Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

    Report Post
    Page 2 of 14 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 265
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,508
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16386
      Likes Given
      8454

      Default JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who he is and what has he been doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 21st May 2012 at 19:58.
      jouneGwalu and Kijana Msomali like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. RukaaJuu Final

    3. LAT
      #21
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      very interesting ..... hapa kuna sintofahamu nyingi na za ajabu

    4. #22
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,669
      Rep Power : 21814
      Likes Received
      736
      Likes Given
      3190

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kinachonishangaza nijinsi Watanzania tulivyojaliwa kuficha siri hata za wageni wanaopiga "magumashi".........duuhh! !

    5. #23
      BULOLE BUKOMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 484
      Likes Received
      60
      Likes Given
      287

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who is he and what is he doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
      Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.

    6. #24
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Tusker Bariiiidi,

      I think ndiye huyu tulikuwa tunampigia story; unafahamu JB inasimama badala ya nini?
      Mkuu MM, heshima kwako,,huyu jamaa seems unamjua vema,embu tumwagie kadiri mlivokuwa "mnampigia story" na pengine jb hizi kadiri unavofahamu zasimama badala ya nn tupanue uwanja wa mjadala na michango
      Bigirita likes this.

    7. #25
      chomete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 1,056
      Rep Power : 637
      Likes Received
      107
      Likes Given
      0

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Mzee Mwanakijiji,

      Kwa ufupi huyu bwana ni mganda na alikuwa mwanajeshi wakatofautiana na Museveni akaja hapa Tanzania na kuishi kwa muda na badaye alikwenda Ulaya akafanya biashara zake mambo hayakwenda sawa na akarudi tena Tanzania na ndipo akapata mwanamke wa kihaya akamuoa na ndiye wanaye mpaka sasa.

      Ana pesa nyingi sana ni mfanya biashara, hizi hbr ni kutoka kwa mtu wa ndani ya familia, na huo ndo ukweli
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,531
      Rep Power : 2543
      Likes Received
      2115
      Likes Given
      1840

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kwa mujibu wa mganda mmoja ni kwamba hizi investment za JB zipo nyuma ya wakubwa flani na kwamba hata jina si halisi ila huyu JB anatumika kuuficha ukweli, kwa mujibu wa huyu mganda ni kwamba herufi J ni ya jina la mke wa mkulu mmoja uganda na kwamba anawatumia ndugu hao ili kujificha.

      Hizi ni rumours na si lazima ziwe na ukweli

    10. #27
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,472
      Rep Power : 764
      Likes Received
      720
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By BULOLE BUKOMBE
      Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.
      Hapa ndipo ninapoukumbuka ule mfano maarufu wa Baba wa Taifa kuhusu mashoka na Misitu. Miti midogo ilipoingiwa hofu kwa kuyaona mashoka yakija, ile mikubwa ikauliza "Wenzetu" wapo? Bila "Wenzetu" kama wewe mnaotupiwa makombo wageni wasingeifanya hii nchi shamba la bibi.

    11. #28
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,616
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      747

      Default

      Quote By BULOLE BUKOMBE
      Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.
      Umechangia lakini!

    12. #29
      mzurimie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Location : Mtaa Mmoja
      Posts : 812
      Rep Power : 546
      Likes Received
      360
      Likes Given
      87

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kwani nyie watanzania nani kawazuia kutafuta pesa na kuwekesha sehemu tofauti na kutengeneza pesa?

      Mie nimfurahia kama ameweza kufika alipo, hata kama mnasema anawatu ila is ni akili yake imemfikisha alipo.

      Na kama kuna anayelalamika basi fanya wewe tuone.

    13. #30
      babykailama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th March 2012
      Posts : 226
      Rep Power : 409
      Likes Received
      227
      Likes Given
      77

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Mimi simfahamu huyu. Bali napenda kukumbusha Mwanakijiji kuwa baada ya kukusanya taarifa uwe unatupa hitimisho. Nadhani unakumbuka juu swali kama hili juu ya yule Mfanyabiashara Maarufu wa Morogoro.

      Tupe hitimisho lako kuhusu huyo mtu kama ni hatari kwa Taifa au la na pendekeza tufanye nini.

      Pia kuna siku ulituonya juu ya kutumia aina fulani ya mtandao wa simu (provider) nchini (nadhani Voda?) lakini hutueleza shida ni nini. Kama great thinker naomba niwe naelezwa hitimisho ya mada kama hizo vinginevyo basi hatuna haja ya kukuna vichwa kumpa mtu taarifa halafu hatuelewi mwisho hizo taarifa ni za utafiti wa nini kwa ajili ya nani na sisi kubaki katika suspense!

