1. Kuna rafiki yangu aliwahi kupewa pesa bandia na aliyempa hiyo pesa 100% alikuwa ni WAKILI.
2. Kuna watu wawili waliwahi kupelekwa kituoni na wakadai kwamba zile pesa walipokea kutoka kwa mtu, yule mtu alipoulizwa ametoa wapi moja ya watu ambao walimpa pesa ni WAKILI
3. Niliwahi kupewa noti za bandia na mtu aliyenipa ana ukaribu sana na WAKILI
4. Kuna kesi inaendelea arusha ya pesa za bandia na anaetuhumiwa ni wakili.
huo ni uchunguzi wangu.
je kuna uhusiano wowote?

Reply With Quote

Follow Us Here