Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

    Report Post
    Page 5 of 14 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 265
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 21st May 2012 at 19:58.
      jouneGwalu and Kijana Msomali like this.
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com


    2. #81
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      biashara zote alizonazo there's no way atakua analipa full tax TRA. lazima kuna watu wanapoozwa nae. aisee mganda yuko nchini hapa na anafanya vizuri hivi....kuna mbongo ambae yuko kenya or UG ambae ana miliki vitu kama huyu jamaa??
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    3. #82
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 936
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Tiba View Post
      Unayoysema inawezekana yakawa ya ukweli. Lakini MMJ alipouliza huyu mtu ni nani ana habari gani zilimzomfanya amuulizie? MMJ inabidi arudi hapa atwambie. Hata hivyo, huyu mtu ananikumbusha ya "Mark Twist Kinyanjui" kwa wale waliokuwepo enzi zile!!!!

      Tiba
      Mkuu hata mimi nilikuwa namfikilia jamaa huyo wa Kenya lakini nikasahau jina lake, nachotaka kusema Watanzania wakati mwingine tunakosa kuwa makini sana-hakuna anaye mchukia mtu mwekezaji au tycoon; lakini vile vile siyo vibaya kuhoji mambo ambayo hayaja kaa sawa/tia shaka.

      Ni vizuri Watanzania ku-emulate umakini wake katika mambo ya biashara kama kweli RITZ anayoyazungumza humu yote ni yakweli; kitu kingine kinacho nishangaza ni hiki watu kuwa na impression kwamba Watanzania tuna kasumba ya kwamba kila tajiri lazima awe ragi nyeupe-mbona Watanzania wamehoji sana kuhusu utajiri unao tia shaka wa Watanzania wenzetu wenye asili ya ASIA na ikaja kugundulika baadae kwamba Watanzania walicho kuwa na shaka nacho ni cha kweli kabisa, sasa kuna mantiki gani wanapohoji kuhusu waswahili wenzetu baadhi yetu tunakasilika!

      Mbona kuna Watanzania matajiri, na wengine wamesoma LSE huko Uingereza lakini are not stinking rich! Je Watanzania walio wengi wako fast asleep?
      Kaa la Moto and Ndahani like this.

    4. #83
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,386
      Rep Power : 1311
      Likes Received
      590
      Likes Given
      430

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By BULOLE BUKOMBE View Post
      Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.
      Jamani, mbona kafanya uchonozi uliotuwezesha wengine tujue yaliyokuwa hayajulikana?

      Ugomvi binafsi msiundekeze jamani.....alah!
      Ukweli ni maji ya chumvi unayotakiwa kuyaoga, ukiona mahali panawasha usiyachukie hayo maji....jua hapo pana jeraha pafanyie kazi.

    5. #84
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,783
      Rep Power : 22096
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      859

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kumbe asili yake alikuwa Mjeda hapo kuna walakini!
      Alafu mkuu wa nchi anapenda tumia watu ivi wakija mzika izo ela si ataja kufa kwa kihoro!
      Maana kuna jamaa anasimamia miradi yake Uko Iringa!
      Ivi hajui haya yote yatawekwa hadharani yeye akiondoka madarakani.
      Labda aibadili ile sheria inayotaka viongozi wakuu baada ya kuitumikia nchi lazima wabaki nchini
      Kaa la Moto and Ndahani like this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    6. #85
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 936
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By mkaliwakitaa View Post
      Belmont...acha huyo tu, kuna waganda, makongo kibao wanaofanya kazi ya utapeli tu kwenye sekta ya madini..wanajiita generals, kanali, waasi kutoka kongo..kumbe matapeli wakubwa..mwaka jana walitutapeli fedha nyingi tu, wakakimbia zao kongo..lakini kibaya zaidi hawa jamaa huwa wakishatapeli hugawa fungu kwa polisi..ili wsikamatwe..wameharibu kabisa sekta yetu ya madini...na njia yao kubwa wanayotumia..ilikuishi hapa ni kuoa mabinti wa kitanzania na kuzaa nao ili kuhalalisha uwepo wao hapa nchini..nashangazwa na kusikitishwa sana na hali kama hii
      Wenzetu wa nchi nyingine wako makini na mbinu hizi, hawakubali kabisa kukupa uraia hata kama umeoa mabinti zao! Actually niliwahi kushuhudia jamaa kagombana na mkwewe mzungu walipo kwenda POLISI - polisi na watu wa immigration wakawa wanamsihi mama huyo aseme kwamba amtaki tena mumewe hili wapate kisingizio cha kum-deport unceremoniously kurudi kwao Africa.


