Tamko la Rostam dhidi ya Mengi na yatokanayo - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jamii Intelligence


Jamii Intelligence Serious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 30th April 2009, 09:11 AM   #1
Tamko la Rostam dhidi ya Mengi na yatokanayo
Companero Companero is online now 30th April 2009, 09:11 AM

Mbunge wa Igunga na Mweka hazina wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, hatimaye amejibu rasmi madai mazito yaliyotolewa na Reginald Mengi kuhusu "mafisadi papa". Tamko hilo rasmi linapatikana katika ukurasa wa 6 wa gazeti la 'The Citizen' la leo Alhamisi, tarehe 30 Aprili 2009. Wakati tunamsubiri nakala yake tupate dondoo hii kutoka kwenye hitimisho la tamko hilo:

"I am therefore calling upon Mr. Mengi to either surrender whatever evidence he has to support his wild accusations and to appoint the appropriate legal bodies or state organs to act accordingly. Alternatively he is it to apologize to me personally within 48 hours, failing all of which, I reserve the right to exercise any appropriate actions in order to expose his wrongdoings"

Wakati huo huo gazeti hilo linaripoti kuwa mfanyabiashara maarufu, Yusuf Manji, yeye ameshachukua hatua ya kufungua kesi dhidi ya Reginald Mengi ambapo anadai fidia. Maswali ya msingi ya kujiuliza ni : Je, katika mpambano huu ile methali ya "wapiganapo tembo nyasi huumia" itatimia au nyasi ndio zitapata fursa ya kustawi zaidi? Je, mpambano huu utaishia kuwa mchezo wa kuigiza au utazitimizia hizo nyasi methali ya "avumaye baharini papa kumbe wengi wapo"?

TAMKO LAKE HILI HAPA:


__________________
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

Last edited by Invisible; 30th April 2009 at 11:36 AM.. Reason: Enclosed the doc

 
Companero's Avatar
Companero
JF Senior Expert Member
Points: 585,880, Level: 100 Points: 585,880, Level: 100 Points: 585,880, Level: 100
Activity: 26% Activity: 26% Activity: 26%
Join Date: Sat Jul 2008
Posts: 1,915
Thanks: 243
Thanked 546 Times in 283 Posts
Views: 44089
Reply With Quote
  #2  
Old 30th April 2009, 09:42 AM
Burn's Avatar
Burn Burn is offline
Burn spitin it out loud
JF Senior Expert Member
Points: 151,653, Level: 100 Points: 151,653, Level: 100 Points: 151,653, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Wed Dec 2008
Posts: 1,062
Thanks: 88
Thanked 107 Times in 85 Posts
Rep Power: 24
Burn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enoughBurn will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Quote:
View Post
. Alternatively he is it to apologize to me personally within 48 hours, failing all of which, I reserve the right to exercise any appropriate actions in order to expose his wrongdoings
Appropriate Actions according to who? MAFIOSO
__________________
''see we have to have two plans, plan A and plan B, since we dont have have plan A yet, then we switch to plan B which is to plan for plan A.'' Yoweri Kaguta Museveni.
Reply With Quote
  #3  
Old 30th April 2009, 09:51 AM
Kikojozi's Avatar
Kikojozi Kikojozi is offline
Kikojozi pissed off!!
JF Senior Expert Member
Points: 70,271, Level: 100 Points: 70,271, Level: 100 Points: 70,271, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 311
Thanks: 34
Thanked 24 Times in 17 Posts
Rep Power: 21
Kikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enoughKikojozi will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

RA, kafungue kesi haraka ili tujue ukweli. Go for the bait.
__________________
"A failure is a man who has blundered, but is not able to cash in on the experience." - Elbert Hubbard
Reply With Quote
  #4  
Old 30th April 2009, 09:54 AM
Dina Dina is offline
Dina has no status.
Senior Member
Points: 69,679, Level: 100 Points: 69,679, Level: 100 Points: 69,679, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Sep 2008
Posts: 132
Thanks: 23
Thanked 17 Times in 14 Posts
Rep Power: 22
Dina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Mmh something doesn't click, '...any appropriate actions in order to expose his wrongdoings...' Kwa hiyo malengo siyo kusafishiwa jina bali yanaenda mbele zaidi kuibua na yeye yale yote ayajuayo kuhusu mzee Mengi! Hapa naona ni biashara ya ntaje nkutaje (umemwaga mboga nami namwaga ugali).