      Chonde chonde mwishoni nataka kuona setenso kama vile:

      JB ni mnyonya damu watu hivyo kaeni kwa umakini au muepukeni au
      JB ni mgeni mfanyabiashara asiye na mawaa kama tulivyofikiri n.k
      Pa shoka hapaingii kisu

    14. #31
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,192
      Rep Power : 864
      Likes Received
      222
      Likes Given
      146

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Kwenye records za BRELA kuna makampuni kadhaa yenye majina yanayoanza na JB na makampuni hayo yamesajiliwa kuanzia mwaka 2007 ila sina uhakika kama yana uhusiano na huyo Mganda

      60146 JB VENTURE SOLUTIONS LIMITED 27/04/2007
      60259 JB FLORA LIMITED 08/05/2007
      62598 JB LAB MAINTENANCE LTD 18/10/2007
      66328 JB TRANSPORTES AND TOURS OPERATORS CO LIMITED 02/07/2008 incorporation
      66875 JB FINANCIAL SUPPORT LIMITED 04/08/2008
      67500 JB ELECTRONICS & GENERAL TRADERS CO. LIMITED 16/09/2008 incorporation
      67801 JB NTIRUGELEGWA CO. LIMITED 07/10/2008 incorporation
      114918 JB INDEPENDENT 24/09/1997 incorporation
      115248 JB MODERN ENTERPRISES 27/10/1997 incorporation
      73419 JB HOSPITALITY LIMITED 28-Oct-09 incorporation
      78202 JB ADVERTISE & PROMOTION CO. LIMITED 26/08/2010 incorporation

    15. #32
      Ngisibara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2009
      Posts : 1,154
      Rep Power : 759
      Likes Received
      134
      Likes Given
      129

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By chomete
      Mzee Mwanakijiji,

      Kwa ufupi huyu bwana ni mganda na alikuwa mwanajeshi wakatofautiana na Museveni akaja hapa Tanzania na kuishi kwa muda na badaye alikwenda Ulaya akafanya biashara zake mambo hayakwenda sawa na akarudi tena Tanzania na ndipo akapata mwanamke wa kihaya akamuoa na ndiye wanaye mpaka sasa.

      Ana pesa nyingi sana ni mfanya biashara, hizi hbr ni kutoka kwa mtu wa ndani ya familia, na huo ndo ukweli
      Hapo penye red....Mhhhh
      SEMINA ELEKEZI, Mie ntakula mpaka kulee, wewe palee na nyie paleee, Mawaziri wangu angalieni msiingiliane mpaka tutakapokutana 2015


    16. #33
      Lonestriker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Kassambya,Missenyi,Kagera
      Posts : 453
      Rep Power : 527
      Likes Received
      170
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By Tusker Bariiiidi
      Hapa nilikuwa namtofautisha JB na wale Wafanyakazi lukuki waliopo nchini kinyume cha sheria!
      Kuhusu Magumashi sina uhakika ila ukiangalia kasi ya kumiliki Chain stores na ile hotel iliyokuwa Paradise... lazima kutakuwa na namna!
      shida yako ni kasi ya kumiliki ama uhalali wa umiliki?Inaonekana umeathiriwa na snail-pace attitude ya Kitanzania,ile ya mtanzania kununua kiwanja then anakaa miaka kumi ndio anaweka msingi.Waganda wanafanya kazi na wame-embrace ujasiriamali kwa moyo wa ujasiri na bidii.
      Kivumah likes this.

    17. #34
      Lonestriker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Kassambya,Missenyi,Kagera
      Posts : 453
      Rep Power : 527
      Likes Received
      170
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By Kigogo
      JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre
      Ujinga kama huu wako ndio janga halisi la kitaifa-watu kupenda uzushi au ku-conclude mambo bila hoja au ushahidi wowote!JB(ingawa simjui) ni janga la taifa kivipi?Halipi kodi?Yeye ndie anayefanya sisi tusifanye kazi na kuishia kuimba nyimbo za ufisadi na freemason?Kuna mtanzania amezuiliwa kufanya biashara Uganda?Tatizo letu ni elimu ya kukariri na kujibu mitihani ya darasani tu.Huu ndio utandawazi uliokariri darasani,watu wanazunguka dunia nzima kutafuta business opportunities.Acha JB afanye kazi huku sisi tukiendeleza porojo zetu za kuogopa kujiunga na EAC kwa sababu ya uvivu wetu.Unamwita JB malaya na kusahau kuwa kama ni umalaya si anaufanya na Watanzania wenzetu,kwa nini tusiwalaume hao watanzania wenzetu,let's deal with our own failures first.
      Kivumah, idea, tankibovu and 4 others like this.

