Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nini Nimejifunza kutoka Ze Utamu na RM/RA Saga

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1377
      Likes Given
      1180

      Default Nini Nimejifunza kutoka Ze Utamu na RM/RA Saga

      Zeutamu:

      1. Wengi walilalamika kuwa zeutamu inawadhalilisha na wakataka ifungwe - hakuna aliyerespond.

      2. Wengi walilalamika kuwa zeutamu imevunja ndoa zao na mahusiano na wapenzi wao na wakataka ifungwe - hakuna aliyesikiliza

      3. Baadhi wakaandika kuwa kuna watu wamejiua kwa ajili ya zeutamu na wengine wajijidhuru na hata kuathirika kisaikolojia hakuna aliyesikiliza . . . .

      4. Na hatimaye Mkuu Wakaya akadhalilishwa . . . . Usalama wa taifa hakuna aliyekuwa na amani, vijana wote wakaingia kazini, Police Force wakaingia kazini, Intelpol wakaingia kazini na hatimaye zeutamu haipo tena. Yote hayo yalifanyika katika muda mfupi sana . . . . . . .

      RM/RA Saga

      1. Wananchi wameumia sana miaka mingi kwa ajili ya ufisadi . . . hakuna aliyewasikiliza

      2. Wananchi wamekufa sana kwa ajili ya umasikini ambao wakati mwingine umesababishwa na ufisadi hakuna aliyeshtuka

      3. Hatimaye List of Shame ikatajwa . . . . Matokeo yakaanza kuonekana

      4. Hatimaye Mafisadi wakubwa wakaanza kutajwa . . . na sasa mengi yafichuka na yataendelea kufichuka na najua kutakuwa na matokeo.

      Just wondering . . . Nchi hii mambo hayafanyiki hadi wakubwa na mafisadi waguswe.

      Nimejifunza kuwa ili nchi hii mambo yaende sasa ni lazima kuwagusa wakubwa na mafisadi?

      Kama si hivyo . . . Why things do not happen the way they should happen?

    2. Miaka 50

    3. #2
      WomanOfSubstance's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      707
      Likes Given
      721

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Superman
      Zeutamu:

      1. Wengi walilalamika kuwa zeutamu inawadhalilisha na wakataka ifungwe - hakuna aliyerespond.

      2. Wengi walilalamika kuwa zeutamu imevunja ndoa zao na mahusiano na wapenzi wao na wakataka ifungwe - hakuna aliyesikiliza

      3. Baadhi wakaandika kuwa kuna watu wamejiua kwa ajili ya zeutamu na wengine wajijidhuru na hata kuathirika kisaikolojia hakuna aliyesikiliza . . . .

      4. Na hatimaye Mkuu Wakaya akadhalilishwa . . . . Usalama wa taifa hakuna aliyekuwa na amani, vijana wote wakaingia kazini, Police Force wakaingia kazini, Intelpol wakaingia kazini na hatimaye zeutamu haipo tena. Yote hayo yalifanyika katika muda mfupi sana . . . . . . .

      RM/RA Saga

      1. Wananchi wameumia sana miaka mingi kwa ajili ya ufisadi . . . hakuna aliyewasikiliza

      2. Wananchi wamekufa sana kwa ajili ya umasikini ambao wakati mwingine umesababishwa na ufisadi hakuna aliyeshtuka

      3. Hatimaye List of Shame ikatajwa . . . . Matokeo yakaanza kuonekana

      4. Hatimaye Mafisadi wakubwa wakaanza kutajwa . . . na sasa mengi yafichuka na yataendelea kufichuka na najua kutakuwa na matokeo.

      Just wondering . . . Nchi hii mambo hayafanyiki hadi wakubwa na mafisadi waguswe.

      Nimejifunza kuwa ili nchi hii mambo yaende sasa ni lazima kuwagusa wakubwa na mafisadi?

      Kama si hivyo . . . Why things do not happen the way they should happen?

      Since when haipo hewani Mkuu??
      Educating the mind without educating the heart is no education at all.... Aristotle



    4. #3
      Kwame Nkrumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 857
      Rep Power : 705
      Likes Received
      289
      Likes Given
      294

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      It is very frustrating, welcome to the club of the frustrated bro, welcome to the club. But one thing for sure , we won't be frustrated forever....that is for sure.
      I take it personal with Mafisadi.

    5. #4
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1377
      Likes Given
      1180

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By WomenofSubstanc
      Since when haipo hewani Mkuu??
      Nafahamu hoja ya msingi umeshaifahamu lakini lugha inaleta tabu.

      Ni hivi: Maalbino wameuwawa sana, lakini je mpaka sasa kuna suluhu yoyote ya hili jambo? Je hawapo hewani? kama wapo ni nini wanafanya?

      Mkku wa kaya alipoguswa speed ya utendaji na performance iliongezeka kuliko kawaida. Maboss walikuwa matumbo juu. Hawakulala.

