Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

    Report Post
    Page 7 of 14 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 265
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 21st May 2012 at 19:58.
      jouneGwalu and Kijana Msomali like this.
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com


    2. #121
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,200
      Rep Power : 12769
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      991

      Default

      Quote By jmushi1 View Post
      Pesa za Gaddafi nyingi sana UG.
      Hayo maneno ya kujiliwadha...Huyu jamaa pesa yake kaipatia Ulaya.

    3. #122
      vipik2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 381
      Rep Power : 458
      Likes Received
      87
      Likes Given
      76

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By ritz View Post
      Hayo maneno ya kujiliwadha...Huyu jamaa pesa yake kaipatia Ulaya.
      Mbona unamtetea saaaana mku? una share?
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    4. #123
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,114
      Rep Power : 1224
      Likes Received
      400
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By Bukyanagandi View Post
      Mkuu mbona Baguma na M7 ni tribe moja, wanaweza kweli kukorofishana?
      wanakorofishana ndugu wa damu sembuse kabila? Kajipange

    5. #124
      Diehard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Posts : 339
      Rep Power : 502
      Likes Received
      35
      Likes Given
      81

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Hiyo ilikuwa ni hoteli ya nani au alinunua kutoka kwa nani?
      Paradise Hotel inamilikiwa na msomali Kwa jina Mohamed ingawa yeye ni mrithi, hawa ndio wanamiliki wa Paradise Hotel ya Bagamoyo ile iliyoungua moto mwaka 2009 na ndio wanamiliki mgahawa wa city garden pale ppf tower pembeni ya imalaseko na atc, na pia mgahawa wa city garden wa pale gerezani, na hotel za arusha zijulikanazo kama east africa, kwa faida ya wengine baba wa Mohamed ni moja ya mawaziri kipindi cha UTAWALA WA SIAD BALEH
      Kaa la Moto likes this.
      Wrong is wrong no matter who says it , If you don't stand for something you will fall for anything'.

    6. #125
      Kijana Msomali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 1364
      Likes Received
      68
      Likes Given
      42

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      " As Africans our last hope is Scientific Socialism"

      The Late Comrade Siad Barre.


    7. FJM is offline
      FJM
      #126
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Diehard View Post
      Paradise Hotel inamilikiwa na msomali Kwa jina Mohamed ingawa yeye ni mrithi, hawa ndio wanamiliki wa Paradise Hotel ya Bagamoyo ile iliyoungua moto mwaka 2009 na ndio wanamiliki mgahawa wa city garden pale ppf tower pembeni ya imalaseko na atc, na pia mgahawa wa city garden wa pale gerezani, na hotel za arusha zijulikanazo kama east africa, kwa faida ya wengine baba wa Mohamed ni moja ya mawaziri kipindi cha UTAWALA WA SIAD BALEH
      Hotel za East Africa Arusha ni za PPF. Hawa wasomali wanaendesha tu - management lakini majengo ni ya PPF.

    8. #127
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 935
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By ritz View Post
      Mkuu wangu Kimbunga.

      Bob Justus Baguma, ni kichwa sana mie huwa nina mfananisha na (Wapopo).

      Kainunua Paradise Hotel Bagamoyo, kutoka kwa kile kichwa ch kisomali kilikuwa waziri kule Somalia wakati wa utawala Said Bare.

      Mwaka 2011 nilikuwa Kampala Uganda, huyo jamaa Bob JB, alikuwa anafunguwa mgahawa wa MacDonalds.

      Mwaka 1999 ana kampuni tatu Uk.

      Jamaa ni Don kweli kweli sio mchezo.
      Mkuu akuna anaye underrate umahili wa Omukama Baguma katika biashara zake na PR yake, lakini mbona nimesoma humu akisema alijaribu kupata franchise za ku-run MacDonalds chains in Uganda akashindwa sijuhi kutokana na nini! Halafu kilicho nitisha kidogo ni hiki cha kusema Baguma ni "DON!!" - hivi ujuhi mfanya biashara akihitwa DON anaweza kuwa associated na under world business ambazo mtu kama Baguma hawezi kujihingiza/kujishughulisha na biashara za namna hiyo, ameishi Uingereza na anjua vizuri wazungu walivyo mahili kwa ku-track dowm watu wa aina hiyo, rain or shine watakutia mbaroni tu at the end of the day and you will end up in a slammer na kufilisiwa kila kitu - hilo lilikuwa nia ANGALIZO LANGU tu, wakati mwingine tuwe makini maneno tunayo tumia. "Banyankole ichwena tukole tuta! okulima, nakwo nindamamu KAKE"
      Mwakalinga Y. R likes this.

