Jamii IntelligenceSerious reports & Discussions on Corruption, Politics etc recommended to our clients! Detailed discussions which you need not to miss
Mbunge wa Igunga na Mweka hazina wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, hatimaye amejibu rasmi madai mazito yaliyotolewa na Reginald Mengi kuhusu "mafisadi papa". Tamko hilo rasmi linapatikana katika ukurasa wa 6 wa gazeti la 'The Citizen' la leo Alhamisi, tarehe 30 Aprili 2009. Wakati tunamsubiri nakala yake tupate dondoo hii kutoka kwenye hitimisho la tamko hilo:
"I am therefore calling upon Mr. Mengi to either surrender whatever evidence he has to support his wild accusations and to appoint the appropriate legal bodies or state organs to act accordingly. Alternatively he is it to apologize to me personally within 48 hours, failing all of which, I reserve the right to exercise any appropriate actions in order to expose his wrongdoings"
Wakati huo huo gazeti hilo linaripoti kuwa mfanyabiashara maarufu, Yusuf Manji, yeye ameshachukua hatua ya kufungua kesi dhidi ya Reginald Mengi ambapo anadai fidia. Maswali ya msingi ya kujiuliza ni : Je, katika mpambano huu ile methali ya "wapiganapo tembo nyasi huumia" itatimia au nyasi ndio zitapata fursa ya kustawi zaidi? Je, mpambano huu utaishia kuwa mchezo wa kuigiza au utazitimizia hizo nyasi methali ya "avumaye baharini papa kumbe wengi wapo"?
TAMKO LAKE HILI HAPA:
__________________
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
Last edited by Invisible; 30th April 2009 at 12:36 PM..
Reason: Enclosed the doc
Hii inafurahisha sana, huyu jamaa anaposema ana reserve right ya kutaja maovu ya Mengi anataka kutufikishia ujumbe gani? Huku ndo kupiga mbizi ukiwa umeshika kwenye kingo. Teheee!!!!
Kauli ya Rostam baada ya press conference ya Mengi ilikuwa kwamba kiumri, Mengi ni sawa na mzazi wa Rostam, hivyo isingekuwa busara kujibizana naye. Ni washauri gani waliombadilisha huyu hadi kutoa tamko hilo?
__________________
"The whirlwinds of revolt will continue to shake the foundations of our nation until the bright day of justice emerges." Luther King jr
Hii inafurahisha sana, huyu jamaa anaposema ana reserve right ya kutaja maovu ya Mengi anataka kutufikishia ujumbe gani? Huku ndo kupiga mbizi ukiwa umeshika kwenye kingo. Teheee!!!!
Kweli hii kali; Sijui hizo rights alipata wapi hakimiliki yake inawezekana hata cosota kawekeza na kuchukua haki zote
Truely, his statements seems to be cautious and it looks like he is already scared
Kauli ya Rostam baada ya press conference ya Mengi ilikuwa kwamba kiumri, Mengi ni sawa na mzazi wa Rostam, hivyo isingekuwa busara kujibizana naye. Ni washauri gani waliombadilisha huyu hadi kutoa tamko hilo?
Ndugu yangu haya mambo ya umri tuyaweke pembeni. Tanzania tumekaa miaka mingi tukifikiria umri mkubwa ndio busara na njia ya kukomboa nchi and what we got from those old people ni baraha tupu.
Simtetei RA ila anahaki ya kujitetea bila kuangalia umri, umri is nothing coming to ufisadi au biashara. Ila huyu RA ajiangalie asitegemee watanzania tutanunua huu utetezi usio na miguu wala mikono.
Rostam nae anachemka. Anasema kama Mengi ana ushahidi basi Mengi ateue chombo cha kisheria au cha serikali kichukue hatua zinazotakiwa. Mengi kawa Director of Public Prosecution? duuu
Halafu Rostam anasema mtu anae toa opinion kwa kesi ambayo iko mahakamani basi hiyo kisheria ni contempt of court. Rostam anahitaji msaada wa wakili, awali ya yote, kama kaandika mwenyewe hivi vitu.
Ila Mengi ane alichemka kurudia rudia wimbo wa Manji na Patel, na Mithun Chakraborty na Shashi Kapoor... anauimba toka the 1990s.
Last edited by Dilunga; 30th April 2009 at 01:17 PM..
__________________
The senseless man does not know, fools do not understand that though the wicked spring up like grass and all evildoers flourish they will be forever destroyed
Mbunge wa Igunga na Mweka hazina wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz, hatimaye amejibu rasmi madai mazito yaliyotolewa na Reginald Mengi kuhusu "mafisadi papa". Tamko hilo rasmi linapatikana katika ukurasa wa 6 wa gazeti la 'The Citizen' la leo Alhamisi, tarehe 30 Aprili 2009. Wakati tunamsubiri nakala yake tupate dondoo hii kutoka kwenye hitimisho la tamko hilo:
"I am therefore calling upon Mr. Mengi to either surrender whatever evidence he has to support his wild accusations and to appoint the appropriate legal bodies or state organs to act accordingly. Alternatively he is it to apologize to me personally within 48 hours, failing all of which, I reserve the right to exercise any appropriate actions in order to expose his wrongdoings"