Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 107
    1. #1
      ERIC JOSEPH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Location : MBEYA TANZANIA
      Posts : 340
      Rep Power : 466
      Likes Received
      34
      Likes Given
      2

      Default Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Wadau nimejalibu kufuatilia na kufuatiliana masuala ya kufa na kuzaliwa

      KUZALIWA
      mana kwa takwimu mbalimbali inaonyesha watu wengi hujifungua hasa nyakati za usiku kuanzia mida ya kumi jioni na kuendelea mpaka saa nne asubuhi kwa mida ya mchana ni nadra sana

      KUFA/KUKATA ROHO.KUAGA DUNIA
      Watu walio wengi ambao husumbuliwa na maradhi mbalimbali nao huanza kufa kuanzia nyakati za jioni,usiku mpaka mida ya saa tano asubuh na kama itatokea kufa mchana ni wachache sana

      Ivi hiyo mida inauhusiano gani na hayo matukio mawili mana watu hawazaliwi mchana na wala hawaagi dunia mida ya mchana?
      Nb.hapo hatujazungumzia ajali


    2. #2
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 3,273
      Rep Power : 1032
      Likes Received
      433
      Likes Given
      180

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Mkuu kuna dada alizaa mtoto muda wa mchana labda unaweza nifafanulia kuna uzuri gani na ubaya gani?

    3. #3
      Boflo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,880
      Rep Power : 5487
      Likes Received
      3937
      Likes Given
      3898

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      sio kweli .....
      “The more you know, the more you realize how much you don't know — the less you know, the more you think you know.”

    4. #4
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 447
      Likes Received
      123
      Likes Given
      39

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Kwanza,ujue kuwa matukio yote mawili huwa yanaviziavizia. Yana haya pia.

    5. #5
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,632
      Rep Power : 13946
      Likes Received
      1785
      Likes Given
      3653

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Binafsi nimeambiwa na mama yangu kuwa nilizaliwa saa 8:45 mchana,hivyo tuliozaliwa mchana tupo tena wengi sana,kufa sijui nitakufa muda gani.Lakini vilevile wapo wengi sana wanaokufa mchana mfano mdogo ni waziri wetu mkuu aliyekuwa safarini akitokea Dodoma.Kwa hiyo matukio yote mawili ninaona kama ni sehemu tu ya maisha ambapo wengine wanakuwa day shift na wengine wanakuwa night shift..
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.


    6. #6
      Zuia Sayayi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2011
      Posts : 691
      Rep Power : 555
      Likes Received
      71
      Likes Given
      52

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Due to the force of gravity
      Caroline Danzi likes this.

    7. #7
      mooduke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Posts : 360
      Rep Power : 511
      Likes Received
      40
      Likes Given
      758

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Nafikiri umesahau kwamba hata kuingia au kutunga mimba mara nyingi ni usiku....

      Quote By ERIC JOSEPH View Post
      Wadau nimejalibu kufuatilia na kufuatiliana masuala ya kufa na kuzaliwa

      KUZALIWA
      mana kwa takwimu mbalimbali inaonyesha watu wengi hujifungua hasa nyakati za usiku kuanzia mida ya kumi jioni na kuendelea mpaka saa nne asubuhi kwa mida ya mchana ni nadra sana

      KUFA/KUKATA ROHO.KUAGA DUNIA
      Watu walio wengi ambao husumbuliwa na maradhi mbalimbali nao huanza kufa kuanzia nyakati za jioni,usiku mpaka mida ya saa tano asubuh na kama itatokea kufa mchana ni wachache sana

      Ivi hiyo mida inauhusiano gani na hayo matukio mawili mana watu hawazaliwi mchana na wala hawaagi dunia mida ya mchana?
      Nb.hapo hatujazungumzia ajali
      Maundumula, MZIMU and morphine like this.

    8. #8
      Slave's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Location : jamiiforums area
      Posts : 3,346
      Rep Power : 4989
      Likes Received
      1154
      Likes Given
      857

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Mala nyingi mimba zinatungwa usiku so miezi tisa ya mimba huanzia pale wanaposhiriki tendo la ndoa,ili iwe miezi tisa kamili tunaweza kuhesabu masaa tangu kutungwa mimba mpaka kuzaliwa.
      DASA likes this.

    9. #9
      mringi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      **** mtu aliwahi kumiambia ukijua saa uliozaliwa utafariki mida hiyohiyo kama utakufa kwa ugonjwa wa Mungu.
      Maundumula likes this.

