Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

    Report Post
    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 143
    1. #1
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2876
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      Ogah, Pasco, Abunwasi and 8 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? ox
      Tatizo lako ni kuwa, hujui kuwa Population ya watu milioni 45 Tanzania inasumbuliwa na mtu mmoja tu, ambaye ni Kikwete.
      Na Kwa sababu iyo hiyo ndo mana hao watu mil45 wamesahaulika anajadiliwa mkombozi wa afya ya watanzania mil45.
      Funguka.

    4. #42
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,890
      Rep Power : 3595
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2108

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      Wakati unajishau kuwa jamaa ni wa kawaida in one aspect, umesahau ktk aspect ya pili yeye ni kiongozi wa watu muhimu, katika nchi isiyo na solution kwa lolote.Sasa sijui ntaongea na daktari gani?na mtamjua kiongozi ni nani?Ama serikali km iliamua kumwondoa ili wamweke mamluki wa kuja kuingia mikataba nao, wanahakika gani kuwa madaktari hawatomkataa?

      Kibaya zaidi serikali imepoteza sana hapa hata km kuna mengi yatapita,ila wanachezea amani ya nchi vibaya.Na kunfanyia hivyo raia wamerudi upande wake.Kwa taarifa yako tena si polisi tuu hata raisi ilimpasa kuongelea hili

      Hao ndio makomndoo wetu mnaowasifia, na kazi yao ndio hii ya kutaka ua kizembe hivi?
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    5. #43
      Davie S.M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 633
      Rep Power : 550
      Likes Received
      140
      Likes Given
      44

      Default

      Na Upuuuuzi Kung'ang'ania iundwe tume...zitaundwa tume ngapi ..? Wakati. Wa Ukweli utafika Tusijichose kutoa povu kuna watu kazi yao ni kutuletea Majibu, tuna ndugu wengi na. Jamaa wameteswa na hata kuuawa pasi jua chanzo tukasubir tukajua

      Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

    6. #44
      HIPPO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 360
      Likes Received
      1
      Likes Given
      8

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Maranyingi mswahili afi na akifa basi kalogwa kila jambo baya likitokea ni la serikari inausika mazuri yote ni ya CDM

    7. #45
      H1N1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 1,353
      Rep Power : 778
      Likes Received
      290
      Likes Given
      287

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      You are still in the box try hard to get out plz...

      TZ sio banana republic eeh ?
      1.hebu tuambie sheria mliyotumia kuzidisha bei ya manunuzi ya rada hadi mkarudishiwa Chenji
      2.Kuna ambao hamjawashughulikia ili muwatumie kama kinga kwa wengine mkiwashughulikia,kwa kusema bona fulani hatujamshughulikia,kwa akili yako ya kufikiri nje ya box,nini athari ya huyo ambaye hamjamshughulikia kwa mustakabali wa utawala wenu ? hata kama ni msumbufu kiasi gani hana athari kwenye 'comfort zone' yenu, swala la madaktari na mgomo wao lina athari kubwa sana,si kwa kuwa madaktari ni muhimu sana lah,bali ni kutokana na ukweli wa madai yao, kwamba hata hospital ya taifa haina baadhi ya vifaa tiba muhimu kabisa kwa afya ya msingi ya watanzania,wagonjwa wanalazwa sakafuni huku viongozi wakiendeleza anasa,yote hayo yanahatarisha mustakabli wa watawala kuendelea kufaidi keki ya taifa,kuliko huyu anayehangaika na mahakama ya kadhi sijui na waislam kuhesabiwa. AMKA...

    8. Miaka 50

    9. #46
      H1N1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 1,353
      Rep Power : 778
      Likes Received
      290
      Likes Given
      287

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By Don Draper
      Na si haki pia kuilaumu serikali bila ya kuwa na ushahidi kuwa serikali ndio imefanya hivyo

      si haki hata kidogo
      Jitahidi kuwa mtu wa kufikiri ndugu, pamoja na chenji ya rada kurudishwa hakuna ushahidi kuwa kuna viongozi wali 'inflate' bei ya rada, kwa hiyo serikali isilaumiwe, hakika kuna great sinkers wengi humu jamvini,kukosekana kwa ushahidi wa serikali kuhusika sio ushahidi kuwa serikali haikuhusika,wewe lete hoja za kuthibitisha kuwa serikali haihusiki sio kutegemea kukosekana kwa ushahidi,umeambiwa SMG ilitumika wakati wa kumteka,SMG zinamilikiwa na serikali tu,bado unaona shida serikali ikihusishwa...keep it up,labda kuna watu utawaconvice...

