji wenye tija kama TBL, NBC n.k


Akajenga EPZ alipanga zijengwe 22 nchi nzima


Akaimarisha majeshi yetu kwa kuwapatia motisha vitendea kazi na makazi.


Akajenga Uwanja wa Taifa

Akajenga Benki kuu Twin towers na kule Zanzibar. Twin Towers kama Bank of Canada, Toronto (kwa wanaojua)


Alikuwa na hoja zenye mashiko.

Alikuwa kiongozi kweli jasiri, mwenye kujiamini na hakuogopa mihadhara: iwe ya vyama vya siasa, vyuo vikuu au kimataifa. Alikuwa full of substance.


Ujasiri wake hata vita ingetokea enzi zake angetuongoza vyema sana kumshinda adui.


Hakuwa mwongo katika kauli na ahadi zake.

Alikuwa na maadili na na hekima na aliheshimu mamlaka na taratibu zilizopo.

Akawapa nguvu na haki zaidi wanawake.

Alipigania utandawazi kuwanufaisha wengi.

Alikuwa mchapakazi hakuwa mvivu.

Alikuwa makini na alipinga na kukwepa sana matumizi yasiyo lazima ya serikali.

Alisafiri ng’ambo pale tu ilipobidi. Alikaa ofisini na kufanya kazi.

Alijiheshimu hakuwa Fataki.

Hakuwa ombaomba, bali alipenda kujenga uwezo, kujitegemea na kuwasaidia ombaomba.

Akanunua ndege bora ya Rais, mafisadi wakaipinga.

Akanunua rada ya nguvu, mafisadi wakaipinga.

Alikuwa na vyeti vya nguvu na alifuzu vyema masomo yake. Alionyesha uwezo. Alikuwa na speech za kisomi.

Alihakikisha nchi inakaribia kupaa ndio akaikabidhi kwa JK. Tukadhani itapaa.

Na mengine mengi.

Huyo ndiye Benjamin William Mkapa, Rais ninayemkubali na kumrank second. Angekuwepo mpaka leo Tanzania ingekuwa emerging economy I am sure.


Mnaomsema vibaya mshindwe ka kulegea. Hamna shukrani. Ni kiongozi ambaye wanaokumbuka, tunamshukuru sana.
__________________
'The rich of the future are those who are rich in mind'. Winston Churchill

 
Kaniki1974's Avatar
Kaniki1974
JF Senior Expert Member
Points: 177,842, Level: 100 Points: 177,842, Level: 100 Points: 177,842, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 357
Thanks: 25
Thanked 9 Times in 8 Posts
Views: 4591
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 01:00 AM
Siao Siao is offline
Siao has no status.
Senior Member
Points: 75,147, Level: 100 Points: 75,147, Level: 100 Points: 75,147, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jan 2008
Posts: 77
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Siao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enoughSiao will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Kwani kosa ni lako basi...!

Hujui mwanga kama hujaona giza. kwenye shairi lako hukumalizia vizuri, kuwa ulishawahi kula chakula cha mchana kwake...!

Pale umaandika njaaaaa tu mshikaji...!

Unahitaji fimbo kama mtoto wa shule,
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 01:26 AM
Sikonge's Avatar
Sikonge Sikonge is offline
Sikonge "Mwenye wivu kwa mafisadi ajinyonge"
JF Premium Member
Points: 270,977, Level: 100 Points: 270,977, Level: 100 Points: 270,977, Level: 100
Activity: 21% Activity: 21% Activity: 21%
 
Join Date: Sat Jan 2008
Location: Sikonge, Tabora
Posts: 2,731
Thanks: 1,175
Thanked 585 Times in 351 Posts
Rep Power: 28
Sikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enoughSikonge will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Shairi ungeanza:-

ALiuza mashirika yote ya Tanzania.

Akajipa mgodi wa Kiwira.

Akajipa nyumba za serikali.

Akawapa Wazungu migodi yetu na ardhi ya bure wachimbe madini.

Akauza Kilimanjaro Hotel mara tatu na huku sasa twalipa fidia wale wawili wa mwanzo.

Akawapa Wajanja kiwanja cha ndege cha KIA kwa bei ya dola 1,000/ kwa mwaka.
aka-EPA hela zetu bale BoT.

Aka DEEPGREEN hela zetu.

Aka MEREMETA hela zetu na madini.

Kama hiyo haitoshi, akaanza kushirikiana na wajanja wachache kuuza silaha ili majirani zetu wachinjane huku akilitumia JWTZ na usalama wa Taifa. Akitumia JWTZ, alinunua RADAR kwa bei ya juu kuliko inavyotakiwa. Akajinunulia na dege bofu bofu.

