Tamko la Rostam dhidi ya Mengi na yatokanayo - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jamii Intelligence


Jamii Intelligence Serious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 30th April 2009, 09:11 AM  
Tamko la Rostam dhidi ya Mengi na yatokanayo
Companero Companero is offline 30th April 2009, 09:11 AM

Mbunge wa Igunga na Mweka hazina wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, hatimaye amejibu rasmi madai mazito yaliyotolewa na Reginald Mengi kuhusu "mafisadi papa". Tamko hilo rasmi linapatikana katika ukurasa wa 6 wa gazeti la 'The Citizen' la leo Alhamisi, tarehe 30 Aprili 2009. Wakati tunamsubiri nakala yake tupate dondoo hii kutoka kwenye hitimisho la tamko hilo:

"I am therefore calling upon Mr. Mengi to either surrender whatever evidence he has to support his wild accusations and to appoint the appropriate legal bodies or state organs to act accordingly. Alternatively he is it to apologize to me personally within 48 hours, failing all of which, I reserve the right to exercise any appropriate actions in order to expose his wrongdoings"

Wakati huo huo gazeti hilo linaripoti kuwa mfanyabiashara maarufu, Yusuf Manji, yeye ameshachukua hatua ya kufungua kesi dhidi ya Reginald Mengi ambapo anadai fidia. Maswali ya msingi ya kujiuliza ni : Je, katika mpambano huu ile methali ya "wapiganapo tembo nyasi huumia" itatimia au nyasi ndio zitapata fursa ya kustawi zaidi? Je, mpambano huu utaishia kuwa mchezo wa kuigiza au utazitimizia hizo nyasi methali ya "avumaye baharini papa kumbe wengi wapo"?

TAMKO LAKE HILI HAPA:


__________________
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

Last edited by Invisible; 30th April 2009 at 11:36 AM.. Reason: Enclosed the doc

 
Companero's Avatar
Companero
JF Senior Expert Member
Points: 573,852, Level: 100 Points: 573,852, Level: 100 Points: 573,852, Level: 100
Activity: 30% Activity: 30% Activity: 30%
Join Date: Sat Jul 2008
Posts: 1,864
Thanks: 223
Thanked 477 Times in 255 Posts
Views: 43818
Reply With Quote
  #21  
Old 30th April 2009, 12:38 PM
wajinga wajinga is offline
wajinga has no status.
Senior Member
Points: 66,738, Level: 100 Points: 66,738, Level: 100 Points: 66,738, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jun 2008
Posts: 152
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
wajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enoughwajinga will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

In other words in 48 hrs Mengi and the like will be dead or what????? This justify Mengis paranoia that they want to kill me.It will be Rostam wants to kill me. How fablous. Thats why the whole government is afraid of him????? Blackmailing them and if it wont work he will kill them eh.
Reply With Quote
  #22  
Old 30th April 2009, 12:45 PM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,697,556, Level: 100 Points: 1,697,556, Level: 100 Points: 1,697,556, Level: 100
Activity: 33% Activity: 33% Activity: 33%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,985
Thanks: 628
Thanked 356 Times in 193 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Quote:
"I am therefore calling upon Mr. Mengi to either surrender whatever evidence he has to support his wild accusations and to appoint the appropriate legal bodies or state organs to act accordingly. Alternatively he is it to apologize to me personally within 48 hours, failing all of which, I reserve the right to exercise any appropriate actions in order to expose his wrongdoings"
Inakuwaje hii nchi inakuwa na viongozi wanaojua kuwa kuna mtu ana maouvu lakini hawasemi au kuwafikisha waovu hao mbele ya sheria? Statement kama hii inatosha kabisa kumwondoa mtu katika uongozi. Hafai kuwa kiongozi wa Watanzania.

Kama anajua maovu ya Mengi, angelikuwa mstari wa mbele kuyapeleka kwenye vyombo vya sheria yashughulikiwe na siyo asubirie maovu yake yatajwe ndiyo naye aseme "mbona huyu naye ana maovu."

Hadi Amir Jeshi Mkuu naye ana style hii hii ya kuwa na orodha za wauza unga na watoa rushwa.... Kama wanajua maovu kwanini wasiyapeleke kwenye vyombo vya sheria mara moja? Wanasubiria aina gani ya mabaya yatokee ndiyo hayo maovu tuyajue?

