Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hii technique ina mapungufu gani jamani?

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1275
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      1709

      Default Hii technique ina mapungufu gani jamani?

      Ili kudhibiti Madawa ya Kulevya.

      1. Jeshi la Polisi liwakamate mateja wote waliozagaa barabarani.

      2. Mateja waliokamatwa waulizwe, wamenunua wapi unga, wanataja

      3. Maretailer waliotajwa na mateja wanakamatwa pia, sababu hata makazi yao yanajurikana.

      4. Maretailer wakiisha kamatwa na wenyewe wataeleza wananunua kwa nani?

      5. Chain inaendelea mpaka kufikia mwisho.

      Njia hii inamapungufu gani?


    2. #2
      Khokhma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 383
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?

      Iko vizur tatzo ni kwamba wanaotakiwa kufanya hivyo wako ndani ya mzunguko huo au wanafaidishwa na walioko kwenye huo mzunguko. Mtizamo wangu

    3. #3
      TECHMAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Location : TRIPOL
      Posts : 850
      Rep Power : 579
      Likes Received
      198
      Likes Given
      451

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?

      kisha wakiwakamata na unga, unaifadhiwa kwaajili ya ushahidi. siku ya kesi unabadilikuwa kuwa unga wa dona.

      Wewe una njaa watoto ada shule unadaiwa pesa kibao, kodi ya nyumba hujalipa huu mwezi wapili sasa. mshahara wenyewe unaishia kwenye madeni. KISHA UNALIKAMATA ZUNGU LA UNGA na mzigo wa 100 milioni, ukapewa 10m unyamaze kwani kuna mbaya. WEWE badilisha tu kuwa unga wa sembe, kisha maisha yanaendelea.( BORA MAISHA KWA KILA MTANZANIA)

    4. #4
      mzeelapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 549
      Rep Power : 563
      Likes Received
      72
      Likes Given
      72

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?

      Sio kiulaini namna hiyo, hii biashara ukijitia kimbelembele kukamata hao ma-retailer, ujue umepoteza maisha. Filam mbalimbali za Kimarekani ni kama mfano hai, kama ni hivyo biashara hiyo hata Marekani ingekuwa imetoweka.
      Sangarara likes this.

    5. #5
      K.Msese's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 260
      Rep Power : 416
      Likes Received
      160
      Likes Given
      240

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?


      Njia ya kupunguza biashra ya madawa ya kulevya ni;-

      1. As long as kuna'demand there must be supply. Kuelimisha vijana kwa nguvu zote madhara ya matumizi ya mihadharati tangu shule za msingi, liwe kama somo linalo jitegema. China wanaua yeyote atakayekutwa na dawa hizo, still watu wanayaingiza na ukifika china, mateja kibao wakichina.

      2. Serikali inauelewa mdogo sana wa NJIA za biashara hii, hivyo mara nyingi inategemea risasi kidole ktika kukamata hizo dawa sio NJIA, MTANDAO au TecH. Ukimkamata (pusher = retailer), na akakupeleka kwa (wholeseller = mzungu) bado nivigumu kum'connect zungu na unga hadi umkute nao, na hata huyo zungu akikamatwa bado ni kijisehemu tu wa'zungu wote. Hivyo basi, serikali lazima iingize watu wake kwenye mtandao wa wauzaji, au ambao walishaifanya wakaacha, ili wape tip ya kinachoendelea, kila siku hii biashara ina update.

      3. Serikali iahidi na itoe kiukweli kiasi kikubwa cha fedha kwa atakayepelekea kukamatwa kwa kiasi kikubwa cha dawa, i.e kuanzia 1kg. Nakuhakikishia kila siku wauzaji watakamatwa, lakini tu endapo informer hatakuwa exposed.