    9. #128
      John locke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 395
      Likes Received
      30
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By FJM View Post
      Unajuwa ni kitu gani kilichosababisha mpaka huyu JB akakosana na M7?
      watu tunajadili hili na ww unakurupuka na lako..alah!

    10. #129
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,292
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      388
      Likes Given
      54

      Default

      Quote By Bukyanagandi View Post
      Mkuu juzi nilikuwa Gongo la Mboto, nikawa na shahuku ya kutembelea KIU yaani kitu nilicho kiona pale kilinistaajabisha kweli kweli - Basajja Balaba si mchezo! Sijuhi kwa sasa hivi hapa Tanzania kama kuna Chuo chochote Kikuu ambacho kimejengwa kwa umahili mkubwa kiasi hicho, chuo chenyewe kime-cover area kubwa sana-kinaweza kuwa cha pili kwa ukubwa wa eneo kikifatia UDSM. Vitivyo vimepangwa kwa ustadi mkubwa, barabara, bustani nk - jamaa huyu mkali kweli kweli na akifanikiwa kuwapata walimu makini basi chuo chenyewe kitakuwa moto wa kuotea mbali.
      Hujafika Dodoma wewe UDOM ndo kinashika Chart.

    11. FJM is offline
      FJM
      #130
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By John locke View Post
      watu tunajadili hili na ww unakurupuka na lako..alah!
      John locke, na hilo pia kiongozi. Issue ya kutofautiana na M7 iko kurasa za mwanzo - ukipata wasaa soma thread nzima. Pia kumbuka hoja hapa tunataka kumjua JB ni nani, au wewe ulielewa nini hasa kuhusu hii thread?

    12. #131
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,200
      Rep Power : 12769
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      991

      Default

      Quote By Bukyanagandi View Post
      Mkuu akuna anaye underrate umahili wa Omukama Baguma katika biashara zake na PR yake, lakini mbona nimesoma humu akisema alijaribu kupata franchise za ku-run MacDonalds chains in Uganda akashindwa sijuhi kutokana na nini! Halafu kilicho nitisha kidogo ni hiki cha kusema Baguma ni "DON!!" - hivi ujuhi mfanya biashara akihitwa DON anaweza kuwa associated na under world business ambazo mtu kama Baguma hawezi kujihingiza/kujishughulisha na biashara za namna hiyo, ameishi Uingereza na anjua vizuri wazungu walivyo mahili kwa ku-track dowm watu wa aina hiyo, rain or shine watakutia mbaroni tu at the end of the day and you will end up in a slammer na kufilisiwa kila kitu - hilo lilikuwa nia ANGALIZO LANGU tu, wakati mwingine tuwe makini maneno tunayo tumia. "Banyankole ichwena tukole tuta! okulima, nakwo nindamamu KAKE"
      Mkuu Bukyanagandi.

      Mie ninavyojua maana ya "DON" ni Mwungwana hata mwalimu wa chuo Kikuu nae anaitwa "DON".

      Kuhusu MacDonalds alikosa wateja Kampala.

    13. #132
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,498
      Rep Power : 3214
      Likes Received
      1551
      Likes Given
      6741

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Elli View Post
      Kwa mujibu wa mganda mmoja ni kwamba hizi investment za JB zipo nyuma ya wakubwa flani na kwamba hata jina si halisi ila huyu JB anatumika kuuficha ukweli, kwa mujibu wa huyu mganda ni kwamba herufi J ni ya jina la mke wa mkulu mmoja uganda na kwamba anawatumia ndugu hao ili kujificha.

      Hizi ni rumours na si lazima ziwe na ukweli
      Same old stories, kila biashara ya wakubwa!

      Hebu acheni hizi stori za vijiweni, kama huna evidence kaa kimya
      tankibovu likes this.

    14. #133
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,498
      Rep Power : 3214
      Likes Received
      1551
      Likes Given
      6741

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Mbona kuna wahindi wengi wa Kenya wapo Tanzania wanafanya biashara kubwa kuliko za JB hamuhoji uhalali wa biashara zao?

