Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

    Report Post
    Page 11 of 17 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast
    Results 201 to 220 of 333
    1. #1
      Moderator's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 29th November 2006
      Location : Moderated
      Posts : 376
      Rep Power : 714
      Likes Received
      136
      Likes Given
      667

      Default 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Abdulrahman Kinana
      4. Andrew Chenge
      5. Idris Rashid,
      6. Nazir Karamagi,
      7. Gray Mgonja,
      8. Basil Mramba,
      9. Daniel Yona,
      10. Peter Noni,
      11. Nimrod Mkono,
      12. Subash Patel
      13. Yusuf Manji
      14. Anna Mkapa
      15. Johson Lukaza
      16. Vincent Mrisho
      17. Frederick Sumaye
      18. Omari Mahita
      19. Jeetu Patel
      20. Sir Andy Chande
      21. Amatus Liyumba
      22. Emmanuel Nchimbi
      23. Shailesh Vithlani
      24. Tanil Somaiya
      25. Eric Shigongo
      26. Patrick Rutabanzibwa
      27. Felix Mrema (Arusha)
      28. Laurence Masha
      29. David Mattaka
      30. Kingunge Ngombare Mwiru
      31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      32. Malegesi Advocates
      33. Ringo Advocates
      34. Cleopa David Msuya
      35. Prof. Mkandara (UDSM)
      36. Maria Kejo
      37. Apson Mwang'onda
      38. Dr Edward Hosea - PCCB
      39. Ferdinand Ruhinda
      40. George Lauwo (TRA Customs)
      41. Cpt. John Chiligati
      42. Costa Mahalu
      43. James Sinclair
      44. Pius Msekwa
      45. Alex Massawe
      46. Zakhia Meghji
      47. Joseph Mungai
      48. Abdallah Kigoda
      49. Yusufu Makamba
      50. Sheikh Yahya Hussein

      Tuendeleze list

      NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
      Last edited by Moderator; 19th July 2009 at 21:38.
      Invisible and kaygeezo like this.
      Unataka kuitumia JF kiu-fasaha?|Bofya HAPA!
      Una maswali yoyote ya Ziada juu ya JF? (FAQs)|Bofya HAPA!

    2. FemaTV & Radio

    3. #201
      Mikefe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Posts : 88
      Rep Power : 494
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Wewe unayewasema wenzako ulichokifanya nini.Naomba tueleze kabla ya kuwajadili hao uliowataja.Wewe kipato chako ni kiasi gani na umepata kwa njia gani.Umejaribu kusaidia taifa ukashindwa au hukujaribu kabisa.Utakapojibu hayo maswali ,utapata majibu ya jinsi gani kuisaidia Tanzania.Kama hunajibu achana na majungu and zip ur stinking big mouth

    4. #202
      Lukwangule's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : Mbagala TMK Dar es salaam
      Posts : 151
      Rep Power : 539
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Ahhhh Shhhhhhhh Mhhhhh yale yale kaazi kwelikweli.
      Wana macho hawaoni, wanamasikio hawasikii, wanamiguu hawakimbii, wana mikono hawaitumii na mbaya zaidi wana1500 cc ya graymatter hawatumii hata chembe ya haradali, hili nalo neno!!!
      Last edited by Lukwangule; 30th March 2010 at 19:13. Reason: kasoro muinglish

    5. #203
      Calnde's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2008
      Location : Still looking where to settle
      Posts : 1,367
      Rep Power : 815
      Likes Received
      251
      Likes Given
      148

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mtumishi
      Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

      Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

      Tunaweza kuwataja bila uonevu?

      Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

      1. Rostam Azziz
      2. Edward Lowassa
      3. Andrew Chenge
      4. Idris Rashid,
      5. Nazir Karamagi,
      6. Gray Mgonja,
      7. Basil Mramba,
      8. Daniel Yona,
      9. Peter Noni,
      10. Nimrod Mkono,
      11. Subash Patel
      12. Yusuf Manji
      13. Anna Mkapa
      14. Johson Lukaza
      15. Vincent Mrisho
      16. Frederick Sumaye
      17. Omari Mahita
      18. Jeetu Patel
      19. Sir Andy Chande
      20. Amatus Liyumba
      21. Emmanuel Nchimbi
      22. Shailesh Vithlani
      23. Tanil Somaiya
      24. Eric Shigongo
      25. Patrick Rutabanzibwa
      26. Felix Mrema (Arusha)
      27. Laurence Masha
      28. David Mattaka
      29. Kingunge Ngombare Mwiru
      30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
      31. Malegesi Advocates
      32. Ringo Advocates
      33. Cleopa David Msuya
      34. Prof. Mkandara (UDSM)
      35. Maria Kejo
      36. Apson Mwang'onda
      37. Dr Edward Hosea - PCCB
      38. Ferdinand Ruhinda
      39. George Lauwo (TRA Customs)
      40. Cpt. John Chiligati
      41. Costa Mahalu
      42. James Sinclair
      43. Pius Msekwa
      44. Alex Massawe
      45. Zakhia Meghji
      46. Joseph Mungai
      47. Abdallah Kigoda
      48. Yusufu Makamba
      49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya

      Tuendeleze list

      NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
      Wapo arobaini na tisa hapo. And no 1 should be mkuu wa kaya to make up 50
      In the end will remember,not the words of our enemies but the silence of our friends.

