Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

By
Mzee Mwanakijiji
Hiyo ilikuwa ni hoteli ya nani au alinunua kutoka kwa nani?
Paradise Hotel inamilikiwa na msomali Kwa jina Mohamed ingawa yeye ni mrithi, hawa ndio wanamiliki wa Paradise Hotel ya Bagamoyo ile iliyoungua moto mwaka 2009 na ndio wanamiliki mgahawa wa city garden pale ppf tower pembeni ya imalaseko na atc, na pia mgahawa wa city garden wa pale gerezani, na hotel za arusha zijulikanazo kama east africa, kwa faida ya wengine baba wa Mohamed ni moja ya mawaziri kipindi cha UTAWALA WA SIAD BALEH
Wrong is wrong no matter who says it , If you don't stand for something you will fall for anything'.
Follow Us Here