    15. #134
      zumbemkuu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,423
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      2164
      Likes Given
      7946

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      pia huyu bwana amepamgisha godown pale mlimani city la vitu vya electronics used toka UK, possible hiyo biashara pia imempatia faida kubwa, hilo la kuajiri watu wenye elimu ndogo na kuwa train nakubaliana nalo coz kuna jamaa mmoja wa kipare anaitwa Luka yeye ndo kama Manager wake na ni std 7 tu.
      tankibovu likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    16. #135
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 935
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By ritz View Post
      Mkuu Bukyanagandi.

      Mie ninavyojua maana ya "DON" ni Mwungwana hata mwalimu wa chuo Kikuu nae anaitwa "DON".

      Kuhusu MacDonalds alikosa wateja Kampala.
      Mkuu heshima yako kwanza, najua vizuri kwamba mwalimu wa chuo kikuu anaweza kuitwa DON au Mtu Mungwana, lakini ukumbuke hii forum inasomwa na watu wengi na wengine awachangii chochote kazi zao ni kuangalia mtililiko wa mada husika - unaweza kuwa umetumia term hiyo kwa nia nzuri tu, lakini ukakuta unamtia mwenzio kwenye limelight ambayo anaweza kujukuta anafuatwa fuatwa bila sababu, kumbuka dunia siyo Tanzania TU-sijuhi kama nime eleweka. Msalimie emanzi BAGUMA.

    17. #136
      tankibovu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Posts : 36
      Rep Power : 488
      Likes Received
      9
      Likes Given
      6

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      nakubaliana na wewe...mwenzetu akifanikiwa sisi ni kumpiga mawe na majungu tu. Raha yetu tutumikishwe na waarabu na wahindi. Give the man a break! Kila mtu akifanikiwa anakwepa kodi!!! Hii mentality inatumaliza jamani tufunguke..sio kila tajiri ni mwizi.

    18. #137
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 935
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Tusker Bariiiidi View Post
      Hujafika Dodoma wewe UDOM ndo kinashika Chart.
      Ni kweli sijwawahi kufika chuo cha Dodoma, nakiona kwa mbali. Je mwenzagu umewahi kutembelea KIU hivi karibuni - na mimi nilikuwa nafikili ni kidogo lakini nilipo fika pale nilichoka.

    19. #138
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,200
      Rep Power : 12769
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      991

      Default

      Quote By Bukyanagandi View Post
      Mkuu heshima yako kwanza, najua vizuri kwamba mwalimu wa chuo kikuu anaweza kuitwa DON au Mtu Mungwana, lakini ukumbuke hii forum inasomwa na watu wengi na wengine awachangii chochote kazi zao ni kuangalia mtililiko wa mada husika - unaweza kuwa umetumia term hiyo kwa nia nzuri tu, lakini ukakuta unamtia mwenzio kwenye limelight ambayo anaweza kujukuta anafuatwa fuatwa bila sababu, kumbuka dunia siyo Tanzania TU-sijuhi kama nime eleweka. Msalimie emanzi BAGUMA.
      Mkuu nimekusoma ngoja nikafute hilo neno na wewe futa, pamoja sana.

      JF Daima.

    20. #139
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 157
      Rep Power : 398
      Likes Received
      73
      Likes Given
      21

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      i wish hii thread ifungwe sababu imegeuka uwanja wa nani anajua zaidi mali za jb,wasomali, na wamiliki wa mahotel ...then WHAT?kama kuna mwenye uthibitisho wa uhalali wa biashara na mali za watajwa au la, tuwekee tujadili kama hamna huu mjadala unageuka POROJO.atakuja mtu na hoja yA "MMILIKI WA DOUBLE TREE NI NANI APA" sasa ivi
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    21. #140
      Sniper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,339
      Rep Power : 843
      Likes Received
      398
      Likes Given
      429

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kwa ambao ham mjui JB.
      Click image for larger version. 

Name:	Justus Baguma photo by Dennis D. Muhumuza.JPG 
Views:	0 
Size:	373.9 KB 
ID:	54299Click image for larger version. 

Name:	JB P.jpg 
Views:	0 
Size:	53.7 KB 
ID:	54300
      Kama kuoga ni usafi kwanini taulo linachafuka?

    Page 7 of 14 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...