    18. #35
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,295
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5839
      Likes Given
      771

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Tatizo sisi Watanzania ni masikini sana halafu wengi wetu ni watumwa wa kiakili wamezoea lazima tajiri awe Mzungu au Muarabu.

      Bob Justus Baguma ni tajiri mkumbwa sio Tanzania tu mpaka UK kwao Uganda pia ana hotel nyingi tu za kitalii, Bob Justus Baguma ni Mkurugenzi wa JB Beltont.

      Uingereza kuna kampuni zake pia kuna ARMSTONE LIMITED, EORO-AFRO CONSUMERS LIMITED.

      JB saizi ni mwenyekiti wa jumuiya ya waganda wanaoishi Tanzania, JB ni kichwa kaenda shule ana Masters Degree in business kasoma UK.

      Huyu jamaa ni mtu makini sana.
      Katavi and mmbangifingi like this.

    19. #36
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,295
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5839
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Mkuu JB inaelekea anakwepa kodi Kama baadhi ya wahindi
      Umasikini ni mzigo kwa kweli wewe umemjua JB kwenye hii thread halafu umeishajua kama anakwepa kodi...ha haa haaa.

    20. #37
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,233
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      376
      Likes Given
      51

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Karibu Bw.Ritz.

    21. #38
      Lonestriker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Location : Kassambya,Missenyi,Kagera
      Posts : 453
      Rep Power : 527
      Likes Received
      170
      Likes Given
      76

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Unaposoma comments za wachangiaji wa hii Thread unazidi kupata picha halisi ya elimu yetu na uwezo wa kufikiri.Mtu anaandika kuwa JB ni janga la taifa(huu nao umekuwa msemo ambao kila asiye na hoja anautumia kuficha utupu wake) bila kutoa sababu yoyote.Wengine wanadai Kasi ya JB inatisha,haya ni madhara ya watu kuzoea kasi ya kobe,kila kitu foleni,mipango kuchukua miaka mingi kuliko utendaji.Uvivu wetu unazidi kukua kwa kasi kwa hio wakija wageni wakaona nafasi za kukua kwa biashara zao hapa Tanzania tunaishia kwenye porojo zetu za kila siku ilhali ripoti zote za kimataifa zinaonesha kuwa tunaongoza kwa uzembe kwenye EAC.

    22. #39
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By CottonEyeJoe
      Mzee Mwanakijiji,

      Mr Justus Baguma, a Ugandan entrepreneur in Tanzania, owns the JB Belmont, Savannah and some shops at Quality Centre and has also been elected the chairman of the Ugandan Community in Tanzania.

      He is a self-proclaimed self made man and attributes his success to hard work... Whether "hard work" means "trouble for Tanzania" I don't know....
      Be careful! Sio kila utajiri ni safe made...wengine wako kwenye mission tofauti under the guise of being entrepreneurs.
      CottonEyeJoe and Kaa la Moto like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    23. #40
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

      Quote By ritz
      Tatizo sisi Watanzania ni masikini sana halafu wengi wetu ni watumwa wa kiakili wamezoea lazima tajiri hawe Mzungu au Muarabu.

      Bob Justus Baguma ni tajiri mkumbwa sio Tanzania tu mpaka UK kwao Uganda pia ana hotel nyingi tu za kitalii, Bob Justus Baguma ni Mkurugenzi wa JB Beltont.

      Uingereza kuna kampuni zake pia kuna ARMSTONE LIMITED, EORO-AFRO CONSUMERS LIMITED.

      JB saizi ni mwenyekiti wa jumuiya ya waganda wanaoishi Tanzania, JB ni kichwa kaenda shule ana Masters Degree in business kasoma UK.

      Huyu jamaa ni mtu makini sana
      .
      Story za aina hii nzuri kweli kama watasimuliwa kina Obama kwenye mkutano wao wa G8. Kuwa tajiri sio tatizo na kwa kweli tunahitaji watu wenye uwezo wa kufanya biashara na kutengeneza mitaji na ajira. Lakini Tanzania ina watu wendawazimu sana. Mtu akishakuwa na hela basi asisemwe wala kuguswa hata kama hela zake zinapatikana pasipo uhalali. Sio busara kumuonea wala kumsingizia mtu. Ila penye ukweli lazima pia usemwe....nyinyi mliozoea kuimba sifa za matajiri na wenye hela endeleeni tu maana hata Akudo, Twanga pepeta, diamondo soundo wanaifanya kwa uastadi mkubwa kazi hiyo ya kuimbia wenye pesa mjini, kama kina Papaa Msofe na Ndama mtoto wa ng'ombe.
      Kaa la Moto and Bukyanagandi like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    Page 2 of 14 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...