Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi huyu ni Archard Mutalemwa yupi DAWASCO?

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      mabhuimerafulu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 368
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Hivi huyu ni Archard Mutalemwa yupi DAWASCO?

      Jana nimesoma gazeti moja likimtaja Mkurugenzi wa Dawasco Bw Archard Mutalemwa nikashangaa; ni Mutalemwa yupi? Aliyekuwa anasambaza maji yasiyo na dawa (1993) wakati akiwa NUWA akaundiwa tume na kuthibitishwa ni kweli? Waziri wa Maji wakati huo alikuwa JK, afya akiwa Meghji.

      Ni yule aliyesababisha NUWA kufunguliwa kesi na wakazi wa Sinza baada ya taarifa hizo? Wakazi hao walitetewa na Wakili (sasa marehemu Julius Ndyanabo)?

      Ni yule ambaye akiwa NUWA ilikuwa inatuhumiwa kununua madawa ya maji yasiyofaa mara kwa mara na tuhuma za ubadhirifu lukuki?
      Kama ni yeye basi muuzieni hayo mashirika ya DAWASCO na DAWASA maana sasa imedhihiri mashirika hayo ni kama mali yake. Cha ajabu nini mbona BWM alijiuzia Kiwira? Ni kweli hakuna mtaalam wa maji nchini mpaka Mutalemwa?

      Atakuwa na kizizi kisichokuwa cha kawaida!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Evarm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : totoroni
      Posts : 1,012
      Rep Power : 735
      Likes Received
      270
      Likes Given
      26

      Default Re: Hivi huyu ni Archard Mutalemwa yupi DAWASCO?

      Archard Mutalemwa
      CEO at Dar es Salaam Water and Sewerage Authority
      Currently holds this position.


      Source: Linkedln
      Simplicity is the ultimate sophistication

    4. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...