Alim-fisadisha Mzindakaya ili a-shut up.

Na hii yote na yote uliyoandika na yale yote hatukuyaandika, ALILIPWA MSHAHARA WA WALIPA KODI. Makonde siku moja atakiona cha ntema kuni njomba.
__________________
.... hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye nimiongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za rostam wakati wa kampeni (By: Game Theory)
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 02:04 AM
Junius's Avatar
Junius Junius is offline
Junius Sir Phillip Francis
JF Senior Expert Member
Points: 443,794, Level: 100 Points: 443,794, Level: 100 Points: 443,794, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Mar 2009
Posts: 2,073
Thanks: 141
Thanked 181 Times in 128 Posts
Rep Power: 26
Junius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Alikuwa Amiri jeshi mkuu wa majeshi na wapiganaji aliyeongoza kwa ufanisi mkubwa mauwaji ya raia wasiokuwa na hatia Januari 26/27/2001, kule kisiwani Pemba, huku vikosi vyake vya Polisi vikitembeza bakora,vigongo na mabomu ya kutoa machozi katika mitaa ya Darajani na Mtendeni.

Mauwaji ya Waislamu wa Mwembechai hayatafuta sifa yake nzuri ya ukatili wa utawala wake.

Manyanyaso kwa wanataaluma na waandishi wa habari waliotumia haki yao ya kidemokarasi ya uhuru wa kutoa maoni hayatasahaulika hasa madhila ya kutaabishwa katika nchi yao wenyewe akina Jenerali Ulimwengu na Mar. Adam Mwaibabile Mwana R.I.P.
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 02:53 AM
August August is offline
August has no status.
JF Premium Member
Points: 234,650, Level: 100 Points: 234,650, Level: 100 Points: 234,650, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Posts: 1,283
Thanks: 1,154
Thanked 171 Times in 86 Posts
Rep Power: 25
August will become famous soon enoughAugust will become famous soon enoughAugust will become famous soon enoughAugust will become famous soon enoughAugust will become famous soon enoughAugust will become famous soon enoughAugust will become famous soon enoughAugust will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

ni raisi mstaafu wa tanzania ambaye atakufa na laana ya watanzania kama hato omba/kutubu dhambi zake akiwa hai
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 03:32 AM
Jasusi Jasusi is offline
Jasusi is a truth seeker
JF Premium Member
Points: 278,231, Level: 100 Points: 278,231, Level: 100 Points: 278,231, Level: 100
Activity: 18% Activity: 18% Activity: 18%
 
Join Date: Fri May 2006
Posts: 4,158
Thanks: 1,090
Thanked 573 Times in 298 Posts
Rep Power: 32
Jasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Kaniki,
Ungemalizia kwa kibwagizo kuwa huyu ni kuku aliyekula mayai yake mwenyewe.
Hapo ungeeleweka.
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 03:38 AM
Bongolander Bongolander is offline
Bongolander has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,672, Level: 100 Points: 265,672, Level: 100 Points: 265,672, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Location: Tandale
Posts: 2,277
Thanks: 9
Thanked 192 Times in 103 Posts
Rep Power: 27
Bongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Nakuunga mkono kuhusu uwezo alioonesha Benjamin Mkapa katika utawala wake, hasa kurudisha sifa ya Tanzania nje. Alijaribu na kufanikiwa kutupaka mafuta. Alihubiri demokrasia, alihubiri uwazi na uwajibikaji, alihubiri kuchukia rushwa na aliweza kudhibiti mfumuko wa bei.

Lakini miaka michache ya uongozi wake alionesha udhaifu mkubwa wa uenyekiti wa chama, urais na alituvuruga sana na kutuwekea matatizo ambayo mpaka sasa tunaendelea nayo. Under his watch Tanzania imepata uongozi wa ajabu sana, sasa hivi tunakuwa kama watoto. Kwa hiyo lazima tumuangalie kwa pande zote.

Kwake kupambana na ufisadi kulilenga zaidi kupambana na rushwa wanayopokea mahakimu, au rushwa ndogondogo lakini ufisadi ni kama aliubariki.
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 07:04 AM
Laibon Laibon is offline
Laibon has no status.
Junior Member
Points: 57,482, Level: 100 Points: 57,482, Level: 100 Points: 57,482, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Jun 2009
Posts: 5
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
Laibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enoughLaibon will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Kaniki,

Kwanini unapenda kujiunganisha kwenye laana ya Watanzania dhidi ya Mkapa? Hututakuhukumu kwa sasa, inaonekana wewe hauishi TZ kabisa.

