Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Biashara ya madawa ya kulevya.

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Makwarukwaru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 379
      Likes Received
      12
      Likes Given
      52

      Default Biashara ya madawa ya kulevya.

      Kwa mtazamo wa kawaida, madawa ya kulevya ni kitu kinachopigwa vita sana. lakini kiuhalisia haiko hivyo. Kwani watu wanauza madawa haya peupe bila woga wala wasiwasi. Nani yuko nyuma ya biashara hii?ananguvu kiasi gani mpaka imekua halali kiasi hiki?Ukitembelea maeneo ya kawe ukwamani vijana wanatumia madawa 24/7 bila kificho wala wasiwasi,nani yuko nyuma yao anaewapa kichwa kiasi hiki? Sijataka kusema maeneo mengine ila hali ni mbaya,kama serikali kila mara inapiga kelele kuhusu madawa hawa mbona hawakamatwi? Mwisho, bangi ikikamatwa huwa inaharibiwa tunaona, ule unga unaokamatwa huwa unapelekwa wapi au unafanywa nini?


    2. #2
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 446
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Quote By Makwarukwaru View Post
      Kwa mtazamo wa kawaida, madawa ya kulevya ni kitu kinachopigwa vita sana. lakini kiuhalisia haiko hivyo. Kwani watu wanauza madawa haya peupe bila woga wala wasiwasi. Nani yuko nyuma ya biashara hii?ananguvu kiasi gani mpaka imekua halali kiasi hiki?Ukitembelea maeneo ya kawe ukwamani vijana wanatumia madawa 24/7 bila kificho wala wasiwasi,nani yuko nyuma yao anaewapa kichwa kiasi hiki? Sijataka kusema maeneo mengine ila hali ni mbaya,kama serikali kila mara inapiga kelele kuhusu madawa hawa mbona hawakamatwi? Mwisho, bangi ikikamatwa huwa inaharibiwa tunaona, ule unga unaokamatwa huwa unapelekwa wapi au unafanywa nini?
      dah!!! umenifanya nimkumbuke marehemu Amina Chifupa, alitaka kutujibia haya maswali maana alidai alikuwa tayari anayo majibu yake. kwa bahati mbaya hakujaaliwa kuishi na kutupatia hayo majibu, YASEMEKANA WAHUSIKA WALIM-NYAMAZISHA FASTA. kwa hiyo ndugu yangu, nionavyo mimi, kutaka kuwajua wahusika, ni sawa na ku-beep kifo. lakini siwezi kushangaa kuwa ni watu wenye nafasi zao kwenye hili LI-SERIKALI BOVU KUWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA SERIKALI HAPA DUNIANI, maana katika hali ya kawaida haiwezekani pamoja na kelele zote hizo halafu eti wahusika hawakamatwi, si ajabu anayepiga kelele ndo mmiliki wa hiyo biashara, ROHONI KWA MTU MBALI.

    3. #3
      Makwarukwaru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 379
      Likes Received
      12
      Likes Given
      52

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Lakini Wamunzengo kweli tukiendelea kukaa kimya jamii yetu tutakua tunaipeleka wapi?

    4. #4
      nunu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 25
      Rep Power : 420
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Hili ni janga baya sana sana mie humwambia Mungu wangu kila auzaye basi Mungu amhukumu hapahapa duniani asimkawize. It is so painful jamani kwa watoto wanapoingizwa katika matumizi ya madawa haya. Mungu tunusuru na angamiza biashara hii.

    5. #5
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      utakuta list ni ya wakubwa wa serikali na viongozi wakubwa wa kidini ndio maana wanashindwa kufichuana...MOJA AKIMWAGA MBOGA MWINGINE ANAMWAGA UGALI
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!


    6. #6
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,417
      Rep Power : 5165
      Likes Received
      3347
      Likes Given
      2738

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Tanzania bila madawa inawezekanaa! Tanzania bila madawa inawezekana haijashindikana inawezekana! Hiphop bila madawa inawezekana Hiphop bila madawa inawezekana haijashindikana inawezekana!

    7. #7
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,575
      Rep Power : 864
      Likes Received
      455
      Likes Given
      2920

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Ni inshu mtambuka hii mkuu usiumize kichwa! watu wanapiga hela ya hatari
      Who Jah bless, No one Curse!

    8. #8
      fyddell's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 341
      Rep Power : 447
      Likes Received
      50
      Likes Given
      237

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Wakubwa wa hii nchi wanausika wao na marafiki zao. Sasa nani atamwangusha mwenzie wakati wote wameshika kwenye ncha ya kisu kwamba huyu akifunguka basi na yule nae anafunguka. Hili ni janga la dunia na wala sio la tanzania peke yake so vita yake ni kali sana. Ukiamua kupambana basi ujue siku yoyote unaweza ukatangulia kwa muumba.

    9. #9
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,512
      Rep Power : 3217
      Likes Received
      1552
      Likes Given
      6764

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Mtambo wa madawa kulevya mliukamata , lakini maendeleo ya kesi mbona hatujayapata? - Wimbo wa bongo fleva
      Ibambasi likes this.

    10. #10
      Davie S.M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 557
      Likes Received
      145
      Likes Given
      49

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Ishu iko deep sana..drug dealers wote wanajulikana ni vile serikali haitak kuwatoa tupo nao tunasubir wazulumiane ndio wachomane

    11. #11
      wa hapahapa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd August 2012
      Posts : 210
      Rep Power : 386
      Likes Received
      21
      Likes Given
      35

      Default Re: Biashara ya madawa ya kulevya.

      Wana JF. hii ishu ya Madawa ni janga la Dunia Nzima...
      Mfano: nikikwambia Afghanistany ni nchi ambayo ilikuwa inategemea Opium katika uchumi wake na ishu ya ugaidi ni danganya toto yenye kuficha ukweli... vile vita maslahi yalikuwa ni

      1. kupunguza uzalishaji wa Opium(ni bei rahisi) Afghanistany kwahiyo bidhaa hiyo ikipungua itaweza kuwapa fursa Wamiliki wa mashamba ya Coka yaliyopo Amerika ya kusini kufanya biashara duniani kote.

      2. yale mafuta yaliyopo Iraqy ndio chachu ya kuvamiwa nchi hiyo kwa kigezo cha ugaidi...

      Sasa jiulize tofauti na AntDrugs wa Kulasini ni taasisi gani hapa TZ ipo kwa ajiri ya kazi moja tu ya kuzuia hayo madawa... na je ulishawahi kusikia changamoto zao... labda za kukimbizana na Mateja lakini si Vinara wa kuuza hayo Madawa maana jamaa nahisi wana mkono mzuri kwa kutoa rushwa... nahisi hata escort wanaweza kupewa

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...