    7. FJM is offline
      FJM
      #86
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By MachoMakavu View Post
      Mzee Mwanakijiji Pamoja na heshima yote niliyonayo kwako, naskitika kuona unaleta thread iliyokaa kimajungu kama hii.
      Unajuwa ni kitu gani kilichosababisha mpaka huyu JB akakosana na M7?
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    8. #87
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 936
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By tz_investor View Post
      Kuna pia huyu jamaa anayeitwa JB kule Kigamboni ... ananunua viwanja na mashamba kwenye prime areas kule kwa kasi ya kutisha. Kama sijakosea kule wananchi wanamfahamu kama ni Mrundi na sio Mganda, sasa hii misconception sijui ni kama inafanywa na yeye purposely au wananchi wanashindwa kutofautisha sababu ya lafudhi yake. Anajenga sehemu nyingi pia kule gezaulole, na ni maarufu sana kwa vijana na mafundi ujenzi kule sababu ya kazi nyingi anazowapa ... pale Gezaulole ukimuuliza kijana yeyote kule kuhusu JB hatoshindwa kukupa stori zake na uwekezaji wake kule.

      Naomba kufahamishwa, hivi sheria zetu za umiliki wa ardhi siku hizi zinaruhusu mtu asiye raia wa Tanzania kununua na kumiliki ardhi??
      Kwani unashangaa nini mkuu, hata Raisi Kabira Sr. alipokuwa pale msasani akifanya biashara yake ya kihini macho alikuwa anajulikana kama Mganda kwa jina la MTWALE, at least hiyo ilikuwa kama kinga kwa usalama wake - na serikali ilikuwa inalijua hilo-kama unayo zungumza humu ni ya kweli basi hii ni hatari sana! Umakini wa Kambarage kuhusu usalama na hatma ya TAIFA letu umeyeyukia wapi jamani. Haya ni mambo ya kawaida kweli!!!!!

      Nisije kueleweka vibaya, mimi sina tatizo na Waganda ni majirani zangu na nina ndugu zangu huko na najua kuzungumza lugha yao, na kwa kawaida si watu wa shari na ugomvi ni wafanya biashara mahili sana, actually wana msemo wao usemao "ESENTE TEKUBA NYONYI" ni wahangaikaji kweli, awalazi damu.

      Having said that, tusije tukajisahau kwamba kila mtu anaitakia mema nchi yetu - tuwe makini kujua ki-undani washirika wao ni akina nani au wenyewe ni proxy TU.
      Last edited by Bukyanagandi; 21st May 2012 at 12:22.

    9. #88
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,742
      Rep Power : 985
      Likes Received
      646
      Likes Given
      263

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Ritz,

      Utajuaje usipouliza maswali?

      So mjadala huu ni huru props and opps leteni ushahidi/taarifa sisi tunaendelea kudadavua.

    10. #89
      nderingosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2011
      Posts : 868
      Rep Power : 1462
      Likes Received
      451
      Likes Given
      128

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By ritz View Post
      Hiyo hoteli ilikuwa ya mzee mmoja wa kisomali mmiliki wa City Garden hoteli, pale posta
      Hapa sasa tunakuja kwenye issue....na nadhani hapa ndo kuna basis ya maswali ya Mwanakijiji.....Watu wamekazania kujadili lifestyle ya mganda JB na kusahau bigger picture......Kwa navojua mmiliki wa awali kabisa wa hotel zooote zinazoitwa Paradise ni huyu msomali/wasomali......Nadhani jina la JB kama mmiliki wa Paradise limejitokeza baada ya yeye kuuziwa hiyo Paradise hapo Mkapa towers na huyu Msomali/wasomali......Nachofahamu tu ni kwamba huyu msomali mmiliki wa paradise amekua tz kwa deal hizi za hotel kwa muda mrefu na kwa chini chini anahusishwa na kula deal kubwa na watawala(waliopo/walopita)......Kwa wasiojua.....huyu msomali ndie aliyekuwa mmiliki wa ile hotel kali sana ya Paradise Bagamoyo hotel....which was one of the best hotels in TZ (nimeshahudhuria semina nyingi pale)....Kama mjuavyo hotel hii iliungua na kuteketea kwa moto totally....Baada ya kuungua..watu wa karibu(haswa wahudumu)..walikuja na tetesi kuwa ile ilikuwa planed arsenal (toka kwa wamiliki)...ili wapige hela za bima...kwani hotel ilikuwa na bima....sasa sijui kama hizi ni tetesi za kweli au vipi na kama jamaa alipiga hela ya bima au la...lakini word went around about that...Sasa leo naskia kamuuzia JB Paradise ya Mkapa towers!!!....something is very fishy here.........only time will tell....keep on probing Mwanakijiji.....
      Kaa la Moto, Nyumbu- and FJM like this.
      ....real change begins with PEOPLE.......