What a bunch of disgraced leaders! Shame.
__________________

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.


Reply With Quote
  #23  
Old 30th April 2009, 12:50 PM
Kituko Kituko is online now
Kituko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 88,625, Level: 100 Points: 88,625, Level: 100 Points: 88,625, Level: 100
Activity: 28% Activity: 28% Activity: 28%
 
Join Date: Mon Jan 2009
Posts: 1,013
Thanks: 49
Thanked 152 Times in 112 Posts
Rep Power: 24
Kituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Quote:
"I am therefore calling upon Mr. Mengi to either surrender whatever evidence he has to support his wild accusations and to appoint the appropriate legal bodies or state organs to act accordingly."
Mengi alishasema kwamba kama itawachoma wao waende mahakamani na hapo ndipo atakapotoa huo ushahidi, sasa tunashangaa huyu mbwana anasema anaonewa na anataka Mwengi hampe ushahidi, inaelekea huyu bwama upeo wake wa kuelewa mambo yaliyo nje ya Ufisadi ni mdogo sana, kama kweli kaonewa na anataka kuprove kwa wananchi kuwa kaonewa basi aende mahakamani hapo ndipo tutakapomwana mengi kama ni uzushi au ni mambo ya kweli
Reply With Quote
  #24  
Old 30th April 2009, 12:56 PM
Nsesi Nsesi is offline
Nsesi has no status.
Senior Member
Points: 114,505, Level: 100 Points: 114,505, Level: 100 Points: 114,505, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Nov 2008
Posts: 122
Thanks: 0
Thanked 14 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
Nsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enoughNsesi will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Hapa jamaa kachemsha na inaonekana hata washauri wake ni wavivu wa kufikiri kwani aya ya mwisho inamuonyesha kuchanganyikiwa hivyo kujaribu kumtisha Mengi kuona kama kweli atamuomba radhi ili iwe njia ya kujisafisha. Heri angekaa kimya, maisha magumu!
Reply With Quote
  #25  
Old 30th April 2009, 01:02 PM
Dark City's Avatar
Dark City Dark City is offline
Dark City The last of the Thomaso's
JF Premium Member
Points: 187,277, Level: 100 Points: 187,277, Level: 100 Points: 187,277, Level: 100
Activity: 18% Activity: 18% Activity: 18%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 1,441
Thanks: 1,168
Thanked 438 Times in 246 Posts
Rep Power: 24
Dark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Quote:
View Post
Hapa jamaa kachemsha na inaonekana hata washauri wake ni wavivu wa kufikiri kwani aya ya mwisho inamuonyesha kuchanganyikiwa hivyo kujaribu kumtisha Mengi kuona kama kweli atamuomba radhi ili iwe njia ya kujisafisha. Heri angekaa kimya, maisha magumu!

Huyu jamaa naona anataka waanze kucheza kidali po! Nani atalala nacho? Kwa hiyo naye atamtuhumu Mengi ili Mengi ndiye aende mahakamani. Hii ngwe bado sana! Ila kama serikali ingekuwepo sasa tungepata mapapa 6 badala ya 5. Mengi alitaja 5 na RA anamwongeza Mengi wenye orodha. Serikali iko wapi jamani? Orodha hiyo tayari inatosha, kwa nini hatuanzi kazi?
Reply With Quote
  #26  
Old 30th April 2009, 01:11 PM
Field Marshall ES Field Marshall ES is offline
Field Marshall ES has no status.
JF Premium Member
Points: 2,193,373, Level: 100 Points: 2,193,373, Level: 100 Points: 2,193,373, Level: 100
Activity: 56% Activity: 56% Activity: 56%
 
Join Date: Thu Apr 2006
Posts: 12,586
Thanks: 995
Thanked 1,671 Times in 765 Posts
Rep Power: 91
Field Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the rough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

- Rostam Aziz, mbunge na mjumbe wa CC aliyeapa kulinda taifa, siku zote hizi anafahamu kwamba Mengi kama raia na mfanyabiashara amekwua akivunja sheria za jamhuri ambazo yeye kama mbunge ameapa kuzilinda kwa nguvu zake zote lakini ameshindwa, sasa anangojea nini kujiuzulu?