    6. #204
      ELNIN0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Posts : 2,526
      Rep Power : 987
      Likes Received
      248
      Likes Given
      50

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Cha kufurahisha zaidi hawa ni wana CCM hai na ndiyo wapiganaji wakubwa wa CCM - Ushindi.

      Kulishughulikia kundi hili ni sawa na kusema unataka kuishughulikia serikali na system yake nzima, si kazi ndogo, na hili kundi linajua endapo CCM itaangushwa basi itakuwa gharika na ndiyo maana lipo tayari kutumia kila resorces available pamoja na pesa ili CCM ibakie madarakani

      Kinachonifurahisha zaidi ni kwamba wengi wa hawa jamaa wamekulia katika Ujamaa kwa kweli - enzi za Mwalimu na baadhi yao hata wamefundishwa darasani na mwalimu - ila wamegeuka na kuwa na tamaa za ajabu za kujilimbilizia mali bila sababu za msingi.

      Kwenye hiyo list sidhani kuna mtu ana kiasi pingufu ya 500m, wachache sana, wengi wao ni ma billionea, sasa jiulize mtu huyu kafanya kazi serikalini miaka 35, unganisha mishahara yote, marupurupu je anapataje 10b?

      Kazi kwetu sisi watanzania 40m kuamua kupitia sanduku la kura - kama hatuwezi kuwaondoa basi tuache kulalamika - tuwaache waendelee kula mali ya nchi hii maana nao ni watanzania ila ni wajanja kutuzidi.
      Last edited by ELNIN0; 31st March 2010 at 14:03.

    7. #205
      Lava's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 24th December 2009
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Jietesh Ladwa wa Golden Tulip!!!!

    8. Miaka 50

    9. #206
      saitama_kein's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2009
      Location : KASULU
      Posts : 962
      Rep Power : 678
      Likes Received
      88
      Likes Given
      62

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Ukweli waliotufikisha hapa si mtu mmoja au 50 au 100....tutakuwa wanafiki kuwataja baadhi na kuwaacha baadhi...Mie nasema ni system nzima, nikimaanisha viongozi wetu tuliowapa zamana tokea TANU & ASP mpk CCM!!
      Tukosoane lakini Tusibezane

    10. #207
      nndondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 613
      Rep Power : 687
      Likes Received
      145
      Likes Given
      1

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Yaani nakupongeza sana kwa hii list, tufike wakati tuseme ukweli watu wametishwa mpaka wanaogopa kukohoa nakubaliana kwamba namba one adui wa nchi yetu ni JK,.

      Mimi sikubaliani na huyu anayesema vijana wote wasomi watanzania wataje, maana ukituingiza na sisi unatuonea, tutaanzia wapi wakati tumezibwa kila pembe, hata ukiwa na wazo zuri la biashara hupati hela hizo benki zinapendeza tu lakini hazina program ya local empowerement, hata ukiwa na collateral lazima uwe na biashara isiyohitaji startup ama sivyo hela wanayotaka kama cushion ungekua nayo usingetaka mkopo.


      Huyo JK kakalia huko jikoni hata hajui kinachoendelea, noni yuko pale do you need to have brains kuona kwamba ni upumbavu? look at kumchagua meghji awe fund raising committee chairperson who the heck is he trying to fool kama sio yeye mwenyewe, what is the diff between meghji na RA,. shit! hawawezi na wanamjua kwamba hawawezi and let them deal with him squarely.

      Nakubaliana kwamba Mengi hastahili kuwemo kwenye list hiyo wala Iddi Simba but Sita.

    11. #208
      MtuKwao's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2006
      Posts : 175
      Rep Power : 681
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By Mikefe
      Wewe unayewasema wenzako ulichokifanya nini.Naomba tueleze kabla ya kuwajadili hao uliowataja.Wewe kipato chako ni kiasi gani na umepata kwa njia gani.Umejaribu kusaidia taifa ukashindwa au hukujaribu kabisa.Utakapojibu hayo maswali ,utapata majibu ya jinsi gani kuisaidia Tanzania.Kama hunajibu achana na majungu and zip ur stinking big mouth
      Well, you obviously have taken this as a personal insult rather than a part of a frank conversation. Which, I think is part of the problem - denial.

