Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.
Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.
Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.
Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.
Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.
Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu
By RUBERTS
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.
Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.
Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.
Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.
Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.
Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
Mwaga mwaga zaidi, usisubiri wakakulimboka hawa watu. Weka ushahidi wote ambao unao mapema.
Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu
By RUBERTS
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.
Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.
Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.
Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.
Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.
Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
hapo kwenye hihlight, unamaanisha serikali gani kwani hao polisi unaowatuhumu ni sehemu ya serikali hiyo
I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.
Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji am
bapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.
Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.
Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.
Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.
Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
Tafadhali kama kweli unao ushahidi tupatie ili tulishughulikie suala hili, hatuwezi kufanikiwa bila ushirikiano kutoka kwa kila raia wa nchi hii. Mimi ni mdau muhimu katika kupambana na tatizo la wahamiaji haramu
Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu
By zomba
Kanyimwa za Jumamosi huyo.
weka nawe ushahidi ... Kanyimwa nini hizo za Jumamosi... usiwe kama mwehu.. Mdomo mrefu kama masikio ya Sungura...
Mtoa Hoja Huwa anashuhudia na anawajua lakini atapeleka wapi huu ushahidi wakati watuhumiwa ni Polisi anaweza potezwa... So alichojaribu ni kuweka humu mwenye Macho aone hata Huyo Raisi huwa anasoma au kusomewa so akishaona hmu kama hana udhaifu basi atalifanyia kazi kwa Kuwatuma Jeshi la wananchi wawakamate wahusika na watuhumiwa...
Re: Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu
tafadhali mwenye ushahidi anitumie na milango iko wazi kwa yeyote kupata mrejesho wa taarifa atakazotoa, where you hav bad guyz, there r good guyz as well.
Follow Us Here