Kama Nyerere alivyosema, ikulu ni mahali patakatifu- Mkapa alipafisadi pale! Angalia mawaziri na maofisa wa serikali yake, wako mahakamani! Hata hizo statistics unazotoa, mfano inflation- aliyekuwa anazitoa si Balali? Zimepikwa tu kuwadanganya wananchi.

Mkapa has a case to answer, hakuna immunity hapa!
Reply With Quote
  #9  
Old 3rd July 2009, 07:18 AM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Red face Re: Benjamin William Mkapa

Inawezekana huyu mtoa aliwahi kula lunch ya huyu jamaa, yaani madudu yote ya che Nkapa hayaoni? Simulazimishi kuyaona ila mzee angalia hata mahali pa kutetea,sikulaumu kama ambavyo simlaumu mbunge wa Kgm mjini alivyomtetea jana bungeni. Mkapa ana mambo mengi ya kujibu.
Reply With Quote
  #10  
Old 3rd July 2009, 07:32 AM
Waberoya Waberoya is offline
Waberoya ni mchunguzaji
JF Premium Member
Points: 187,621, Level: 100 Points: 187,621, Level: 100 Points: 187,621, Level: 100
Activity: 74% Activity: 74% Activity: 74%
 
Join Date: Sun Aug 2008
Location: On Earth
Posts: 2,569
Thanks: 2,350
Thanked 1,418 Times in 715 Posts
Rep Power: 27
Waberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enough
Default Re: Benjamin William Mkapa

Good post kaniki.

Unajua ninachofurahi ni kuwa huyu jamaa anayelaumia yupo, anaishi, anadunda, vongozi waliokuwa wamkamat kaa amekosea wapo nao wanaishi!

Tutaendelea kulalamika na kulaumu tu hapa, TUNA RAIS YUPOYUPO TU KAMA SANAMU, watu watasubiri kumlaumu akitoka kwenye uongozi.

JK huwazi ku-mquote kila siku anatoa pumba
JK hana unaloweza kujivunia kuwa tuna kiongozi

IQ ya JK is remotely far lower than BMW.

KWA MIMI MTANZANIA MMOJA, NINAPOONA KUWA WATANZANIA WENZANGU WALIMWEKA JK! then MTU AKANIPA NAFASI YA KU-COMPARE KATI YA HAWA WAWILI, MKAPA KWAMWACHA MBALI SANA JK!

Kuhusu kuuzwa viwanda kosa lilifanyika na akina Mwinyi kukubali globalisation!

BWM alikuwa mkweli , mchapakazi na ailsimamia maamuzi yake hii ndio sifa ya kiongozi, hatukuona ujinga wa kujadili mahakama ya kadhi au ya kikristo hakuwa ana muda huo

Tutatukana na kusema lolote, tukubali kuwa sisi wenyewe watanzania ndio tuna makosa SASA KAMA MTU ALIONA MKAPA ANA MATATIZO NDIO MKAMKWEKA JK KUREKEBISHA?????????????????????LOL!

Tujadili mzizi wa matatizo, system zetu, sheria zetu lakini kwa yeyote mwenye akili BWM hatasahaulika kwa mazuri aliyotenda TZ. Na kama kuna mabaya mimi siamini mpaka aende jela! ndio nitaamini


VIZAZI VIJAVYO VIKITUULIZA KUWA ETI MKAPA ALIIBA?? TUTASEMA NDIO?? NA WAKITUUULIZA JE WALE VIONGOZI WALIOKUJA BAADA YAKE WALIFANYA NINI walimshtaki?? kimya!!!!! bado mnalaumu wezi

Mtanzania bila aibu anasema eti aombe msamaha! haya mawazo ya kifisadi pia! eti MKAPA KAMA KWELI ALIIBA AKIOMBA MSAMAHA BASI IS OK! bado tunasema tatizo ni viongozi hapa?? watz siku zote wajuaji tunamuhitaji MKAPA MWINGINE!

Unaweza ukampa MAXIMO cheo cha urais na akafanya vizuri zaidi kuliko JK!

Tatizo sisi, mwakani JK anaweza akasema hagombei tunaweza kumpa urais Sofia Simba! sisi!
__________________
‘’I have come to the conclusion that politics are too serious a matter to be left to the politicians’’. Charles De Gaulle (1890 - 1970)
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
benjamin, mkapa, nimjuaye, william


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Je tuhahitaji tena Ze Utamu? Gembe Habari na Hoja mchanganyiko 420 4th May 2009 06:02 AM
Mkapa amuangukia Kikwete Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 11 24th April 2009 06:12 PM
Tumekusikia Steve Mkapa! Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 15 20th June 2008 02:05 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 03:10 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com