    10. #10
      Bujibuji's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,415
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7413
      Likes Given
      5746

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Yesu alikufa saa 9 alasiri, sijui alizaliwa muda gani?
      Mabagala, morphine and TANGULA like this.

    11. #11
      Mabagala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : Nansio, Ukerewe
      Posts : 1,328
      Rep Power : 751
      Likes Received
      227
      Likes Given
      254

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Quote By Bujibuji View Post
      Yesu alikufa saa 9 alasiri, sijui alizaliwa muda gani?
      Yesu atakuwa alizaliwa usiku, maana walitafuta gesti walale lakini zikawa zimejaa, na kufufuka ni alfajiri kama sikosei
      Mr. Bigman likes this.
      Promises are comfort to a fool

    12. #12
      M Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 963
      Rep Power : 605
      Likes Received
      224
      Likes Given
      159

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      To die is to be absent from this body
      Maundumula and Mbuzi Mzee like this.

    13. #13
      QUALIFIED's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 515
      Rep Power : 457
      Likes Received
      28
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By M Mkwawa View Post
      To die is to be absent from this body
      that not true ukisema to be absent from this body means there is another body or something else apart frm this which is nat true
      Amsterdam likes this.

    14. #14
      M Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 963
      Rep Power : 605
      Likes Received
      224
      Likes Given
      159

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Quote By QUALIFIED View Post
      that not true ukisema to be absent from this body means there is another body or something else apart frm this which is nat true
      .. and who are you? Body, Soul, Spirit, or non of that? Can you explain to me with empirical facts. .... When someone dies, what exactly is happening?
      Maundumula and Mbuzi Mzee like this.

    15. #15
      QUALIFIED's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 515
      Rep Power : 457
      Likes Received
      28
      Likes Given
      12

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      die means not working ever so what happen is all organs stop working and loss of all evidence of life after that no one knows what fallow as far as i know chemical change take place,i think you get my point M Mkwawa

    16. #16
      M Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 963
      Rep Power : 605
      Likes Received
      224
      Likes Given
      159

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Quote By QUALIFIED View Post
      die means not working ever so what happen is all organs stop working and loss of all evidence of life after that no one knows what fallow as far as i know chemical change take place,i think you get my point M Mkwawa
      Die means to cease to live;undergo the complete and permanent cessation of all vital functions;become dead. Now what is this that "cease" to live and/or "become" dead?

    17. #17
      QUALIFIED's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 515
      Rep Power : 457
      Likes Received
      28
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By m mkwawa View Post
      die means to cease to live;undergo the complete and permanent cessation of all vital functions;become dead. Now what is this that "cease" to live and/or "become" dead?
      organs

    18. #18
      kamtu33's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2012
      Location : mjini kati
      Posts : 433
      Rep Power : 452
      Likes Received
      71
      Likes Given
      90

      Default

      Quote By Mabagala View Post
      Yesu atakuwa alizaliwa usiku, maana walitafuta gesti walale lakini zikawa zimejaa, na kufufuka ni alfajiri kama sikosei
      Hii ndo shida ya watu wanafikili kwa masabuli yaani ww hata babako nafikili humjui na hata mamako atakua hakujui na ww humjui maana huyo unaemwita mamako alikuiba na hata mamako alikuzaa kwa bahati mbaya ndo maana akakutupa chooni mwana izaya mkubwa weeee....

    19. #19
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,382
      Rep Power : 5552
      Likes Received
      589
      Likes Given
      280

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Quote By M Mkwawa View Post
      .. and who are you? Body, Soul, Spirit, or non of that? Can you explain to me with empirical facts. .... When someone dies, what exactly is happening?
      sasa mkuu hapo kwenye bold ataweza kweli kukueleza kwa empirical fact au unamtafuta mwenzio maneno kwikwiwkwiiiii

    20. #20
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,989
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3404
      Likes Given
      4352

      Default re: Maajabu ya kufa na kuzaliwa

      Quote By kamtu33 View Post
      Hii ndo shida ya watu wanafikili kwa masabuli yaani ww hata babako nafikili humjui na hata mamako atakua hakujui na ww humjui maana huyo unaemwita mamako alikuiba na hata mamako alikuzaa kwa bahati mbaya ndo maana akakutupa chooni mwana izaya mkubwa weeee....
      ni kwanini umtukane huyu jamaa namna hiyo kwani amekosea nini jamani?aliyosema ni kweli,,,,so offensive
      Maundumula likes this.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...