      4. Lazima serikali ijipange kuelewa tabia na muundo wa biashara hii ili ijue inazuia nini.
      Mfano;
      i. Wapo wanaoingiza biashara hii nchini Tz, ili waipeleke nchi zingine kubwa duniani. Hawa huwa ni wafanyabiashara wakubwa sana na wenye fedha nyingi, humiliki biashara zingine kama maduka au showrum fulani ili kuzugia. Wengi wao hawana asili ya kibantu. Tabia ya Wazungu hawa ya kuingiza unga ni, kuuficha katika bidhaa fulani zinazoingizwa nchini, au kutuma watu wengi mara moja kununua, halafu watu hao huingianao nchini kupitia viwanja mbalimbali nchini hasa kia, au vya nchi jirani kisha kuingia nchini kupitia boda. Hata kama wazungu wa aina hii wakiamua kuuza unga huo hapa nchi, kati yake na retailers kuna chain kubwa ya watu wa kati, ambao hununua kwake kwajumla na kuutawanya kwa jumla.

      ii. Wenye asili ya kibantu ambao ndio hasa huuficha kwenye matumbo yao kuliko race nyingine yeyote, hawa huleta kwa ajili ya kuuza tu. Leo ana hela sana kesho hana hata kumi. Leo anatembelea bonge la gari, kesho anatembea kwa miguu, leo ananyumba, kesho anatafuta mteja aiuze..., hapo alikamatwa akakung'utishwa anauza ili aanze tena. Tabia kubwa waliyonayo ni kupoteza travelling docs, na ukifungua passport yake utakuta visa za stika hasa za nchi ambazo hajaenda au haendi, zimewekwa page za kushoto i.e page 2, 4, 6...nk ktka ppt ya sasa ili kufunika mihuri ya entry au/na exit ya nchi zenye kuzalisha. Hata mihuri iliopigwa inatabia nyingi mno ili kujua huyu yupo au la....ili afuatiliwe.

      iii. Group lingine ni pushers, hao wananuna grams kadhaa kutoka kwa wholesalers na kudeal na mateja, lakini pia humweka sub-pusher kati yake na mateja. Mateja hujua wapi walipo hawa pusher, kwani eneo moja huwa wengi ambao ni rivals, since kila mmoja ana bosi wake. Bado sio rahisi kumkamata huyu pusha, kwani hakai na unga mfukoni....mara kete kadhaa zipo chini ya jiwe lile, au juu ya paa fulani...akija teja anaenda kufukua na kumhudumia, akiondoka anachimbia kwengine. Tabia yake huwa anafedha nyingi lakini hajui amount yake ukimfuma gafla na hasa coins, ambazo mateja huzivuna kutoka kwa makondakta.

      5. Kasoro kwa Mapusha, waliobaki woote hawa wanatabia inazofanana, kuna mahali lazima waende au watume watu kwa niaba yao (siwezi kupataja humu hadharani lakni simaanishi kwa wagnga). Simu zao karibu wote, zina namba ya mtu fulani na fulani na fulani au fulani, ijapo kuwa hawa wafanyabiashara wanaweza wawehawajuani.


      Kibanga Msese


    6. #6
      K.Msese's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 260
      Rep Power : 416
      Likes Received
      160
      Likes Given
      240

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?


      Njia ya kupunguza biashra ya madawa ya kulevya ni;-

      1. As long as kuna'demand there must be supply. Kuelimisha vijana kwa nguvu zote madhara ya matumizi ya mihadharati tangu shule za msingi, liwe kama somo linalo jitegema. China wanaua yeyote atakayekutwa na dawa hizo, still watu wanayaingiza na ukifika china, mateja kibao wakichina.

      2. Serikali inauelewa mdogo sana wa NJIA za biashara hii, hivyo mara nyingi inategemea risasi kidole ktika kukamata hizo dawa sio NJIA, MTANDAO au TecH. Ukimkamata (pusher = retailer), na akakupeleka kwa (wholeseller = mzungu) bado nivigumu kum'connect zungu na unga hadi umkute nao, na hata huyo zungu akikamatwa bado ni kijisehemu tu wa'zungu wote. Hivyo basi, serikali lazima iingize watu wake kwenye mtandao wa wauzaji, au ambao walishaifanya wakaacha, ili wape tip ya kinachoendelea, kila siku hii biashara ina update.

      3. Serikali iahidi na itoe kiukweli kiasi kikubwa cha fedha kwa atakayepelekea kukamatwa kwa kiasi kikubwa cha dawa, i.e kuanzia 1kg. Nakuhakikishia kila siku wauzaji watakamatwa, lakini tu endapo informer hatakuwa exposed.

