Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

    Report Post
    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast
    Results 101 to 120 of 143
    1. #1
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 2881
      Likes Received
      245
      Likes Given
      62

      Default Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      Ogah, Pasco, Abunwasi and 8 others like this.


    2. #101
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22551

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!


    3. #102
      Matoo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th July 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 355
      Likes Received
      2
      Likes Given
      30

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By Don Draper View Post
      Na si haki pia kuilaumu serikali bila ya kuwa na ushahidi kuwa serikali ndio imefanya hivyo

      si haki hata kidogo
      Ushahidi ulishatolewa na Dr.Ulimboka mwenyewe,kuwa ni serikali,sasa ulitaka tumlaumu nani?

    4. #103
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,392
      Rep Power : 5160
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2738

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Hans rudi form four.

    5. #104
      Moladuhu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 351
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Haya sasa mwangalie Ulimboka na macho yako mwenyewe... hii ni video au vipi.. ushahidi zaidi unatakiwa, lakini lack of other evidence is not enough to suspend this serious case: Ushuhuda wa Dr. Stephen Ulimboka - YouTube

    6. #105
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,704
      Rep Power : 940
      Likes Received
      601
      Likes Given
      155

      Default

      Quote By Moladuhu View Post
      Haya sasa mwangalie Ulimboka na macho yako mwenyewe... hii ni video au vipi.. ushahidi zaidi unatakiwa, lakini lack of other evidence is not enough to suspend this serious case: Ushuhuda wa Dr. Stephen Ulimboka - YouTube
      hivi kuna shahidi gani mzuri kama sio yule wa mwisho kuwasiliana na dr uli? Dr deo? Mbona deo hajaitwa kuhojiwa? Huo upelelezi mnaohitaji ni upi? In any way Mungu ana mipango yake na wanadamu tuna mipango yetu. Mipango ya wanadamu haiwezi kuipiku mipango ya Mungu,!


    7. #106
      GreenCity's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Location : pa tunduma
      Posts : 597
      Rep Power : 547
      Likes Received
      174
      Likes Given
      89

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Serikali ndio ilete ushahidi beyond reasonable doubt kwamba haijahusika!
      Nadhanani umetumwa na TISS baada ya kugundua kila filamu ina pigwa chini TBS (THINKERS). Huu upepo hautapita hivihivi lazima kuna nyumba zitabomoka!

    8. #107
      ray jay's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 409
      Likes Received
      7
      Likes Given
      13

      Default Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa Ishu nzima ya kutekwa na kuteswa kwa Dr.Ulimboka ni mchezo wa kisiasa uliopangwa baina ya Madaktari na Chama Fulani cha siasa(Jina Limehifadiwa).

      TUHUMA HIZI ZINAJENGWA NA HOJA ZIFUATAZO:

      1.Dr.Ulimboka anadai watu walimpigia simu akakutana nao maeneo ya Leaders akiwa na rafiki yake na baada ya muda watu hao walimteka na kuondoka nae kwenye gari kisha rafiki yake kwenda kutoa taarifa polisi.

      SWALI?
      Kwanini huyu rafiki wa Dr. asinge hangaika kuifuatila gari lililomteka Dr. hukuakiendelea kufanya mawsiliano na ndugu na jamaa,badala yake akakimbilia Polisi na kuruhusu watekaji kupotea?

      2.Kulingana na Madai ya Dr. Kuna mpita njia alimuokota alfajiri ya saa kumi na moja akiwa hajitambui akampeleka kituo cha polisi Bunju

      SWALI?
      Kumekuwa na maswali mengi ni wapi alipokuwa anatoka huyu bwana aliyemuokota Dr. muda huo?

      3.Kunamadai kuwa baada ya Dr. kuonekana Madaktari waliomba usafiri wa ambulance kutoka hospital ya Muimbili lakini walinyimwa na kulazimika kukodi ambulance.

      SWALI?
      Kwa nini kitengo cha emergency-Muhimbili kikatae kutoa ambulance kwa ajili yakumchukua dokta mwenzao aliyeuwa hatarini kufa?
      4.Kulingana na taarifa za mtu aliuemuokota Dr. nikwamba Dr. alikuwa hajitambui,chakushangaza alipofikishwa Muhimbili Dr. alizinduka na akazungumza na baadhi ya madaktari na waandishi wa habari,lakini muda mfupi baada Dr. alipoteza fahamu na kupelekwa ICU.
      Ikumbukwe pia Dr. alisema baada ya watekaji kumpiga sana alizimia,baadae akazinduka na kujikongoja hadi barabarani,kasha akapoteza tena fahamu.Kwa maelezo hayo ni kuwa Dr. alipoteza fahamu na kuzinduka zaidi ya mara tatu.
      SWALI?
      Inakuaje mtu alikuwa hajitambui alipofikishwa hospitali akaongea na madaktari wenzie alafu ghafla akapoteza fahamu tena?