    11. #90
      Thesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2010
      Posts : 733
      Rep Power : 4681
      Likes Received
      188
      Likes Given
      331

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Tuanze kwa kujua kwanini alikosana na Rais wa maisha bwn m7

    12. #91
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,209
      Rep Power : 12770
      Likes Received
      6438
      Likes Given
      998

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Mzee Mwanakijiji.

      Mbona Wazungu matajiri wa Tanzania utaki kufahamu habari zao wewe na weusi tu.

      Mbona hujauliza yule Mzungu mmiliki wa Hoteli ya Sleep Way, ni nani na anafanya nini Tanzania.
      CottonEyeJoe and Maundumula like this.

    13. #92
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,204
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Tusker Bariiiidi View Post
      Namfahamu kama Mmiliki wa CHICKEN HUT (MLIMANI CITY) kuanzia mwaka 2008, katika mazungumzo yetu alikuwa akijifagilia kama yeye ana pesa na yupo karibu sana na familia ya kwanza Tanzania, akidai anajenga Beach Hotel Bagamoyo, Hotel/Restaurant nyingine pale Africana.

      SIKUAMINI SANA KWANI NILIONA NI SOUND TU! Baada ya kufunguliwa kwa QUALITY CENTRE! YAMETIMIA! Ana Restaurant/Ukumbi wa Disco (Savannah) Maduka makubwa matatu achilia mbali JB BELMONT iliyopo BW. Mkapa Towers.

      Ninachompendea yupo down to earth!

      Hivi Tanzania ukiwa au ukitaka kuwa muwekezaji sharti uwe na urafiki na familia ya mkuu wa kaya? Maana kila anayewekeza hii nchi anapaswa kwanza awe rafiki wa hii familia kwa sababu zipi hasa? Nadhani kuna tatizo la msingi katika hili na hatupaswi kucheka na kufurahia hili. Shaka yangu ni kuwa kama ni hivyo watu hawa kuna kitu wanafanya ambacho si cha kawaida na kwahiyo wanahitaji ulinzi wa familia ya mkuu wa kaya.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    14. #93
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By engmtolera View Post
      Mnaulizwa
      JE ANAWEZA KUWA TATIZO TANZANIA?
      Na ni swali la kawaida kabisa...mara nyingi watu wengi tunafanya mambo kwa mazoea na hatutaki kuangalia zaidi ya pale macho yetu yanapoishia. Ndio maana tumepotea sababu sifa kubwa leo ya watanzania ni mtu kuwa na hela nyingi bila hata kujiuliza hizo hela zinapatikana vipi. Mwisho wa yote ndio hili Taifa tunaloliona...limejaa wezi mpaka kwenye levels usizoweza kufikiria.
      Kaa la Moto likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    15. #94
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Njowepo View Post
      Kumbe asili yake alikuwa Mjeda hapo kuna walakini!
      Alafu mkuu wa nchi anapenda tumia watu ivi wakija mzika izo ela si ataja kufa kwa kihoro!
      Maana kuna jamaa anasimamia miradi yake Uko Iringa!
      Ivi hajui haya yote yatawekwa hadharani yeye akiondoka madarakani.
      Labda aibadili ile sheria inayotaka viongozi wakuu baada ya kuitumikia nchi lazima wabaki nchini
      Tutawezaje kujua kama anaifanyia kazi za siri serikali ya Uganda? Ex soldier aachiwe analanda landa hivi hivi? Hii dunia yote could be in a total mess!
      Kaa la Moto likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    16. #95
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By FJM View Post
      Unajuwa ni kitu gani kilichosababisha mpaka huyu JB akakosana na M7?
      Tutajuaje kama kweli alikosana na Museveni? Maana hata Marehemu Shekhe Yahya alikaa sana Kenya sababu eti "aligombana Nyerere".
      Kaa la Moto likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    17. #96
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 936
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By FJM View Post
      Unajuwa ni kitu gani kilichosababisha mpaka huyu JB akakosana na M7?
      Mkuu mbona Baguma na M7 ni tribe moja, wanaweza kweli kukorofishana?