    10. #47
      chishango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th February 2009
      Location : Chitipa
      Posts : 158
      Rep Power : 553
      Likes Received
      29
      Likes Given
      5

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      stupid.......!!!!!

    11. #48
      50thebe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 584
      Rep Power : 531
      Likes Received
      164
      Likes Given
      861

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Pasco bana, mbona hata professional snippers "sometimes" hufanya incomplete work? hivyo sio ajabu hao unaowaita "oparatives" wakawa wamefanya kazi incomplete kama ulivyosema. Halafu, ipo haja gani ya kuwa na hypothesis mingi hivi zinazozunguka zunguka mbali na ukweli wakati Dr Ulimboka mwenyewe amenukuliwa na media akielezea kilichomkuta?

      Kwa jinsi mnavyotumia "great thinking" yenu vibaya ndio maana sishangai Mh Kikwete aliposema haelewi kwa nini Watanzania ni masikini

    12. #49
      Kidzude's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Posts : 965
      Rep Power : 590
      Likes Received
      115
      Likes Given
      19

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Quote By 50thebe
      Pasco bana, mbona hata professional snippers "sometimes" hufanya incomplete work? hivyo sio ajabu hao unaowaita "oparatives" wakawa wamefanya kazi incomplete kama ulivyosema. Halafu, ipo haja gani ya kuwa na hypothesis mingi hivi zinazozunguka zunguka mbali na ukweli wakati Dr Ulimboka mwenyewe amenukuliwa na media akielezea kilichomkuta?

      Kwa jinsi mnavyotumia "great thinking" yenu vibaya ndio maana sishangai Mh Kikwete aliposema haelewi kwa nini Watanzania ni masikini
      Uovu hufisha maarifa. Siku zote mtu aliyezoea kula nyama ya mtu haachi.

    13. #50
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,949
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3573
      Likes Given
      5739

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Kuna mtu amekosa la kuandika hapa

      Mtoa mada umetumwa?
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    14. #51
      Shekhe Gorogosi Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 363
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By Don Draper
      Na si haki pia kuilaumu serikali bila ya kuwa na ushahidi kuwa serikali ndio imefanya hivyo

      si haki hata kidogo
      Sidhani kama huku ni kuilaumu Serikali ambayo mnaikingia kifua kama mmelipwa! TUNACHOFANYA NI KUISUSPECT kuwa ni mhusika wa kwanza kwani Mara ya Mwisho kabla hajatekwa Ulimboka alikua na TISS wenu..... Akatekwa mbele yenu TISS sasa saspect wa kwanza ni nani? Tume huru ichunguze na Tutajua baada ya Uchunguzi.

      Kitu kingine ni kwamba, Kesi ya nyani huwezi kumpa Ngedere.,, Jeshi ni la polisi ambao tunawalaumu, sasa inakuaje anayehisiwa ndio achunguze? HANS ROGER DIBAGULA, naonekana unamachungu na serikali kuliko wananchi wanaoumia kwa mgomo.. Tunatamani Mgomo uishe sio kuuliwa kkwa watu, so kitendo cha kusema Ulimboka ni mtu wa kawaida kinaonesha hukuchukua nafasi ya kutosha kutafakarii.... Mungu awasaidie WATETEZI WA Serikali ya CCM...
      kabisi likes this.
      Nitakununulia LAKUCHUMPA LAKUMPALAMA

    15. #52
      ESAM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 677
      Likes Received
      171
      Likes Given
      62

      Default Re: je inawezekana ulimboka kapigwa na watu wenye hasira?