      5.Madaktari walisema Dr.alitolewa kucha na meno

      SWALI?
      Mashuda waliokwenda airport wanasema Dr.alikuwa na meno na kucha zake,je madaktari waliongopa?
      Hoja hizi pamoja na mambo mengine yaliyojitokeza katika kipindi chote cha sakata hili zinatia mashaka na kuzua utata katika tukio hili.

      Kunatetesi kuwa kuna chama cha kisiasa kiliandaa mpango huu ili kukwamisha juhudi za serikali katika kushughulikia tatizo la Madaktari.Eidha kumekuwa na baadhi ya tuhuma zikielekweza kwa baadhi ya wabunge wa chama Fulani waliokuwa mstari wa mbele kutaka suala la Dr.lijadiliwe bungeni.

      Je kama ni kweli,Siasa ya nchi hii inaelekea wapi?

    9. #108
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,173
      Rep Power : 8415
      Likes Received
      903
      Likes Given
      740

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Uzuri amekuja mwenyewe, naomba tusubiri maelezo yake

    10. #109
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      naona CCM wameamua waanze propaganda kabla ulimboka hajaongea....endeleeni kujitahidi hivyo hivyo...
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    11. #110
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,815
      Rep Power : 999
      Likes Received
      579
      Likes Given
      299

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Jamani hivi mnaweza panga to kill ur partiner wakati he fights for you?
      Kweli kuishi Tanzania kuona mengi

    12. #111
      Twigwe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 376
      Likes Received
      16
      Likes Given
      6

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Wewe ndiye ulimteka na kumtesa kama siyo wewe kasome Mwanahalisi, na unapima mawazo ya watu na umefanya watanzania wajinga sana wasio jua kupambanua mambo wala kutafakari, ishia huko na ujinga wako
      Omugurusi likes this.

    13. #112
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,085
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      988
      Likes Given
      247

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Hapana shaka Umetoka kujisalimisha na kutubu kwa gwajima, si bure! Manake wenzio wanapotafuta ufumbuzi kwa njia za kipelelezi kumjua mtekaji, wewe unajitihada za maksudi kukingunisha chama . . . . kwenye uozo wa serikali dhaifu, hizo habari unazodai kuzagaa mbona mitaani kwetu hazipo Paw, Invisible, Fang tafadhalini nipeni ruhusa mara hii tu nimtundikie drip ya matusi!!!!!
      NASUBIRI RUHUSA KWWNYE INBOX
      Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda

    14. #113
      ray jay's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 409
      Likes Received
      7
      Likes Given
      13

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Tujibu hoja wakuu...kimsingi kama wewe ni mwerevu kuna maswali mengi sana utajiuliza katika mkasa huu...tunamsubiri Dr. apate nguvu atuondelee huu utata..unless otherwise hii ni ishu yakuhoji..

    15. #114
      Delko's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 384
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Yale yale ya majibu rahisi kwenye maswali magumu. Suala lilipo mbele yetu, na ambalo hakuna ayebisha, ni kuwa Dr. Ulimboka alitekwa, kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana na kutupwa kwenye Msitu wa Pande. Kama una maelezo tofauti na hizo facts tutakuelewa. Swali lako kwamba "kwa nini yule rafiki yake Ulimboka aliripoti polisi badala ya kulifuatilia gari lililomteka" linaonesha jinsi usivyo makini wa kufikiri. Kwani vitendo vya kihalifu vinatolewa taarifa wapi? Unasema eti angelifuatilia. Yeye si mpelelezi, yeye ni daktari. Hata na maswali yako yote yaliyobaki ni dhaifu na inaoneka uliyatunga ukiwa usingizini. Jipange na uandike kitu chenye mashiko, badala ya kutuletea habari za "INASEMEKANA".

    16. #115
      mwana wa mtu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 219
      Rep Power : 620
      Likes Received
      51
      Likes Given
      97

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Watu wengine bwana..ulikuwa wapi?and you sat down writing this?!subirini aongee, acheni kutapatapa.

    17. #116
      Korogwe Vijijini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Ngoja tumsubiri kwanza aelezee mkasa mzima uliomkuta mana hili tukio linachanganya sana ila kwa wale wote waliohusika watakiona cha moto!

    18. #117
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1253
      Likes Given
      538

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Quote By ray jay View Post
      Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa Ishu nzima ya kutekwa na kuteswa kwa Dr.Ulimboka ni mchezo wa kisiasa uliopangwa baina ya Madaktari na Chama Fulani cha siasa(Jina Limehifadiwa).