      4. Lazima serikali ijipange kuelewa tabia na muundo wa biashara hii ili ijue inazuia nini.
      Mfano;
      i. Wapo wanaoingiza biashara hii nchini Tz, ili waipeleke nchi zingine kubwa duniani. Hawa huwa ni wafanyabiashara wakubwa sana na wenye fedha nyingi, humiliki biashara zingine kama maduka au showrum fulani ili kuzugia. Wengi wao hawana asili ya kibantu. Tabia ya Wazungu hawa ya kuingiza unga ni, kuuficha katika bidhaa fulani zinazoingizwa nchini, au kutuma watu wengi mara moja kununua, halafu watu hao huingianao nchini kupitia viwanja mbalimbali nchini hasa kia, au vya nchi jirani kisha kuingia nchini kupitia boda. Hata kama wazungu wa aina hii wakiamua kuuza unga huo hapa nchi, kati yake na retailers kuna chain kubwa ya watu wa kati, ambao hununua kwake kwajumla na kuutawanya kwa jumla.

      ii. Wenye asili ya kibantu ambao ndio hasa huuficha kwenye matumbo yao kuliko race nyingine yeyote, hawa huleta kwa ajili ya kuuza tu. Leo ana hela sana kesho hana hata kumi. Leo anatembelea bonge la gari, kesho anatembea kwa miguu, leo ananyumba, kesho anatafuta mteja aiuze..., hapo alikamatwa akakung'utishwa anauza ili aanze tena. Tabia kubwa waliyonayo ni kupoteza travelling docs, na ukifungua passport yake utakuta visa za stika hasa za nchi ambazo hajaenda au haendi, zimewekwa page za kushoto i.e page 2, 4, 6...nk ktka ppt ya sasa ili kufunika mihuri ya entry au/na exit ya nchi zenye kuzalisha. Hata mihuri iliopigwa inatabia nyingi mno ili kujua huyu yupo au la....ili afuatiliwe.

      iii. Group lingine ni pushers, hao wananuna grams kadhaa kutoka kwa wholesalers na kudeal na mateja, lakini pia humweka sub-pusher kati yake na mateja. Mateja hujua wapi walipo hawa pusher, kwani eneo moja huwa wengi ambao ni rivals, since kila mmoja ana bosi wake. Bado sio rahisi kumkamata huyu pusha, kwani hakai na unga mfukoni....mara kete kadhaa zipo chini ya jiwe lile, au juu ya paa fulani...akija teja anaenda kufukua na kumhudumia, akiondoka anachimbia kwengine. Tabia yake huwa anafedha nyingi lakini hajui amount yake ukimfuma gafla na hasa coins, ambazo mateja huzivuna kutoka kwa makondakta.

      5. Kasoro kwa Mapusha, waliobaki woote hawa wanatabia inazofanana, kuna mahali lazima waende au watume watu kwa niaba yao (siwezi kupataja humu hadharani lakni simaanishi kwa wagnga). Simu zao karibu wote, zina namba ya mtu fulani na fulani na fulani au fulani, ijapo kuwa hawa wafanyabiashara wanaweza wawehawajuani.


      Kibanga Msese

    7. #7
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,740
      Rep Power : 1151
      Likes Received
      1540
      Likes Given
      1941

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?

      Mkuu Sangarara mbona unahangaika sana kutafuta solution?

      Hivi unafikiri Serikali haiwajui Waagizaji, Wasambazaji na Wasafirishaji wakubwa wa madawa ya kulevya? - inawajua sana

      Hizo biashara za watu wakubwa & wakubwa wana interests nazo
      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    8. #8
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 354
      Rep Power : 468
      Likes Received
      116
      Likes Given
      33

      Default Re: Hii technique ina mapungufu gani jamani?

      Quote By Sangarara View Post
      Ili kudhibiti Madawa ya Kulevya.

      1. Jeshi la Polisi liwakamate mateja wote waliozagaa barabarani.

      2. Mateja waliokamatwa waulizwe, wamenunua wapi unga, wanataja

      3. Maretailer waliotajwa na mateja wanakamatwa pia, sababu hata makazi yao yanajurikana.

      4. Maretailer wakiisha kamatwa na wenyewe wataeleza wananunua kwa nani?

      5. Chain inaendelea mpaka kufikia mwisho.

      Njia hii inamapungufu gani?
      Mkuu kuna point umemiss kuhusu hii biashara,facts ni kwamba si kuwa serikali haiwajui key playerz...kila kitu kipo wazi,issue ni kwamba ni nani atakayemfunga paka kengele.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...