- Kwa nini anatishia nyau, badala ya ku-deal straight with the ishu ya Mengi kwamba yeye ni fisadi? Wananchi tunataka ukweli nothing but the truth bila kujali sura ya mtu hapa, wala rangi hii ishu haina siasa ila ni ufisadi tu, nani ni fisadi na nani siye!

- Wananchi wa Tanzania tumechoshwa na Ze-Comedy, sasa ukweli uwekwe wazi, Rostam aende kwenye sheria aseme ya kwake na Mengi ajibu, tusije tena kusikia busara za Spika.

Siasa zisiingizwe kwenye hii ishu ambayo ni 100% legal, na wananchi tusiyumbishwe hapa kwa kuweka mayai yetu yote kwenye kikapu kimoja, tunachotaka ni ukweli bila ya kujali sura ya mtu, Mengi alianza kwa maneno, Rostam amejibu kwa maneno na vitisho, sasa next step iwe kwenye sheria! Kwa sababu Rostam ndiye aliyeanza kulilia sheria, sasa ni wakati wa yeye kuwahi Kisutu! Ingawa record yake hapa inamsuta sana maana kwa kawaida yake angeshausema wazi ukweli alinao mbona kwenye Mtikila hakudai kuombwa radhi na kutishia sheria this time ana ushahidi dhidi ya Mengi lakini anataka radhi kwanza?

Something is not right!

FMES
Reply With Quote
  #27  
Old 30th April 2009, 01:19 PM
Ndahani's Avatar
Ndahani Ndahani is offline
Ndahani has no status.
JF Premium Member
Points: 121,557, Level: 100 Points: 121,557, Level: 100 Points: 121,557, Level: 100
Activity: 24% Activity: 24% Activity: 24%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Location: Somewhere
Posts: 1,445
Thanks: 149
Thanked 446 Times in 289 Posts
Rep Power: 24
Ndahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Watu wameanza kutapatapa. Msaada wa utawala bora unahitajika haraka kunusuru mifadhaiko
Reply With Quote
  #28  
Old 30th April 2009, 01:22 PM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,697,556, Level: 100 Points: 1,697,556, Level: 100 Points: 1,697,556, Level: 100
Activity: 33% Activity: 33% Activity: 33%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,985
Thanks: 628
Thanked 356 Times in 193 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

From that signed statement, the guy is everything but SMART!
__________________

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.


Reply With Quote
  #29  
Old 30th April 2009, 01:24 PM
Halisi's Avatar
Halisi Halisi is offline
Halisi is for REAL!
JF Premium Member
Points: 2,134,274, Level: 100 Points: 2,134,274, Level: 100 Points: 2,134,274, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Jan 2007
Posts: 2,206
Thanks: 137
Thanked 147 Times in 44 Posts
Rep Power: 28
Halisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enoughHalisi will become famous soon enough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Kama sikosei Pinda kaweka sawa mambo bungeni katika maswali ya papo kwa papo!!!???
Reply With Quote
  #30  
Old 30th April 2009, 01:24 PM
Field Marshall ES Field Marshall ES is offline
Field Marshall ES has no status.
JF Premium Member
Points: 2,193,373, Level: 100 Points: 2,193,373, Level: 100 Points: 2,193,373, Level: 100
Activity: 56% Activity: 56% Activity: 56%
 
Join Date: Thu Apr 2006
Posts: 12,586
Thanks: 995
Thanked 1,671 Times in 765 Posts
Rep Power: 91
Field Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the roughField Marshall ES is a jewel in the rough
Default Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi

Quote:
View Post
From that signed statement, the guy is everything but SMART!
- Mkuu Steve, Smart? with all due respect not really ila kwa sababu ni Tanzania tu!

FMES
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dhidi, la, mengi, rostam, tamko, yatokanayo


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Barack Obama's 100 Days Press Conference SpK International Forum 7 2nd May 2009 03:09 AM
A Report on CIA Infiltration and Manipulation of the Mass Media Shy Habari na Hoja mchanganyiko 1 21st April 2009 01:46 PM
Ikulu yaahirisha Press Conference Halisi Matangazo madogomadogo 10 1st July 2008 04:24 PM
ANC 52nd National Conference - LIVE Invisible Habari na Hoja mchanganyiko 9 17th December 2007 02:47 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:03 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com