      TUHUMA HIZI ZINAJENGWA NA HOJA ZIFUATAZO:

      Je kama ni kweli,Siasa ya nchi hii inaelekea wapi?
      Wameona maji shingoni wameshakutuma? watasema mengi but ukweli utahakikishwa soon maana sisi tunajua ukweli ila mwenye ukweli yu hai atasema hata kupitia maaandishi turushe hapa jamvini na kwingineko. Endeleeni kuweweseka tu, na sisi tunawachora!!! Kova upo na Mkenya wako wa kuzuga? Aibu yako.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    19. #118
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,173
      Rep Power : 8415
      Likes Received
      903
      Likes Given
      740

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Quote By ray jay View Post
      Tujibu hoja wakuu...kimsingi kama wewe ni mwerevu kuna maswali mengi sana utajiuliza katika mkasa huu...tunamsubiri Dr. apate nguvu atuondelee huu utata..unless otherwise hii ni ishu yakuhoji..
      Ila wewe utakuwa mwehu ,hapo kwenye nyekundu kama ulijua hivyo kwa nini unakurupuka kuandika pumba hapa?

    20. #119
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 988
      Rep Power : 551
      Likes Received
      187
      Likes Given
      251

      Default Re: Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Quote By ray jay View Post
      Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa Ishu nzima ya kutekwa na kuteswa kwa Dr.Ulimboka ni mchezo wa kisiasa uliopangwa baina ya Madaktari na Chama Fulani cha siasa(Jina Limehifadiwa).

      TUHUMA HIZI ZINAJENGWA NA HOJA ZIFUATAZO: (UPUUZI MTUPU UMECHELEWA SANA NA MAJAMBAZI WENZIO)

      1.Dr.Ulimboka anadai watu walimpigia simu akakutana nao maeneo ya Leaders akiwa na rafiki yake na baada ya muda watu hao walimteka na kuondoka nae kwenye gari kisha rafiki yake kwenda kutoa taarifa polisi.

      SWALI?
      Kwanini huyu rafiki wa Dr. asinge hangaika kuifuatila gari lililomteka Dr. hukuakiendelea kufanya mawsiliano na ndugu na jamaa,badala yake akakimbilia Polisi na kuruhusu watekaji kupotea?

      2.Kulingana na Madai ya Dr. Kuna mpita njia alimuokota alfajiri ya saa kumi na moja akiwa hajitambui akampeleka kituo cha polisi Bunju

      SWALI?
      Kumekuwa na maswali mengi ni wapi alipokuwa anatoka huyu bwana aliyemuokota Dr. muda huo?

      3.Kunamadai kuwa baada ya Dr. kuonekana Madaktari waliomba usafiri wa ambulance kutoka hospital ya Muimbili lakini walinyimwa na kulazimika kukodi ambulance.

      SWALI?
      Kwa nini kitengo cha emergency-Muhimbili kikatae kutoa ambulance kwa ajili yakumchukua dokta mwenzao aliyeuwa hatarini kufa?
      4.Kulingana na taarifa za mtu aliuemuokota Dr. nikwamba Dr. alikuwa hajitambui,chakushangaza alipofikishwa Muhimbili Dr. alizinduka na akazungumza na baadhi ya madaktari na waandishi wa habari,lakini muda mfupi baada Dr. alipoteza fahamu na kupelekwa ICU.
      Ikumbukwe pia Dr. alisema baada ya watekaji kumpiga sana alizimia,baadae akazinduka na kujikongoja hadi barabarani,kasha akapoteza tena fahamu.Kwa maelezo hayo ni kuwa Dr. alipoteza fahamu na kuzinduka zaidi ya mara tatu.
      SWALI?
      Inakuaje mtu alikuwa hajitambui alipofikishwa hospitali akaongea na madaktari wenzie alafu ghafla akapoteza fahamu tena?

      5.Madaktari walisema Dr.alitolewa kucha na meno

      SWALI?
      Mashuda waliokwenda airport wanasema Dr.alikuwa na meno na kucha zake,je madaktari waliongopa?
      Hoja hizi pamoja na mambo mengine yaliyojitokeza katika kipindi chote cha sakata hili zinatia mashaka na kuzua utata katika tukio hili.

      Kunatetesi kuwa kuna chama cha kisiasa kiliandaa mpango huu ili kukwamisha juhudi za serikali katika kushughulikia tatizo la Madaktari.Eidha kumekuwa na baadhi ya tuhuma zikielekweza kwa baadhi ya wabunge wa chama Fulani waliokuwa mstari wa mbele kutaka suala la Dr.lijadiliwe bungeni.

      Je kama ni kweli,Siasa ya nchi hii inaelekea wapi?
      Kutekwa kwa dr.ulimboka ulikuwa mchezo wa kisiasa?

      Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa Ishu nzima ya kutekwa na kuteswa kwa Dr.Ulimboka ni mchezo wa kisiasa uliopangwa baina ya Madaktari na Chama Fulani cha siasa(Jina Limehifadiwa). TISS KATIKA JUHUDI ZA KUJISAFISHA.