I wish Mzee Mengi awe na bulungutu la ushahidi, aumwage..hapo ndio movie itakuwa worth kutazamika....
Reply With Quote
  #5  
Old 30th April 2009, 09:58 AM
Mpendanchi-2's Avatar
Mpendanchi-2 Mpendanchi-2 is offline
Mpendanchi-2 has no status.
Senior Member
Points: 132,383, Level: 100 Points: 132,383, Level: 100 Points: 132,383, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Apr 2009
Posts: 207
Thanks: 16
Thanked 14 Times in 11 Posts
Rep Power: 21
Mpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enoughMpendanchi-2 will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Kwanza wamechelewa kupeleka hata huko mahakamani, mbona Mengi mpiganaji aliwambia wapeleke siku ileile!!! Wanatafuta njia ya kujiosha lakini waangalie mtu mzima hawezi kusema kitu hovyohovyo tu, anajua anachosema na wasije wakaoga maji machafu bila kutegemea!!
__________________
No one will help to build your Future Tanzania !!!! It's you and me , START NOW !!!
Reply With Quote
  #6  
Old 30th April 2009, 10:14 AM
Ochu's Avatar
Ochu Ochu is offline
Ochu the Conqueror
JF Senior Expert Member
Points: 410,666, Level: 100 Points: 410,666, Level: 100 Points: 410,666, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 805
Thanks: 21
Thanked 69 Times in 19 Posts
Rep Power: 23
Ochu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enoughOchu will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

kwa nini huyu bwana ni muoga sana kuongea hadharani? si bungeni au mbele ya waandishi wa habari....aliongea mara moja tu ile ya mtikila kwa vile alikuwa na ushahidi!!!!!
Reply With Quote
  #7  
Old 30th April 2009, 10:31 AM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 743,785, Level: 100 Points: 743,785, Level: 100 Points: 743,785, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,161
Thanks: 82
Thanked 101 Times in 66 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Nilichokibaini kwa upande mwingine ni kuwa, kama ukisoma katikati ya mistari hiyo statement ya RA, anamtukana Mengi matusi mabaya sana
Reply With Quote
  #8  
Old 30th April 2009, 10:32 AM
The Invincible The Invincible is online now
The Invincible is not compromising with mafisadi
JF Premium Member
Points: 154,683, Level: 100 Points: 154,683, Level: 100 Points: 154,683, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat May 2006
Location: Online
Posts: 1,057
Thanks: 0
Thanked 82 Times in 48 Posts
Rep Power: 26
The Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enoughThe Invincible will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Naona magazeti mengi ya leo yana hilo tamko la Rostam kwenda kwa Mengi....kichwa chake kwa kiswahili chasema:

"POROJO ZA MENGI"

Mmmmhhhhhhh! Naongeza stock yangu ya ze laga.
__________________
Watanzania vilaza watamchagua Kikwete aendeleze ubabaishaji ikulu kwa awamu nyingine - Tafakari
Reply With Quote
  #9  
Old 30th April 2009, 10:53 AM
kinepi_nepi's Avatar
kinepi_nepi kinepi_nepi is offline
kinepi_nepi fighting for justice
JF Senior Expert Member
Points: 348,712, Level: 100 Points: 348,712, Level: 100 Points: 348,712, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Aug 2007
Posts: 507
Thanks: 0
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 24
kinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enoughkinepi_nepi will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Nimechoka na kelele nataka vitendo.
__________________
Tanzania itakuwa huru wananchi wakimiliki nchi yao wenyewe sio baadhi ya wateule wachache.Haki na sheria kwa wote bila kujali rangi,cheo,na utajiri wa mtu.
Reply With Quote
  #10  
Old 30th April 2009, 11:15 AM
ByaseL ByaseL is offline
ByaseL has no status.
JF Premium Member
Points: 408,600, Level: 100 Points: 408,600, Level: 100 Points: 408,600, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Thu Nov 2007
Posts: 822
Thanks: 46
Thanked 150 Times in 95 Posts
Rep Power: 24
ByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enoughByaseL will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Jana asubui nilifanikiwa kuona interview TBC1 ya Waziri Sophia Simba kuhusu sakata la Mengi na wale aliowaita mafisadi papa. Mambo aliongelea kama waziri ndio msimamo wa serikali. Binafsi naona msimamo huo wa serikali una kasoro.

