Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

By
Njowepo
Kumbe asili yake alikuwa Mjeda hapo kuna walakini!
Alafu mkuu wa nchi anapenda tumia watu ivi wakija mzika izo ela si ataja kufa kwa kihoro!
Maana kuna jamaa anasimamia miradi yake Uko Iringa!
Ivi hajui haya yote yatawekwa hadharani yeye akiondoka madarakani.
Labda aibadili ile sheria inayotaka viongozi wakuu baada ya kuitumikia nchi lazima wabaki nchini
Tutawezaje kujua kama anaifanyia kazi za siri serikali ya Uganda? Ex soldier aachiwe analanda landa hivi hivi? Hii dunia yote could be in a total mess!
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Follow Us Here