      Kama nilivyosema, Hao hamsini ni subset ya watanzania na labda ingekuwa vizuri wote tukaanza kujiuliza maswali mengi zaidi badala ya kunyoosha kidole tu.

      Kimsingi huo ndo ulikuwa mchango wangu. Matusi hayajasaidia kitu kwenye huu mjadala!

      MtuKwao

    12. #209
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,212
      Rep Power : 1272
      Likes Received
      531
      Likes Given
      404

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Ali Hassan Mwinyi......ka ovyo sana haka kazee kalifuta Zimio la Arusha then kajishaua!
      Ukweli ni maji ya chumvi unayotakiwa kuyaoga, ukiona mahali panawasha usiyachukie hayo maji....jua hapo pana jeraha pafanyie kazi.

    13. #210
      housta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 138
      Rep Power : 536
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Quote By MtuKwao
      Well, you obviously have taken this as a personal insult rather than a part of a frank conversation. Which, I think is part of the problem - denial.

      Kama nilivyosema, Hao hamsini ni subset ya watanzania na labda ingekuwa vizuri wote tukaanza kujiuliza maswali mengi zaidi badala ya kunyoosha kidole tu.

      Kimsingi huo ndo ulikuwa mchango wangu. Matusi hayajasaidia kitu kwenye huu mjadala!

      MtuKwao
      I agree! Anyone can say whatever he/she think is right at that moment and entitled to. Na ndio sababu kuna critics and supporters/followers. Mada imetolewa, criticise mada/changia mada na sio kumshambulia mtu!Ukweli unabaki pale pale kuwa HAIWEZEKANI WATU HAO HAO WATAJWE KWENYE KILA SCANDAL INAYOIHUSU NCHI HII - SOMETHING IS ABSOLUTELY WRONG SOMEWHERE NA SIO PERSONAL ATTACKS.

    14. #211
      bona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2009
      Location : tanzania
      Posts : 982
      Rep Power : 681
      Likes Received
      85
      Likes Given
      235

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Cha msingi unatakiwa mzee uelewe waliotufikisha hapa pabaya usiangalie wezi tu, kuna waliosababisha hasara kubwa kwa nchi bila kuiba either kwa ufinyu wa uwezo wao au ubishi pia ni kundi moja.

      Kwa mfano mwinyi alipoleta uchumi holela, alipovunja system ya elimu na kufanya wafanyiabashara wawe juu kuliko wasomi hadi kusoma kukaonekana hakuna maana, familia ya Janguo na ubadhirifu bandarini, Gilman Rutihinda aliyeshusha thamani ya shilingi enzi za Mwinyi, Kikwete anayechapisha pesa ovyo hadi thamani ya shilingi inashuka na mfumuko wa bei unapanda, hawa hawana tuhuma za wazi za kuiba ila matendo yao yamewafikisha wananchi pabaya!

    15. #212
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,212
      Rep Power : 1272
      Likes Received
      531
      Likes Given
      404

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      -Sheikh Yahaya Hussein
      -Eric Shigongo
      Ukweli ni maji ya chumvi unayotakiwa kuyaoga, ukiona mahali panawasha usiyachukie hayo maji....jua hapo pana jeraha pafanyie kazi.

    16. #213
      HeartBreak's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Posts : 245
      Rep Power : 615
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      kweli hao wote na watoto zao .....wamekula nchi sana.....tuwafunike wasionekana...

    17. #214
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 957
      Rep Power : 687
      Likes Received
      116
      Likes Given
      144

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Well Am standing to be corrected, mimi nafikiri hatuna sababu ya kuwalaumu na kuwanyooshea vidole hao 50 hata wakiwa 100!

      Bado nilazima tujiulize bila sisi hao 50 na hata wangapi sijui wangetufikisha hapa, maana ni sisi hawahawa tuliowachagua na tunaendelea kuwachagua wawe viongozi wetu. Nafikiri imefikia wakati sasa watanzania tujue wajibu wetu wa kuwawajibisha hawa viongozi, tumeisha ona kupitia wabunge wetu hatuna nguvu ya kuwawajibisha hawa jamaa wakiwa madarakani!

      Let us come out and shout for our rights now! We need new constitution not amended constitution! na haki zingine. Uwezo wakuleta mabadiliko tunao kama tukitaka. Hili kundi la viongozi (Cultz) mimi nalifananisha na Nyani wakubwa usually they feed on the ripe fruits on top of the tree, and drops the left overs to their junior ones who are feeding on the lower heights.