      Quote By NGUVUMOJA
      Upo uwezekano kuna watz ama wamefiwa na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, au wapenzi. Kisa? 'madaktari wamegoma!' Mtu anajiuliza kulikoni? Anapewa ufafanuzi, 'madaktari wanawatakia mema na neema wagonjwa. Ikiwemo huduma bora!' Loooh jamaa hasira zinampanda zaidi. Anasoma magazeti na kufatilia habari anakuta kinara ni ulimboka. Ahaaa! Ngoja nimuonyeshe uchungu wa kufiwa. Je inawezekana?
      Hilo hakuna kabisa, watukubali kabisa kudanganywa

    16. #53
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 649
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Mbona msafara wa rais mnaupitsha na akifa mnapumzika kwani sio raia kama raia wengine? uwezo wako wa kufikiria uko ki ccm zaidi.

    17. #54
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 649
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By HANS ROGER DIBAGULA
      Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      No analytical mind in here ......

    18. #55
      Chambo81's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 358
      Likes Received
      14
      Likes Given
      2

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Daaaaah!!!naomba kama kuna mtu anaeweza kunihakikishia Dr. Ulimboka hana maadui wengine zaidi ya Serikali aniambie hapa then ntatoa comments...kama mimi ningekua adui wa ulimboka na ninataka nimfanye mbaya nafikiri hiki kilikua kipindi kizuri kumfanya chochote....Nashindwa kutoa comments kwa kufuata mawazo ya watu wengine,au labda badae kidogo naweza kusema kuhusu Dr.Ulimboka!!!

    19. #56
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,582
      Rep Power : 1088
      Likes Received
      682
      Likes Given
      374

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      NO way Serikali haiwezi kusafishika kwa maneno yako machache ambayo hayana ushawishi kwa mtu mwenye akili ya kutafakari mobie nzima ilivyokwenda na ikaparanganywa na Mungu mwenyewe. Mungu ndiye mtetezi wa kila mtu na hata hili la Ulimboka ni Mungu ameliingilia.

    20. #57
      bob giza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Posts : 267
      Rep Power : 513
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      Quote By hans roger dibagula
      dr ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa jamii forums namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea

      serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.

      Hoja za msingi hapa ni 2.

      1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina issa ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.

      2. Jeshi la polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya dr ulimboka. Wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.


      Just thinking outside the box
      wee nyau kama huna cha kuandika kaa kimya kenge wee

    21. #58
      burahanthu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      kulingana nani alaumiwe hebu sema maana hata PM Pinda amesema liwalo na liwe?

    22. #59
      Shekhe Gorogosi Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 363
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

      Quote By Chambo81
      Daaaaah!!!naomba kama kuna mtu anaeweza kunihakikishia Dr. Ulimboka hana maadui wengine zaidi ya Serikali aniambie hapa then ntatoa comments...kama mimi ningekua adui wa ulimboka na ninataka nimfanye mbaya nafikiri hiki kilikua kipindi kizuri kumfanya chochote....Nashindwa kutoa comments kwa kufuata mawazo ya watu wengine,au labda badae kidogo naweza kusema kuhusu Dr.Ulimboka!!!
      Toa kikoment chako mchwara hapo juu... kwamba wewe unaweza sana kukoment kiasi kwamba huwezi kuchangia kwa wengine? Haya nasubiri kwa hamu kubwa comment yako... CCM weeeee!
      Chambo81 likes this.
      Nitakununulia LAKUCHUMPA LAKUMPALAMA

    23. #60
      Marukangasi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th March 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 364
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr Ulimboka: Si HAKI kuilaumu Serikali

      [QUOTE=kamili;4139424]Hivi ni kweli Polisi wetu hawajawahi kutesa na kuua watu wasio na hatia hapa Tanzania? Na labda mpaka siku atakapoteswa au hata kuuawa kwa Ponda ndio tuamini? Bila ya shaka tunapoteza kumbukumbu kwa haraka sana. anayesubiri Ushahidi aendelee kusubiri, maana wanaofanya uchunguzi huo ni hao hao polisi.[/QUOTE. N kuna raia na raia maarufu ,Kama jinsi ilivyokuwa kwa Steven Kanumba sawa raia lakini maarufu,kwahiyo kwa Dr Ulimboka ni raia lakini maarufu,kumbuka ule msemo aw "let the famous people be praised" kwahiyo Ndio wote ni wanadamu lakini wapo wanadamu maarufu kwa Hali hiyo wao huenziwa ,mifano ipo mingi na huenda hili unalifamu lakini unaonekana wewe ni michosho tu unataka kuwachosha watu
      USIWE MICHOSHO

    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...