Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      RUBERTS's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 597
      Likes Received
      49
      Likes Given
      31

      Post Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

      Ushahidi ninao.
      Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

      Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

      Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

      Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

      Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
      Invisible, Hofstede, Ozzie and 2 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4892
      Likes Given
      5716

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      RUBERTS,

      Huna haja ya kusubiri wabishe, kama una ushahidi zaidi uweke wazi, haina kuzungusha!
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    4. #3
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,014
      Rep Power : 8380
      Likes Received
      833
      Likes Given
      697

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Hii nchi kuna mambo ya ajabu sana.Viongozi wetu ndo wasaliti wa kwanza.Mungu tunusuru.

    5. #4
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Quote By RUBERTS
      Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

      Ushahidi ninao.
      Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

      Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

      Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

      Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

      Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
      Mwaga mwaga zaidi, usisubiri wakakulimboka hawa watu. Weka ushahidi wote ambao unao mapema.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    6. #5
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,703
      Rep Power : 3255
      Likes Received
      982
      Likes Given
      754

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Quote By RUBERTS
      Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

      Ushahidi ninao.
      Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

      Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

      Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

      Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana.
      Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

      Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
      hapo kwenye hihlight, unamaanisha serikali gani kwani hao polisi unaowatuhumu ni sehemu ya serikali hiyo
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    7. Miaka 50

    8. #6
      IronBroom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Location : Huku
      Posts : 513
      Rep Power : 661
      Likes Received
      22
      Likes Given
      20

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Polisi lazima watabisha tu. Weka vitu hapa fasta.

    9. #7
      Ngangasyonga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2010
      Posts : 411
      Rep Power : 520
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi vilevile!!
      Hatuwezi kusongambele na haya magamba!!

    10. #8
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 428
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Duh! I didn't know this.

    11. #9
      Dogo1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 387
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By RUBERTS
      Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

      Ushahidi ninao.
      Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji am

      bapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

      Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

      Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

      Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

      Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
      Tafadhali kama kweli unao ushahidi tupatie ili tulishughulikie suala hili, hatuwezi kufanikiwa bila ushirikiano kutoka kwa kila raia wa nchi hii. Mimi ni mdau muhimu katika kupambana na tatizo la wahamiaji haramu

    12. #10
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Kanyimwa za Jumamosi huyo.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #11
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6249
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Quote By zomba
      Kanyimwa za Jumamosi huyo.
      weka nawe ushahidi ... Kanyimwa nini hizo za Jumamosi... usiwe kama mwehu.. Mdomo mrefu kama masikio ya Sungura...

      Mtoa Hoja Huwa anashuhudia na anawajua lakini atapeleka wapi huu ushahidi wakati watuhumiwa ni Polisi anaweza potezwa... So alichojaribu ni kuweka humu mwenye Macho aone hata Huyo Raisi huwa anasoma au kusomewa so akishaona hmu kama hana udhaifu basi atalifanyia kazi kwa Kuwatuma Jeshi la wananchi wawakamate wahusika na watuhumiwa...

      Some times Changia mada wacha utoto

    14. #12
      Dogo1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 387
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      tafadhali mwenye ushahidi anitumie na milango iko wazi kwa yeyote kupata mrejesho wa taarifa atakazotoa, where you hav bad guyz, there r good guyz as well.

    15. #13
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Quote By RUBERTS


      Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
      Nabisha.
      Mwaga!

    16. #14
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Huna jipya,
      Kama unaogopa m-PM mtu amwage! Otherwise ni mambo tunayoyajua kila siku.

    17. #15
      Mlaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2011
      Location : Ndani ya Yai
      Posts : 665
      Rep Power : 518
      Likes Received
      95
      Likes Given
      61

      Default Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

      Vipi Tena Mbona Ushahidi hauji... au Mdau keshapotezwa mabwepande?
      They Said we are young and we don't know..We won't found out till we grow Baby i got you

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...