      Then the juniour ones realize that on top of the tree their are ripe fruits which they can share with their elder ones, and ask them if they can climb up and share the fruits, the elder onces usually tell them to look up and see if their is any fruits they can share, once the juniour look on top of the tree, they see NOTHING but their elder's red ASS!

    18. #215
      yotekheri's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 8
      Rep Power : 472
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Jietesh Ladwa wa Golden Tulip!!!!

    19. #216
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21611
      Likes Received
      13485
      Likes Given
      17780

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      mhhh.......
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    20. #217
      TingTing's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th December 2009
      Location : Kanda ya Ziwa
      Posts : 94
      Rep Power : 497
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      System nzima ina dosari katika nchi yetu ila tunachongojea kwa sasa ni generation phase-out ya wazee na kuingia vijana katika ulimwengu wa kutekeleza mambo muhimu ya kitaifa ambayo yatasaidia wananchi moja kwa moja.

      Kwa hali hii jinsi inavyokwenda inabidi vijana kukaza buti ili kujikwamua kwa njia yeyote ile hususani katika kuwachagua viongozi wenye maadili na walio watendaji. Mfumo wa elimu inabidi uwekwe sawa ili kuweza kufikia huko tunapotaka kufika bila hivyo wenzetu wengi ambao wako vijijini na ambao ndio upiga kura kwa wingi kumchagua mgombea uraisi, hunyimwa elimu bora kwa kusahaulika kabisa kwa kila mahitaji ya kufanikisha elimu yao.

      Kinachotakiwa hapa ni kuelimisha vijana kwa wingi na kuwaelewesha wajue maamuzi wanayoyafanya leo huenda yakawasaidia au lah katika kukwamuliwa na mgombea yeyote au kiongozi yeyote yule hivyo wawe makini.
      tommie

    21. #218
      mnyakyusa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th February 2010
      Posts : 221
      Rep Power : 513
      Likes Received
      18
      Likes Given
      8

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Tutawataja sana bila kupata solution,,,,ni bora tutawaliwe kidogo kwa miaka kama mitano na jeshi hao mbona watarudisha mali zote tu kwa nchi

    22. #219
      Modereta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : Dar
      Posts : 166
      Rep Power : 585
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Tuchangie mada, tuache kushambuliana bila sababu. Wewe unafikiri tufanye nini, inawezekana yeye hajasema, basi anza wewe kutoa wazo. Kama hoja inakukera kaa kimya tu huna haja ya kujenga vipingamizi.


      Quote By Mikefe
      Wewe unayewasema wenzako ulichokifanya nini.Naomba tueleze kabla ya kuwajadili hao uliowataja.Wewe kipato chako ni kiasi gani na umepata kwa njia gani.Umejaribu kusaidia taifa ukashindwa au hukujaribu kabisa.Utakapojibu hayo maswali ,utapata majibu ya jinsi gani kuisaidia Tanzania.Kama hunajibu achana na majungu and zip ur stinking big mouth
      is Man by nature destructive??

    23. #220
      Domisianus's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2008
      Posts : 155
      Rep Power : 582
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: 50 People Who Are Screwing Up Tanzania

      Ni vuzuri kujua those screwing up Tanzania, lakini we have to do with a very great care my brothers and sisters.
      Tunatakiwa kujua vigezo amabavyo vimetumika kuwaanisha hao watu 50 kati ya watu million 40 Tanzania.Maana bila kuweka vigezo itakuwa tunajadili majungu tu hapa na naamini kujadidili majungu hayataweza kutufikisha popote, ukizingitia kuwa This is the home of Great Thinkers.So Mtumishi Tunahitaji uweke hapa vigezo vyako ili tuweza kujadili hii maada kwa uwazi na bila kumuonea mtu yeyote.Tanzania itajengwa na watu wenye fikra pevu na wala siyo watu wanaopenda mambo mepesi mepesi na majungu.
      Greatness is difficult to appreciate from close up. The great mountain on the horizon is only the ground when you are standing on it.

    Page 11 of 17 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 26th June 2010, 04:20
    2. 19th November 2009, 20:01

    Similar Topics

    1. The Hadza People Facts in Tanzania
      By Eraser Stop in forum Jamii Intelligence
      Replies: 2
      Last Post: 15th December 2011, 08:38
    2. Replies: 6
      Last Post: 22nd August 2011, 08:03
    3. Tanzania's 100 most influential people
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 53
      Last Post: 2nd April 2009, 22:15
    4. 50 People Who Are Sorting Out Tanzania
      By Companero in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 16
      Last Post: 27th March 2009, 10:45

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...