1) Kama serikali ilitaka kutoa tamko ingemtafuta waziri ambaye ni "eloquent" wa kuweza kuzungumzia swala nyeti kama hili la ufisadi. With due respect kwa Mheshimiwa Simba alijigonga gonga kuhusu maswali aliyokuwa anaulizwa. Majibu yake hayakuwa "factual" enough na hivyo kuoneka anapwaya! Kwa mfano mdogo, Marin Hassan alimuuliza dhana ya kutengenisha baishara na siasa na yeye akajibu kwamba katika wale watuhumiwa watano hakuna mwana siasa hata mmoja! Duinia nzima inajua kwamba Mhe. Rostam Aziz ni mbunge wa Igunga na mjumbe wa kamati Kuu ya CCM na alikuwa Mweka Hazina wa CCM. Juzi Mama Simba amenukuliwa kwenye gazeti akisema kwamba Kamati ya Maadili ya Viongozi haipaswi kujishugulisha pesa za viongozi zilizoko nje ya nchi! My foot!! Maoni yangu ni kwamba serikali ikiachia watu kama waziri Simba kuelezea msimamo wake katika mambo nyeti kama hili tunaweza tukaishia kama swala la Zitto Kabwe na Buzwagi. That issue was mishandled by the government at a high political cost.

2) Historia inatukumbusha kwamba mwaka juzi wakati swala la EPA lilipoibuka kwenye mtandao na Dr. Slaa kulileta Bungeni, Waziri Meghji (akiwa waziri-Fedha) na Spika walimbeza (skepticism) wakisema hakuna ushaidi na hayo ni mambo ya mitandao. Waingereza wanasema " It came to pass". Leo hii kesi za EPA zinanguruma mahakamani na waziri Meghji sio waziri tena!

3) Katika nchi yetu sio mara ya kwanza kutaja wazi wazi majina ya watuhumiwa wa ufisadi. Septemba 2007 Dr. Slaa na wenzake walitaja majina kumi ya watuhumiwa wa ufisadi pale MwembeYanga, Temeke. Baadhi yao walicharuka na kutishia kwenda mahakamani kwa kuchafuliwa na wengine wakasema hakuna ushaidi. Mpaka leo hakuna hata kesi moja ilifunguliwa mahakamani kwa "uzushi" huu! Leo hii Mhe. Lowassa, Karamagi na Chenge wako nje ya Baraza la Mawaziri kwa tuhuma kama walizosema kina Dr, Slaa. Mhe, Mramba, Yona na Mgonja wako mahakamani kwa tuhuma kama hizo. Rais mstaaafu Ben Mkapa halali usingiz mzurii kwa kutuhumiwa na umma kwa kutumia madaraka vibaya. Kinachoshangaza wakati wote huu sijaona serikali ikitoa msimamo wake mkali (kama Mama Simba) kuhusu watuhumiwa wa Dr. Slaa. Kulikoni sasa waziri anakuja mbogo kwa kutajwa mafisadi watano tu? Labda kwa kuwa limeongezeka neno " papa"? Mbona serikali haijatoa tamko kuhusu kutuhumiwa Rais mstaafu?

4) Mhe. Rostam Aziz amekuwa akitajwa tajwa katika haya mambo ya ovyo. It is not by coincedence, I believe. Alitajwa Mwenbeyanga, anatajwa katika wizi wa EPA, alitajwa na Tume ya Mwakyembe kuhusu Richmond na Dowans na sasa anatuhumiwa na Mengi kuwa ni fisadi "papa" . Huyu ni sawa na "Yuda Iscariot" kwa kuisaliti CCM hapaswi kula meza moja na viongozi wetu labda kama nao ni "birds of the same feathers"? Kwa nini asitolewe kamati kuu CCM hadi hatakapojitakasa? Bila hivyo maswali yataulizwa tu. Wakubwa wapende wasipende.