      Next question please . . .

    6. #5
      Mwawado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
      Posts : 1,263
      Rep Power : 898
      Likes Received
      113
      Likes Given
      219

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By WomenofSubstanc
      Since when haipo hewani Mkuu??
      Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!

      Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...
      Its not enough to do good if you can do better.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1377
      Likes Given
      1180

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Kwame Nkrumah
      It is very frustrating, welcome to the club of the frustrated bro, welcome to the club. But one thing for sure , we won't be frustrated forever....that is for sure.
      Time will tell . . . . Let us wait and see.

      However, something seriously need to be done.

    9. #7
      Susuviri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2007
      Posts : 2,333
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      65
      Likes Given
      67

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      The answer to your question is: THEY JUST DON'T CARE! Viongozi wetu hawajali, hebu kumbuka mabomu ya Mbagala, bunge liliendelea kama kawaida na Pinda alibaki mpaka saa 2 usiku bungeni hakuna hata kusimama kuwakumbuka wahanga wala nini! Unafikiri ni kwa kwa nini? THEY DON'T GIVE A DAMN!
      "It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin

    10. #8
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1377
      Likes Given
      1180

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Mwawado
      Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!

      Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...

      Mwawado;

      Ninachofahamu, next day baada ya kumdhalilisha mkuu wa kaya, haikupatikana tena. For sure I know Intelpol na vijana wa ICT Usalama wa Taifa waliplay role kubwa.

      Maoni yako mengine nakubaliana nayo with a note kwamba: Je mambo hayatokei nchi hii mpaka tu watu wakubwa waguswe?

    11. #9
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,372
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      1377
      Likes Given
      1180

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Susuviri
      The answer to your question is: THEY JUST DON'T CARE! Viongozi wetu hawajali, hebu kumbuka mabomu ya Mbagala, bunge liliendelea kama kawaida na Pinda alibaki mpaka saa 2 usiku bungeni hakuna hata kusimama kuwakumbuka wahanga wala nini! Unafikiri ni kwa kwa nini? THEY DON'T GIVE A DAMN!
      YES, they dont care! May be they care only wakiguswa!

    12. #10
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,669
      Rep Power : 21814
      Likes Received
      735
      Likes Given
      3190

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Mwawado
      Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!

      Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...
      Mkuu shukrani kwa hiyo reminder hapo juu.........ni muhimu sana kukumbushana ili kurudi kwenye mstari...........

    13. #11
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,786
      Rep Power : 22905
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2576

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Mwawado
      Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...
      aah usitutishe......kama kuchafuana haoo viongozi wako wameshatuchafua vya kutiosha watanzania.....kawaambie kwanza hao viongozi wako wache wizi....

      ....kupendana tupendane vipi mkuu kama baba mama hawatupendani iweje watoto wawapende wazazi wao.....nawachukia raisi na watendaji wao woote....ndio siwapendi....nifungeni
      ...kuwa na baba maskini ni mipango ya Mungu ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenyewe.....

    14. #12
      Mwawado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
      Posts : 1,263
      Rep Power : 898
      Likes Received
      113
      Likes Given
      219

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Superman
      YES, they dont care! May be they care only wakiguswa!

      Superman...Maneno yako yana ukweli usiopingika,Lakini ni nani wa ku-act?.Tatizo la mambo yetu ya nyumbani kila mtu ni mwepesi kumtupia lawama mwingine...Naapa hapa kwamba kama kila mtu akiujua umuhimu wake kwa jamii Tanzania ni Bora kuliko tunavyoifikiri....baadhi ya masuala hayataki miongozo ya serikali bali ni kila mtu kujua wajibu wake kama Mzazi au Mtanzania!!

      Naomba unielewe sitetei uozo uliopo serikalini,lakini nasi kama mtu mmoja mmoja tupende kujituma kwa manufaa yetu na wenzetu.
      Its not enough to do good if you can do better.

    15. #13
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Mwawado
      Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!

      Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...
      Yale yale ya Mussolini, Let their heads be seen but not their voices! Duuh, hawa katsa wa Tanzania bwana, kazi kwelikweli

    16. #14
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,735
      Rep Power : 1158
      Likes Received
      67
      Likes Given
      31

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Mwawado
      Superman...Maneno yako yana ukweli usiopingika,Lakini ni nani wa ku-act?.Tatizo la mambo yetu ya nyumbani kila mtu ni mwepesi kumtupia lawama mwingine...Naapa hapa kwamba kama kila mtu akiujua umuhimu wake kwa jamii Tanzania ni Bora kuliko tunavyoifikiri....baadhi ya masuala hayataki miongozo ya serikali bali ni kila mtu kujua wajibu wake kama Mzazi au Mtanzania!!