    18. #97
      Kipaji Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 739
      Rep Power : 2679
      Likes Received
      518
      Likes Given
      815

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      .....mh..natamani kujua zaidi...

    19. #98
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,274
      Rep Power : 682
      Likes Received
      261
      Likes Given
      69

      Default

      Quote By Lonestriker View Post
      Ujinga kama huu wako ndio janga halisi la kitaifa-watu kupenda uzushi au ku-conclude mambo bila hoja au ushahidi wowote!JB(ingawa simjui) ni janga la taifa kivipi?Halipi kodi?Yeye ndie anayefanya sisi tusifanye kazi na kuishia kuimba nyimbo za ufisadi na freemason?Kuna mtanzania amezuiliwa kufanya biashara Uganda?Tatizo letu ni elimu ya kukariri na kujibu mitihani ya darasani tu.Huu ndio utandawazi uliokariri darasani,watu wanazunguka dunia nzima kutafuta business opportunities.Acha JB afanye kazi huku sisi tukiendeleza porojo zetu za kuogopa kujiunga na EAC kwa sababu ya uvivu wetu.Unamwita JB malaya na kusahau kuwa kama ni umalaya si anaufanya na Watanzania wenzetu,kwa nini tusiwalaume hao watanzania wenzetu,let's deal with our own failures first.
      Umemaliza yote niliyotaka kusema! Hivi nani katuloga watanganyika? Pokea LIKE!

    20. #99
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,543
      Rep Power : 6185
      Likes Received
      3103
      Likes Given
      1025

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Tusker Bariiiidi View Post
      Naomba nitofautiane na wewe, huyu ni MWEKEZAJI!

      Ametoa ajira lukuki kwa wa~Tanzania tofauti na hao Wafanyakazi wa kigeni WACHINA/WAHINDI/WAPAKISTAN etc. zaidi ya 10,000
      wanaokaa na kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Wa-Tanzania!
      Tusker Bariiiidi Neno MWEKEZAJI linaweza kuwa kichaka kibaya sana cha wahalifu!
      Kaa la Moto and Kizotaka like this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    21. #100
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,004
      Rep Power : 936
      Likes Received
      745
      Likes Given
      1480

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By nderingosha View Post
      Hapa sasa tunakuja kwenye issue....na nadhani hapa ndo kuna basis ya maswali ya Mwanakijiji.....Watu wamekazania kujadili lifestyle ya mganda JB na kusahau bigger picture......Kwa navojua mmiliki wa awali kabisa wa hotel zooote zinazoitwa Paradise ni huyu msomali/wasomali......Nadhani jina la JB kama mmiliki wa Paradise limejitokeza baada ya yeye kuuziwa hiyo Paradise hapo Mkapa towers na huyu Msomali/wasomali......Nachofahamu tu ni kwamba huyu msomali mmiliki wa paradise amekua tz kwa deal hizi za hotel kwa muda mrefu na kwa chini chini anahusishwa na kula deal kubwa na watawala(waliopo/walopita)......Kwa wasiojua.....huyu msomali ndie aliyekuwa mmiliki wa ile hotel kali sana ya Paradise Bagamoyo hotel....which was one of the best hotels in TZ (nimeshahudhuria semina nyingi pale)....Kama mjuavyo hotel hii iliungua na kuteketea kwa moto totally....Baada ya kuungua..watu wa karibu(haswa wahudumu)..walikuja na tetesi kuwa ile ilikuwa planed arsenal (toka kwa wamiliki)...ili wapige hela za bima...kwani hotel ilikuwa na bima....sasa sijui kama hizi ni tetesi za kweli au vipi na kama jamaa alipiga hela ya bima au la...lakini word went around about that...Sasa leo naskia kamuuzia JB Paradise ya Mkapa towers!!!....something is very fishy here.........only time will tell....keep on probing Mwanakijiji.....
      Hivi hizi ransom wanazolipwa watekaji nyara meli zanikwenda kuwa-invested WAPI!!! Kenya, Tanzania, Uganda au wapi? Sijawahi kusikia zinakuwa invested SOMALIA - kwa nini? Hivi huu urafiki wa ghafla wa wasomali kumwamini mswahili umetoka WAPI!
      Kaa la Moto and omujubi like this.

    Page 5 of 14 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...