5) Tanil Somaiya amefadhili uchaguzi wa juzi wa UV-CCM kwa "mchango" wa shs. 400 milioni. Je waziri Simba hakuona kwamba kwa utetezi wake kwa hawa watuhumiwa kunaweza kukatafusiriwa kwamba serikali ya CCM inalipa fadhila? Je wananchi wakisema CCM imetekwa na matajiri kuna wakubisha?

6) Mama Simba anasema Mengi kama ana ushahidi aupeleke kwenye vyombo husika hususan TAKUKURU. Tunauliza TAKUKURU ipi? Hii inayoongozwa na Hosea? Kuna azimio la Bunge kuhusu kiongozi huyu kwa kuboronga uchunguzi wa ufisadi Richmond. Mengi kama mtu mwelevu hawezi kupeleka kesi ya nyani kwa ngedere. Na hata wananchi hawana imani na Polisi katika mambo haya. Kama imani ingekuwepo serikali hii isengeitisha kura za maoni kutafuta wauaji wa Maalbino. Watu wangewataja watuhumiwa kwa jeshi la polisi na Polisi wangeisha maliza tatizo hili. Iko wapi ile orodha ya wauza unga aliyotuaaidi Mhe. Mwapachu akiwa waziri wa Usalama wa Taifa?

7) Sio mara ya kwanza wala haitakuwa ya mwisho kwa Mengi kuzozana hadharani na wafanya biashara wenzake. Walikwaruzana na Yusuf Manji mpaka wakafikishana mahakamani. Mengi alizozana na Rostam kuhusu Rostam kuzindua album katika kanisa moja la Kiluteri mpaka (tunaambiwa) mchungaji akachukuliwa hatua. Hakuna jipya na sisi hatuoni kwa nini serikali inaigilia mzozo huu. Kuna sheria zinazohusu kafsha na kama waliotajwa na Mengi wanafikiri wameonewa Mengi kwa kauli yake atafurahi kukutana nao. Manji ameshatinga mahakani ni Rostam aende huko. Why is the minister poking her nose in the affairs that do not concern her? Ana kihele hele. Kwa hili yeye ndie KACHEMSHA na aambiwe hivyo.

8) Swala la Ubaguzi wa rangi halina mashiko. Hatuwezi kuogopa kutajana na kusutana eti tutaambiwa ni wabaguzi. Kama Wahaya kumi ni wezi wa mali ya Umma nawatajwe. Mbona wachaga wanasemwa kwa kujazana TRA kwa misingi ya Ukabila na hawajalalama? Lipumba na wenzake walikuwa wapi wakati Salum Mohamed Salum akibaguliwa wazi wazi wakati wa mchakato wa Urais ndani ya CCM 2005 na hakuna aliyenyosha kidole? Rostam should not hide behind racism veil to justify his misdeeds.

Nimalizie kwa kutoa mfano wa Biblia. Yesu alipowasema sana mafarisayo, mazudakayo na wakuu wa dini ya kiyahudi walipanga njama ya kumuua. Na katika kuhalilisha kifo chake Kuhani Mkuu wa wakati ule jina lake Keyafa aliwashauri kwamba " inabidi mtu mmoja afe kwa ajili ya wengi". Baadhi ya magazeti yamesema Mengi kwa kufanya alichofanya anajitoa mhanga. Inawezekana lile neno likatimia. Hatuwezi kuendelea na uoza huu katika nchi yetu. Tanzania bila Ufisadi inawezekana.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dhidi, la, mengi, rostam, tamko, yatokanayo


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Barack Obama's 100 Days Press Conference SpK International Forum 7 2nd May 2009 03:09 AM
A Report on CIA Infiltration and Manipulation of the Mass Media Shy Habari na Hoja mchanganyiko 1 21st April 2009 01:46 PM
Ikulu yaahirisha Press Conference Halisi Matangazo madogomadogo 10 1st July 2008 04:24 PM
ANC 52nd National Conference - LIVE Invisible Habari na Hoja mchanganyiko 9 17th December 2007 02:47 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:55 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com