      Naomba unielewe sitetei uozo uliopo serikalini,lakini nasi kama mtu mmoja mmoja tupende kujituma kwa manufaa yetu na wenzetu.
      Mwawado usitake nicheke mie, ukijituma kama mzalendo mengi ukasema jamani mafisadi wanao tumaliza hawa hapa, serikali wanakujia juu kama moto wa kifuu cha nazi kwamba wewe mamlka hayo kakupa nani? need more ndugu yangu?

      Tanzania nadhani ni mwendo wa ze utamu tu.. yaani kuwalipua vigogo wakifeel inavo uma ndo mambo yanaenda!

    17. #15
      Future-Tanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 331
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Mwawado
      Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!

      Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...

      You are some how right ila tuu mkuu huwezi kueshimiwa kama ujiheshimu na unadhurumu wanyonge. Tanzania tunaogopana na ndio hicho kimetuangamiza kwanzia maradhi mbalimbali kama ukimwi na hata mafisadi kutuibia mchana mchana kwasababu no one is dare to talk.

      Nchi za wenzetu mtu ambaye ni public figure inabidi awe mfano wa jamii kwa matendo bora na kuthamini utu wa watu na familia/ndoa yake. Asipofanya wananchi hawampi kura lakini tanzania mtu wa aina hiyo tunampa vote 110%!! mimi nafikiri utamu imesaidia kwa kiasi kikubwa kubadilisha tabia za watu na kuokoa maisha ya wale waliokuwa hawajui wameoa watu wa aina gani au wanawapenzi wa aina gani, kwa maana nyingine its is possible utamu imechangia kupunguza ukimwi na maradhi mengine tanzania.

      haya ni maoni yangu binafsi

    18. #16
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,239
      Rep Power : 31388
      Likes Received
      9613
      Likes Given
      683

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Kikwete ana IQ ndogo sana......
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    19. #17
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      15

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Nyani Ngabu
      Kikwete ana IQ ndogo sana......
      Nahisi ni ndogo kuliko ya Jogoo

    20. #18
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      15

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Quote By Yo Yo
      aah usitutishe......kama kuchafuana haoo viongozi wako wameshatuchafua vya kutiosha watanzania.....kawaambie kwanza hao viongozi wako wache wizi....

      ....kupendana tupendane vipi mkuu kama baba mama hawatupendani iweje watoto wawapende wazazi wao.....nawachukia raisi na watendaji wao woote....ndio siwapendi....nifungeni
      That's it comrade!

    21. #19
      Semilong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Posts : 1,613
      Rep Power : 1251
      Likes Received
      92
      Likes Given
      112

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      vitu ambavyo nimejifunza kutoka kwenye ze utamu ni
      1. viongozi wetu ni watu ambao wanajali maslahi yao tu na si vinginevyo, kinachokutokea wewe hakimuhusu mpaka kimpate na yeye
      2. bado tuko mbali sana kwenye mapambano na watanzania hatupendani na ni wanafiki baadhi ya watu JF wanafuraia ze utamu kufungwa, huu ndio ulikuwa wakati wa kupandisha mashambulizi dhidi serikali lakini tunatumia muda huu wengine kufuraia na hichi ni kielelezo tosha kwamba mtu akimchafua tu mkulu atasulubishwa vya kutosha na wengine watafuraia.
      3. mimi binafsi yangu naona utamu walivyoweka ile picha ya mkulu ni sawa sawa kwa ajili sisi raia wa kawaida hatuna kitu cha kumfanya wakati yeye na wenzake wanachukua chetu. utamu amepeleka mashambulizi pale yanapotakiwa kwenda
      4. utamu itarudi tu very soon........

      mtu anayegombana na mbaya wako ni rafiki yako na si adui yako
      You can not keep 40m people quite forever....
      one year one month one day they will wake up..........

    22. #20
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      278
      Likes Given
      286

      Default Re: Nini Nimejifunza kutoka Zeutamu na RM/RA Saga

      Ze Utamu imefungwa eti kwa vile mkuu wa Kaya kaumbuliwa?Hivi kuumbuliwa ni kitendo cha kusingiziwa au ni kuanikwa Hadharani watu wakuone jinsi ulivyo??Kuumbuliwa ni kubambikizwa mambo ambayo kamwe hujawahi fanya ni mwiko kwako, au ni kuweka wazi mambo unayo yafanya mafichoni kwa siri huku hadharani ukijifanya unamzidi hata kadinali Pengo kwa Utawa??? Imefungwa kweli??Ni vipi sisi wanachama wake mashuhuri tusioweza kwenda kulala bila kujivinjari kwenye Tovuti hii ya uchiuchi bado tunaweza kupata habari mototo za Ze Utamu bila shida?Kwani kuna Kuna Ze Utamu ngapi hapa Duniani??
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 13
      Last Post: 19th June 2011, 04:09
    2. Replies: 4
      Last Post: 18th June 2011, 13:28

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...