      TUHUMA HIZI ZINAJENGWA NA HOJA ZIFUATAZO:

      1.Dr.Ulimboka anadai watu walimpigia simu akakutana nao maeneo ya Leaders akiwa na rafiki yake na baada ya muda watu hao walimteka na kuondoka nae kwenye gari kisha rafiki yake kwenda kutoa taarifa polisi.

      SWALI?
      Kwanini huyu rafiki wa Dr. asinge hangaika kuifuatila gari lililomteka Dr. hukuakiendelea kufanya mawsiliano na ndugu na jamaa,badala yake akakimbilia Polisi na kuruhusu watekaji kupotea?
      WEWE KWELI UNA AKILI YA AJABU. UNAONA ALIFANYA MAKOSA KWENDA POLISI?? Umetumwa au wewe ni TISS

      2.Kulingana na Madai ya Dr. Kuna mpita njia alimuokota alfajiri ya saa kumi na moja akiwa hajitambui akampeleka kituo cha polisi Bunju

      SWALI?
      Kumekuwa na maswali mengi ni wapi alipokuwa anatoka huyu bwana aliyemuokota Dr. muda huo?

      3.Kunamadai kuwa baada ya Dr. kuonekana Madaktari waliomba usafiri wa ambulance kutoka hospital ya Muimbili lakini walinyimwa na kulazimika kukodi ambulance.

      SWALI?
      Kwa nini kitengo cha emergency-Muhimbili kikatae kutoa ambulance kwa ajili yakumchukua dokta mwenzao aliyeuwa hatarini kufa?
      4.Kulingana na taarifa za mtu aliuemuokota Dr. nikwamba Dr. alikuwa hajitambui,chakushangaza alipofikishwa Muhimbili Dr. alizinduka na akazungumza na baadhi ya madaktari na waandishi wa habari,lakini muda mfupi baada Dr. alipoteza fahamu na kupelekwa ICU.
      Ikumbukwe pia Dr. alisema baada ya watekaji kumpiga sana alizimia,baadae akazinduka na kujikongoja hadi barabarani,kasha akapoteza tena fahamu.Kwa maelezo hayo ni kuwa Dr. alipoteza fahamu na kuzinduka zaidi ya mara tatu.
      SWALI?
      Inakuaje mtu alikuwa hajitambui alipofikishwa hospitali akaongea na madaktari wenzie alafu ghafla akapoteza fahamu tena?
      HILI LITAKUSHANGAZA SANA KWA SABABU WOTE MNAOWAPIGAGA HUKO MABWEPANDE HUFA AU HAWAZINDUKI!! Wewe utakuwa yule jamaa aliyeenda kupiga simu kufahamisha majambazi wenzie kuwa "jamaa hakufa"

      5.Madaktari walisema Dr.alitolewa kucha na meno

      SWALI?
      Mashuda waliokwenda airport wanasema Dr.alikuwa na meno na kucha zake,je madaktari waliongopa?
      Hoja hizi pamoja na mambo mengine yaliyojitokeza katika kipindi chote cha sakata hili zinatia mashaka na kuzua utata katika tukio hili.
      UNA KICHAA HAPA mashuhuda wenu wa TISS walimng'oa meno nusunusu?! Hakuna binadamu atakayekubali kupigwa kipigo kama kile kwa manufaa ya KISIASA!!

      Kunatetesi kuwa kuna chama cha kisiasa kiliandaa mpango huu ili kukwamisha juhudi za serikali katika kushughulikia tatizo la Madaktari.Eidha kumekuwa na baadhi ya tuhuma zikielekweza kwa baadhi ya wabunge wa chama Fulani waliokuwa mstari wa mbele kutaka suala la Dr.lijadiliwe bungeni.

      Je kama ni kweli,Siasa ya nchi hii inaelekea wapi?
      SIASA INAPELEKWA WAPI NA TISS WANAOLIPWA KODI ZETU kupendelea chama tawala na kupiga na kuua walipa kodi? Mkuu umeshindwa kuwaaminisha watu ujinga wako. HIVI KWA NINI SERIKALI ILIKATAA TUME HURU? Na lile sakata la KOVA na taahira wake aliyeswekwa ndani aliyepingwa na hata mchungaji wake unataka tuamini lipi?
      wakamate akina Rama na wale wote waliotajwa!! tujue moja usituaminishe uongo wako hapa!!

    21. #120
      Usain bolt tanzania's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th August 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Peoples power hao alitofautiana nao baada ya kuonekana anataka kulegeza msimamo kwa serikali.

      Baada ya kugundua analofanya Ulimboka halina tija kwa wananchi wa Tanzania ndipo ma mafia kama kawaida yao wakataka wamfanye kama walivyomfanyia Chacha wangwe

    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...